DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO HAJI MANARA / NAKUONYA USIMUACHE ZAIYLISA /FUNGENI NDOA / MNUNULIE GARI
Vložit
- čas přidán 23. 11. 2023
- DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO HAJI NANARA KISA MAHUSIANO YAKE NA MWANADADA ZAIYLISA / NAKUONYA USIMUACHE ZEYLISA / FUNGENI NDOA TAZAMA HAPA FULL ENTERVIEW
#manaratv #diamondplatnumz #hajimanara #dottomagari - Zábava
Yaan magari anatofauti na Kumbuka'Mwijaku 'juma Lokole yaan hawa watu ujiandae kuwajibu❤❤❤👍👍😁😁😁
One of the amazing guy, aka doto magari...bro uko sawa Kwa kila interview zako hua unaongea vitu on point...Kenya tumeanza kukupenda Kwa kazi Yako nzuri isiyo na kinyongo na mtu big up man ,✌️✌️💪👍👍👍
Ila mtangazaji umeongea point. Kwa Nini dotto apendi mafanikio ya wengine Kama harmonize anamchukia bure kwer nimesmini msemo wake riski ndo mwanzo wa chuki.
Nakukubali xana braza
Manywele. Machafu
Doto skupendi lakini wakati uwo uwo nakupenda staili zako
Doto magari acha ushamba w Dar salamu unaputukuza utasema kama giniva na ujuwe sadaka awatangazi boya ww
Doto anajitafuta jamani big up doto
Mr Doto magari ukitowa sadaka.hutaki kujitangaza ukitowa mkono wa kuliya wa kushoto usijuwe
Mtani unaenda vizuri kanyagia wanao kunja watajijua
Brother umeongea sure kaka🎉🎉
Tshirt kali sana Dotto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mi mwenyewe nimeitamani kweli hiyo T-Shirt, mwanzo mwisho nilikuwa naikodolea macho tu, Dar es salaam.
Mmh Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka maisha magumu huko sio kuzuri naona vichaa na wehu wanazidi kuongezeka mjini Bibi tozo jenga zaidi wodi za vichaa
PANKI KAMA MCHEZA X WA UTURUKII😂😂😂
Mtangazaji mpaka kawa mpore kweli dotto magari kiboko😅😂
Eti pank kama mcheza x wa kituruki
Pesa haina mwenyewe💪
Panki kama mcheza x wa uturuki😅😅
Mtangazaji umemuweza huyo bwege dotto magari
Dotto ICU chuma cha umbea wamefika kwako eti una magari ya kifahari ila una lala chumba cha uwani kama njiwa😅😅😅😅.kwa ushauri uza gari moja rekebisha mjengo kaka ushakua mtu marufuu😅.
Ototo wa Kislam ana msalaba kifuaninwacheninkichezea Dini yetu nyie
Unajuaaaa dini weyeee ungevaaa msarabaaa
Huyu muislam gani amekeza kwenye nguruwe kwa mke professor j hana maana huyu
Nyie watangazaji hamna kazi?
Dini yakisiram unatakiwa upigwemawe ieshimu musikiti
😢
Yani kumuhoji dotto uwenamoyo😂😂😂😂
Cku nikiha bongo ntakutafta Kaka nipate japo mkono wak
Uchawa umekuwa kipaji cha kujitegemea duniani. Kusoma muhimu pia
Mwanangu leo kayakanyaga
Ditto mwisiramu anamusaraba hunahatahera wenyehera wapi wewesi musiramu
Kwahio Kahama iko Mwanza? Ifulensa unafeli😊
Ukimihoj doto uwe na roho😂😂
Mwislamu anavaaa msalaba
Acha ujinga doto mkono wa kulia ukitoa wakushoto usijue muislam gan ww usiejielewa😢😢😢😢
'Basi na neema ya Mola wako isimulie' hii vp shkh?
😂😂😂😂😂wedoto kumakweli😂😂😂etipankiii😂😂😂😂 kamamchezax😂😂😂😂 wautuluki😂😂😂😂😂😂 wesomzimaaa😂😂😂😂
Akuna DINI dunian
Kuna nn
Hahaha ifloresaaa
😂😂😂😂
Toka apaaa limbukeni mshamba wewe😮😮
Kavaa na msalaba
Doto mshamba Sana kujisifia uzawa badala ya kujisifia pesa wengin tuwazawa lkn wapo wakuja wanamaendeleo wewe unasubiri na utii mguu
Na ww wakuja tuu😂😂😂
@@sharbaidysalum born and grew in DSM lkn pesa ndio mpango kuna watu wemezaliwa Newyork, Amsterdam, London lkn hawana usenge huo kizamani
@@mashramadhani1989😅😅😅
Mbona kokolochi??!😂😂😂😂😂😂
Huna pesa ww
Unajiita Doto Magari , Sasa Akina Charles Mtawala , Akina Bwakea , Akina Kai Kai waitwe. Nani ? Kama wewe wautwa Dotto Magari 😅
Kila mtu anajitangaza
Kwani kujiita kuna shida gani?
Hao maboss zake
Kumbe washamba mko wengi kwani kujiita ni ttz nao si wajiite yeye kajiita hivyo kutokana na kazi yke sasa km hao mbweha ulowataja wakitaka wajiite tu
😂😂😂
Hilo koti lake wewe huvae ate wakipe milioni5 😂😂😂😂😂😂😂
Muislam vp mbn haelewiki uyu mzee asa muislam gani unavaa vitu vya gold wakt gold wanava wanawake tu na ilo msalaba vp 😮😮😮
Huyu mjomba hata hiyo dini aijui utapoteza time
@@yusuphrashidi-dr1kb dahh mtihani mkubwa
Muislamu wapi huyo ni kafiri tu huyo huoni salaba kifuani hilo
@@rajabmsinzia1715 bs asijitangazie kua muislam
Bora nyie waislam wenzie muulize
Dalali mwenye nguvu
kwan ww wakuzaliwa hapa una nn zaidi ya domo chafu.
Nilikuwa nakuelewa sn Dotto magari 😢,,,ila kwa kumwombelea MANARA ,,,,,Nimekushusha thamani
Manara ni Albino Kama wengine tuu, acheni kumuona wa tofauti sana😂😂
Muislam gani unavaa misalaba wewe. 👈
Sasa unasema wewe ni Muislamu hayo Masalaba shingoni ya nini?
Mwana😂😂😂😂
Sasa muslamu huyu cheni yake inamsalaba
Acha matusi wewe boya sana .Shule muhimu sna
Vuwa salaba bro Kama kweli wewe muslim mana ukafiri msalaba huwo
yazu kafiri wewe mpumbavu mkubwa angevaa tena Waislamu wote wanavaa
Kafirii wewe Shetani, Acha kuita wenzakoo kafirii wee hakuna Dini iliyoo juu ya wenginee wote tuna muuabudu mungu mmoja
Muislam na hiyo rozal unayovaaga
AMESHAKATA TAMAAA HUYU KIMA HANA VISION ASIWATIE VJANA UJINGA HANA UZEE WW N JUHA HILI
Khaa kumuhoji huyu kaka jipange hahaha
Panki kama mcheza x wa uturuki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
😂