DOTTO MAGARI ATANGAZA VITA YA CHAWA/ BABALEVO NA MWIJAKU HAWANIWEZI "WANA WIVU HAWANA MAISHA"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 11. 10. 2023
  • DOTTO MAGARI:AWACHANA UKWELI MWIJAKU NA BABA LEVO/VIJEMBE MITANDAONI/HAWANIWEZI......
    KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
    TWITTER: shorturl.at/luzLZ
    FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 Empire Lokoma Limited . 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 24

  • @salimsalim6278
    @salimsalim6278 Pƙed 9 měsĂ­ci +2

    Huo ndio uislam ndugu yangu
    Nafurahi Sana Na hongera Sana

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Pƙed 9 měsĂ­ci +2

    Oya Jamaa mtangazaji nakubali mzee baba, kazi unaijuwa sn. Keep pushing bro. One love from Australia

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Atumie Kilevi Wakati Unaona Wazi Nywere Za Kiganga Izo Anatakiwa Aende Kanisani Uyo

  • @BernardMapuga
    @BernardMapuga Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Nafuatilia sana mahojiano kiukweli tafuta mshauri akusaidie maana unafikia hatua ni kama unawaanika wateja ambao wala hkn ulazima wa kujibu kila kitu waandishi wanakupandisha na watakushusha mafamikio huja na maadui jitahidi sana kupunguza interview za kila siku

  • @Boaz22
    @Boaz22 Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Doto muongo,anakunywa Hennessy kinoma, mara kadhaa namuona Element

  • @fikirikasuka0001
    @fikirikasuka0001 Pƙed 6 měsĂ­ci

    napendaga sana kuchekeshwa na doto magari😂😂😂😂😂😂

  • @fatumamisinga6211
    @fatumamisinga6211 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Nakupa hai

  • @aloycefrank3194
    @aloycefrank3194 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Hapo kwenye mishipa hapo😂😂😂😂😂😂 mtangazaji hakusikia vizuri akaludia tena eeennh!

  • @user-gj7dn7vv5s
    @user-gj7dn7vv5s Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ˜‚đŸ˜‚ oya inaonekana hyo inaoekana hyo

  • @suleimankitango
    @suleimankitango Pƙed 7 měsĂ­ci

    mganga mungu mitishamba imani

  • @sebastianmushi6247
    @sebastianmushi6247 Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    kusoma na kuandika lifanyie kazi,bado haujachelewa

  • @jamesmusonda1914
    @jamesmusonda1914 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Contititii yenu😂😂😂😂😂😂😂

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 Pƙed 8 měsĂ­ci +1

    Doto hiyo gari uliyoegemea ni nissan X trail? Kiasi gani?

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Pƙed 9 měsĂ­ci +2

    Sigala kubwa je ?

  • @oyay2821
    @oyay2821 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Contitii hio mpya

  • @djgolf254
    @djgolf254 Pƙed 8 měsĂ­ci

    DOTTO

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Zakike zawanawake

  • @BernardMapuga
    @BernardMapuga Pƙed 9 měsĂ­ci

    Wajina me nakushauri ujue sasa hivi mungu amekunyooshe tuseme ni zamu yako ila kuna kitu nakiona na usipoangalia utajishusha bila kujijua hao wanakuonea wivu shida n kuwa wanakutekenya kdg tu unaongea hadi unapitiliza mbaya zaidi unawaongelea hadi wateja wako ambao hawahusiki utawapoteza watu kwa kutaka kujibishana na wenzio waliojipambanua kuwa ni chawa

  • @godfreya6955
    @godfreya6955 Pƙed 9 měsĂ­ci

    content 😂

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Dotto kamfunika Mandonga

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Huyu mtu ni Muongo hajawahi tokea

  • @OmaryMasambiro
    @OmaryMasambiro Pƙed 2 měsĂ­ci

    Hana chogo manywele

  • @omarnyau330
    @omarnyau330 Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Linachamba shada hilo

  • @omarnyau330
    @omarnyau330 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Lina kula kitu Hilo nalijua