DOTTO MAGARI ATANGAZA VITA YA CHAWA/ BABALEVO NA MWIJAKU HAWANIWEZI "WANA WIVU HAWANA MAISHA"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 11. 10. 2023
- DOTTO MAGARI:AWACHANA UKWELI MWIJAKU NA BABA LEVO/VIJEMBE MITANDAONI/HAWANIWEZI......
KWA HABARI , SIASA, MICHEZO NA BURUDANI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU YA LOKOMATV HAPA
Follow Us On:
INSTAGRAM: shorturl.at/wFP67/ || shorturl.at/jwQSU
TWITTER: shorturl.at/luzLZ
FACEBOOK: shorturl.at/rCL12
đȘđđđđđđđđ ©2021 Empire Lokoma Limited . đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#yanga #simba #yangasc #simbasc #simbavsyanga #tff #nbcpremeireleague #mwakinyo #samatta #zuchu #wizkid #Davido #nandy #wasafi #diamondplatnumz #alikiba #harmonize #instalive #youtubelive #mboso #lavalava #beyonce #Mariacare #mwijaku #babalevo #hbaba #kondeboy #afrima #notjustok #exclusive #lokomatv #trending #tanzania #marioo #mrpimbi #rickmedia #millardayo #ayotv #simulizinasauti #utamu #mpenjatv #globaltv #bonatv - ZĂĄbava
Huo ndio uislam ndugu yangu
Nafurahi Sana Na hongera Sana
Oya Jamaa mtangazaji nakubali mzee baba, kazi unaijuwa sn. Keep pushing bro. One love from Australia
Atumie Kilevi Wakati Unaona Wazi Nywere Za Kiganga Izo Anatakiwa Aende Kanisani Uyo
Nafuatilia sana mahojiano kiukweli tafuta mshauri akusaidie maana unafikia hatua ni kama unawaanika wateja ambao wala hkn ulazima wa kujibu kila kitu waandishi wanakupandisha na watakushusha mafamikio huja na maadui jitahidi sana kupunguza interview za kila siku
Doto muongo,anakunywa Hennessy kinoma, mara kadhaa namuona Element
napendaga sana kuchekeshwa na doto magariđđđđđđ
Nakupa hai
Hapo kwenye mishipa hapođđđđđđ mtangazaji hakusikia vizuri akaludia tena eeennh!
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđđ oya inaonekana hyo inaoekana hyo
mganga mungu mitishamba imani
kusoma na kuandika lifanyie kazi,bado haujachelewa
Contititii yenuđđđđđđđ
Doto hiyo gari uliyoegemea ni nissan X trail? Kiasi gani?
Sigala kubwa je ?
Contitii hio mpya
DOTTO
Zakike zawanawake
Wajina me nakushauri ujue sasa hivi mungu amekunyooshe tuseme ni zamu yako ila kuna kitu nakiona na usipoangalia utajishusha bila kujijua hao wanakuonea wivu shida n kuwa wanakutekenya kdg tu unaongea hadi unapitiliza mbaya zaidi unawaongelea hadi wateja wako ambao hawahusiki utawapoteza watu kwa kutaka kujibishana na wenzio waliojipambanua kuwa ni chawa
content đ
Dotto kamfunika Mandonga
Huyu mtu ni Muongo hajawahi tokea
Hana chogo manywele
Linachamba shada hilo
Lina kula kitu Hilo nalijua