VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
Vložit
- čas přidán 7. 01. 2024
- TAZAMA MWANZO MWISHO VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
#manaratv #hajimanara #dottomagari #nandy #zaiylissa - Zábava
Hii song itakuwa hiti kwahyo millions 50 itapatikana tuu
Mimi nimeipenda tu nyimbo jamaniiiii,,NANDERAAAAA is One
Nandi unaimba mpaka unawakela watu. Mtoto unasauti balaaaa
Hadji miaka yako ni ya kua karibu na Mungu sana na kufanya ibada ila wewe kama umerudi utotoni
😂
Ww usharudi
Haji hana ukubwa wa kumzid babaako kuku we utashikwa tako
❤❤❤Roho ya mwanamme haizeeki Waacheni afurahishe roho zao❤❤❤Zay❤na Haji Manara ❤❤❤
Hiyo ni tabia za wanaume karibu wote,, mwanamme ni kama mtoto mdogo anapenda kudekeshwa❤❤❤
Mimi kweli nashangaa Haji haji haji wewe ni muislam juzi kati tu umetoka makka pia wewe ni mwanazuoni mzuri sana na mashekhe wengi wa darusalama sijui hawakuwaizi kuhusu AKHERA Yako hii DUNIA mwenyezi mungu anaona tunavyovifanya insha allah mwenyezi mungu atupe kauli thabiti
Zinaa inatumgiwa nanyimbo jamani pumzi zinatuhadaa kweli
Na weewe zailisa tulia kwa kaka haji ufanye maishaa..mungu ni mwema atawasimamia
hahaha wakifka June hawah naamn watafka mbal maan
@@muhsiniamiri9310juni thubutuuu..
Wakutulia ni Haji mwenyewe na sio zai
Kukumbushana kupo, pls vipaji vipo vingi madras na huko unajiwekea 4 future tuendapo sote 🙏
Nandy.....My Sridev ❤
I can't wait to hear this "The whole song"😂❤Hajj Manara juuuuu sanaaaa😂🎉😂🎉😂🎉
Ka nyimbo kasweet jaman ❤️❤️❤️
Doto nakupenda jamani
Hio iitwe Manara Label ❤
Kula Maisha haji rushaina alikukosea nazani ni mungu ndio kaamuua kumnyoosha rushaina
Anajuta..kutoka kwa bugati😂😂😂
Lakini wabongo si ndiyo tunapenda Mambo haya??
Unamwanika mwanamke masuruali yamepasuliwa kifuwa kinaonekana eti mwislamu manara umefeli hapo
Song lamoto sana linatoka lini
Dotto ndio kasema acha ajidai ndio uwai wake
Kupendwa Raha❤❤
Huyu manara muislamu wa ajabu juwa mungu anakuona manara
Wewe ni muislam swafi...?
Kafiri uyu albinos
@@arthurdonnietello9691wewe mjinga
Unajua ukifa utaenda wapi kaka?? Relax kila mtu na maisha yake
Acha unafiki lofa wewe
Jamani doto kahaa😅
Nandy she so happy 🥰🥰🥰💙💙💙💜
Nimependa Doto ambavyo alikuwa akicheza.
😂
Nimeipenda waoooooo
Mandy unajua kuimba dada yangu mungu akutiee nguvu❤❤❤❤❤
Nandi ameweza kweli kweli
Nandy anajua saana
Nawapenda sana
Queen Nandy, you are the best of the best. Great song
Nice nimependa
Napenda sana kubali sana Mimi nandy more
Hongera Manara
Ila doto ananikosha 😂😂😂
Nandy anajua bana🎉
Haji ndugu yangu ktk imani haji wewe umesoma dini mwanamke wako mbona kaa kikafiri
Dunia ya ibilisi sheitwan imeshamuingia kichwan kwake hawez kukuelewa
Miziki ya kuungaunga. RIP Mbaraka mwinshehe and coleagues
Haji nakuahidi huyo demu nitakupigia.. pesa ipo umri upo na hapa ipo #😂😂😂 niutani wa jadi tu yy yanga mm simba
Mi team Dotto
Haji kidg nilikuchukulia kaka anayejiskia sana.lakin nimegundua u MTU wa tofauti.plz naomba kuwasiliana nawe.naitwa mwl mfinanga nippo kilimanjaro
Nyimbo nzuri sana👏
Hapo mganga Hana kesi ww mwenyewe ulimuamin🤣🤣🤣
Bigapu Manara nyota unayo mushukuru MUNGU sana eyaeyae hoya Doto kweye midia we noma sana wapinzani wajipane miaka 10 mbele
Nandy unajua tena natena ♥️♥️
Hichi kizeee hakijitambuii hata kidogooo watu wanafanywaaa ujanani uzeeeni wanatubiaa yy uzeeeni ndio atapotokaaa subhana
Nipesa zake mwache 😂😂😂
Doto unaweza kuliko machawa wote kuongea upo vizuri🤣🤣🤣🤣
Manara ikimbuke sikuyako yakufa ,achana na Dunia kwn nimapito wewe nimaiti mtarajiwa wakat wowot 😢
😂😂😂😂😂😂 huyo dotto
Doto magari bn
Haji manara jmn akiachana n mwanamke huyu anakua limbuken mm roho imeniuma kumuacha yule aliezaa nae mtt wa kiume * alimsifiaaa siku kajifungua yule dada sahv anazai usije lia ukiachwa had unarekod nyimbo kwa milio 50 dah😢
Hapa kuna mchongo tu
Dotto chawa mpyaaa chawa kawa kapata chawa
Milioni 50 na Kuna mtu Hana hata laki hapa😂😂😂😂
Sheikh😢
Huyu jamaa alipoachwa na mke wake wa pili alijifanya anazungumza dini, leo kampata mwingine amesahau dini. Dah binadamu kweli ni Mungu tu ndo anatuweza
Yalikua maneno ya mkosaji
After kuachana na mke wa pili ulitaka awe vipi labda?aende aishi makka asiowe tena!!ila walimwengu...😮
@@agwalubifaridah7079 kwani nani kasema asioe? Na hivyo anavyofanya ndo dini yake imemwelekeza ivo?
Ila. Hii. Nyimbo. Inatuliwaza. Wengi
Manara nitafute nipo kenya nami nina kampan plz
Bonge la nyimbo
Sridev ❤
SAVE THE DATE NA MILLION 50 NA HAPA IPO🔫🔫
Kwahyo tuliozaliwa Ngwinde kosa letu nini sasa kaka Haji.🤔
Nandy kabana pua,subiri auto tune tu
Jamani mbona wanawake mnajiaibisha kuvaa nguo hazieleweki muogopeni mungu jrhanamu ipo
Uyo dotoo kumamamaaa msingi
Anaona upuuz2 huy zai anajua kesho kutw mnachana nyimbo zann
Jamni doti😂😂😂
Na hapa IPO
Nani kaskia bugati akibanja na akameza 🤣🤣
Hahaha
😂😂😂😂😂😂 mimi hapa
Atakuwa anakula mafegi sana
We jau
Muogope mungu manara haramu hizo
Kahalalisha hajakaa.nae.kimada.au kumzalisha.na.kukimbia.hiyo.ndio haramu 😂😂😂😂
Nandy mkali bana😂
Dotto unamotoooo
Naisubir iyo Alhamis
Ila dotto aisee nimecheka kufa
Duuh watu wanaps ya mchzo mung uyuu aya
Iyo kwapa ya zaylisa sasa😂😂nyeus atali
Dotto kha jaman 😅😅😅
Dotto😁😁😁😁😁😁
Kuna mwamba amekaa hapo cjuh anawaza nn?? 😂😂🙌
Waislam weng wamekumbwa napepo laushetani
Huyu mzee atakufa vibaya nyie wanawake hawaa ayaa
demu mwenywe vituko wallahi😢
uyoashakuwachawa wa twigs ama?
Mtu lazima aibiwe
Akikuacha umtukie nyimbo
Bongo kunavituko 😂😂
Doto kujidai muislam kumbe anapalilia zinaa
Dotto yye hucheza ata bila beat cku zote.... interviews zake zote ata akiwa field yye hucheza kichwa ....😅
Unamjua uyu ww😂😂😂 muhm kacheza zake tu
IITWE HM TOWN LABEL au HM LABEL
Huyo mchumba mwenyewe kitumbo kama kashiba mbuzi
😂😂😂😂😂😂😊😊
Ikitokea mmoja kafa nini anaenda kumueleza mola wetu
😅😅😅mbavu
Nandy anajua kuliko zuchu
Twiga imepanda sana kwa style ile nyingi Manara lazima upange tofali au stool ili ufikie utamu ulipo
Hhhh we msenge tu hhhh
Doto😂😂😂
Dotto 😆🤣😆🤣
naitajinisikiye nyimbo yamillion 50 inaitwaje?
Dotto is kill them Bro 😅😅
Mwishee apewe eshima yake ila wewe IQ yko ndogo uwezi kua Birrionea penda chakwenu acha fitnaa
😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Masikini roho zenu hamjui mtendalo