INASHANGAZA MAFUVU ZAIDI YA 20 YALIYOKUTWA NYUMBANI KWA NYERERE "YAMEZIKWA KABURI MOJA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 10. 2020
  • Muongozaji wa wageni Mwitongo kwa mwalimu Julius Nyerere Gaudensia Waziri ameeleza kuwa wanajeshi waliojenga nyumba ya Baba wa Taifa walikutana na mafuvu zaidi ya 20 na blanketi ambayo yalizikwa kwenye kaburi moja dogo.

Komentáře • 126

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 3 lety +80

    Dada uko vizuri sana ktk kuelezea! Yaani unaeleweka ! Yaani kama una andika, maelezo yako yana mikato, Nukta na vituo dah! Ungekuwa mwalimu wewe sidhani kama kuna mwanafunzi angefeli kwenye somo lako!

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 Před 3 lety +3

      Kweli kabisa! Halafu ame tulia hana papara! Nime mpenda bure tu yaani 👏🏾🙏🏽

    • @WASHATube
      @WASHATube Před 3 lety

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇
      czcams.com/video/mJ5_G0bF-uw/video.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥

    • @HASASON
      @HASASON Před 3 lety

      Nukta ndio vituo vyenyewe ila sio vya police 😅😅😅

    • @mariampallangyo8676
      @mariampallangyo8676 Před 3 lety

      Yupo vzr mempenda sana

    • @richardvalson4313
      @richardvalson4313 Před 3 lety +4

      Wewe ndio mwanamke wa kwanza kumsifia mwanamke mwenzio hongera

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey8274 Před 3 lety +2

    Hizi ndo historia za kuwafunza watoto sio mara Bilnenga mara nandy sasa tutajifunza nini!!
    Olo ini olo I love it !!!

  • @dicksonmpangala9349
    @dicksonmpangala9349 Před 3 lety +14

    Uyu dada anafaha san kua mwanahabar anatoa simple And clear hana mamb meng point tupu ✔✔

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +14

    Mashallah, hongera sana Dada kwa story hii

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 Před 3 lety +28

    Hapa ss naanza kuona mawazo y Ally Kiba inabidi yafanyiwe kazi inabidi ifnyike documentary y Mwalimu cz inabidi vijna tumfahamu vzr syo tunasherehekea tu kumbukumb

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 Před 3 lety +24

    Mtangazaji 102%

  • @amoskaburu7495
    @amoskaburu7495 Před 8 měsíci

    I am very grateful to Ms Gaudencia. She is a wonderful guide, I had wished to visit this place for 24 years and finally in September 2023, I visited. It was nostalgic

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před 3 lety +8

    Asante kwa kutuletea simulizi ya mwl nyerere na ukoo wake.

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 3 lety +5

    Safi sana. Msimuliaji uko vizuri

  • @killerbona5018
    @killerbona5018 Před 3 lety +27

    Alisema nyumba kubwa ya nini kwani yeye Tembo??? 😂😂😂😂

  • @prospergift159
    @prospergift159 Před 3 lety +1

    Dada apewe ulinzi tafadhalii💥🔥🔥🔥

  • @HASASON
    @HASASON Před 3 lety +2

    Wewe Dada jamani
    Mbona una kipaji kizuri hivi?
    Yaani ungekua unaandaa documentaries za histories anuai ungepata viewers wengi sana, sababu una charisma ya kueleweka na convincing voice, yaani una nguvu ya kusikilizwa.

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 Před 3 lety +11

    “Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 Před 3 lety +1

      African chocolate huyu alikuwa rais japo alituwekea katiba ya kijinga ,,kuhs mijengo haya marais na huyu aliyoko madarakan washa jijengea mijengo kila mahal

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 Před 3 lety

      @@edenbaraka7533 “🙏🏾”

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 Před 3 lety +1

      Leo marahisi wanagawiana nyumba😂😂😂

  • @BenWerner2530
    @BenWerner2530 Před 3 lety +1

    Dada unajua kazi yako. Safiiii

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 Před 3 lety +19

    Dada anaongea vizuri. Yani Kama wake wa promotions za sabuni na sawa ya mswaki kwenye mabasi

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 3 lety

    Umeelezea vizuri sana Dada asnte

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 3 lety +9

    Nice Tanzania mnamambo Yesu ana waona.

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Před 3 lety +1

    Maashaallha history nzuri😘

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety

    Nyerere haku tamani dunia kwa kweli

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 Před 3 lety +3

    Toka Kenya uyu Dada anapendeza katika maelezo yake hakika ameiva

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 Před 3 lety

    Nakumbuka vizuri sana kimpindi anakufa mamaake mwalm nyerere ilinyeshaga mvua kubwa sana hadi wakaiita elimino

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 Před 3 lety +31

    Kama ulikuwa hujui "chifu maana yake ni KING" ...chukua hio

    • @WASHATube
      @WASHATube Před 3 lety

      TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇
      czcams.com/video/mJ5_G0bF-uw/video.html
      NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 Před 3 lety +1

      Chief?
      King?
      Which is which??🙄🙄🙄

    • @francescorutinwa502
      @francescorutinwa502 Před 3 lety +3

      Chifu ni chief na king ni mfalme usitupige kamba, tofauti yao chifu ni kiongozi wa jamii fulani au kabila na king ni mtawala wa jimbo flan au taifa

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 Před 3 lety +1

      @@francescorutinwa502 asante kaka maana si kwa kuchotwa hukoo

    • @HASASON
      @HASASON Před 3 lety

      Dah unatuswaga tu kama ng'ombe

  • @juliusraphael600
    @juliusraphael600 Před 3 lety +2

    Butiama kwetu, mungu mpumzishe wajina wangu baba wa taifa mwl Julius K Nyerere😪😪😪

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 Před 3 lety +1

    Huyu Dada mkalimu sana najua ulitupokea na kutuongoza vizr tulipotembelea hapo.

  • @michaellorry3448
    @michaellorry3448 Před 3 lety +1

    Daaah yaani iyo location nzuri sana

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 3 lety +3

    Ila hayo mafuvu zaidi ya 20, waliyokutana nayo wakati wanajenga hiyo nyumba, kuna namna hukutaka kufunguka vizuri.

  • @dinnamanga1741
    @dinnamanga1741 Před 3 lety +1

    Wange kuwa wanarudishwa nyerere ningemurudisha apige kazi

  • @kefasonmahenga2917
    @kefasonmahenga2917 Před 3 lety

    Short and clear thanks dada

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 Před 3 lety +1

    millardayo nakushukuru nimejifunza kitu ambacho nilikua sikijui kazi njema

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 Před 3 lety

    AISEE DADA NIMEKUELEWA SANA KATIKA UTANGAZAJI WAKO

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před 3 lety +2

    💯💯dadaaa

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid1628 Před 3 lety

    Msimuliaji nimempenda sana sana

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 Před 3 lety +1

    Dada mtulivu sana.

  • @kweka14l35
    @kweka14l35 Před 3 lety +5

    Baba wa taifa wazungu walimuua tuu baada ya kuwazidi akili nyingi. All in all Rest in paradise 🙏💔

    • @godsongodson6087
      @godsongodson6087 Před 3 lety +1

      Sio wazungu tu!! Figisu ilianzia hapa Tz, kule walienda kummalizia, watu wabaya sana, Mzee alikua mzima kabisa,

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 Před 3 lety

      @@godsongodson6087 true kaka, yaani bora angeuguzwa hapa hapa kule walipompeleka walienda kummaliza kabisa

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před 3 lety

      Kumbe jamn alikuw mzim tuu ila hawa wazungu ipo siku yawo tuu

  • @rehemavarentino9290
    @rehemavarentino9290 Před 3 lety

    Hongera

  • @rossemaryhassany4882
    @rossemaryhassany4882 Před 3 lety

    Nimeipenda hii historia fupi ya mwalimu na mtangazaji mmempata

  • @farhanialfarsi1983
    @farhanialfarsi1983 Před 2 lety

    Kuongea kaongea vizul tatizo kamera haimuliki sehem ya inayoongerewa ni sitofaham

  • @francolazaro8646
    @francolazaro8646 Před 3 lety +1

    Mtangazaji🤘🏿

  • @jacklinemwanga1691
    @jacklinemwanga1691 Před 3 lety

    Nataman ata ungeendelea dada ang maana nimekuelewa vzr sana

  • @salumali6936
    @salumali6936 Před 3 lety

    Nice

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety

    Bora asema nyumba kubwa mimi tembo,Nashangaa miji2 imejenga nyumba kubwa kupita uwezo wao,wamebakia kuishi kwenye magovu,ukiingia ndani viroboto ndo wenyeji wako,Tehetehee

  • @godfreyeladius532
    @godfreyeladius532 Před 3 lety +1

    Hii ndiyo afrca

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 Před 3 lety

    Noma

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 Před 3 lety +1

    Eti nyumba kubwa ya nn kwan yeye tembo

  • @paulomavado3736
    @paulomavado3736 Před 3 lety

    Ubarikiwe mandela

  • @sharifahamisi9091
    @sharifahamisi9091 Před 3 lety

    Dada Uko vizuri Sana ila wigi sjui ulikuwa unaharaka!

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety

    utasikia sikukuu ya nyerere watu hawajui wao ndio sikukuu leo mh

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +2

    Duh turudi africa

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 Před 3 lety

    Daa mie nilitamani TU kujua hayo mafuvu 20 NI ya akina Nani?

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    Ila we dada!
    Ety nyumba kubwa ya nini kwan ye #Temboo!!

  • @afyayanguonline6668
    @afyayanguonline6668 Před 3 lety +3

    duh

  • @amanikudeli5297
    @amanikudeli5297 Před 3 lety +5

    Huyu dada mpeni kazi ya utangazaji tbc

  • @jackzodY3
    @jackzodY3 Před 3 lety

    🙏🙏🙏👍👍👍

  • @Josephmwendwa-hq1ds
    @Josephmwendwa-hq1ds Před 3 lety

    17888?
    .

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 Před 3 lety +4

    Iyo tittle jau

  • @chingychingy2066
    @chingychingy2066 Před 3 lety

    Muhimu sana kujua utalii wa ndani kupata historia kama izo

  • @tannamteule1157
    @tannamteule1157 Před 3 lety

    Nawapata

  • @khalidsaki5034
    @khalidsaki5034 Před 3 lety

    Duh

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 Před 3 lety

    Dada nimempend, na sikiliz simchoki

  • @abuubakalmtangenange4389

    Nyumba iyo ndio waliodhurumiwa wanajeshi nakumbuka kulikua na majirani zetu wanajeshi walikua wakilalamika sana juu ya dhulma waliyofanyiwa japo propaganda ilienezwa wametaka wenyewe

  • @chamwilambomusa4447
    @chamwilambomusa4447 Před 3 lety +1

    mhhh jamn wake 22 na watoto 26 he was not good at reproducing

  • @rossemaryhassany4882
    @rossemaryhassany4882 Před 3 lety

    Aiseee

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Před rokem

    Mandela kalipa fadhila

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety

    Na unakalia kaburi kimakusudi hivyo

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 3 lety +1

    Mafuvu yako wapi Millard huyu alie toa hii post mtumbue hana hata uelewa wa kiswahili

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong3917 Před 3 lety +1

    Ndugu zangu naombeni support zenu kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu🙏

  • @andrewleonard9557
    @andrewleonard9557 Před 3 lety

    R I P

  • @abdulkarim242
    @abdulkarim242 Před 3 lety

    Dada anasema zaman mambo ya dini hayakuwepo ....afu uyu ndk ana aminikia kua anaijua history 😂😂 huu n mtihan

    • @franksebastian3909
      @franksebastian3909 Před 3 lety

      Ndugu ni ukweli kabisa dini zililetwa barani Afrika Mara baada ya Vita ya pili ya dunia

    • @abdulkarim242
      @abdulkarim242 Před 3 lety

      Apo unakua unazungumzia historia na nukui za wazung au ata kama sio wazungu ni binadam kama wew walifanya makadirio wakaandika..... Ila mim napo soma kitab alicho kiandika Mungu na sio mwanadam hakinifunz ivo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 Před 3 lety

      Si kweli kabisa, dini zetu za asili zilikuwepo na zilikuwa organized vizuri sana, wakoloni walipokuja wakatuletea kitu kinaitwa christianity, ambacho si dini za kiafrika. Hata hivyo hata waislamu walivyokuja kuleta dini walikuta waafrika tuna dini zetu, ni lazima tukubali Islam na Christianity ni dini mpya barani Afrika na kuwepo kwake kumetokana na mababu zetu tuwaamini hao na kukana utamaduni wao ama kwa kutishwa au kurubuniwa. Period.

    • @namandamzuma5478
      @namandamzuma5478 Před 3 lety

      Toa maana ya dini ...utaacha kupingana na kile anachokisema mwanadada hapo.

    • @abdulkarim242
      @abdulkarim242 Před 3 lety

      @@kambamazig02024 Embu nithibitishe ata kwa kitab au sehem tu dini za kiafrica zilikua ni zipi nipe ata jina tu

  • @WASHATube
    @WASHATube Před 3 lety

    TOP 10: WAREMBO WA INSTAGRAM WANAOTAMBA ZAIDI 2020 👇👇👇
    czcams.com/video/mJ5_G0bF-uw/video.html
    NI UPDATE AMAIZING🔥🔥🔥

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 3 lety +1

    Ina maana tamaduni zetu na imani siyo dini? Unasema zamani hakukuwepo na dini? Inasikitisha sana unaposema hivyo, waafrika tumekuwa na dini zetu za asili hata kabla ya wakoloni kuja kwenye bara letu. Nenda Bujora utakuta historia nzuri tu na utashangaa sana. Unaposema mafuvu 20 yalikutwa nyumbani, mbona utaleta utata? Simulia vizuri kuhusu mortuary practices za wazanaki badala ya kutoa tafsiri ambazo zinaleta utata!

  • @hamaddady4862
    @hamaddady4862 Před 3 lety

    Hayo mafuvu ni ya viongozi wa Zanzibar alio kuwa akiwauwa kwa siri huku iliapata kiuteka nakuifanya yake na kafsnikiwa hilo kuifanya Zanzibar kuwa koloni la Tanganyika mungu atamlipa aliyo yatenda

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 Před 3 lety

      Kichaa wewe unakurupuka kama ngiri katoka kwenye shimo ! Una uthibitisho gan boya wewe Zanzibar ina nn ? Kila kitu mnategemea kutoka bara mpaka unga wa ugali mnategemea kutoka huku ardhi yenyewe ndogo hamtoshi mmejazana huku bara !

    • @hamaddady4862
      @hamaddady4862 Před 3 lety

      @@damianmakala2913 sasa aliekwambia mm nabishana na majitu yasio jelewa na hayajui hata yana zungumza nn ninani?

  • @KhadijaKhadija-cv9db
    @KhadijaKhadija-cv9db Před 3 lety

    Nyumba kubwa ya nn Kwan yy tembo? Dada khaa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 Před 3 lety

      “Ndivyo alivyo sema Nyerere mwenyewe, alipo ambiwa na serikali kuwa wana taka ku mjengea nyumba kubwa ‘aka kataa’! Aka waambia “Mna taka kuni jengea nyumba kubwa kwani mimi tembo? Nyumba ndogo tu ina nitosha! Waka shangaa! Ali kuwa kiongozi wa kweli. Uki angalia videoclip za Nyerere uta weza ku iona hiyo hotuba ya hayo maneno aliyo sema Baba wa Taifa 🙏🏽”

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 Před 3 lety

      Khadija ahaa Mandege mengi ya nin kwan cc tunaenda ulaya

    • @KhadijaKhadija-cv9db
      @KhadijaKhadija-cv9db Před 3 lety

      @@edenbaraka7533 😂😂😂

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 Před 3 lety

      @@KhadijaKhadija-cv9db niambiee my b

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety +1

    Nipeni nyumba hiyo nikae na KABURI la nyeyere

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 Před 3 lety +2

    Nzuri