KOCHA MWENDA AJILIPUA KUSEMA KUHUSU MO,MPAKA NAOGOPA!! AMSIFIA HERSI SAID,ETI SIMBA NI WAJINGA

Sdílet
Vložit

Komentáře • 80

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 24 dny +5

    Uko sahihi sana Kaka Mwenda. MO siyo Mwekezaji.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 24 dny +5

    Nakukubali sana kaka wengi wameamua kuisaliti timu kwa matumbo yao na uchawa kwa mwekezaji. Simba hatuna mwekezaji, ni wajanja wajanja tu. Mo aachie waje wengine.

  • @venantnyiriri67
    @venantnyiriri67 Před 24 dny +5

    Mwenda nakukubali sana kaka, nikweli mashabiki na wanachama wa Simba hatujielwi.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před 24 dny +4

    Kocha uko vizuri simba imeuzwa kwa mabeberu wanyonyaji wasiojua mpira. Tutapata taabu sana tuombe huruma ya Mungu waturudishie timu yetu tutembeze bakuli.

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Před 24 dny +2

    Nakukubali sana mwenda wanasimba wote tungekuwa km Mzee mwenda simba tungefika mbali sana maana viongozi wangetueshimu wanachama na kutusikiliza

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Před 24 dny +4

    Dah nimefurahii sana kuona mwanachama kama huyu mzee kwakweli nimependa i wish ningekuwa kwenye media ningeongea ukweli mtupu wanamuogopa MO. Shida inaanzia hapo

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 24 dny +3

    Kweli kaka tusaidie yule muhindi ni mpumbavu sana atuachie timu yetu

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe Před 24 dny +3

    Unanichekesha sana kocha mwenda eti wapumbavu

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Před 24 dny +4

    Huyo mo niwakufukuza anatumaliza kama kunahasara kwanini hasiachie timu huyo ni mnyonyaji tu

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 14 dny

    Mtangazajiii naisiii kamaaa naeee simbaaa semaaaa kochaaa mwendaaa Jeshiii anamtoaaa kwenyeee msitariiii sanaaa kaka

  • @briantafari9224
    @briantafari9224 Před 24 dny +3

    Mzee Mwenda ndio sauti 🇰🇪

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před 24 dny +3

    Mwenda nakukubali sana lakini UNCLE TOM OR THOMAS KIPESI' Hakuwepo alikuwa bado yupo Dar Young Africans...😂

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před 24 dny +4

    HUYO MTANGAZAJI HANA AKILI UNAMUELEZA UKWELI ALAFU ANAWEKA UTANI

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Před 24 dny +3

    Mm mtu yoyote ambae ana tetea maslai ya Simba nipo upande wake

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 24 dny +3

    Watuachie tim yetu mbwa hao na mangungu hakuchaguliwa kajichagua mwenyewe hakuna lolote

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před 24 dny +3

    Pasuka Pasuka MZEE MWENDA....😂😂😂😂

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5w Před 16 dny

    Hata mimi siendi ukitak niiete Shabiki Mandazi, au Shabiki Chapati na maharage😂😂😂

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před 24 dny +2

    Hongera sana kwa kutueleza ukweli ,mwenye akili na achukue ,mjinga aendelee kufungamana na mangungu

    • @ocaml8698
      @ocaml8698 Před 23 dny

      Si Mangungu tu Mo ndy shida, huyu jamaa anaongea ukweli, Simba wanamuogopa Mo, "akijitoa" hiki ndicho wanachoogopa.
      Mangungu hana nguvu kwa katiba ya Simba, wenye nguvu ni Mo na Try again na hii itawatesa sana, ni ujanja ujanja tu. Wangepatika kumi kama huyu jamaa labda kuna kitu kingenyooka.😊

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Před 23 dny

    Mwameja,kasongo, Mkuki, Rashid Abdalah, masatu, idd seleman, mashine, Masha, chumila,malota na mliberia

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Před 24 dny +1

    Simba atuja pata Muwekezaji wa kweli simba tuna muwekezaji mjanja mjanja na tunaomba serikali isitoe nafasi ya kumpa MO DEWIJI timu naiomba serikali isimpe timu kabisa inaonekana simba itakufa kabisa na hii simba inaistoria ktk nchi hii haistaili kufa

  • @tajiribarua
    @tajiribarua Před 23 dny

    2 Rashidi abdalah 6 lenye 10 Michel poul
    Gaga hakuwapo alikwenda yanga yeye na mogela

  • @luganomwaipopo1987
    @luganomwaipopo1987 Před 23 dny

    Nimekubali kocha mwenda sisi ni Makolo!!!! 😢😢😢

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 Před 24 dny +1

    Please kocha mwenda na GB64 ninawakubali sanaa hebu kwanza kutanani naye

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 Před 24 dny +1

    Big up

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 Před 23 dny +1

    Mpubavu mwenyewe wew bwege. Ni heri utoe ushauri kuliko kutukana wenzako. Kama unaona mo hafai kadhamini wew hiyo team au tafuta mdhamini muweke ndegelesi

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před 24 dny +2

    Mzee Mwenda taratibu....😂😂😂😂

  • @careenkijonjo9833
    @careenkijonjo9833 Před 22 dny

    Mzee mwenda Nakukubali sanaaaaaa

  • @user-px6ho3dp8j
    @user-px6ho3dp8j Před 24 dny +2

    Hongera kk

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 24 dny +2

    MO aliikacha Simba miaka 3 ilyopita

  • @DenisiSanga
    @DenisiSanga Před 23 dny

    Kweli kaka tumechoka kama na ni mbabaishaji atuachie timu yetu Bora tujue hatuna tajiri kuliko haya tunayo pitia

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Před 18 dny

    Wewe ndiye mpumbavu na watoto na mkeo na baba Yako na mamako

  • @MathiasFungavyema
    @MathiasFungavyema Před 19 dny

    Kwenye makolo sasa😅😅😅😅😅

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 23 dny

    Ww muongo namba 3 alicheza Rashidi Abdala ndie aliepigwa chenga na bori zouzou na kuandika bao la pili

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před 24 dny +7

    Hata RAGE alishasema mashabik wa simba ni mambumbumbu na juzi kati tu hapa wakati wakijaribu kupitsha katiba yao mwenyekit aliwahita mashabik wa simba ni wapumbavu

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před 24 dny +1

    Mwenda uko Sahihi

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Před 23 dny

    😂😂cc Wananchi hii ndo burdaaaaaaaani yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mussalimbe6673
    @mussalimbe6673 Před 18 dny

    Huyu jamaa nilijua lengo lake

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439 Před 16 dny

    Wanachama hawajui haki yao kikatiba. Wanao uwezo wa kumn’goa Mangungu kwa kura za maoni (veto). Ukweli ni kwamba bila uongozi huo kuangushwa Simba itabakia kushuka daraja.

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn Před 23 dny

    SEMA MZEEE MWENDA SEMA WALA USIPEPESE MANENO WAMBIE UKWELI

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před 20 dny

    Kaka yangu hebu fuatilia maana ya neno kabla ya kulipuka kwanza. Hebu mtafute babu au bibi wa Kizaramo jaribu kumuuliza ni nini maana ya Kolo au Makolo. Kolo ni mmoja na Makolo ni wengi

  • @FabianMichael-gu1is
    @FabianMichael-gu1is Před 18 dny

    Hahahaa funguka baba angu

  • @hashimhassanimassawe8366

    Haaaaa.kumbe.unatumwa.nahuyouliemtaja.hapo.kwawenyeakili.wamekukujuwa.apo

  • @hdgodiweson8579
    @hdgodiweson8579 Před 23 dny

    Mwenda 👏👏👏💪💪💪

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před 23 dny

    Daaaah jeshiiiiiiiiiiii mwenda 😂😂😂😂😂😂

  • @user-yt1lz6hz5p
    @user-yt1lz6hz5p Před 15 dny

    Mo atoke nimjanjamjanja

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 Před 22 dny

    Mzee uko sawa😂😂😂

  • @jdanny497
    @jdanny497 Před 19 dny

    Umenena vema bro

  • @RamadhanirMuyigi
    @RamadhanirMuyigi Před 23 dny

    Huyu jamaa anaongea ukweli

  • @user-ds3ry5ws9q
    @user-ds3ry5ws9q Před 19 dny

    Kaka manenoyako swadkta kabisa hatuna mwekezaji akawekeze kwenye criket ndiyo asili yake yeye kila siku anakula hasara alafu anaingangnia nini aondoke

  • @user-xm8kq3gv9i
    @user-xm8kq3gv9i Před 23 dny

    MWENDA NAOMBA no zako

  • @user-xm8kq3gv9i
    @user-xm8kq3gv9i Před 23 dny

    GAGA RINO HAKUWEPO SIMBA MUDA HUO

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn Před 23 dny

    KAMCHAGUA NANI NAWEWE MUANDISHI

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz Před 11 dny

    Asande baba🤣

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Před 23 dny

    KAKA MWENDA WEWE NI MKONGO(DRC) ? Siielewi hiyo Lafudhi yako. 🙏🙏🙏

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Před 23 dny

    Viongozi ni mafisadi Hawana uchungu na timu yetu wameshindwa kuiendesha kirabu watoke

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 Před 24 dny

    Kocha mwenda na GB64 nimekuwakubali

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Před 24 dny +1

    Kumbe hamed Ally ni utopolo

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před 23 dny

    Huyu abaki sambusa iendelee kula kichapo

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před 24 dny +1

    Wanachama wa SIMBA..WAPUMBAVU??!!🙉🙉🙉

  • @janatamoe3466
    @janatamoe3466 Před 23 dny

    Muwekezaji wetu ni muongo muongo, anatufelisha atuachie timu

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Před 23 dny

    Sikainunua amesema?

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn Před 23 dny

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @erastomathias911
    @erastomathias911 Před 24 dny +1

    😂😂😂

  • @YohanaaroniYohana
    @YohanaaroniYohana Před 23 dny

    😂😂🙌🙌

  • @erastomathias911
    @erastomathias911 Před 24 dny +1

    Mwenda unaongea kwel

  • @hashimhassanimassawe8366

    Ukweli.weni.mpumbuvukabisa.haitakaa.iruditena.nyiekukaamilangoni.etihamnamwekezaji.unatumwanani?kwani.enginea.hajasemaga.kuwa.wamepata.hasara?weukowapi.mshamba.tu.mbumbuno.l

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Před 23 dny

    Mwameja,kasongo, Mkuki, Rashid Abdalah, masatu, idd seleman, mashine, Masha, chumila,malota na mliberia

  • @RamadhanirMuyigi
    @RamadhanirMuyigi Před 23 dny

    Huyu jamaa anaongea ukweli