Nakukubali sana kaka wengi wameamua kuisaliti timu kwa matumbo yao na uchawa kwa mwekezaji. Simba hatuna mwekezaji, ni wajanja wajanja tu. Mo aachie waje wengine.
Kocha uko vizuri simba imeuzwa kwa mabeberu wanyonyaji wasiojua mpira. Tutapata taabu sana tuombe huruma ya Mungu waturudishie timu yetu tutembeze bakuli.
Dah nimefurahii sana kuona mwanachama kama huyu mzee kwakweli nimependa i wish ningekuwa kwenye media ningeongea ukweli mtupu wanamuogopa MO. Shida inaanzia hapo
Si Mangungu tu Mo ndy shida, huyu jamaa anaongea ukweli, Simba wanamuogopa Mo, "akijitoa" hiki ndicho wanachoogopa. Mangungu hana nguvu kwa katiba ya Simba, wenye nguvu ni Mo na Try again na hii itawatesa sana, ni ujanja ujanja tu. Wangepatika kumi kama huyu jamaa labda kuna kitu kingenyooka.😊
Simba atuja pata Muwekezaji wa kweli simba tuna muwekezaji mjanja mjanja na tunaomba serikali isitoe nafasi ya kumpa MO DEWIJI timu naiomba serikali isimpe timu kabisa inaonekana simba itakufa kabisa na hii simba inaistoria ktk nchi hii haistaili kufa
Mpubavu mwenyewe wew bwege. Ni heri utoe ushauri kuliko kutukana wenzako. Kama unaona mo hafai kadhamini wew hiyo team au tafuta mdhamini muweke ndegelesi
Hata RAGE alishasema mashabik wa simba ni mambumbumbu na juzi kati tu hapa wakati wakijaribu kupitsha katiba yao mwenyekit aliwahita mashabik wa simba ni wapumbavu
Wanachama hawajui haki yao kikatiba. Wanao uwezo wa kumn’goa Mangungu kwa kura za maoni (veto). Ukweli ni kwamba bila uongozi huo kuangushwa Simba itabakia kushuka daraja.
Kaka yangu hebu fuatilia maana ya neno kabla ya kulipuka kwanza. Hebu mtafute babu au bibi wa Kizaramo jaribu kumuuliza ni nini maana ya Kolo au Makolo. Kolo ni mmoja na Makolo ni wengi
Uko sahihi sana Kaka Mwenda. MO siyo Mwekezaji.
Nakukubali sana kaka wengi wameamua kuisaliti timu kwa matumbo yao na uchawa kwa mwekezaji. Simba hatuna mwekezaji, ni wajanja wajanja tu. Mo aachie waje wengine.
Mwenda nakukubali sana kaka, nikweli mashabiki na wanachama wa Simba hatujielwi.
Kocha uko vizuri simba imeuzwa kwa mabeberu wanyonyaji wasiojua mpira. Tutapata taabu sana tuombe huruma ya Mungu waturudishie timu yetu tutembeze bakuli.
Nakukubali sana mwenda wanasimba wote tungekuwa km Mzee mwenda simba tungefika mbali sana maana viongozi wangetueshimu wanachama na kutusikiliza
Dah nimefurahii sana kuona mwanachama kama huyu mzee kwakweli nimependa i wish ningekuwa kwenye media ningeongea ukweli mtupu wanamuogopa MO. Shida inaanzia hapo
Kweli kaka tusaidie yule muhindi ni mpumbavu sana atuachie timu yetu
Unanichekesha sana kocha mwenda eti wapumbavu
Huyo mo niwakufukuza anatumaliza kama kunahasara kwanini hasiachie timu huyo ni mnyonyaji tu
Mtangazajiii naisiii kamaaa naeee simbaaa semaaaa kochaaa mwendaaa Jeshiii anamtoaaa kwenyeee msitariiii sanaaa kaka
Mzee Mwenda ndio sauti 🇰🇪
Mwenda nakukubali sana lakini UNCLE TOM OR THOMAS KIPESI' Hakuwepo alikuwa bado yupo Dar Young Africans...😂
HUYO MTANGAZAJI HANA AKILI UNAMUELEZA UKWELI ALAFU ANAWEKA UTANI
Mm mtu yoyote ambae ana tetea maslai ya Simba nipo upande wake
Watuachie tim yetu mbwa hao na mangungu hakuchaguliwa kajichagua mwenyewe hakuna lolote
Pasuka Pasuka MZEE MWENDA....😂😂😂😂
Hata mimi siendi ukitak niiete Shabiki Mandazi, au Shabiki Chapati na maharage😂😂😂
Hongera sana kwa kutueleza ukweli ,mwenye akili na achukue ,mjinga aendelee kufungamana na mangungu
Si Mangungu tu Mo ndy shida, huyu jamaa anaongea ukweli, Simba wanamuogopa Mo, "akijitoa" hiki ndicho wanachoogopa.
Mangungu hana nguvu kwa katiba ya Simba, wenye nguvu ni Mo na Try again na hii itawatesa sana, ni ujanja ujanja tu. Wangepatika kumi kama huyu jamaa labda kuna kitu kingenyooka.😊
Mwameja,kasongo, Mkuki, Rashid Abdalah, masatu, idd seleman, mashine, Masha, chumila,malota na mliberia
Simba atuja pata Muwekezaji wa kweli simba tuna muwekezaji mjanja mjanja na tunaomba serikali isitoe nafasi ya kumpa MO DEWIJI timu naiomba serikali isimpe timu kabisa inaonekana simba itakufa kabisa na hii simba inaistoria ktk nchi hii haistaili kufa
2 Rashidi abdalah 6 lenye 10 Michel poul
Gaga hakuwapo alikwenda yanga yeye na mogela
Nimekubali kocha mwenda sisi ni Makolo!!!! 😢😢😢
Please kocha mwenda na GB64 ninawakubali sanaa hebu kwanza kutanani naye
Big up
Mpubavu mwenyewe wew bwege. Ni heri utoe ushauri kuliko kutukana wenzako. Kama unaona mo hafai kadhamini wew hiyo team au tafuta mdhamini muweke ndegelesi
Mzee Mwenda taratibu....😂😂😂😂
Mzee mwenda Nakukubali sanaaaaaa
Hongera kk
Hahahah Yan Mzee nmefulahi San funguka bab angu
MO aliikacha Simba miaka 3 ilyopita
Kweli kaka tumechoka kama na ni mbabaishaji atuachie timu yetu Bora tujue hatuna tajiri kuliko haya tunayo pitia
Wewe ndiye mpumbavu na watoto na mkeo na baba Yako na mamako
Kwenye makolo sasa😅😅😅😅😅
Ww muongo namba 3 alicheza Rashidi Abdala ndie aliepigwa chenga na bori zouzou na kuandika bao la pili
Hata RAGE alishasema mashabik wa simba ni mambumbumbu na juzi kati tu hapa wakati wakijaribu kupitsha katiba yao mwenyekit aliwahita mashabik wa simba ni wapumbavu
😊0
Mwenda uko Sahihi
😂😂cc Wananchi hii ndo burdaaaaaaaani yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa nilijua lengo lake
Wanachama hawajui haki yao kikatiba. Wanao uwezo wa kumn’goa Mangungu kwa kura za maoni (veto). Ukweli ni kwamba bila uongozi huo kuangushwa Simba itabakia kushuka daraja.
SEMA MZEEE MWENDA SEMA WALA USIPEPESE MANENO WAMBIE UKWELI
Kaka yangu hebu fuatilia maana ya neno kabla ya kulipuka kwanza. Hebu mtafute babu au bibi wa Kizaramo jaribu kumuuliza ni nini maana ya Kolo au Makolo. Kolo ni mmoja na Makolo ni wengi
Hahahaa funguka baba angu
Haaaaa.kumbe.unatumwa.nahuyouliemtaja.hapo.kwawenyeakili.wamekukujuwa.apo
Mwenda 👏👏👏💪💪💪
Daaaah jeshiiiiiiiiiiii mwenda 😂😂😂😂😂😂
Mo atoke nimjanjamjanja
Mzee uko sawa😂😂😂
Umenena vema bro
Huyu jamaa anaongea ukweli
Kaka manenoyako swadkta kabisa hatuna mwekezaji akawekeze kwenye criket ndiyo asili yake yeye kila siku anakula hasara alafu anaingangnia nini aondoke
MWENDA NAOMBA no zako
GAGA RINO HAKUWEPO SIMBA MUDA HUO
KAMCHAGUA NANI NAWEWE MUANDISHI
Asande baba🤣
KAKA MWENDA WEWE NI MKONGO(DRC) ? Siielewi hiyo Lafudhi yako. 🙏🙏🙏
Viongozi ni mafisadi Hawana uchungu na timu yetu wameshindwa kuiendesha kirabu watoke
Kocha mwenda na GB64 nimekuwakubali
Kumbe hamed Ally ni utopolo
Huyu abaki sambusa iendelee kula kichapo
Wanachama wa SIMBA..WAPUMBAVU??!!🙉🙉🙉
❤kombe la cuf sio shirikisho
Muwekezaji wetu ni muongo muongo, anatufelisha atuachie timu
Sikainunua amesema?
😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂
😂😂🙌🙌
Mwenda unaongea kwel
Uko vizur Sana.
Mm mpaka nikiona energy ya mo napata kichef chef
Mwenda nakukubaliii
Ukweli.weni.mpumbuvukabisa.haitakaa.iruditena.nyiekukaamilangoni.etihamnamwekezaji.unatumwanani?kwani.enginea.hajasemaga.kuwa.wamepata.hasara?weukowapi.mshamba.tu.mbumbuno.l
Mwameja,kasongo, Mkuki, Rashid Abdalah, masatu, idd seleman, mashine, Masha, chumila,malota na mliberia
Huyu jamaa anaongea ukweli
Hahahaha funguka baba angu