Shekh mwenda mungu akujaalie niko na wewe ila kikubwa mabadiliko yakamilike na moo asipewe hata hisa moja tuzinunue wenyewe tuu kisha timu isonge mbele
Kweli mo hakuna k2 kila siku nauliza club gani ya mpira mhindi yupo? Halafu simba kwa nini hatujifunzi? Ndugu take na mo kasim deuji mwaka 93 kombe lupo uwanjani fainal alicho kifanya leo mnampokea mdogo wake😂 kwa nini wahindi kwenye tim hakuna mafanikio yule alikuwa yanga aliingia wanaa yanga walikuta walikaribia kuuzwa 😂 mhindi na mpira wapi na wapi? Wanasimba amkeni 😅
Mzee mwenda wanna simba watakutukana bure maana wengi wao wana vichwa vya kichawa wanaamini MO DEWIJI ataleta mafanikio makubwa simba kiukweli naungana na wewe Mzee mwenda kuwa tatizo la simba ni MO DEWIJI simba haita kuja kupata mafsnikio km MO DEWIJI akiwepo simba sio rahisi kupata mafsnikio ishu kubwa MO DEWIJI ni m,babaishaji hana nia ya kuipa simba mafanikio akina mangungu tunawaonea tuu
MZEE WETU KILOMONI ALISEMA WANA SIMBA MO DEWIJI NAMJUA HANA LOLOTE NI MSANII HATA TUFIKISHA POPOTE MO DEWIJI YUPO SIMBA KIBASHARA SIO KUIPA SIMBA Mafanikio
Kwa MO DEWIJI uwekezaji akuna tutasema sana na bado ilipo mina unakuja wanasimba kwa MO DEWIJI tutasema uku tunatambaa na kulia MO DEWIJI atakapo tuliza wanasimba
Jamani mna uvivu wa akili mo ndo shida tatizo simba
Hata viongozi nao pia ni shida
Kweli kaka mo atuachie tim yetu
Sasa kwanini hawa viongozi wasiseme ukweli jamani ili tujue moja huyu muhindi nimfilisi kwenye simba yetu
Na muunga mkono mwenda mo atoke,
Mzee uko sawa kabsaaa
Tajiri kanunua timu harafu anapata hasara. Kwanini asijitoe aachie wengine?
Tanzania imebaki timu moja. Simba itashuka daraja mwakani.
Uko sahihi coach
Eti wachezaji wote wasimba ni ndaza😂😂😂 mweee ,huyu baba
Shekh mwenda mungu akujaalie niko na wewe ila kikubwa mabadiliko yakamilike na moo asipewe hata hisa moja tuzinunue wenyewe tuu kisha timu isonge mbele
Mwekezaji siyo sahihi angejaribu kuwekeza kwenye cricket.
Brother mwenda upo sawa sema upo sahihi jama hana wa chezaji wa viwango wa levo ya simba 😂
Heko mwenda wape elimu
Mo angepata hasara angeachia timu yetu' timu inangiza fedha
Mo sio mkweli, muongo muongo
TATIZO MO KASHAINUNUA TIMU YENU MIAKA MITANO ILIYOPITA??
Yule anatubetia kilasiku
Mmehamia Kwa tajiri sasa
Kweli mo hakuna k2 kila siku nauliza club gani ya mpira mhindi yupo? Halafu simba kwa nini hatujifunzi? Ndugu take na mo kasim deuji mwaka 93 kombe lupo uwanjani fainal alicho kifanya leo mnampokea mdogo wake😂 kwa nini wahindi kwenye tim hakuna mafanikio yule alikuwa yanga aliingia wanaa yanga walikuta walikaribia kuuzwa 😂 mhindi na mpira wapi na wapi? Wanasimba amkeni 😅
Lakini Kigwangala alisema mapema kabisa kuwa huyu mo hawezi kuipeleka hii timu popote
hawakutaka kumsikiliza
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Laana ya kilomoni inawatafuna. Wakati kilomoni anaongea mulimwambia atakufa ataicha simba.
Kweli walimtukana sana mzee Kilomoni na Bi hindu (RIP). Sasa wameelewa
Mzee mwenda wanna simba watakutukana bure maana wengi wao wana vichwa vya kichawa wanaamini MO DEWIJI ataleta mafanikio makubwa simba kiukweli naungana na wewe Mzee mwenda kuwa tatizo la simba ni MO DEWIJI simba haita kuja kupata mafsnikio km MO DEWIJI akiwepo simba sio rahisi kupata mafsnikio ishu kubwa MO DEWIJI ni m,babaishaji hana nia ya kuipa simba mafanikio akina mangungu tunawaonea tuu
Nakukubali sana Mzee mwenda tuta mkumbuka MZEE WETU KILOMONI
MZEE WETU KILOMONI ALISEMA WANA SIMBA MO DEWIJI NAMJUA HANA LOLOTE NI MSANII HATA TUFIKISHA POPOTE MO DEWIJI YUPO SIMBA KIBASHARA SIO KUIPA SIMBA Mafanikio
Kwa MO DEWIJI uwekezaji akuna tutasema sana na bado ilipo mina unakuja wanasimba kwa MO DEWIJI tutasema uku tunatambaa na kulia MO DEWIJI atakapo tuliza wanasimba
Kwanini viongozi wa Simba hawataki kuwajibika? Kuna nini nyuma ya pazia? A.F.L. walitoa bilioni 7 za usajili, hivi zilipotelea wapi?
Muwekezaji kasema anapata hasara faida hakuna
Utopolo wewe.
We bwege NI Dunduka jingajinga
Ulianza na
Wachezaji
Mangumgu
Try Again
Sasa
Mwekezaji
Daah!!