''SIMBA KUNA SHIDA KUBWA, MO DEWJI ANAHUSIKA KUIBOMOA TIMU'' - IBRAHIM MAESTRO....
Vložit
- čas přidán 30. 04. 2024
- ''SIMBA KUNA SHIDA KUBWA, MO DEWJI ANAHUSIKA KUIBOMOA TIMU'' - IBRAHIM MAESTRO....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mo. Aondoke anaiuwa simba kwan ye si muhind yeye na mpira ni wap aondoke na hao akina mangungu na trai agen
Maestro uko fresh mno Big up
👏👏👏👏👏👏 we jamaa unajua
Aachie ngazi, ILI TUPATE WATU WASIO NA MAGUMASHI
We maestro boya tu mpaka simba inafikia kwenye top ten ya timu bora afrika yanga ni ya ngapi mkono wa mo umefanya Simba iwe kwenye top ten
Mimi kila siku nasema mo ndio kisababishi cha kuyumba kwa simba na mo analijuwa hilo kuwa yeye ndiyo sababu, hata huu uongozi m bovu kauweka yeye kwa rushwa ili wamlindie maslahi yake
Mimi naona hapano mo yeye ni muwekezaji ambae anahusika Kwa % chache tatizo viongozi ni wapigaji wanapata pesa Kwa maspornsar kama m- bet. But hizo wanakula viongozi. Ila scouts wakipata wachezaji bora. Wanakuwa ba gharama for example. Protional ana gharama ya million jero. So dewj anapaswe kutoka million mia mbili na sehemu. Na Wana simba wenyewe kama ndio wenye timu hawatoi sehemu iliobaki wataka kula Kwa mdhamini. Ndimaana wanalet wachezaji wenye quality ya jobe na kubrani fled. Why mo?
Kiukweli Mesut,,nimekuelewa sana,,,Kinashida kubwa sana ndani ya simba,Kuanzia Uogozi mwekezaji,,,Yaani kila kitu hakiko sawa:,,,,Watu wamebaki kulopoka badala yakusema ukweli:
Kwani Mo Dewji kama anazingua Simba haiwezi kumpata mdhamini mwingine?
Mo anahusika Kwa ubaguzi wa wachezaji makocha, anawapa nafasi wachezaji wageni,makochawazungu hatuelewani hatarugha.
Viongozi wa simba niwezi ayo awafai
Ni sahihi kabisaaa hyo mwekezaji anahusika kuishusha simba na kama hahusiki je? Yeye anaridhishwa na mwenendo wa timu? Na je? Kwann watu wakisema yeye anahusika kuishusha simba hatoki hadharani kusema yeye hahusiki?
Hii timu yetu angeichukua mzee Bakharesa kipindi kile,nafikiri tungefika hata fainali ya CAF champions league.
Mwekezaji angeachia timu simba iendelee.
Global tv sponsored by GSM, watangazaji na maokoto bahasha za kaki VS Mo Dewji.
Sema mm nisimbaa
Bado hamjasema
Unataka kutwambia wachezaji wanasajiliwa na nani? Mbona mnatuchanganya nyie? Wachezaji ghali kama Chama na Ngoma nani kawasajili na nani analipa mishahara?
Hakuna mwekezaji happo iweje kipindi ya usajili halafu unaonekana kwenye ahadi eti natoa kiasi hiki muongo huyo anaiua simba mhindi na mpira wapi na wapi?
No haina shida viongozi bora na wachezaji bomba ALL kipigo na mihela bwerere raha ni kipigo tu
Kam MO bado mguu ndan nje achie timu yetu tumechoka mashabiki
Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.
MO atuachie timu wawekezaji wapo atoke.
Hivi Simba ina mwekezaji tayari?
Hakuna mwekezaji,maana hakuna mfumo uliokamilika,MO DEWJI anafadhili tu timu
Ukiwekeza unatakiwa uwe na uhakika wa usalama wa pesa yako
Je Simba imemaliza transformation?
Je imeshajifanyia tathmini ya thamani yake(mali)?
Tusubirie mchakato uishe ndio tumseme huyo mfadhili
Bahati mbaya hujui unachosema.wew mchochezi tu.
Wewe ndio uelewi kitu. Jamaa yupo sahihi kabisa. MO ndio tatizo kubwa kwa Simba. Kwa hivi sasa tulipofikia hatutakiwi kumuonea aibu MO inatakiwa aambiwe ukweli ili kama ni kujirekebisha ajirekebishe. Na kama awezi au hataki basi aondoke aje mwekezaji mwingine.
Mchakato huwez kuisha hapo wa uwekezaji na udanganyif
We ndio chawa,hy anachoongea ni kweli tupu,
Upo right sina kaka aliye ifufua simba ni yeye na anayeiua simba ni yeye mo wanachama wa simba wasipo amka kla sku mangungu timu itardi kule kule
Aachie VIP wakati niyakwake na alishainunua
SIMBA KUNA TATIZO KUBWA HASA RUSHWA NA USHEMEJI,WATU WAMIIHODHI TIMU KAMA MALI YAO
Kwanibtranformation imekamilika
Tatizo lilianzia kwenu nyie Efm maana mlikua mnasifia hata kibaya.. Lakini tatizo lilianza toka mwaka juzi 2022. Tukamtukana kigwangara. Leo ndo tunatambua kuwa moo ni muongo.
Manara snitch kama unamtaka nenda nae utopolo
@@afropatriot7769 Manara kaingiaje hapo
Leo ndio najua Ndio Maana kwamba pale Efm ndio maana huwa hamuipendi Yanga ndio maana huwa umnaisema sana Yanga Vibayaaa kumbe wewe ni Mnyama
Kwahyo na pale wasaf wanaisema vibaya sana Simba sababu kitenge ni yanga, daa ushabiki wa hiz timu mbili unaweza ukakupola uelewa wako bila mwenyew kujitambua
Kigwangara uko wapi taf jitokeze uiokoe Simba mawazo yako Yana tija sana
Tulimbeza yametufika mo na mwenyekiti ni majini yamimaliza Simba yetu, tatizo wengi hatumpendi ukweli hayo ni majiti tungemsikiliza kigwangara na kuchua hatua tusihatibikiwa
Mawazo bila pesa yatasaidia nini?
Club kubwa ata ulaya ziko na pesa zinaweza kupotea ata miaka mitatu pamoja na mashabiki wao na wadhamini wakubwa.nyie wachambuzi wachumia tumbo tu
Atuachie simba yetu chonde chonde chonde
Mo ndio na mwenyekiti ni majini yanayoiangamiza Simba
Hakuna kitu kinaitqa majini, mpira wa sasa ni wa uwazi, unawekeza + utawala bora = matokeo mazuri
Mjinga sana wewe .kusema nirahisa sana kuliko kutowa pesa .Acha ujinga wako mo dewji anacheza mpira
Yanga ya ngapi kwa ubora Africa na Simba ya ngapi,mulizeni huyo mchambuzi boya tu
wanachama wana hisa 51% nao wamewekeza nini? tusimlaumu Mo pekeyake.....wanachama nao wawekeze kwa kulipia michango, kununua products za club....
Shida yahawa wanamshambuki mo haliyakua wanajua mchakatohaujakamilika hii nikumuonea mo wefikilia toka 2018 mpakaleo mchakato haujaisha he angekua niyeye angeendelea kutupa elayake
Hatuwezi kununua kwa viongozi wahivyo
mm nahisi kwanza kutatua suala la katiba ya timu mchakato uishe, pili club iendweshwe transparency hakuna kuficha ficha wenye 51 wajulikane wanatoa nn na Mo ambaye ana 49 anatoa nn ili tutoe uhasama na hapo ndipo utaona timu inakaa pazuri ila kama sio hvy upande mmoja utaonekana unamatatizo kumbe sio. kstiba inashindwaje kumalizwa kuna nini hapo ndio maana MO hawezi kuwema pesa hapi mijitu inasubiri ipige tu
Wanachama watawekeza Transfornation ikikamilika na hisa kuuzwa. Hata MO hajawekeza. Anafadhili tu. Na ni mdhamini pia. Na kama ni kuwekeza kwa Wanachama, wameweza GOODWILL yao ambayo ni kubwa kuliko hata hiyo 20bn.
Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.