''SIMBA KUNA SHIDA KUBWA, MO DEWJI ANAHUSIKA KUIBOMOA TIMU'' - IBRAHIM MAESTRO....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 04. 2024
  • ''SIMBA KUNA SHIDA KUBWA, MO DEWJI ANAHUSIKA KUIBOMOA TIMU'' - IBRAHIM MAESTRO....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 55

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @MohamediSaidi-yr4qy
      @MohamediSaidi-yr4qy Před 26 dny

      Mo. Aondoke anaiuwa simba kwan ye si muhind yeye na mpira ni wap aondoke na hao akina mangungu na trai agen

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před měsícem +2

    Maestro uko fresh mno Big up

  • @neemaben9989
    @neemaben9989 Před měsícem +1

    👏👏👏👏👏👏 we jamaa unajua

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před měsícem +1

    Aachie ngazi, ILI TUPATE WATU WASIO NA MAGUMASHI

  • @user-cg4gi3no7r
    @user-cg4gi3no7r Před měsícem

    We maestro boya tu mpaka simba inafikia kwenye top ten ya timu bora afrika yanga ni ya ngapi mkono wa mo umefanya Simba iwe kwenye top ten

  • @frankurio469
    @frankurio469 Před 17 dny

    Mimi kila siku nasema mo ndio kisababishi cha kuyumba kwa simba na mo analijuwa hilo kuwa yeye ndiyo sababu, hata huu uongozi m bovu kauweka yeye kwa rushwa ili wamlindie maslahi yake

  • @amrijuma6621
    @amrijuma6621 Před měsícem

    Mimi naona hapano mo yeye ni muwekezaji ambae anahusika Kwa % chache tatizo viongozi ni wapigaji wanapata pesa Kwa maspornsar kama m- bet. But hizo wanakula viongozi. Ila scouts wakipata wachezaji bora. Wanakuwa ba gharama for example. Protional ana gharama ya million jero. So dewj anapaswe kutoka million mia mbili na sehemu. Na Wana simba wenyewe kama ndio wenye timu hawatoi sehemu iliobaki wataka kula Kwa mdhamini. Ndimaana wanalet wachezaji wenye quality ya jobe na kubrani fled. Why mo?

  • @medardjustinemakonge9900
    @medardjustinemakonge9900 Před měsícem

    Kiukweli Mesut,,nimekuelewa sana,,,Kinashida kubwa sana ndani ya simba,Kuanzia Uogozi mwekezaji,,,Yaani kila kitu hakiko sawa:,,,,Watu wamebaki kulopoka badala yakusema ukweli:

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 Před 29 dny

    Kwani Mo Dewji kama anazingua Simba haiwezi kumpata mdhamini mwingine?

  • @Selemaniramadhanikusila

    Mo anahusika Kwa ubaguzi wa wachezaji makocha, anawapa nafasi wachezaji wageni,makochawazungu hatuelewani hatarugha.

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Před měsícem

    Viongozi wa simba niwezi ayo awafai

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před 27 dny

    Ni sahihi kabisaaa hyo mwekezaji anahusika kuishusha simba na kama hahusiki je? Yeye anaridhishwa na mwenendo wa timu? Na je? Kwann watu wakisema yeye anahusika kuishusha simba hatoki hadharani kusema yeye hahusiki?

  • @leonardchoma3765
    @leonardchoma3765 Před měsícem

    Hii timu yetu angeichukua mzee Bakharesa kipindi kile,nafikiri tungefika hata fainali ya CAF champions league.

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před měsícem

    Mwekezaji angeachia timu simba iendelee.

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 21 dnem

    Global tv sponsored by GSM, watangazaji na maokoto bahasha za kaki VS Mo Dewji.

  • @user-px7jf7xs6k
    @user-px7jf7xs6k Před měsícem

    Sema mm nisimbaa

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před měsícem

    Bado hamjasema

  • @charleslugemalila1168
    @charleslugemalila1168 Před 28 dny

    Unataka kutwambia wachezaji wanasajiliwa na nani? Mbona mnatuchanganya nyie? Wachezaji ghali kama Chama na Ngoma nani kawasajili na nani analipa mishahara?

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 Před měsícem

    Hakuna mwekezaji happo iweje kipindi ya usajili halafu unaonekana kwenye ahadi eti natoa kiasi hiki muongo huyo anaiua simba mhindi na mpira wapi na wapi?

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před měsícem

    No haina shida viongozi bora na wachezaji bomba ALL kipigo na mihela bwerere raha ni kipigo tu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před měsícem

    Kam MO bado mguu ndan nje achie timu yetu tumechoka mashabiki

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Před 27 dny

    Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e Před měsícem

    MO atuachie timu wawekezaji wapo atoke.

  • @mcharodavis2182
    @mcharodavis2182 Před měsícem +1

    Hivi Simba ina mwekezaji tayari?
    Hakuna mwekezaji,maana hakuna mfumo uliokamilika,MO DEWJI anafadhili tu timu
    Ukiwekeza unatakiwa uwe na uhakika wa usalama wa pesa yako
    Je Simba imemaliza transformation?
    Je imeshajifanyia tathmini ya thamani yake(mali)?
    Tusubirie mchakato uishe ndio tumseme huyo mfadhili

  • @maguosenior7809
    @maguosenior7809 Před měsícem

    Bahati mbaya hujui unachosema.wew mchochezi tu.

    • @roberttagaya9098
      @roberttagaya9098 Před měsícem

      Wewe ndio uelewi kitu. Jamaa yupo sahihi kabisa. MO ndio tatizo kubwa kwa Simba. Kwa hivi sasa tulipofikia hatutakiwi kumuonea aibu MO inatakiwa aambiwe ukweli ili kama ni kujirekebisha ajirekebishe. Na kama awezi au hataki basi aondoke aje mwekezaji mwingine.

    • @abbasisudi6899
      @abbasisudi6899 Před 27 dny

      Mchakato huwez kuisha hapo wa uwekezaji na udanganyif

    • @eliashelyongolo4123
      @eliashelyongolo4123 Před 27 dny

      We ndio chawa,hy anachoongea ni kweli tupu,

  • @nicastesha5986
    @nicastesha5986 Před měsícem

    Upo right sina kaka aliye ifufua simba ni yeye na anayeiua simba ni yeye mo wanachama wa simba wasipo amka kla sku mangungu timu itardi kule kule

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před měsícem

    Aachie VIP wakati niyakwake na alishainunua

  • @user-gg2yf3zl3l
    @user-gg2yf3zl3l Před měsícem

    SIMBA KUNA TATIZO KUBWA HASA RUSHWA NA USHEMEJI,WATU WAMIIHODHI TIMU KAMA MALI YAO

  • @Shawadh1
    @Shawadh1 Před 25 dny

    Kwanibtranformation imekamilika

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před měsícem +1

    Tatizo lilianzia kwenu nyie Efm maana mlikua mnasifia hata kibaya.. Lakini tatizo lilianza toka mwaka juzi 2022. Tukamtukana kigwangara. Leo ndo tunatambua kuwa moo ni muongo.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před měsícem

    Leo ndio najua Ndio Maana kwamba pale Efm ndio maana huwa hamuipendi Yanga ndio maana huwa umnaisema sana Yanga Vibayaaa kumbe wewe ni Mnyama

    • @SaidJumanne-ue2jy
      @SaidJumanne-ue2jy Před měsícem +1

      Kwahyo na pale wasaf wanaisema vibaya sana Simba sababu kitenge ni yanga, daa ushabiki wa hiz timu mbili unaweza ukakupola uelewa wako bila mwenyew kujitambua

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před měsícem

    Kigwangara uko wapi taf jitokeze uiokoe Simba mawazo yako Yana tija sana

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      Tulimbeza yametufika mo na mwenyekiti ni majini yamimaliza Simba yetu, tatizo wengi hatumpendi ukweli hayo ni majiti tungemsikiliza kigwangara na kuchua hatua tusihatibikiwa

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před měsícem

      Mawazo bila pesa yatasaidia nini?

  • @user-cg4gi3no7r
    @user-cg4gi3no7r Před měsícem

    Club kubwa ata ulaya ziko na pesa zinaweza kupotea ata miaka mitatu pamoja na mashabiki wao na wadhamini wakubwa.nyie wachambuzi wachumia tumbo tu

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem

    Mo ndio na mwenyekiti ni majini yanayoiangamiza Simba

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem

      Hakuna kitu kinaitqa majini, mpira wa sasa ni wa uwazi, unawekeza + utawala bora = matokeo mazuri

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 12 dny

    Mjinga sana wewe .kusema nirahisa sana kuliko kutowa pesa .Acha ujinga wako mo dewji anacheza mpira

  • @user-cg4gi3no7r
    @user-cg4gi3no7r Před měsícem

    Yanga ya ngapi kwa ubora Africa na Simba ya ngapi,mulizeni huyo mchambuzi boya tu

  • @emmanuelmsumali9237
    @emmanuelmsumali9237 Před měsícem +1

    wanachama wana hisa 51% nao wamewekeza nini? tusimlaumu Mo pekeyake.....wanachama nao wawekeze kwa kulipia michango, kununua products za club....

    • @ABDIKASIM-qe4lc
      @ABDIKASIM-qe4lc Před měsícem

      Shida yahawa wanamshambuki mo haliyakua wanajua mchakatohaujakamilika hii nikumuonea mo wefikilia toka 2018 mpakaleo mchakato haujaisha he angekua niyeye angeendelea kutupa elayake

    • @PhilipoFabian
      @PhilipoFabian Před měsícem

      Hatuwezi kununua kwa viongozi wahivyo

    • @istiqaamadar7493
      @istiqaamadar7493 Před 27 dny

      mm nahisi kwanza kutatua suala la katiba ya timu mchakato uishe, pili club iendweshwe transparency hakuna kuficha ficha wenye 51 wajulikane wanatoa nn na Mo ambaye ana 49 anatoa nn ili tutoe uhasama na hapo ndipo utaona timu inakaa pazuri ila kama sio hvy upande mmoja utaonekana unamatatizo kumbe sio. kstiba inashindwaje kumalizwa kuna nini hapo ndio maana MO hawezi kuwema pesa hapi mijitu inasubiri ipige tu

    • @charleskuyeko4400
      @charleskuyeko4400 Před 18 dny

      Wanachama watawekeza Transfornation ikikamilika na hisa kuuzwa. Hata MO hajawekeza. Anafadhili tu. Na ni mdhamini pia. Na kama ni kuwekeza kwa Wanachama, wameweza GOODWILL yao ambayo ni kubwa kuliko hata hiyo 20bn.

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Před 27 dny

    Bado mchakato wa mabadiliko (Transformation)haujakamilikaMo ni kama mfadhili tu; Kisheria sio mwekezaji.