UONGOZI WA SIMBA KUFANYA USAJILI WA KUFA MTU,MO MO DEWJI KAPANIA MSIMU UJAO,SASA KUSHUSHA MASHINE

Sdílet
Vložit

Komentáře • 46

  • @OfinAntaraus
    @OfinAntaraus Před 25 dny +1

    Ntaipenda Simba katika kipindi choontee❤

  • @user-hk2td5gm4k
    @user-hk2td5gm4k Před 29 dny +1

    achen mjungu nyie utopolo

  • @KangaMaluguru
    @KangaMaluguru Před 23 dny

    MAVI ongozi ya Simba mangungu,try again hovyooo

  • @kamuogo
    @kamuogo Před 20 dny

    Tim ikiwa inafanya vibaya mnaikimbia mnamwachia msemaji tu na kocha

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 Před 29 dny

    Nyieee endeleeni kutupangaa but siku zamwiziii ni arobainiii ipO sikuu mtatoka nadarakaniii kwa vibokoooooo

  • @Is-haqMawata
    @Is-haqMawata Před 29 dny

    Lkni ni matokeo ya viongozi waliopita hawa wameibomoa kwaiyo tunakazi kubwa sana mpaka kuifikia level Walioipambania waliopita kwamaana imeshuka sana maneno mengiiii hata matumaini kila nikitizama sioni

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 29 dny

    HUO NI UONGO HADI TUONE MAANA NYIE HUWA MNASEMA HVYHVY VITENDO HANA

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 Před 29 dny +1

    uongozi imara upo simba kuanguka ni sehemu ya mpira hizi kelele zikiwepo ziwaamshe viongozi ila visiturudishe nyuma, hayo mapinduzi tuyaone kweli

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx Před měsícem

    Hongera sana Viongozi Wachezaji Mashabiki tuwe watulivu haya ni mapito tu wenye Simba Yao tusivunjike moyo kunamatumaini katika mti uliokatwa waweza kuchipuka Tena SIMBA nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉

    • @clarencemeena1628
      @clarencemeena1628 Před 29 dny

      Kwa Try again na Mangungu sidhani kama Timu yetu itatoboa, Mimi nimeshawakatia tamaa, kwa viongozi waadilifu wakiona mambo yanaharibika huwa wanajiudhuru, lkn Hawa Wana lao jambo

  • @AtanasSimon
    @AtanasSimon Před 26 dny

    Uongo mtupu viongoz wetu ovyoo

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 29 dny +1

    KAULI YA AIBU NDIO MAANA MNAITWA MBUMBUMBU UBINGWA WA MECHI 4?

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 25 dny

    Sitaki kusikia jina la try ageni

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 Před 29 dny

    Mh kama mngewekaaa na kiapoo kua msimu ujaoo mkatuletea ujingaaa mjiuzuruu wotee na moo akiwemo ningewaamini maneno yenu but kama hamna viapoo basii hizo ni siasaaaaaaa tuh maana hiii mmeigeuza kuwa Tim ya siasaaaaa

  • @Afam-ln5cv
    @Afam-ln5cv Před 25 dny

    Waongo wote hao bosi na washiriki wake

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Hatumtaki mangungu na try ageni

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 Před 29 dny

    WACHENI KUWABABAISHA WATU MO ALIFANYA KWAWAKATIWAKE PALIPOBAKI ANABABAISHATU PANAHAJA SASAAFUNGEVIRAGO KWANI SIMBA HAIJAMUINGIZIYA

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 Před měsícem +1

    Ata mfanye je Yanga ni bingwa tena mwaka ujao ….

  • @kamuogo
    @kamuogo Před 20 dny

    Tusikilize tu sababu mdomo unaongea utekelezaji ndio jambo jingine wachezaji mnao tuletea ni wazee wanakua ni tofaut na malengo yenu

  • @sijaonamjungufinias481

    Poa tu Kwa kutupanga lakn Wana Simba mpaka tuone,Simba nguvu moja

  • @AtanasSimon
    @AtanasSimon Před 26 dny

    Viongoz tuambiane tuchange maana mmh inatuuma mno kugombania nafac ya tatu kwer jaman

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před měsícem

    Kila myaka inyeshe tuone panapo vuja Kila mwaka mnatudanganya achen uongo nyie tumewachoka

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 Před měsícem

    Matokeo Kwanzaa

  • @user-rt3ff9iq1g
    @user-rt3ff9iq1g Před 29 dny

    Ufala na ujinga tumeuchoka pelekeni wa wake zenu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Safi sana fukuza ungozi mbovu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před měsícem +1

    KAMA KWA UCHAWI WA KUWASHA MOTO VIWANJANI AU KUMWAGA UNGA VIWANJAI

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l Před 25 dny

      Wewe yanga athanasius sisi mbona nyie babu yenu mchawi wenu kazi ni kukaa bench kazi yake nini kutumwa uchawi na GSM anajifanya anauchungu na time kumbe anabeba majini ya timu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před měsícem

    NYIE KWA KUJAZANA UJINGA HAMJAMBO!

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Muhammed mo family.

  • @azruntravel4306
    @azruntravel4306 Před měsícem

    siasa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Siasa hizo

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wz Před 29 dny

    Hili nalo zombi kabisa.Anaongea nini hapo.hakuna la maana Simba naona njia nyeupeeee Kwa Yanga msimu ujao kama Viongozi ni Hawa Panya wanao kula pesa tuu bila mipango .jamani WanaSimba stukeni Hawa wamepangwa kuhujumu Kila Mipango ya Simba ili kuibeba Yanga Ma mbumbu hayoo.

  • @captainmligotv3478
    @captainmligotv3478 Před měsícem

    Sasa kama nyie ni mabingwa wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania maana yake team mnayo! Sasa huo usajili wa kufa mtu wa nini? 😂😂😂

  • @UshetuhcAfya-jm6oz
    @UshetuhcAfya-jm6oz Před měsícem

    Mmefuliaaaaa makolo nyie

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 29 dny

    TATIZO LA VIONGOZI WA SIMBA WANAWATAJA WACHEAJI BORA ILA KUWASAJILI NI KWA MAJINA CY VITENDO. YAKO WAPI NA MWAKAJANA MLISEMA MTASAJILI USAJILI WA NGUVU SASA YAKO WAPI? MNAWADANGANYA MASHABIKI. MANZOKI YUKO WAPI? ADEBAYO MLIMTAJA KUMBE HAMNA KITU. MAYELE MMEONGEA MWISHO WA CK HAMNA KITU

  • @JustuceRuhembe
    @JustuceRuhembe Před 29 dny

    Oya kama ww ni kiongozi katika club yetu ya Simba SC na haujui mpira tafadhari tunaomba utupishe kabisa kwa upole tu ujiondoe, halafu na ww usiongee kitu ambacho haukijui, kama ni bilioni24 kwa mwaka mnashindwa nn kuvunja mikataba ya wachezaji wazuri?, Mnaishia tu kuokoteleza tu mtaani wachezaji waliokosa Raman halafu mnatudanganya et mmesajiri kwa hela nyingi kumbe mnatoa hela ndogo, kuongea tu mnajua ila utekelezaji sasa ni ndoto tu

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 Před měsícem

    Wewe paka unaongea nini

  • @PhilipoFabian
    @PhilipoFabian Před měsícem

    Tatizo mmeshatuona simba wajinga fanyeni2 polojo zenu ila tunajua uongozi hatna

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před měsícem +2

    Kwauongoz huu mbovu akuna kitu kama hicho mnatupanga tu lakn mkae mkijuwa kuwa msimu ujao mashbk tumejipanga vizr sana kunakiongoz atakufa msim ujao nawala sio mmoja kama amjajiuzuru na nyie nizamu yenu yakupoteza maisha atuwez kuwa tunakufa sisi mashbk nyie mnabak

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l Před 25 dny

      Sawa sawa yaani wewe kaka umegusa moyo wangu hayo ndiyo maamuzi magumu ikishindikana risasi kuwapasuwa vichwa nataka kufahamiana na wewe naomba namba yako,

  • @PhilipoFabian
    @PhilipoFabian Před měsícem

    Kiongozi mpira hauhutaji kujinadi jukwaan vitedo shekhe

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem

    Eti kombe kubwa ni muungano, lilikuwa kwenye malengo yenu?.

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 Před měsícem

    😂😂😂😂😂 eti wao ni mabingwa wa Muungano 😅😅😅 kubwa kuliko ubingwa wa ligi 😅😅😅😅😅

  • @DullahNyoni-cr2fu
    @DullahNyoni-cr2fu Před 29 dny

    Hatutaki maneno uongo mtupu kama mmeshindwa kaeni pembeni wengene waongoze acha mbwe mbwe