#🔴MZEE KADUGUDA AGEUKA MBOGO AMCHANA MAKAVU LIVE MANGUNGU /MO DEWIJ NI BAHIRI SI MTEKELEZAJI MZURI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2024
  • #simbasc#harmonize#diamondplatnumz#yanga#nbcpremierleague#simba##wasafi#sportsarena#rayvanny#clouds
  • Sport

Komentáře • 26

  • @hassanmussa6129
    @hassanmussa6129 Před 8 dny +1

    Uko sahihi san Kaduguda muhindi na mangungu ni kirusi SIMBA

  • @GOMBOSAMANDITO-hg3de
    @GOMBOSAMANDITO-hg3de Před 8 dny +1

    Huyu alikuwa mwenyekiti wa Simba hata makundi hakuingia ,shida Mtu akizoea upigaji akiwekwa pembeni huwa msemaji mzur sana

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Před 6 dny

    kweli alivyokuja mwenyekiti hakuingis makundi lakini angalia Simba ulikua na uwezo gan wa kifeza alafu ndo ukosor

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před 6 dny

    Ww mwandishi mbeya uliza mambo ya simba

  • @yahayabihoga1890
    @yahayabihoga1890 Před 8 dny

    😢 vitu vuwili nimeelewa ila ukiingeza Mifano yako una haribu!! Na unainekana una Jazba sana mzee

  • @user-zj2gc2zj2c
    @user-zj2gc2zj2c Před 8 dny

    Huyu ni mchawi tu kwanza enzi za uwongozi wake wachezaji wa Simba walikuwa wanashindia vyapati

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Před 6 dny

    NikionA mtu alikuwa kiongozi kisha anapinga au kuongea makosa ya timu aliyokuwa kiongozi nachoka na kutokupenda kusikiliza

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Před 9 dny

    Mangungu alishazoea kuiba kula kwenye siasa na kampen za uongo mara nitawajengea barabara mkishamchagua akishachaguliwa tu moto wake nikama huo wa mangungu na Simba.

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g Před 8 dny

    Kumbe kaduguda njaa inakusumbua Sasa sema wafanye nn ili simba iwe na pesa zake

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 8 dny

    Mzee mimi nikushauri tu kama unaipenda simba hayo mawazo yapele kwa viongozi sio kuyatoa nje kama ivo,nikumnenepesha shetani uku kiti anakonda

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 7 dny

    Mavi lako...hivi aliyewahi kusema hafanyi KAZI ya KANISA ninani...we koma

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Před 8 dny

    Mtaipeleka Simba mahali pabaya. Kaduguda unaweza kuwa unachosema Ina mantiki, Tatizo huna hela/pesa Huwezi kuendesha Mpira kwa maneno na ushaushi , unatuaminisha kuwa wewe unaweza kuwaunganisha Simba wakapata pesa ya kujiendesha lakini ulishidwa si ulikuwa kiongozi ??. Mo Kesha prove anaweza , mwashhieni Mo timu aendeshe , waswahili kelele nyingi hamna kitu. Kelele za Chura.

  • @jackmabirangacharles9398

    Kwani Kiongozi wewe si uliwahi kuwa kiongozi wa SIMBA

  • @christianrukurugu4341

    Wew ulikuwa kiongizi umefanya nini?, ukiwa nje unakuwa na maneno mengi lakini alipokuwa kiongizi alikuwa kimyaaa

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 Před 8 dny

      Sikiliza anachosema. Mwenyekiti Dalali amedai wanachama walienda nyumbani kwake wakanya hadi juu ya bati, Aden Rage alikuwa mwenyekiti, akawaita wanachama wake Mambumbumbu, huyu nae alikuwa Mwenyekiti baada ya Rage nae anadai wanachama wa simba ndio tatizo, hamtaki. Mangungu nae anapambana na wanachama ambao walimchagua wenyewe.
      Msipowasikiliza Wenyeviti wenu, mkawa wooote machawa wa Mo. Kazi yenu kumpinga kila kiongozi wenu.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 8 dny

    Sasa Mzee hiyo mipango lazima iandaliwe na inahitaji fedha

    • @bakanga1410
      @bakanga1410 Před 8 dny

      Fedha ni kuingiza wanachama wapya,ikipatikana bil. 5 Kwa mwaka tutakuwa tumepiga hatua kubwa..usione kelele zote cyo kwamba wachezaji wananunuliwa pesa nyingi wana viongozi na machawa wao waongeza sifuri ionekane wananunua Kwa bei kubwa kama tulionao ni wa

    • @bakanga1410
      @bakanga1410 Před 8 dny

      Fedha ni kuingiza wanachama wapya,ikipatikana bil. 5 Kwa mwaka tutakuwa tumepiga hatua kubwa..usione kelele zote cyo kwamba wachezaji wananunuliwa pesa nyingi wana viongozi na machawa wao waongeza sifuri ionekane wananunua Kwa bei kubwa kama tulionao ni wa

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u Před 9 dny

    Baadhi hoja za huyu mzee zina mashiko makubwa sana

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 Před 6 dny

    Huyu ndio mwenye akili simbwa

  • @josephwanda8904
    @josephwanda8904 Před 8 dny

    Huyu amekuwa Kiongoz Simba mara kadhaa alifanys nn

    • @bakanga1410
      @bakanga1410 Před 8 dny

      Ndo maana cyo kiongozi Kwa sasa..hata waliopo ni kama au wabovu kuliko kaduguda..ww hujui watu wanapigania nn kubaki uongozin na pesa iliyoko pale,na mo anatengeneza brand yake off course Hawa watu ni virusi

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před 8 dny

      Huyu nae njaa..kwani hana kazi ingine ..kila siku kuisemea ifike mahali uone aibu Acheni watu wengine wafanye kazi

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před 8 dny

      Wewe ulitafuta hela kwa plan ipi na ulikuwa kiongozi Huna jipya mzee

    • @ABM1963
      @ABM1963 Před 8 dny

      Kaandika kitabu kizuri sana kuhusu mpira wa Tanzania