Hongera sana doctor kwa hii video fupi Umeeleweka.Kikubwa vijana wapambane ili waweze kutimiza ndoto zao.Mimi nina mwanangu anasoma kidato cha sita HKL je huyu chuo kikuu anaweza kusoma kozi gani nzuri? Naomba msaada wako.
Dr Mimi nimesoma gvt secondary na nilisoma art na nimepata dv 3y 25 na nimebalanc HKL comb but baada post kutoka mwaka 2023 nimepangiwa chuo lakin bab yng hataki niende chuo yy anataka anipeleke pravate advance. Je niende nikasome vp hiyo imekaaje kw upande wako???
Sir sorry iv unanishaulije maan nmepata 3 ya 25 nilikiwa na soma masomo ya arts na kwenye masomo ya comb nimepata alama c so Dr naomb ushauli wako kama nielekee tu chuo?
@@DrMlelwaLectures naomba unisaidie yaani unielezeee kozi nitakazoweza kusoma chuo baada ya kumaliza advance please yaani kwasasa sielewi chochote alafu nna F ya physics but masomo mengine yote nimefaulu
Mimi Nimesoma private lakini nimepaya dv 1 .9..physics C..Bios A na Chemistry A.. ila ni kwa shida sanaaa ..kuumwa mara kwa maraa ,,Na sometimes naona haikuw nguv zangu sanaa Maan walimu wetu walijitahid sana .kiukwel hatukuw tunasoma sanaaa,, sasa mimi kufight mwenyew ndo nashindwa Dr..unanishaurije,, ntk kuwa daktar njia ipi itanifaa?
Dkt samahani Mimi nimesoma sayansi napenda clinical medicine Ila naona kama itanipoteee muda Bata nataka kupelekea advance kwenda kusoma eca tafadhali unaweza kunishauri Bora niende eca au chuo clinical medicine
@@DrMlelwaLectures ahsante sana doctor Mm nimesoma gvnt tangu primary hadi adv, na nina ufaulu wa dv 1.9 Mm napenda sana kuwa dr wa upasuaji wa neva ya fahamu na ubongo lkn cjui km iyo course inapatikana hapa Tz n je ina manufaa?
Asante Doctor
Nasukushuru sana doctor
Umeni inspire sana sir thanks
Daaah Asante sana doctor nimepata mwanga mpya
Hongera sana doctor kwa hii video fupi
Umeeleweka.Kikubwa vijana wapambane ili waweze kutimiza ndoto zao.Mimi nina mwanangu anasoma kidato cha sita HKL je huyu chuo kikuu anaweza kusoma kozi gani nzuri?
Naomba msaada wako.
Asante sana DR
Comb ya CBG ina course gan nzur
Lab science au mambo ya agriculture
Hello
et doctor unawez hukawa na physics D,chemistry C, na biology C unawez ukaxom pcb
Kwnd udaktar chuo kikuu cutting points zake advnc ni ngap
DDD in pcb ndo kigezo ila kwa sababu ya compitition kubwa atlest CBB respectively in pcb ndo Uhakika but xo Muhimbili. Muhimbili ukiwa chini xn n BBB
Jaman ni kweli ni bora niende diploma.tuu na kisha nitarud advance coz nimefauli pcb na nesom privete na baadho ya topic sijazi cover
Safi sana kaka
Thanks
🙏🙏🙏🙏
Mm jaman matokeo yametoka sjui hata niende wapii na nimefaulu vizuri tuu tena science
Doctor mm Nina D ya phys ila Nina C ya bio na b ya bilogy nifanyej
Unanitia moyo
Nataman one day nifke ulipo fka
Keep it up
0:30
Unaweza kwenda pcb ukiwa na 2 ya 21 lakini nina ccc
ndio unaweza
Dr ni Bora usome pre form v au usubir selection?
Bora usome pre form 5
Doctor kama na 1.16, na nimesoma selikali. Biology B chemistry A physics D na mathematics c pcb naweza kuchaguliwa form v
Unaweza ndio, pia soma pre form 5 online nitafute 0693662424
Dr Mimi nimesoma gvt secondary na nilisoma art na nimepata dv 3y 25 na nimebalanc HKL comb but baada post kutoka mwaka 2023 nimepangiwa chuo lakin bab yng hataki niende chuo yy anataka anipeleke pravate advance. Je niende nikasome vp hiyo imekaaje kw upande wako???
KAMA ELA IPO YA KUTOSHA NENDA ADVANCE ILA AJIANDAE NA ELA YA KULIPA ADA CHUO, KAMA UCHUMI WENU NI WACHINI NENDA CHUO TU
Sir sorry iv unanishaulije maan nmepata 3 ya 25 nilikiwa na soma masomo ya arts na kwenye masomo ya comb nimepata alama c so Dr naomb ushauli wako kama nielekee tu chuo?
Nenda advanve
Mm sr nimepata physics D,chemistry C, mathematics C na nimejisomea mwenyew lkn nimepangiw art ninawezaje kwenda gvm
Nina DVS 1.16
Tafuta shule, au kabadili combi huko huko shule utakakoenda.
Mm nmesoma government je niende advance
Angalia malengo yako ukienda advance haina shida
Dr kama Sina physics ila nimefaulu vizuri cbg naweza kusomea chochote kuhusu secta ya afya
Yes lakini sio nursing
@@DrMlelwaLectures naomba unisaidie yaani unielezeee kozi nitakazoweza kusoma chuo baada ya kumaliza advance please yaani kwasasa sielewi chochote alafu nna F ya physics but masomo mengine yote nimefaulu
Mimi Nimesoma private lakini nimepaya dv 1 .9..physics C..Bios A na Chemistry A.. ila ni kwa shida sanaaa ..kuumwa mara kwa maraa ,,Na sometimes naona haikuw nguv zangu sanaa Maan walimu wetu walijitahid sana .kiukwel hatukuw tunasoma sanaaa,, sasa mimi kufight mwenyew ndo nashindwa Dr..unanishaurije,, ntk kuwa daktar njia ipi itanifaa?
piga simu 0714483548
@@DrMlelwaLectures sawa Tr .Asante sana
Dkt samahani Mimi nimesoma sayansi napenda clinical medicine Ila naona kama itanipoteee muda Bata nataka kupelekea advance kwenda kusoma eca tafadhali unaweza kunishauri Bora niende eca au chuo clinical medicine
nENDA CHUO CLINICAL MEDICINE
@@DrMlelwaLectures kwl dkt
Nikisoma cbg advance naweza kusomea nursing
Hapana
Ivi division 4 ya 26 naweza kwenda chuo clinical medicine.
HUWEZI KAKA
@@DrMlelwaLectures Kikubwa Kama ana D kwenye PCB na somo jingine isipokuwa la dini unaenda
Naomb niulize swali je nikipat a D physic ninata kusom pcb nitachaguliw
Ukienda private ila serikalini itakuwa ngumu
Nitafany nn ninataman kusomea heath service
Sawa nitaweza kwend doctor bil physic
Naomb ushaur
I want to meet you I have $200 to offer you
Wewe uko wapi kwani??
@@DrMlelwaLectures ahsante sana doctor
Mm nimesoma gvnt tangu primary hadi adv, na nina ufaulu wa dv 1.9
Mm napenda sana kuwa dr wa upasuaji wa neva ya fahamu na ubongo lkn cjui km iyo course inapatikana hapa Tz n je ina manufaa?
Asante sana DR
www.drmlelwa.co.tz/
Karibu katika website yetu
Nasukushuru sana doctor
Mm napenda kuwa dr wa upasuaji wa neva ya kati na ubongo lkn cjui km kwa Tz iyo course ipo na km ipo je? ina manufaa
Unaenda kusoma njee
Inamanufaa ndio