keep it up bloo... bdo tupo na Luemam na aliekufundisha general uliegoma kumtaja😅 all in all umeacha kitu kikubwa sana pale school it will never LOST in uwata peoples minds... we pray for you congrats bro!!👏
Xaw but ukiwa new comer alfu unakuta ndo mara yangu ya Kwanza kwenda kusoma boarding nitawezaje ku cope with de environment na pia kutimiza malengo yanguuuu niliyo jiwekea
Dr mlelwa me naomba unisaidie ushaur chemistry na try hard lakn inaniangusha alaf material ya chemistry piy kwang yapo c ya kutosha unakuta some books nazickia 2 cjawah ATA kuzion
Unyama xana
"", GOD bless ue ,u help us more
Kiukweli nimependa Sana maelekezo yako naomba kusaidiwa hata Mimi
Thanky so much
Thanks
Thanks for that
Asanteeee...! Sana Dr Mlelwa
keep it up bloo... bdo tupo na Luemam na aliekufundisha general uliegoma kumtaja😅 all in all umeacha kitu kikubwa sana pale school it will never LOST in uwata peoples minds... we pray for you congrats bro!!👏
Hahahha... Wewe mwalimu wangu wa General unamjua. Mimi simtaji ili kulinda heshima yake.
Respect phd
Samahani naweza kusomea medicine laminitis nimesoma kombi ya cbm
Je naweza kusomea medicine ikiwa nimesomea kombi ya cbm
nahitaji Kujiunga na group lako nitajiungaje
Kama kuna uwezekano me nakulipa alaf ww unfundshee online kak...
ndio inawezekana bro
0693662424
Nisaidie nifanyaje kupata one mm mwanafunz wa pcb
Sikiliza maelekezo hayo
Kwa SIS tunaO tarajia kwenda form 5 ,,,,vp naweza kukaza mwazon WA mwaka had NECTA
Fuata yaliongelewa kaka
Xaw but ukiwa new comer alfu unakuta ndo mara yangu ya Kwanza kwenda kusoma boarding nitawezaje ku cope with de environment na pia kutimiza malengo yanguuuu niliyo jiwekea
Nalipia vipindi kwa njia gani
Nitext whatsapp 0714483548
Jinsi ya kujiunga ...???
t.me/drmlelwastudents
Dr mlelwa me naomba unisaidie ushaur chemistry na try hard lakn inaniangusha alaf material ya chemistry piy kwang yapo c ya kutosha unakuta some books nazickia 2 cjawah ATA kuzion
Nipigie 0714483548 au 0746965125
Nataka nipate vipindi
Karibu kaka 0714483548
Vip dokta kuusu swala la kuwai kusahauu harak kituu usichokijua
Tuongee whatsapp
Namb zako za wasap
Dkt mlelwa mm ntk kombi ya BCG lkn ntk unambie mada za umuhimu kwenye bio na chemi ila npo Form four
Hiyo ni CBG sio BCG, topic za muhimu ni zote, yaani wewe kikubwa ufaulu form four hapo
Sasa na mi nasoma pcb Akin naona mambo yashakua magumu an toka nimefika sijawahi kupata 2 Sasa unanishauri adje
Hayo yaliyoongelewa humo umeyafuata?
Bro what you got on GS 😅
GS nilipata E mkuu wangu, sijafeli hapo
Unapatikana wapi teacher namimi natamani nifikie hatua hio uliokuwa nayo
Kigamboni Dar 0714483548
how can I join your online studies..
Yes you can join our online class
Thanks
Dr naomba namba zako za watsap
0714483548
Alaf shule yetu si ya dahalia
Mimi nimemaliza kidato cha nne 2021 .nikapata changamoto iliyonifanya Nikabaki nyumbani miez 3 sijasoma .mm ni PCB sasa narudi shule nifanyeje?
2020
Dr mlelwa combi gani naweza kusoma niwe mkemia?
0759893701
Mkemia kivipi yaani, kama yule mkemia mkuu wa serikali au??
CBN
Teacher naitaji unisaidie kwasababu sinachochote hapa
Nikotayari kulipia kiasi chochote