Huyu hapa Tanzania ONE masomo ya sayansi, mbinu alizotumia, matokeo kidato cha nne, nini anapenda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2022
  • Catherine Mwakasege aliyeongoza kitaifa katika masomo ya sayansi kwenye mtihani wa taifa wa kidato cha sita kwa mwaka 2022, ametaja siri ya ufaulu wake na malengo yake ya baadae.
    Video kamili tumeshakuwekea kwenye ukurasa wetu wa CZcams.

Komentáře • 25