NI kweli dogo ...mimi sijajua nini kilitokea kwenye necta ...ila nilivyo enda nchi za nje nikawa mkali wa MATHS mpaka wazungu waka ni kubali na ikinijea ngea confidence ya kwenda Engineer mpaka sasa mimi Engineer.. 😊😊😊 CHANDY MPANGO MZIMA WANA PHYSICS IMEELEZEWA NI BALAAA..👍
Mwenyezi Mungu awabariki vijana wote wa kike na wakiume waliozawadiwa kwa ufaulu wa masomo yao wakimalize vyuo,wakiingia mtaani waendelee kung'ara katika shughuli zao.
Usiishie apo bro. Nataman sku moja nione Tanzania ikiwa represented katika International Mathematical Olympiad. Serikali inatakiwa kushugulikia hili swala. Vipaji tunavo lakin haviipaishi nchi yetu.
Chands ziko nyingi bro... Volume 1,volume2, Engineering mathematics all are chands... All in all form six mliyoko shule someni kwa bidii mathematics haina mwenyewe kwa kizazi hiki... Unaweza kuitwa bingwa ukapewa paper then ukala zero... Kibongo bongo mathematics bado tuko nyuma sana there no true mathematicians except Sir Saggaf and Sir Mwagen these are true mathematicians in our country .
Nimekuelewa Sana sana, Nimejifunza ni vp nimuandae vizuri mwanangu awe really KING OF MATHEMATICS.
Shout out to ALL who LOVE Mathematics! Welcome to the WORLD Peter! 👏
Kweli Kichwa Cha Habari Kimestahili 😂😂 Hongera Brother Hongera Sanaaaa
Brother congratulations we salute you Tanzania 🇹🇿 is best in maths
Says who
NI kweli dogo ...mimi sijajua nini kilitokea kwenye necta ...ila nilivyo enda nchi za nje nikawa mkali wa MATHS mpaka wazungu waka ni kubali na ikinijea ngea confidence ya kwenda Engineer mpaka sasa mimi Engineer..
😊😊😊 CHANDY MPANGO MZIMA WANA PHYSICS IMEELEZEWA NI BALAAA..👍
Mwamba anajua nimependa confindence yake Mungu amjaalie
"Paper 2,necta mtanisamehe"
Yaani hakuacha kitu.
Thx SnS
Hizi ndo mambo ya kusikiliza, habari za shishi na fala wake pita hivi
Mwenyezi Mungu awabariki vijana wote wa kike na wakiume waliozawadiwa kwa ufaulu wa masomo yao wakimalize vyuo,wakiingia mtaani waendelee kung'ara katika shughuli zao.
Division 1 ya point 4😮, hongera sana, huwezekani🙆🏻♀️
Hongera broo hisabat ni mazoez tuu mengi mengi
Usiishie apo bro. Nataman sku moja nione Tanzania ikiwa represented katika International Mathematical Olympiad. Serikali inatakiwa kushugulikia hili swala. Vipaji tunavo lakin haviipaishi nchi yetu.
Hesabu siyo ngumu tatizo wanaotufundisha wengi wao siyo professional
Respect brother ✊
Yaani 70 ndo umezingua 😹😹 wengine hata kupata hyo ni mtiti
Dah peter rubinza ex pugu boys namkumbuka huyu dogo alikuwa moto balaaa
Sns crew am still camping here waiting for you to talk about the chozi track by Tundaman, please do so coz i can't wait to here your views
Chands ziko nyingi bro... Volume 1,volume2, Engineering mathematics all are chands... All in all form six mliyoko shule someni kwa bidii mathematics haina mwenyewe kwa kizazi hiki... Unaweza kuitwa bingwa ukapewa paper then ukala zero... Kibongo bongo mathematics bado tuko nyuma sana there no true mathematicians except Sir Saggaf and Sir Mwagen these are true mathematicians in our country .
Suggaf wa aliyemaliza udom ama?
Kama hakuna bingwa mbona wewe haukuingia hata mia bora!!!!! Wakali wa hesabu wapo buana tusidanganyane sema wabongo huwa hatupendi kusifia
- mainjinia mahiri wapo
- madocta mahiri wapo
- walimu mahiri wapo
- wanahisabati mahiri wapo
big up bro,,,hongera yako ni kubwa
👏🏾 bravo!
Mashallah, hongera sana Bro, dah 🙏
Mashallah, nice 💕
Mamamaeee 😂😂😂😂 paper 2 watanisamehe necta
Congratulations brother
Hongera ngosha
Hongera sana.
Hesabu kwa mm hapana
Hongera kaka
Hongera sana
🤣🤣🤣sikuwahi kupata zaidi ya 10 mm nlishakariri ngumu kuanzia msingi hadi sekondari
Hahahaha@
🤣🤣🤣
Kweli Mathe imejuta
safi sana,
Congrats
Hisabati 😿
Bro congratulation
Mm nilikuwa napata 5 ya Mia
Nikifauluu Sana nimepata kumi😂😂
😄😃
💪💪
hisabu nilikuwa napiga sana kibind niko shule ya msingi hasa maumbo hata ukileta lenyekichwa chin ila sekondar sijui nilikiwama wap 🤦♀️😄😄
ulichanganya mambo 2 kwa wakati 1 secondary jokes ama kweli😂😂😂😂😂😂ndo mn ikakuwacha Maths inataka udeal nayo peke yake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hisabati jmaniii nyie acheni😏😏
Hahah
Khadija khadija ntakupa tuit ya hesabu bure😂😂
Mie hisabati mh
Gefeliciteerd jonger 👏👏👏
Shikamoo
H
Huyunininoma
Hisabati sio ngumu ila hakuna walimu walio professional kwenye hesabu
😂😂😂
Alichelewa wapi kusoma huyu mbona ni mbaba kabisaa
Elimu haina mwisho hata ukiwa mzee unaweza kusoma ni maamuzi yako
kama unajua elimu bahari mana haina mwisho wala usingecoment hivi tembea uone wa2 wanasoma mpk wanazeeka
@@zuleikhakhamis3303 bora umenisaidia kumjibu asee
Mathematics hiyo
Kusoma hakuna umri ni akili tu