Dr. Mlelwa mm nimepangwa combi ya cbg na nimemaliza shule ya government na Nina division two ya ishirini na physics Nina daraja d na napenda sana kusoma mchepuo wa pcb , na kwenye practical siko vizuri sana nifanyaje dokta
@@jesaminzo Kwenye hiyo video hapo huyo ni Eng. Anoldi sio Dr.Mlelwa mwenyewe, japo wanafanya kazi wote na organization yao inaitwa Dr. Mlelwa Lectures
Yaaaa. Hicho kitu cha mwisho nimekielewa sana baba
Comprehensive Physics unairecommend?
Mm kwa kusema ukweli, sikubali na wazo la kukaza practical form 5, mara wanafunzi wengi form 5 mada hizo hizo hawaziwezi
Current, heat na mechanics ni topic za kusoma form 5 ijapokuwa current ni form 6. Nje na njia hii utaingia kwenye prac necta unatetemeka
mm natk nijiunge na hizo group zenu za kusoma online
Nipe mawasiliano, kijana uko sawa.
Mawasiliano 0693662424
Sasa kwani practical ni simple like o level au imekaza mno nn
Huku zimeongezeka ugumu
0693662424
Mi nataka kitabu cha physics nakipataje. 1:13 1:14
Topic gani unazitaka?
Dr. Mlelwa mm nimepangwa combi ya cbg na nimemaliza shule ya government na Nina division two ya ishirini na physics Nina daraja d na napenda sana kusoma mchepuo wa pcb , na kwenye practical siko vizuri sana nifanyaje dokta
Ukiwa na D kusoma PCB labda uende private school
ntak kusoma practicle
MTAFUTE HUYU MWALIMU KWA NAMBA 0693662424
@@DrMlelwaLecturessafi kanisa Dr. Nauliza; wewe na Helbeth Mlelwa ni ndg?
@@jesaminzo Kwenye hiyo video hapo huyo ni Eng. Anoldi sio Dr.Mlelwa mwenyewe, japo wanafanya kazi wote na organization yao inaitwa Dr. Mlelwa Lectures
We unaongea saaana kaka
Shida iko wapi??
mm natk nijiunge na hizo group zenu za kusoma online
TUMIA NAMBA 0714483548