MUFTI WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIR ATUNUKIWA NISHANI NCHINI MISRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 10. 2022
  • #MbeyaYetuTv
    MUFTI ATUNUKIWA NISHANI MISRI
    Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt. Abubakar Zubeiry bi Ally akipokea toka kwa Rais wa Misri Mhe. Abdel Fattah El-Sisi Tuzo ya Nishani ya Sayansi na Sanaa juzi huko Cairo baada ya kumalizika kwa hafla ya Maulid.
    Hafla hiyo ilihudhuriwa na Waziri wa Awqaf Dkt. Muhammad Juma Mukhtar na Ahmad Twayb Sheikh Alazhar na mawaziri na mabalozi wa nchi mbali mbali na wanazuoni wakubwa wa Azhar Sharif pamoja na Mufti wa Misri DKt. shawqiy Allaam.
    Mhe. Mufti amewa Nishani yeye na Waziri wa Awqaf kutoka Jordan Dr Muhamad Khalailah kwa kutambua mchango wao wa kuendeleza mafunzo ya Quran Tukufu, Uislama na Waislamu.

Komentáře •