Cjui dini inahukumu gani ,lkn kwajinsi ya dunia inavoenda,uhuru wawatu unaovuka mipaka ya Allah,vipangamizi vya hukumu za Allah,ugumu wautekelezaji maisha halisi ya Mtume na Maswahaba. Mufti endelea kutimiza wajibu wako kwapale unapoweza kupafikia ,ucpofika Allah ndie mjuzi zaidi. Aamn.
Tanzania bwana yaaan kila kiongozi v8t na ving'ora wenzetu rwanda wanaopigiwa ving'ora ni wanne2 rais, wazir mkuu, spika wa bunge na seneti wa bunge walibaki unatembea km raia wengne
huyoo alio pigaa magoti nisawa huyo nikiongozi kabeba uongizi kwa waislam napia kabebe yamungu basi tuu viongozi wadini inabidi wapewe heshima kibwa kuacha yadunia nakubeba yalio ya mungu aio mchezo kwani yeye hapendi mambo yadunia kayaacha yote kwajili yawatuu namwenyezi munguu
Cjui dini inahukumu gani ,lkn kwajinsi ya dunia inavoenda,uhuru wawatu unaovuka mipaka ya Allah,vipangamizi vya hukumu za Allah,ugumu wautekelezaji maisha halisi ya Mtume na Maswahaba.
Mufti endelea kutimiza wajibu wako kwapale unapoweza kupafikia ,ucpofika Allah ndie mjuzi zaidi.
Aamn.
Kwani mufti skuizi anatembeya na vingora?
Mhhh kwa dini hii kwa mungu kuna kazi
ya kubariki mahusiano ya jinsia moja ndo dini kaka
Jamani mm nauliza swali mbn sisi wazanzibar hatunaga mambo hayo ya kujionesha
ukifatilia vizuri utagundua yapo
Huyo hakupiga magoti au wenzangu hamkusoma shule za msingi?hamjui magoti yanapigwaje,huyo amekaa mkao wa attahiyyatu
Nimempenda yule jamaa anaongea na Muft kwa kupiga magoti, Vile ndio inatakiwa watu kuongea na Mufti, LAZIMA TUWE NA HESHIOMA
Ndio inavyotakiwa kwa mafunzo ya dini gani maana uislamu haujui utaratibu huo wala haukubali sasa utuambie mafunzo hayo ya kupiga magoti yanatoka wapi
Haya ndiyo yanayowalevya bakwata wakaacha njia ya sawa kwa kufikiria mambo ya ukubwa kama hayo
mufti ni kiongozi mkubwa kaka
Mama yako nae hana dil
Hata mpokelewe kwa shangwe na mizinga mpigiwe!!! Maulid Shubha!! Maulid hayana dalili!!!
Tutaweka Ya Babu Yako Na Babako Ili Roho Mbaya ikuishe
Mana Hii Hasadi Tu Yakusumbua
We nao nenda zako ukoooo bida bida niniapa
Pumbaaaa🎉🎉🎉
Tanzania bwana yaaan kila kiongozi v8t na ving'ora wenzetu rwanda wanaopigiwa ving'ora ni wanne2 rais, wazir mkuu, spika wa bunge na seneti wa bunge walibaki unatembea km raia wengne
So