MSAFARA NA MAPOKEZI MAKUBWA YA MUFTI WILAYA YA MKURANGA APOKELEWA KWA HESHIMA KUBWA MAULID BAKWATA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2023
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 19

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 7 měsíci +2

    huyoo alio pigaa magoti nisawa huyo nikiongozi kabeba uongizi kwa waislam napia kabebe yamungu basi tuu viongozi wadini inabidi wapewe heshima kibwa kuacha yadunia nakubeba yalio ya mungu aio mchezo kwani yeye hapendi mambo yadunia kayaacha yote kwajili yawatuu namwenyezi munguu

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 Před 7 měsíci

    Cjui dini inahukumu gani ,lkn kwajinsi ya dunia inavoenda,uhuru wawatu unaovuka mipaka ya Allah,vipangamizi vya hukumu za Allah,ugumu wautekelezaji maisha halisi ya Mtume na Maswahaba.
    Mufti endelea kutimiza wajibu wako kwapale unapoweza kupafikia ,ucpofika Allah ndie mjuzi zaidi.
    Aamn.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 7 měsíci +1

    Kwani mufti skuizi anatembeya na vingora?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 7 měsíci

    Mhhh kwa dini hii kwa mungu kuna kazi

  • @user-fe1vp7bn3l
    @user-fe1vp7bn3l Před 7 měsíci

    Jamani mm nauliza swali mbn sisi wazanzibar hatunaga mambo hayo ya kujionesha

  • @binseif2216
    @binseif2216 Před 7 měsíci

    Huyo hakupiga magoti au wenzangu hamkusoma shule za msingi?hamjui magoti yanapigwaje,huyo amekaa mkao wa attahiyyatu

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 Před 7 měsíci

    Nimempenda yule jamaa anaongea na Muft kwa kupiga magoti, Vile ndio inatakiwa watu kuongea na Mufti, LAZIMA TUWE NA HESHIOMA

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz Před 7 měsíci

      Ndio inavyotakiwa kwa mafunzo ya dini gani maana uislamu haujui utaratibu huo wala haukubali sasa utuambie mafunzo hayo ya kupiga magoti yanatoka wapi

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz Před 7 měsíci

    Haya ndiyo yanayowalevya bakwata wakaacha njia ya sawa kwa kufikiria mambo ya ukubwa kama hayo

  • @muhidinally9455
    @muhidinally9455 Před 7 měsíci

    Mama yako nae hana dil

  • @omarkhamys9818
    @omarkhamys9818 Před 7 měsíci

    Hata mpokelewe kwa shangwe na mizinga mpigiwe!!! Maulid Shubha!! Maulid hayana dalili!!!

    • @Farajudin
      @Farajudin Před 7 měsíci

      Tutaweka Ya Babu Yako Na Babako Ili Roho Mbaya ikuishe
      Mana Hii Hasadi Tu Yakusumbua

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 Před 7 měsíci

      We nao nenda zako ukoooo bida bida niniapa

    • @muhamedjumaa6867
      @muhamedjumaa6867 Před 7 měsíci

      Pumbaaaa🎉🎉🎉

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 7 měsíci

    Tanzania bwana yaaan kila kiongozi v8t na ving'ora wenzetu rwanda wanaopigiwa ving'ora ni wanne2 rais, wazir mkuu, spika wa bunge na seneti wa bunge walibaki unatembea km raia wengne