MANENO MAZITO YA MUFTI WA TANZANIA KWA WAISLAMU
Vložit
- čas přidán 31. 01. 2018
- Sikiliza hii ili uweze kujua kile alichokizungumza Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeir alipokuwa katika ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa Msikiti pamoja na ofisi za bakwata akiongoza na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda
بارك الله فيك شيخ ابوبكر الزبير مفتي تنزانيا
Upo sahihi kabisa allah amhifadh mahali pema peponi sheh Mohammad bin ayoob tanga raha
sheikh Muhammed Bin Ayubu Allahuma khufilafu warahmahu filjana
Ameen
Hongera
Baaraka llaahu fiika
Allah ampe umri, afya na hekma ili aliendeleza Baraza Kia na mafanikio.
Amin......
Fitna n mbaya sn
Al baqarah-174 "Innal lazina yaktumu_na ma_ anzalalla_hu minal kita_bi wa yasytaru_na bihi samanan qalila_(n), ula_'ika ma_ ya'kulu_na fi butu_nihim illan na_ra wa la_ yukallimuhumulla_hu yaumal qiya_mati wa la_ yuzakkihim, wa lahum 'aza_bun alim(un).Hakika wale wafichao aliyoyateremsha Mwenyenzi Mungu katika kitabu,wakanunua kwacho thamani ndogo,hao Hawali matumboni mwao,isipokuwa moto,wala Mwenyenzi Mungu hatowasemesha siku ya kiyama,wala hatawatakasa,nao watapata adhabu chungu.
kaka umeliona hilo?basil hao ndio bakwata
mufti yuko sahihi tumsaidie
Tunataka tuswali pamoja tuondoe makundi nasibu hii
na kweli mnawatumbukiza kwenye maji kwa sababu kila siku mashekhe wa kweli wanateswa na kuuliwa na makafiri kwa sababu nyinyi mashehe njaa mnawachongea kwa wabaya wenzenu
mimi nampongeza japo kua anamapungufu yake hayo ndio maumbile tulioumbiwa wanadamu mapungufu yake ni kutotatua matatizo kwa wakati mfano mkoa tabora na wilaya zake zinamatatizo makubwa haswa KALIUA hivi mufti halioni hili kama kiongozi atusaidie haraka kabla hatujafa ili tufanye maendeleo wakati bado Allah anatujalia afya sisi wengine hatuna pesa katujalia nguvu
bakwata ni tawi la kanisa na mufti yoyote wa bakwata ni msaidiz wa kadinar wa kanisa
Na mimi namuongezea huyo alie sema kuwa mkristo hawezi kujenga msikiti chuo cha CHUO CHA BORASKA kimejengwa na mama baraka na mumewake ambae ni wakili mstaafu mume alikufa ila mama yupo kiwanja kujenga na wanawake walikuwa hawaswali akawataka waislam watenge sehemu ya kina mama kuswalia kwahio kama haamini aende pale akaulize apate majibu asiropoke to shehena huyo
Hahahahhaha
tunataka tuone kipi kinachofanyika kwa fedha za waislamu japo kuwa mh makonda anatujengea ofisi.
Wewe ndio kinara na mlezi wa fitina asilimia 90 ya waislamu hawakutaki Wewe na Bakwata ni fitna kubwa baina ya waislam unaingia wewe na mkweo mnaridhia kua Shia ni wenzetu Subhanallah njaa na kujilimbikizia vijisent.
Nani alio uandaa mkutanono mkuu wa bakwata ulio kuchagua wewe huo umufti ni wako na walafi wenzio sio wa waislamu Sheikh. Mkuu achaguliwe na waislamu weww umewwkwa hapo na pesa za wakatoliki.
Mufti hakuna mtu hatari na hasidi kama huyo shehe wa mkoa atawachelewesha , mufti wewe unaonekana unajielewa kaza usiwauze waislam, iko wapi muslim sosayati na memoranda mu
huyu nissan mufti au mnafiki?nyinyi mnaongoza taasisi yale ccm nay nyinyi ndio mnawafanya waislam wauliwe na makafiri kwa fitna zenu shehe huna sifa ya kuwa mufti,mufti anachaguliwa nay kafiri?
Unaongea sana pnguza ukali wamaneno baba umeyamaliza inamaana waislamu hakuna walio lifanya ktk uislamu ww umezaliwa umeikuta dini