Kauli ya Mufti Mkuu Tanzania kwa wanaopiga mziki wakati wa kufuturisha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 05. 2019
  • Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry amewahasa Waislamu na wasio Waislamu kuzingatia maadili wakati wa kufuturisha katika Mwezi mtukufu wa Ramadhani hasa kwa kuacha kufanya mambo yanayokiuka misingi ya dini.

Komentáře • 21

  • @salamihorance528
    @salamihorance528 Před 5 lety +6

    Kweli. Kabisa. Juzi Harmonize Anapiga mziki wakati wa kufuturu.. #Msiba mzito

  • @josej9888
    @josej9888 Před 5 lety +4

    Tatizo hawa wasanii wakishajiona wanashabikiwa na mashabiki maandazi wanavimba vichwa.

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 Před 5 lety

    Mashaallah tabaraka Rahman Allah akuhifadhi daima maneno yako ni sawa kabisa

  • @munguaibarikitanzanianawat9254

    Inna lillahi wa Inna ilayhi raji'un

  • @duscodeledele856
    @duscodeledele856 Před 5 lety +1

    Mufti wetu allah akujalie afya njema na siha utupe kile ulichojaliwa

  • @mwanakijana31
    @mwanakijana31 Před 5 lety +2

    Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema inshaallah

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před 5 lety +1

    huu ni upuuzi wanaofanya hawa wasanii kwani kwanza wao wapo kwenye kibri cha kujionyesha wanauwezo na sidhani ya kwamba wanategemea malipo kutoka kwa ALLAH ila ni sifa kutoka kwa watu, wanaudhalilisha uislamu tena mwezi mtukufu wa ramadhani, kama ni harmonize iwe diamond awe yyt yule ajue kwamba ataulizwa juu ya hili..musiifananize dini ya Allah na upuuzi wenu na pia kuna aya imesema watakao kuwa na tabia hizi watakua mahala pabaya na kupata adhabu kali mbele ya Allah

  • @ausihaji2398
    @ausihaji2398 Před 5 lety +2

    SHEIKH HATA HARUSINI MZIKI NI HARAAM

  • @alicebahadia5529
    @alicebahadia5529 Před 5 lety

    Mungu atusameh maovu yatu ,kweli wamefanya makosa kupiga mziki kweny iftar😥😥😥😥😥😥

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 Před 5 lety +1

    WCB ujumbe umewafikia hapo, acheni upumbavu najua mmeteleza hapo kwahiyo msirudie upuuzi wenu.

  • @AbdulWahid-hp8qr
    @AbdulWahid-hp8qr Před 5 lety

    Kweli kabisa

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před 5 lety

    pia huu ni mwezi umeshuka Qur-an na tunasisitizwa kuisoma zaidi na zaidi, sasa leo munatangaza nyimbo zenu kwa kuwafutarisha waislamu eti munasema ni jambo jema..pumzi zenu munajaribu kuizima Quran kwamba watu wasikilize upuuzi wenu wa kisheitani badala ya kuhimiza mema..na mujue sio kila hela ni halali kwani hata mahawara na wauza ulevi si wanahela so ni halali!!!...la muhimu murejee kwa ALLAH kama alivorejea mzee Yussufu ili yasije yakakufikieni umauti katika hali hizo..Allah akupeni taufiq muweze kukumbuka na kurejea kwake kwani kila binadamu ni mkosa ila alobora ni yule mwenye kutubia makosa yake

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před 5 lety +1

    Hujakazia shekh hapo kwenye mziki

  • @ausihaji2398
    @ausihaji2398 Před 5 lety +3

    Sheikh MZIKI NI HARAAM HARAAM HARAAAM.Haijalishi Wapi Unaupiga Ikiwa Katika Iftar -Au wapi Sema ni Haram .Hata Hizo munazoziita Kaswida maadamu zimeingiziwa ala za Miziki nazo ni MZIKI

  • @abdullihmaulid7859
    @abdullihmaulid7859 Před 4 lety

    Uislam siyo utamaduni acha kutudhalilisha

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před 5 lety

    Sheikh una majukumu kwa Allah ya kuwaongoza waislamu,hiyo ndio dhamana uliyokuwa nayo kama ni mufti,dunia hii ni daraja tuu,tutakuja kuulizwa dhamana zetu,tufanye mambo kwa ajili ya Allah,hakuna kitakachofichiki kwa Allah,hata kama chembe ya hardali,ikiwa kuna mambo hayakemewi kwa jamii ya waislamu,na yakifahamika yatazaa mbegu za upotoshaji,kesho tutakuja kuwajibika kwa dhamana zetu,dini hii ni ya muumbaji wa kila kitu,tuwe na tahadhari isichezewe,na maadui wa Allah,ambao rafiki yao mkubwa shetani,shetani wa kijini na kibinaadamu,kumezuka vitendo vya kuyaingilia,mambo ambayo waislamu wangestahiki,kuyaongoza wao wenyewe kiitifaki,ambayo kwa sasa,kwa wanaofahamu ni kinyume na taratibu na kanuni za dini yetu,binaadamu wote ni sawa lakini,kila jambo lina mipaka yake,tukiwa kama ni waumini wenzako,tegemeo letu ,ni kuulingania uislamu,kwa namna,ya maelekezo ya Allah na mtume wake Muhammad SAW.

  • @munguaibarikitanzanianawat9254

    Sio kama hajuii anajuaa sema ni pesa zinawasubuaa eti na mama yake anamusifu ujinga musba kweli.

  • @maulidhijja8998
    @maulidhijja8998 Před 5 lety

    Shk.umeongea vizur ila swala la muziki!ulipashwa kulikazia sana!mana hawa jamaa inaonekana wazi kuwa wametumwa kuidhiaki hii dini!haiwezekani haban ndani ya uislam mnaruhusu watu waichezee dini halafu nyie kama baraza mnaongea kirahisi kabisa namna iyo,hacheni siasa simamieni hakhii!!

  • @irtshisekedikhamis5648

    Muache unafki mbone kazungumzia mengi hamja yasema ayo ya mziki kwenye ftari ndo mumesikiaa tu

    • @mrishogange4276
      @mrishogange4276 Před 5 lety

      tshisekedi wa mukendi unafk gan? Unatetea upumbav?

    • @irtshisekedikhamis5648
      @irtshisekedikhamis5648 Před 5 lety

      @@mrishogange4276 mimi sijasema kama wamefanya mazuri, ila alie post kwa nini aseme tu mambo ya diamond?
      Kwa kuwa milliard ayo inachuki na diamond
      Mufti kasema namna walimu na wa hafidhu wana pashwa kuwa. Kwa nini milliard ayo hajasema ayo?
      Diamond akifanya mema why yeye hayasemi?
      Ndo unafki uyo