Video není dostupné.
Omlouváme se.
Mufti atoa Darsa kwenye Kasri ya Kifalme - Morocco
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 15. 04. 2023
- 16.4.2023
Komentáře • 61
Další v pořadí
Automatické přehrávání
MUFTI MKUU wa TANZANIA KATIKA MAULID MKOANI ARUSHA - AHIMIZA MAENDELEO kwa WAISLAMU NCHINI...Global TV Online
zhlédnutí 564
Tusiwaseme Matajiri Vibaya | Tuwaombee Mungu Viongozi wetu -Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar ZuberBABDEO MILADU
zhlédnutí 1,7K
MANENO MAZITO YA MUFTI WA TANZANIA KWA WAISLAMUMwananchi Digital
zhlédnutí 16K
This bag is perfect for YouTube button couriers! 🏃📦✨Handmade Heroes
zhlédnutí 37M
IQ Level: 10000Younes Zarou
zhlédnutí 10M
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRushalbert_cancook
zhlédnutí 113M
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
zhlédnutí 24M
MUFTI APELEKA 41 KUSOMA MOROCCONkussa International
zhlédnutí 1,1K
A Muslim Man Enters a Church - They LaughedSabeel Ahmed
zhlédnutí 1,4M
TOFAUTI YETU SISI NA MAWAHABI NI ADABU | TUNIHADHARI NA BAADHI YA HIZI SHULE ZINAZOITWA ISLAMIC.ZVP ONLINE TV
zhlédnutí 697
TULINDE UZALENDO | MUFTI WA TANZANIA AKIONGEA KWA MASKITIKO MBELE YA RAIS MAMA SAMIA | BARAZA LA EIDBABDEO MILADU
zhlédnutí 8K
Khutba Ya Ijuma Mufti Sheikh Shabani Ally Mada : Umoja Katika Uislamu BurundiAl Huda TV Burundi
zhlédnutí 467
KASWIDA ANAYO ALAMA ILIVYOWAINUA WAFALME WA MOROKO NA MUFTI WA TANZANIA - NASAHA CREWBABDEO MILADU
zhlédnutí 209K
"MSIKITI SI MAHALA PA KUGOMBANA" MUFTI WA TANZANIA UFUNGUZI MASJID KITUMBINI DSMBABDEO MILADU
zhlédnutí 2,5K
Hotuba Ya Mufti Mkuu Sheikh Abubakary ZubeirySIMU. Tv
zhlédnutí 5K
IQ Level: 10000Younes Zarou
zhlédnutí 10M
ДЕДУШКИН РАССОЛ В СОЛО⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
zhlédnutí 8M
VZÁJEMNĚ SI TVOŘÍME TEN NEJHORŠÍ TUNING! 😂MENTSGARAGE
zhlédnutí 206K
NEVIDITELNOST???🤯AlkanShorts
zhlédnutí 147K
واو! هذا الطلاء لذيذ جدًا 😋 مقلب الطعام! #مدرسة #كوميديا من SmashCrushSmashCrush! Arabic
zhlédnutí 37M
They got a Golden Buzzer 🤣✨America's Got Talent
zhlédnutí 45M
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
zhlédnutí 26M
Fast and Furious: New Zealand 🚗How Ridiculous
zhlédnutí 43M
Mashaallah huyu mufti ana lugha ya kimataifa Allah ambariki
Maa Shaa Allaah! Khutba nzuri inayosisimua hadhira ya wasikilizaji. Allaah autwawilishe umri wake kiongozi wetu.
Mashaallah mufti
Khutbar Huwa haitolewi kichwani Bali inatakiwa uthibiti mda na maneno usitoke nje ya mada, mashaallah mufti yupo vizur Allah ampe Afya njema
Napia ikiandikwa inakwenda kwa muda maalum
Kuangalia ndio kimataifa zaidi kuliko kutoa kichwani na wala si aibu wala ajabu
Maasha-Allah"
Mashaallah ❤
Safii sana Mzee vitu vpo
Mashalaa
Huyu Mufti yuko vizuri kielimu,ni miongini mwa wanafunzi wa Sheikh,Murabbi,alkamaadhu Sheikh Muhammad ibni Sheikh Ayyuubi ibni Khamiisi Rahimahumu LLAAHU.ALLAH amlipe Sheikh.
Maa shaa llah
MashaAllah!
Ma shaa llah
Mashallaa
MAASHALLAH 🙏🙏
Mashaallah
Mashallah msomaji mzuri ni yule aliesoma na akaandika ili siku anasoma asisahau hata ktk viongozi wa nchi husoma khutuba na taarifazao wakiwa wanaangalia wanachokiwasilisha kwa umma
ni kweli kabisa
Unatetea uongo
Huko ni kuonesha ضعف الحفظي من الشيخ.
Allah atie baraka
Mashallah
MASHALLAH
Mashaallah muft mungu akuongoze
mashaallah
Usiyamin sana akili yako kalamaa ndio kila kitu
❤❤❤
khutba murua kabisa yenye mawaidha safi sana. vigezo vyote vimesimamishwa
Yanii kalamm ndio kila kitu
Hayo unayo yazungumza ndounatakiwa uyasimamie bilakuogopa mtuyoyote amiri anatiiwa akifata Sheria akienda kinyume nashelia hafatwi
Amemsifia saaana. Sasa ngojeeni matunda!
Kiarabu cha hali ya juu sana; kiasi natia shaka wengi waliopo hawafahamu!
Mbona umeikata dakika km ya 12 hapo ingekuwa vyema tukasikia hao waliodhihiri
kuna hao walio vaa vilemba vyeupe na kwa ndani kofia nyekendu nilidhania ni wanawake ظننتهم النسوة
karatasi hapo ikia nguka chini anakuwa bubu ,
wameitikia dua haraka haraka ili wapumzike
mara ya pili wamuendikie kwa ufupi kwani mpaka wasikilizaji wanatamani amalize mapema ,
Ulichojua kukosoa ni hotuba ndefu tena ameandikiwa kama unavyodai wewe au vipi?! Hivi unajua maana ya kilichoandikwa?!
Mufti kaandikiwa 😂
We Nani maulamaa Wanamsikiliza hapo we. Unaleta zako😏
we mufty vipi? nusuus za khalifah mtawala wa kiislamu una zipeleka kwa twaghuut huyu? kumbe mnajua dalili hizi za uwajibu wa kuwa na mtawala? sasa mbona hamfanyi kazi ya kusimamisha khilafah? kumbe mnajua lakini ufasiq au njaa?
Anautangazia usufia yaani mfalme kamnunua
Mawahabi mnaumia sanaaaa,mtakufa kwa uchungu wenu
@@swahibually8349 ahlul bid’a
Mashallah
maashaallah huyu mufti asthiki kua mufty kwakweli Allah atuhifadhie binafsi nampenda Sana kutoka moyoni kwaajili ya allah
Sasa kwanini mpaka anaglie ? Si angekua anatoa vitu kiwani tu
Weye kilichokukela hapo kipi ndugu?
Khutba ya kiongozi haitolewi kitwani hua yaandaliwa kwa maslai ya jamii
Tumia akili kabla ya kuandika pumba
Kasome
Wewe umesoma wapi