MAKONDA ATINGA KWA MUFTI MKUU WA TANZANIA ZUBERI, AFANYIWA DUA MAALUM
Vložit
- čas přidán 30. 11. 2023
- MAKONDA AFANYIWA DUA MAALUM NA MUFTI MKUU WA TANZANIA ZUBERI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mungu Akibariki Chama cha Mapinduzi. Mungu Ibariki Tanzania. Mungu Ambariki Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Mungu Ambariki Katibu wa Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Taifa Paul Makonda. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Makonda anastahili sana kuombewa Dua. Na mimi namuongezea Mwenyezi Mungu Amlinde na Mahasidi na wote wenye nia mbaya.
Tangu kurudi kwa Makonda Nchi imepata utulivu sana. Wale waliokua wakimtukana na kum beza licha ya kua Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anajitahidi kuiboresha Nchi.
Haya maendeleo yanayooneka sasa hatukuyaona miaka iliopita.
Mheshimiwa Makonda usikubali kumuachia Mtu yoyote aanaemtukana Rais halafu asichukuliwe za kisheria. Hatutaki kuyakumbusha yaliopita lakini tulihuzunika sana kuona baadhi ya watu mitandaoni wakimkosea heshima Rais wetu kwa kumuita majina mabaya. Lakini Rais wetu hakuwa mtu wa kulipiza kisasi ingawa uwezo huo anao.
Mhe. Makonda kazi yako inapendwa kwa asilimia kubwa ya waTanzani Mwenyezi Mungu Akuongoze 🤲
Viongozi wa Dini ndiyo kiunganishi cha Amani, Umoja na Mshikamano kwa Taifa letu Tanzania. Inshallah Mufti shukrani kwa Dua Njema. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amin ,Amin,amin
Aaaaamin
Audhubillah minasheitwaan rajiim,
Kiongozi akiwa na Hofu ya Mungu ni Ishara ya Uzalendo na Uwajibikaji sababu anatambua Nguvu ya Mungu ndani yake. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mashehe ubwabwa mnafiki hapo kwa mungu ni ww huyo kafiri dua kutoka kwa mungu yann wakati mtumeme muhammad hakupewa hiyo nafasi ya kumuombea ami yake kisa tu hakua muislam je makonda ni nani
Kuwa mzalendo na kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kuna wakati mwingine tunaomba dua na ndio iunakua makaa yetu wenyewe
Wacheni ujinga kuweka haki na batili km kuonekana mwema huyo samia atakuona pamoja na huyo konda yake ila njaa isikupindishe safari yako kenge ww
Kuwa mzalendo na kumuunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
anaeombwa hapo ni allah, anae ombewa allah hamkubali, hapo sasa allah amjaalie makondo aukubali uislam, na atupe mwisho mwema. na afya njema kwa mufti.
Mc kadogoo
Njaa hii itatupeleka motoni kwa wema gani waliokua nao ccm mpka ukawaombee dua
Acha element za kishetani wewe; kwahyo unataka viongozi wanaotuongoza tusiwaombea ili watusimamie vizuri au unataka Mambo yaharibike kwenye Tanzania 🇹🇿 yetu; acha hizo, siyo njaaa ,fikri kabla ya kutenda
@@nehemiamwasile8696 hawa mafisadi labda uwaombee wazidi kuimaliza nchi