MUFTI MKUU WA TANZANIA NIROGENI MNAJUA NATOKA WAPI/SITAKI UNAFKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • UP SOUND,….DUA,….MUFTI ABOUBAKARI BIN ZUBEIR AMEYASEMA HAYO MJINI BAGAMOYO MKOANI PWANI ALIPOKUWA AKIZUNGUMZA NA WAISLAM WALIOFUZU KOZI YA UONGOZI UTAWALA BORA NA TEHAMA YALIYOANDALIWA NA BARAZA KUU LA WAISLAMU TANZANIA BAKWATA KUPITIA PROGRAMU YAO YA BAKWATA ONLINE ACADEMY,…MUFTI ABUBAKAR ZUBEIR,…..MUFTI MKUU WA TANZANIA.
    AKIZUNGUMZIA USHIRIKIANO MIONGONI MWA WAISLAMU KATIKA KUTEKELEZA MAMBO MUHIMU KWA MASLAHI YA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU NA JAMII KWA UJUMLA MUFTI ABOUBAKARI ZUBEIR AMESEMA,….. ABUBAKARI ZUBEIR,..MUFT MKUU WA TANZANIA,..ZAINAB ABDALLAH,..MKUU WA WILAYA YA BAGAMOYO.
    MWISHO.

Komentáře • 109

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před 2 lety +9

    Huyu ndio shekh ndio tuompenda sisi hakuna majungu nidini naumoja tunaitaji Masha Allah, Allah akuweke Wallahi

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před rokem +1

    Mimi ni mkristo nampenda sana huyu Shekhe Mkuu Hana ubaguzi wa dini anawapenda watu wote.

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Před rokem

    Manshaallah hayo maendeleo ndiyo twayataka Islam ni taasi ya Allah kila mwislam anao wajibu wa kujitolea kwa ajili ya maendeleo ya hapa duniani na akhera

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Před rokem

    Mwenyez mungu anasema kull lhaqa laukana muuraa. sema ukweli japo unauma.mufti umeusema ukweli na umewauma wanao husika na mambo ya majungu majungu na wanaopenda majungu na fitna siwafanyaji wa kazi na wala hawapendi amani na umoja.Allah atupe ujai mrefu afya njema sote na muft wetu.atae muomba ubaya muft wetu na hasada allah ampe gharika kuubwa adui huyo ashindwe kuliepuka amiin amiin amiin insha allah.

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Před 2 lety +3

    Hata wakisema hivyo kwani hawajui elim yatokea wapi kama si tanga ni kenya kwa hiyo tumpe uongozi asiejuwa dini. Dr fanya kazi usisikilize maneno. Allah akuhifadhi na kila lenye shari na wew

    • @amourmaftah258
      @amourmaftah258 Před rokem +1

      Nnnnh....Tanga Tanzania small mind sina hakika kama unaifamu historia ya Uislam sijui TUMBATU na KILWA SONGOMNARA zukua haziumbwa usitupie mawazo uvundo ktk Public ..

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 Před rokem

      @@amourmaftah258 Kwani We Hujui Tanga Ni Kitovu Cha Ilmu Tanzania?

    • @kimbeiyeiddrisaally7532
      @kimbeiyeiddrisaally7532 Před rokem

      We kakuambia Nani elimu inatokea Tanga na Kenya ???? Zilipendwa hizo . Sema usufi umeenea huko .

    • @yasoroso3704
      @yasoroso3704 Před rokem

      Hakuna coast line bila Zanzibar ndio elimu kubwa ilipofatwa afrika mashariki czcams.com/video/5CGY1oWyrwM/video.html

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 Před 2 lety +2

    بارك الله فيك المفتي

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před rokem +1

    Wewe ndo mufti namba moja Africa nzima

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 Před rokem +1

    Mm binafsi Mufti mmoja tu ndo nilikuwa namkubali ni marehemu Hemed Bin Jumaa mwenyezi mungu amuweke mahala pema peponi Amin 🙏

  • @rasulhamadi657
    @rasulhamadi657 Před rokem +1

    Khakika uwongozi ndio unahitaji watu kama nyinyi shekhe mungu akupe umri wa kukutosheleza endelea bado kidogo tu watakuelewa tu ni aybu kuona Kaka zetu wanagombna kwa Jambo hata lisilowahusu baba tengeneza tunahitaji amani

  • @idrissally4416
    @idrissally4416 Před 2 lety +7

    Mufti maneno yko kama msanii vile hayapo kama Sheikh. Alaf waashiria ushirikana unao kwa maneno yko vile . Allah akuongoze wewe pamoja namm

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před rokem +1

    I love you kufti tunakupenda saaana mzee wetuu

  • @fettyrash4054
    @fettyrash4054 Před rokem

    Nawaza nakuona vip ,mnyonge Mimi,ninae nyimwa hakuyng .sisikilizwi

  • @AhmedMohamed-un4zh
    @AhmedMohamed-un4zh Před rokem

    Duh duh
    Sasa hii jalsa ya wasimamizi wa waislamu tanzania
    Kama kijiweniiii
    Watu wnaapiga keleleeeee
    Wanatishana kuroganaaaa

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před rokem +1

    Safi

  • @salamasaleh7077
    @salamasaleh7077 Před rokem

    Safi sana shekh wangu

  • @user-iy3so7qr5i
    @user-iy3so7qr5i Před rokem +1

    Houondio ukweli

  • @sultanmikoi
    @sultanmikoi Před rokem +1

    Mufti wa Ukweli...
    Aboubakri Zubeir

  • @ibnumarwaonlinetv4456

    MashaAllah mungu akunawirishe duniani na Akhera

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 Před rokem

    SUB'HANALLAH....DUNYAA...

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před rokem +1

    Sheikh unatakiwa uwe mkali sana Ili kuvunja majungu yote Ili Baraza liwe mwanga katika jamii.

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 Před 2 lety

    Asante mufti

  • @moodyhassany8928
    @moodyhassany8928 Před rokem

    😂😂😂 akuna kitu hapo kiongozi unakasilika inaelekea watu wamepiga kwenye mshono

  • @mustafawazirikinolo8717
    @mustafawazirikinolo8717 Před rokem +1

    Watu watambiana ushirikina Innallilah wainnailahi rajiun

  • @kachembarama4289
    @kachembarama4289 Před rokem +1

    Huyu ndio mufti sasa

  • @ismailmsisa6362
    @ismailmsisa6362 Před rokem

    Nnachokiona mimi nikutafuta ulaji kupitia dini lakini hapo hakuna muislam hata mmoja ni vitengo vya ulaji2 na uchawi ikiwemo huyo abuubakar zuberi ni mganga wakichawi alikuwaga akiwatibia viongozi waselikali ndio wakampa hicho cheo kama shukrani

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před rokem

    Nakupenda sana mufti wangu

  • @atufigwegelusajo955
    @atufigwegelusajo955 Před rokem

    duh mi nkajua utajivunia mwenyezi Mungu kumbe anajivunia anakotoka bhanaa

  • @asiakim7147
    @asiakim7147 Před rokem +2

    Mbona shekh wa mkoa wa dsm humtoi

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 Před 2 lety +2

    Uyu sheikh simkubali hata kidg ,njaa tu ,usheikh unakazi tusiwape tu majina ya usheikh

  • @zawadiramadhan6181
    @zawadiramadhan6181 Před rokem

    Mufti mwamba! Manyang'au wameisoma hyoo.
    " kama anasiri wataka kuroga nendaa, wajua sisi twatoka wapi?"

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 Před rokem

      Ina MAANA sihiri ya kwao ni Kali Zaid au Mimi ndio sijaelewa? Bora angejipiga kifua Kila sjku anasoma nyirad sihiri haitafua dafu

    • @zawadiramadhan6181
      @zawadiramadhan6181 Před rokem

      @@msafiriduwiya7765 anamaanisha kwa nyirad walizo nazo, hata hzo sihiri zao haziwez kuwapata(kuwadhuru) kama watakavyokusudia.

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 Před 2 lety +1

    Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiuun

  • @yasminsalim291
    @yasminsalim291 Před 2 lety +1

    Nimeanza Kukupenda Shekh Wangu

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Před rokem +1

    Madalali wa Mashia haaahaaahaaa Dini mlishashindwaga zamani mmebakia Kudalalia Mashia.

  • @salummwanga8181
    @salummwanga8181 Před rokem

    Ktk watu ambao cjawahi kumwelewa uyo mzee nkiwa namsikiliza, wao ni Dunia tu na wanahukumiana kwa mujibu wa BAKWATA cyo kwa mujibu wa Qur'an, akhy dini kwanza, apa ndo mjue kuungana ni ngum kwa sababu watu wanahukumiana Sheria zao c Quran na Sunna, afu hawa watu wanapenda xna uchawi kwa kukosa Tauhid, NASAHA ata kama imetoka kwa mdgo ipokee tu, somen kwanza Tauhid, kuwen na Fiqih ktk uzungumzaji yaan apa mtu anaongea tu huenz elewa nn kinalegwa hasa, Ukilongwa Allah ndo hukadiria ima uchawi ukufike au laa, wote tumelogwa lakn alhamdulillah tupo hai kwa sababu chuki za zao na malengo yao bado allah hajakadiria uchawi wao utufike, tutegemee kwa Allah SUBHAANALLAH.

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 Před rokem

    Hya mufti tuambie umetokea wapi

  • @davidchungu6598
    @davidchungu6598 Před rokem

    HAYO MAPETE VIDOLENI NI MAPETE YA KICHAWI HAYO

  • @abubakaryabdallah4708

    Innalilah wainnailah rajiun

  • @allykisuda4568
    @allykisuda4568 Před rokem

    Siasa ndani ya dini

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před 2 lety

    Wewe vidio umechuaje mbona umechua kifitna

  • @allyally5124
    @allyally5124 Před rokem

    Nyie mamufti wenye uchu wa madaraka. Allah anawaona. Na Moto upo...

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Před rokem +1

    MUFTI MWENYEWE NI MTAMBO KUMBE MMMMMH😂

  • @tabibumtumbuka9503
    @tabibumtumbuka9503 Před rokem

    bakwata amna jipya .walimu wamadrasa amuwajali migogolo yamisikitn amuijali pia muna wapotosha watu mwez mtukufu walamazan .

  • @adamhajiwamahuwa605
    @adamhajiwamahuwa605 Před 2 lety

    Wap muft w umezid upole sna umeshindwa kuwajibish ht mmoja inamaana wote niwasafi?

  • @habibtybilat1525
    @habibtybilat1525 Před rokem

    Asalam aaleykum warahmatuAllah wabarakatuh, naweza pata namba ya mufti?

  • @omaryseshambi6468
    @omaryseshambi6468 Před 2 lety +2

    INNALILLAH

  • @allyal-sharawymwadini3111

    Muft wa Tanzania bara upo vzri sana na mipango ya maendeleo

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Před rokem

    Binafsi sijawahi kumsikia anaongea speech kama sheikh mkuu

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Před rokem

    Shekhe kachafukwa na roho waambie wamezidi kuleta Majungu kila uchao

  • @akimuabdallah8039
    @akimuabdallah8039 Před 2 lety

    Ameanza kujitambua na mwambie shekhe wa mkoa wa daressalaam ajitambue anayumba sana na Bado yupo

  • @machintangachibwena5922

    Bora ulivyo muondoa mkweo shehe wa mkoa wa Dar reslaam nae alikuwa na majungu mengi

  • @sheikhabdul-raufalmunaawiy3367

    czcams.com/video/6HyMwGdAs1w/video.html
    *SHEIKH ALHAD MUSSA, ALLAH HAOGOPI KITU CHOCHOTE.*
    SHEIKH ABDUL-RAUF KAGIMBO ALMUNAAWIY

  • @abdulrahim21278
    @abdulrahim21278 Před rokem

    Shirk ni ballaaaaa hata hajaeliwi

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 Před rokem

    Bora mlevi wa Pemba kuliko shehe wa Bara 😂😂😂😂😂😂 msemo wa wapemba uo

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 Před rokem +1

    Wachawi wakubwa

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k Před rokem

    Kumbe ndio maana Alhad mussa ametimuliwa

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před rokem

    Mbona anaongea kama MWIJAKU?
    pia anatangaza ubingwa wa uchawi ndio nini?
    Aibu gani hii yaa rabbi!!
    Mufty anatangaza urging?
    Ilikuwa kidogo tu aseme msituletee mambo ya ki.....

  • @mrok284
    @mrok284 Před 2 lety

    Mnajitia rangi kwenye mikutano ya dini ya kiislamu!!!?

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 2 lety

    Katika kitu kinachotutesa waislamu ktk nchi yetu Ni kusimamiwa na wanazuoni wa kisufi

  • @shakilaramadhani9866
    @shakilaramadhani9866 Před 2 lety

    Allah amjalia kumuongozo amen

  • @mohamedabrahman9642
    @mohamedabrahman9642 Před rokem

    Vip Muft mbona unajaziba ondoa mashegh wa mikoa tunga kamat huru uonyeshwe madudu yanayo fanyika. Tumia busara ktk kuondosha mukar naona umejazibika mzee umri umeenda nite nije kukusaidia mm

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      Akinyamaza mnasema khanisi, na akisema mnasema kajazibika. Sasa nini afanye?. Maana wanafiki huwa haulai haaulai

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Sheikh Sasa ametakabari

  • @mkijilukali2010
    @mkijilukali2010 Před rokem

    Uislamu unakwenda wapi mbona tunayumba dini imekua kama kikundi

  • @abubakarmwasumilwe7070

    Hovyo tu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před rokem

    Do!!! Kuna kazi?

  • @jafariramadhani
    @jafariramadhani Před rokem

    Njoo huku siha usafishe

  • @ahmadmuhammadnguri1770

    Tatizo maulidi nn tenaa

  • @sharifuburuhani1969
    @sharifuburuhani1969 Před rokem

    Kama Mufti ananadi ushirikina Hadharani hivi waumini itakuwaje?

    • @stevenmhina7915
      @stevenmhina7915 Před rokem

      Balaa na nusu ni ile jisaidie na mimi nitajusaidia. Ameongea maneno mazito mwisho ubinadamu umemshinda anasema unajua natoka wapi. Ni kutoa kitisho kwa sababu na yeye anaogopa uchawi😢😢

  • @mwinjumaganga2995
    @mwinjumaganga2995 Před 2 lety

    Kumbe ndio mana

  • @aminanassoro6861
    @aminanassoro6861 Před 2 lety +1

    Makhurafi

  • @allymohamedstima8431
    @allymohamedstima8431 Před rokem

    Innaalillaahi wainnah ilayhi raajiun kweli hizi ni dalili za qiyama bakwata jitathmini kuna akhera

  • @mbarakamwakivuma2858
    @mbarakamwakivuma2858 Před rokem

    MUFTI CHAPA KAZI TUKO NYUMA YAKO IWE JUA AU MVUA BAKWATA TUTAZIDI KUISAPOTI

  • @sudihammad7387
    @sudihammad7387 Před rokem

    Hahaha inshu mashia wanatukana maswahaba si kwa ukimya wako

  • @khamisiabdallah8737
    @khamisiabdallah8737 Před 2 lety +1

    Wanatamniana uchawi wahuni haw

  • @abuuammar4924
    @abuuammar4924 Před rokem

    Kurogana tena

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před 2 lety

    Maneno gani hayo Muft leo .Kumbe boss wako serikali .Na wewe unaogopa majungu .Duh!Muft anatetea ugali.Mbona hayo maneno tofauti kabisa na adhi yako we mtu mkubwa ujue usijisahau.

    • @jumbalasauti
      @jumbalasauti Před rokem

      Hamkosagi wenye comment km hizo zako.hamnaga jema. Kipi kibaya alichozungumza? Au bas uwe unaenda kumpangia Maneno ya kuongea.yawe sambamba Na unavyotaka wewe

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety

    Tunahitaji muft kama huyu safisha wanafiki wote

  • @omarymunga9741
    @omarymunga9741 Před rokem

    Mufti nimpendapesa ameeneza ushia sababu yapesa

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Před rokem

      Mpango wa shetani kubaguana unamchukia Bure tu hata sio yeye

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 Před rokem

    KWELI BAKWATA NI MKUSANYIKA WA NYERERE KWA TANGANYIKA