MbeyaYetuOnlineTV
MbeyaYetuOnlineTV
  • 5 945
  • 24 576 708

Video

TISA( 9) WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI MBEYA
zhlédnutí 2,2KPřed dnem
TISA( 9) WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI MBEYA
IDARA YA UHAMIAJI YA MULIKWA MAFUNZO MAREKANI, WASHIRIKI WATOA DIRA KUKABILIANA NACHANGAMOTO.
zhlédnutí 39Před dnem
IDARA YA UHAMIAJI YA MULIKWA MAFUNZO MAREKANI, WASHIRIKI WATOA DIRA KUKABILIANA NACHANGAMOTO.
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Beijing nchini China
zhlédnutí 190Před dnem
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Beijing nchini China kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC)
Serikali yajibu Uholela wa Usajiri wa laini za Simu
zhlédnutí 123Před dnem
Serikali yajibu Uholela wa Usajiri wa laini za Simu
Huwezi pata kiongozi kwa mara zote wa aina ya Dkt. Tulia. Ndele Mwaselela
zhlédnutí 133Před dnem
Huwezi pata kiongozi kwa mara zote wa aina ya Dkt. Tulia. Ndele Mwaselela
Tunaomba Wanawake mtuachie tuongoze Taifa hili. Mhe Sophia Mwakagenda
zhlédnutí 62Před dnem
Tunaomba Wanawake mtuachie tuongoze Taifa hili. Mhe Sophia Mwakagenda
Dkt. Tulia atoa majiko na mitungi ya Gesi zaidi ya 1000 kwa mama Lishe na Baba Jijini Mbeya
zhlédnutí 322Před dnem
Dkt. Tulia atoa majiko na mitungi ya Gesi zaidi ya 1000 kwa mama Lishe na Baba Jijini Mbeya
Sheikh Ibrahim Bombo akememea mauaji nchini
zhlédnutí 65Před dnem
Sheikh Ibrahim Bombo akememea mauaji nchini
MEYA wa Jiji la Mbeya Dourmohamed Issa Aguswa na Ubunifu wa Dkt. Tulia
zhlédnutí 148Před dnem
MEYA wa Jiji la Mbeya Dourmohamed Issa Aguswa na Ubunifu wa Dkt. Tulia
TULIA COOKING FESTIVAL 2024. SIKU YA PILI
zhlédnutí 111Před dnem
TULIA COOKING FESTIVAL 2024. SIKU YA PILI
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA 2024 AWAPONGEZA MBEYA UWSA
zhlédnutí 261Před dnem
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA 2024 AWAPONGEZA MBEYA UWSA
.Dkt Stephen Mwakajumilo aamua kujikita kwenye kilimo
zhlédnutí 248Před dnem
.Dkt Stephen Mwakajumilo aamua kujikita kwenye kilimo
CPA. Gilbert Kayange Atoa neno Baada ya Mwenge kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Mwansekwa Itagano
zhlédnutí 161Před dnem
CPA. Gilbert Kayange Atoa neno Baada ya Mwenge kuweka jiwe la Msingi Mradi wa Maji Mwansekwa Itagano
MWENYEKITI CCM MSTAAFU MBEYA ATANGAZA KUACHA SIASA, AJIKITA KWENYE KILIMO, NI DKT MWAKAJUMILO
zhlédnutí 542Před dnem
MWENYEKITI CCM MSTAAFU MBEYA ATANGAZA KUACHA SIASA, AJIKITA KWENYE KILIMO, NI DKT MWAKAJUMILO
Dkt. Tulia ni Mtu wa kufikika MEYA wa Jiji la Mbeya Dourmohamed Issa
zhlédnutí 272Před 14 dny
Dkt. Tulia ni Mtu wa kufikika MEYA wa Jiji la Mbeya Dourmohamed Issa
MBUNGE SUMA FYANDOMO, AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MIRADI MBALI MBALI YA MAENDELEO MKOA WA MBEYA
zhlédnutí 133Před 14 dny
MBUNGE SUMA FYANDOMO, AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MIRADI MBALI MBALI YA MAENDELEO MKOA WA MBEYA
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika Mradi wa Maji Mwansekwa -Itagano
zhlédnutí 160Před 14 dny
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika Mradi wa Maji Mwansekwa -Itagano
SHULE YA 'BABA MZAZI' LAWENA NSONDA INAVYOWAFUNDISHA MAZOEZI YA UKAKAMAVU KWA WANAFUNZI WAKE
zhlédnutí 272Před 14 dny
SHULE YA 'BABA MZAZI' LAWENA NSONDA INAVYOWAFUNDISHA MAZOEZI YA UKAKAMAVU KWA WANAFUNZI WAKE
KANISA LA UREJESHO KIPENTEKOSTE WAELEZA MALENGO YAO WAOMBA KIBALI KWA SERIKALI WAAHIDIWA KUTIMIZIWA
zhlédnutí 102Před 14 dny
KANISA LA UREJESHO KIPENTEKOSTE WAELEZA MALENGO YAO WAOMBA KIBALI KWA SERIKALI WAAHIDIWA KUTIMIZIWA
SERIKALI YA AHIDI KUBORESHA HUDUMA YA MAWASILIANO MADABA RUVUMA
zhlédnutí 59Před 14 dny
SERIKALI YA AHIDI KUBORESHA HUDUMA YA MAWASILIANO MADABA RUVUMA
Mahafali ya Kwanza Darasa la Saba Holly Land pre and primary school Makongolosi Yafana
zhlédnutí 337Před 14 dny
Mahafali ya Kwanza Darasa la Saba Holly Land pre and primary school Makongolosi Yafana
Mradi wa Maji Mto Simba Ijombe washika Kasi wakazi wa Tembela na Mwasanga kunufaika
zhlédnutí 121Před 14 dny
Mradi wa Maji Mto Simba Ijombe washika Kasi wakazi wa Tembela na Mwasanga kunufaika
MH. MAHUNDI, ATOA MSAADA WA COMPUTER, 10 KWA SHULE YA CARMEL PRE AND PRiMARY SCHOOL
zhlédnutí 185Před 21 dnem
MH. MAHUNDI, ATOA MSAADA WA COMPUTER, 10 KWA SHULE YA CARMEL PRE AND PRiMARY SCHOOL
DKT. TULIA ATEMBELEA MRADI WA MAJI CHANZO CHA MTO KIWIRA-MBEYA
zhlédnutí 379Před 21 dnem
DKT. TULIA ATEMBELEA MRADI WA MAJI CHANZO CHA MTO KIWIRA-MBEYA
Tulia Trust Kuandaa Mashindano ya Mapishi kwa Mama na Baba Lishe Mbeya Mjini,
zhlédnutí 159Před 21 dnem
Tulia Trust Kuandaa Mashindano ya Mapishi kwa Mama na Baba Lishe Mbeya Mjini,

Komentáře

  • @user-zb5qz6fk1v
    @user-zb5qz6fk1v Před 16 hodinami

    Kila siku lawama kwa madereva . Barbara zenu vinaviwango ???? Ubovunwa Barabara mbeya bado Anjali haziishi tengenezeni Barabara kwanza

  • @MusheheMohamed
    @MusheheMohamed Před 18 hodinami

    Poleni Sana nduguzetu

  • @PhilipoTitus
    @PhilipoTitus Před 20 hodinami

    Nimkuelewa kaka

  • @RamadhaniKiduba
    @RamadhaniKiduba Před dnem

    Hivi mtu anaiba mtoto anahukumiwa miaka nne tu kama vile kaiba kuku angefungwa miaka kumi ndo funsisho kwa wengine

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 Před dnem

    Na ule utarattibu wakubandika namba za makamanda kila mkoa uwepo

  • @rosekaricho4652
    @rosekaricho4652 Před dnem

    East Africa who are endorsing chairman for au may God visit you for

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před dnem

    Na watu ndio sisi asante sana

  • @nicodemashaggite8429

    Jeshi la polisi ni shida sana katika nchi hii!!! Kiongozi mwenye nia ajifanye abiria Kwa Siri aone yanayotokea!!!

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před dnem

    KUKAMATA WEZI NA KUWATEKA WATU NDO MNAKIWEZA TU

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 Před dnem

    Mpaka watu wapoteze Maisha , ndio wahusika na wenye mamlaka hutoa maagizo ya nini cha kufanya. Inasaidia nini?? Mungu awaweke mahali pema waliofariki na waliojeruhiwa awaponeshe majeraha yao haraka . Mungu ndie mtoa yote tuzidi kumwomba atujalie Maisha sisi tuliobaki , Amin

  • @RumiSimkanga
    @RumiSimkanga Před 2 dny

    Hakika inauma sana jaman mungu atusaidie na tujitahid kuomba

  • @rodrickchonde
    @rodrickchonde Před 2 dny

    Inahuzunisha sana kwa matukio ya ajali kupelekea vifo, ulemavu, lakini kutokana na taarifa ya mkuu napenda kunukuu imebainika kidhibiti mwendo kimechezewa tangu July sasa swali ni kwamba wenye mamlaka baada ya kubaini walikuwa wapi kuchukuwa hatua leo wanatoa taarifa kujikosha baada ya tukio huu ni uzembe na wao wamechangia.

  • @DeboraIlomo
    @DeboraIlomo Před 2 dny

    Jamani kiukwel abilia tuwe makini.japo abilia nasisi tunakuwa hatuna uelewa.mm naweza kimwambie deleva kuwa apunguze mwendo.mwingine atatokea humo humo kwenye gari anasema endelea na mwendo huo huo.sasa hapo kitakach fuata ni makelele na si kupunguza mwendo.namadeleva punguzeni bangi unapo ona upo kwenye chombo cha moto.

  • @SharifaMako
    @SharifaMako Před 2 dny

    hiyo Barbara ya Chunya ni dume kweli kweli Ina hitjika udereva wakujihami sana

  • @TumainiLwila
    @TumainiLwila Před 2 dny

    Poleni

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo Před 2 dny

    Kona mbaya dereva ndio mkodaji vubao vpo njia anapira kila sk just ajali haina kinga,, speed gavana zipo kabatini?

  • @ramadhanihudhaifani4376

    Tunamuomba Allah Awarehemu waja wake wote ambao tayari wamesharejea kwake,Amiin! Pili,Awaponye wale wote ambao wamepata majeraha,InSha Allah!

  • @SonsShop-m5x
    @SonsShop-m5x Před 2 dny

    😢😢😢

  • @AsedJames
    @AsedJames Před 2 dny

    Huo ni uzembe wa mdereva

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Před 2 dny

    Jaman watu wamechanganyikiwa maisha mangum mwisho wasiku tunajua wehu 😊

  • @MartinDismas-ou5oy
    @MartinDismas-ou5oy Před 2 dny

    VPoleni sana😢😢

  • @moiseszacariasmoisesmoises

    😢ewe mwokozi wetu warehemu wapenda wetu ámen 😢

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 Před 2 dny

    Mungu awaguse walio Pata pigo Hili pamoja na watanzania Kwa ujumla, poleni Sana,,,

  • @davidfelician2903
    @davidfelician2903 Před 2 dny

    utu dereva kwa nini alikuwa mwendokas ivoo achukuliwe hatua na leseni irudishwe

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 2 dny

    Mkoa gani w bongo asee upi

  • @JeremiaMlay
    @JeremiaMlay Před 2 dny

    Kwakifupi Sheria zinaongelewa kwenye vyombo vya habari lakini kiuhalica akuna chochote kinachoendelea

  • @AsanteMsafiri-v7h
    @AsanteMsafiri-v7h Před 2 dny

    Babu nakwaminia lalanayo iyo,,,,,

  • @AsanteMsafiri-v7h
    @AsanteMsafiri-v7h Před 2 dny

    Babu nakwaminia lalanayo

  • @user-xx6pp8co4n
    @user-xx6pp8co4n Před 2 dny

    Hivi swala ni bango aj ni madereva kuwa makini kwa sababu huyo dereva sidhani kama ni mgeni kwenye hiyo barabara. Ni uzembe na wanafanya mashindano ya kwenda kasi. Wapumzike kwa amani na majeruhi nawapa pole.

    • @user-mb3wt1ep7d
      @user-mb3wt1ep7d Před 2 dny

      Ishu kubwa abiria Wenyewe tuwe watu wa kwanza kuwa makin na madereva wetu.haiwezekan kaka dereva atumwagie mizigo yetu mara ya kwanza.alafu tena arudie mwendo ule ule

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 2 dny

    Shida askari watapewa rushwa. Sijui tuliombee vipi jeshi la polisi. Ipo shida sana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 2 dny

    Hivi madereva wa mabasi wana akili gani?

  • @ShedrackBishaza-qd4vq

    Mama nae kitu kinajibu nyuma ,mungu awalaze mahala pema pepon

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u Před 2 dny

      😂😂

    • @GodfreyMlay-n8p
      @GodfreyMlay-n8p Před dnem

      Wallay mm mwenyewe simjui huyo mama lakini huyu lazima ni wachuga tena ungalelo ni msela kiukweli et kona mbaya kitu kinajibu nyuma

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 2 dny

    Ndo wanaosema kafara mabosi wanatoa ni udereva wa kindezi tu

  • @PauloMassawe-py6eb
    @PauloMassawe-py6eb Před 2 dny

    Jamanimbeyakunaninimbonakilakikuchaajaliyakutishanakuuwawatukunafremasonhuko

  • @MosesKaaya
    @MosesKaaya Před 2 dny

    Shida pia abiria wanakaaga kimya,ata pale wanaona dereva anaendesha kwa mwendo kasi,

  • @MabulaVincent
    @MabulaVincent Před 2 dny

    Nikweri Baba tusaidie

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před 2 dny

    Viongonzi.hamjitambui.wakifa.watu.ndio.mnajitokeza.kuongea.ujinga

  • @childrenincrisisfoundation562

    KWA WENZETU DEREVA AKISABABISHA AJALI YA VIFO/KIFO LESENI INACHUKULIWA NA KUIPATA HADI AENDE TENA MAFUNZO ! SISI JE?

  • @happynesmakuru8371
    @happynesmakuru8371 Před 2 dny

    😢😢

  • @SholeBigsaund
    @SholeBigsaund Před 2 dny

    Pole sana best

  • @Nyanimzee
    @Nyanimzee Před 2 dny

    Laki

  • @gasperandrew3719
    @gasperandrew3719 Před 3 dny

    Kwa upande wangu mm naona sio sawa kufukua mwili uliozikwa tayari. Hata kama kuna utata lakini familia ya marehemu ingemwachia Mungu tu kwasababu kama ni mtu kufariki kashafariki. Ila kufukua mwili uliozikwa sio sawa kwa upande wangu. Kama nimeongea pointless naomba mnisamehe ni kwa maoni yangu2

  • @BesterSigalla
    @BesterSigalla Před 3 dny

    Mweee

  • @ZabibuZabibu-y8i
    @ZabibuZabibu-y8i Před 3 dny

    Innalillah wainnalillah rajuun

  • @EdwinMgaya-r3m
    @EdwinMgaya-r3m Před 4 dny

    Mchezo

  • @AfricanCriff
    @AfricanCriff Před 4 dny

    Kuusu bala bala ap tuzingatiwe

  • @IratubonaRahma
    @IratubonaRahma Před 4 dny

    Uyuni brayan daikon

  • @IratubonaRahma
    @IratubonaRahma Před 4 dny

    Non yesu

  • @EsterKumpuga-n6c
    @EsterKumpuga-n6c Před 4 dny

    Polen sana

  • @kalingaasukile8730
    @kalingaasukile8730 Před 4 dny

    Duu,hakuna siku inapita bila ajali hapa Tanzania 😢😢