omg he is look like is let dad I was luck to meet nyerere in real life well done makongoro I have remember him everyday he was our hero we get our independent historical leader this country and makufuli
Jamani kuzaa ni kuzuri saaana! Yaan jamaa anavyokua mzee ndio inazidi kuja picha ya baba ake uson mwake kichwa chake kikijaa mvii ndio itakua kabisa nyerere mtupu!
Mimi ni mmoja niliyesoma sehemu kubwa ya elimu yangu bure kwa sababu ya sera za Nyerere. Nililipa Shilingi kumi na tano karo ya darasa la kwanza na la pili tu, baada ya hapo ikawa elimu bure hadi chuo kikuu. Na hata nilipokwenda kusoma Masters degree sikulipia chochote kwa sababu ya skolaship ya GTZ; elimu pekee niliyolipia maishani mwangu ni ile ya Ph.D. tu!!.
Km unaamin kuw makongoro ni comedian mzur tia likes hapo chin
omg he is look like is let dad I was luck to meet nyerere in real life well done makongoro I have remember him everyday he was our hero we get our independent historical leader this country and makufuli
Jamani kuzaa ni kuzuri saaana! Yaan jamaa anavyokua mzee ndio inazidi kuja picha ya baba ake uson mwake kichwa chake kikijaa mvii ndio itakua kabisa nyerere mtupu!
Haya bana,,mzee uko vzr kama namwona mwalm 😁😁😁
Safi sana Makongoro 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Mimi ni mmoja niliyesoma sehemu kubwa ya elimu yangu bure kwa sababu ya sera za Nyerere. Nililipa Shilingi kumi na tano karo ya darasa la kwanza na la pili tu, baada ya hapo ikawa elimu bure hadi chuo kikuu. Na hata nilipokwenda kusoma Masters degree sikulipia chochote kwa sababu ya skolaship ya GTZ; elimu pekee niliyolipia maishani mwangu ni ile ya Ph.D. tu!!.
unafanana sana na mzee
Hahahh..masikio popo
Future President
Nani ampe nchi!!!
Hahaha at masikio popo
Ety masikio popo
Mmmh utaagaika xana
Masikio popo
kumrudisha mpenzi siku3;peteyabahati:0658535229
WEWE MAKONGOLO NI MMOJA KATI YA WATU WALIO CHAFUA JINA LA MWALIMU NYERERE
pumbafu weee nyerere hajawah kuchafuka
@@shabanifundi2544 matusi nikitambulisho cha chadema, hivo sikushangai
Kivip
Hahaha at masikio popo