Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAKONGORO NYERERE: NAMSHUKURU RAIS KUNITEUA/NILIKUWA SITEULIWI "KAMA UNIONYESHI BANGO HUO NI UMBEA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 05. 2021
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Komentáře • 74

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 3 lety +7

    He is one of the best leaders in Our country

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 3 lety +7

    Mungu akakupe nguvu za kuongoza mkoa mgumu,wenye mitihan ya madini ,mzee wewe ni mtu wa kufurahi muda wote, ni mcheshi👍👍👍sana.Nakupenda sana kama nilivyokuwa nampenda hayati baba wa taifa Nyerere.

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 Před 3 lety

      Huyu mtu haongeki hawekeki sawa walanguzi wa madini wakae mkao wa vilio, mpenda haki daima haonekani kirahisi na hata alipotolewa pia ni hasara kwa chama ila kwa wale wafitini sasa wanatakuwa wanafurahia kutolewa kule ndani

  • @evarinenathaniel9838
    @evarinenathaniel9838 Před 3 lety +11

    Hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kuiinua, Family ya Julius Nyerere.

    • @rehemajuma2202
      @rehemajuma2202 Před 3 lety +1

      Hongera.mama Samia kwa kumuona Makongoro yaani alisahaulika KBS hats mama Maria atakuwa kafurahi sn

  • @dianamkita6571
    @dianamkita6571 Před 3 lety +4

    Uncle Mako Hongera sana...

  • @collinsbiwott5792
    @collinsbiwott5792 Před 3 lety

    Nyerere,sasa chapa kazi.Asante kwa mama mheshimiwa kumkumbuka nyerere,na watu wote wa Butiama.

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617

    Wallah nimefurahi sana uteuzi wa Makongoro

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 Před 3 lety +14

    Makongoro karibu Manyara best brother. Tunajivunia kumpata mkuu wa mkoa toka ktk familia ya mzalendo na mkombozi wa taifa letu

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 3 lety +3

    Mimi huyu jamaa na ukoo wao nawakubali Sanaa

  • @priscaoscar9263
    @priscaoscar9263 Před 3 lety +2

    Hongera sana

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 3 lety +4

    Hongera sn Mr Makongoro...piga kazi mzee ....

  • @OmarOmar-ew9zs
    @OmarOmar-ew9zs Před 3 lety +4

    Namuona nyerere ndani ya makongoro

  • @irenemsumba6776
    @irenemsumba6776 Před 3 lety +2

    Hongera baba yangu mungu akuongoze

    • @suleimanmohamed4367
      @suleimanmohamed4367 Před 3 lety

      Huyu mzee makongoro ni mzee wa busara Sana Mana mcheshi Sana na mtajivunia Sana .

  • @iuem5792
    @iuem5792 Před 3 lety +4

    I like that Watanzania tuko wengi.Nampemda sana Mama Samia,Naamini kuna siku Mungu atanipa nafasi nionane nae.(1)Nitamwombea(2)Nitamshauri kitu.

  • @nangaypaul3795
    @nangaypaul3795 Před 3 lety

    Makongoro uko vizuri

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 3 lety +3

    Jamaaa kichwa sana....ameongea vzr

  • @jumachillo7329
    @jumachillo7329 Před 3 lety

    Kila nikimsikiliza makongoro napata picha kwa nini walikuwa hawampi vyeo. Jamaa yuko vizuri .

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 3 lety +1

    Usiongee Sana mkuu utatobolewa Sana we piga kazi

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 3 lety +11

    Amestahili anafaa ataweza

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 Před 3 lety +5

    Mabango si unioneshe tu Mimi jamaa yako Niko pale mkuuwako wa mkoa😀😀😀😀 anko Mako

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 3 lety +2

    Si unAona walikunyanyapa Sana baana kapige kazi bana

  • @nestor384
    @nestor384 Před 3 lety +3

    Mpango ni kumuondoa Makongoro kamati kuu Makongoro kwake si ukuu wa mkoa Inasemekana ni mtu wa mzaha publicly but yuko serious sana hasa mambo ya maana yanapokiukwa.

  • @sophiasophia6945
    @sophiasophia6945 Před 3 lety +2

    Umeongea vizuri sana mzee Makongoro Nyerere Mungu akulinde daima

  • @annajhoni9418
    @annajhoni9418 Před 3 lety

    Vizuri

  • @cleverlandmusicbyshakur423

    mzee naliona tabasamu lale

  • @maximilianngenzi2857
    @maximilianngenzi2857 Před 3 lety +3

    Na umshukuru mungu maana kama ulikua unagundu na umri umeenda

  • @fatmashaame7365
    @fatmashaame7365 Před 3 lety

    Mmh napita

  • @mainguburemo6186
    @mainguburemo6186 Před 3 lety +1

    Alitakiwa awe Raisi bado nafasi anayo. Tukuombee uwe Raisi wakati wako ukifika.

  • @genardmkude9598
    @genardmkude9598 Před 3 lety

    Mbona usiku umeingia km zimeenda Sana ataweza kweli speed ya kazi

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 Před 3 lety +6

    Naamini wewe ni mtu mzima itumiae nafasi hii kuutangazia umma kuwa wewe ni kaka wa Taifa. Sifa/ majigambo/ zarau usionyeshe tendea wanamanyara haki ili utuwakilishe wanamara.

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 3 lety +2

    Makongoro ni mcheshi

  • @oraionsabibi2756
    @oraionsabibi2756 Před 3 lety +2

    Mtoto wa baba wa taifa ilitakiwa upewe urais

  • @wazirabbasy1652
    @wazirabbasy1652 Před 3 lety +6

    ndio maana nikasema yule veronica mirembe full.

  • @bikilamngashabani3263
    @bikilamngashabani3263 Před 3 lety +1

    Kaonyeshe makeke ya marehemu baba wa taifa

  • @zenj1986
    @zenj1986 Před 3 lety +1

    Sasa wengine wamestaafu kwasababu ya umri na nwengine umri ndio huo huo lakini ndio kwanza wamechaguliwa. Sasa mbuna sielewi

    • @allyathumani6856
      @allyathumani6856 Před 3 lety

      Huyu baba mbona mzee sana kuliko mkuu wetu wa mkoa mama Anna mngwira si bora angeajiri mabint aliomaliza vyuo 2015 wengi wanaangaika tu mzee kashachima vya kutosha

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 Před 3 lety +1

    Eti usinionyeshe bango mm jamaa yako nipo pale unasubir mkuu wa nnchi c umbea huo😃😃😃 ni kweli mkuu nakubar

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 Před 3 lety +2

    Anaongea kiutu uzima

  • @lennykiganga4763
    @lennykiganga4763 Před 3 lety

    Ulikua huteuliwi? kwan umeambiwa hii nchi ni ya ukoo au

  • @karyori69
    @karyori69 Před 3 lety

    Huu mdomo umefanyaje tena mbona kama umebabuka sana? Angalia babu mama na wale wanaofanana na jamaa wa Mkuu wa Mkoa wa zamani hawatakaa!

  • @saidmanjanjagara55
    @saidmanjanjagara55 Před 3 lety +1

    Hivi ni kweli kabla ya kuteuliwa huwa hawaulizwi? Au Mr. Makongoro anatuficha tu?

    • @mussasuleiman8609
      @mussasuleiman8609 Před 3 lety

      Huulizwi hiyo kazi wanafanya watu wa usalama wa taifa wew utaona tu taarifa mtandaoni na tarehe ya kuanza kazi
      Halafu baada ya hapo ukiona huwezi unaomba kubadilishwa ila huna hiyari ya kugomea na ikitokea ukagoma basi wew itakua umestaafu utumishi wako popote pale utapokua iwe serikali au binafsi

    • @ezekielkiduge7607
      @ezekielkiduge7607 Před 3 lety +1

      Raisi wetu we we una ubinamu sana Maraisi wengi sana wamepita hawajawahi kuikumbuka familia Mwalimu umefikria vizuri aksante

    • @saidmanjanjagara55
      @saidmanjanjagara55 Před 3 lety +1

      @@ezekielkiduge7607 Mwandazake pamoja na kumtaja baba wa taifa kila mara kwa mazuri yake lkn hakuikumbuka familia yake kwa uteuzi licha ya kuwa na sifa. Pia mama ameikumbuka familia ya Sokoine, nani aliwahi muona mjane wa hayati sokoine publicly kama sio kpndi hiki cha awamu ya 6? Hongera sana mama yetu mpendwa SSH

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 3 lety

      @@saidmanjanjagara55 na kweli kabsa

  • @nasibukilasa9117
    @nasibukilasa9117 Před 3 lety +3

    Acha pombe umezeeka jitathimin usimuagushe aliyekuteua

  • @nurudinmwakisale1509
    @nurudinmwakisale1509 Před rokem

    Uyu Ni mtu wawat Ni mstarabu mno

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 3 lety

    Umbea muda mwingine unasaidia

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 3 lety +1

    Anaonekana mlevi sana huyu

    • @suzanfelix8065
      @suzanfelix8065 Před 3 lety +1

      😅😅😅matendo tazama matendo utamtambua

  • @johnyty498
    @johnyty498 Před 3 lety +2

    huyu ding kaisha ni kumtesa tuu

    • @ndalusanzekassim5902
      @ndalusanzekassim5902 Před 3 lety +3

      Binadam jamani sasa ameisha nini hapo? Hamkosagi la kusema mbona? Mtu na nguvu zake ameisha nini? Mbona humtakii mema mwenzako?

    • @suzanfelix8065
      @suzanfelix8065 Před 3 lety

      😅😅

  • @archd21
    @archd21 Před 3 lety +1

    safi sana

  • @bikilamngashabani3263
    @bikilamngashabani3263 Před 3 lety +1

    Kaonyeshe makeke ya marehemu baba wa taifa

  • @nasibukilasa9117
    @nasibukilasa9117 Před 3 lety

    Acha pombe umezeeka jitathimin usimuagushe aliyekuteua