MAKONGORO NYERERE "Rais MAGUFULI,una UTASHI WA AINA YAKE, MPAKA CORONA IMETUKIMBIA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2020
  • MAKONGORO NYERERE "Rais MAGUFULI,una UTASHI WA AINA YAKE, MPAKA CORONA IMETUKIMBIA!
    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
    Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 30

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 4 lety +18

    Mtoto kama baba,safi sana familiya ya hayati Julias Kambarage Nyerere.(Makongoro)

  • @depaolo3461
    @depaolo3461 Před 4 lety +5

    🤭🤭🤭Like Father like son... Daaaah... Imekaa vzr Sana hii

  • @jacklinemwebesa868
    @jacklinemwebesa868 Před 4 lety +12

    Kama baba yake jaman

  • @andrewvedastus6958
    @andrewvedastus6958 Před 4 lety +2

    Thanks for the good speech, you are my mentor,,,,,,

  • @amanisima9357
    @amanisima9357 Před 4 lety +3

    Makongoro nmependa ulivyoongea🙌🙌safisana

  • @aminabakari2598
    @aminabakari2598 Před 4 lety +13

    Yupo kama babayaake vile akiongea akicheka

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 4 lety +17

    Hahaha mpk corona imetukimbia. .makongoro ananikumbusha baba wa Taifa wana joke fulani hivi zinafanana

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 Před 4 lety +5

    Nyerere kopiiiii

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv4873 Před 4 lety

    Heshima mpeni Mungu, na watumishi wake baadaye!

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 4 lety +9

    Hahahaha da! Hi ndio copy ya Nyerere sasa....

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety

    Duuh sasa hivi kazeeka hivi bordgad mpaka anacheka anavyoongea makongoro

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 4 lety +4

    TUFANYE UTANI WA JADI KIDOGO HAPA: MTAMBIKIE KWANZA MSIJE KUONDOKA NA BARAKA ZOTE ZA IKULU NA KUPAACHA IKULU PEUPE !!!

  • @morandraymond8602
    @morandraymond8602 Před 4 lety +5

    Ila mzee kaondaka na uongozi wake hakuna aliye mlisi kwa uwajibikaji yani utafikili jpm ndiyo ametokea kwa mzee Nyerere anavyo muenzi mwalimu kwa vitendo yani baba wa taifa ameka madarakani miaka shilini basi inabidi tubadiri katiba nae apige twenty ili taifa lipige hatuwa

  • @elsonbilingaho3323
    @elsonbilingaho3323 Před 4 lety +2

    Bro Nina wimbo wangu unaitwa nitampata by lentrich upo kwenye hi channel yangu vip unaweza kuupromote hata kwa kuuposti hafu mm tukaongea

  • @mtakamaonline7748
    @mtakamaonline7748 Před 4 lety

    Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 22-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 4 lety

    N

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 Před 4 lety +1

    Huyu mlevi akishapewa fungu anasifia tu bila mpango

    • @phillipmbuligwe7946
      @phillipmbuligwe7946 Před 4 lety +1

      Mh! Tujiepushe na kutoa kashfa bila sababu za msingi. Je wewe huna udhaifu wowote? Utajisikiaje ukikashifiwa kwa sababu ya udhaifu ulio nao? Ingependeza sana kama maneno yako yangefanana na jina lako. Leta Neema badala ya laana!