Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Like nyingi wanaompenda makongoro
Dah hua nampenda sana huyu mzee makongoro anachekeshaga sana yaana hua sichoki kumsikiliza
Magongoro anafanana sana na Mama Maria jamani 🥰🥰🥰🥰
Huyu jamaa hana tofauti na mzee majuto nimecheka sana leo
Hana tofauti na marehemu baba yake
Mh!!! Kwhili la makongoro kwnd vita ya kagera hakika ni mfn mkubw sn wa kiongoz bora asiye na upendeleo na umimi. RIP Mwl.
Didn't know mwalimu Nyerere ako na mtoto mzee hivyo wamefuanana wow! Na mbona sijaai muona kwa gorverment? Anyway love from Kenya
uyo ni mtoto wake wa 3, ni mtu mkubwa ndani ya chama cha ccm pia amekuwa mbunge wa bunge la Africa Mashariki kwa mda mrefu
@@juenimusimu6359 shukran kwa kunijulisha boss
Ana shida gani?
Jamani huyu mzee anafanana sana baba yake pia ni mcheshi kwelikweli!
Amaa kweli nyoka anazaa nyoka!
Mimi maafande nawafahamu, nawaheshimu sana 🤣🤣🤣🤣
Na imagine huyu angekuwa mtoto wa kenyatta
🤣🤣🤣🤣 siku hizi uraia umekua mgumu sana, mpaka uwe na pochi 🤣🤣
😂😂😂😅 jamani nafurahia anapo mpaa mkono 🤝🤝
Future President of united republic of Tanzania
Namkumbuka vizur sana makongoro Nyerere alikua kiongoz wangu arusha mwaka 1995 lkn mahakama ilitengua uongoz wale. Alikua anapenda sana kuja mtaa wa bonden sana.
Safi
Hapo kuna upepo mwingi
Like nyingi wanaompenda makongoro
Dah hua nampenda sana huyu mzee makongoro anachekeshaga sana yaana hua sichoki kumsikiliza
Magongoro anafanana sana na Mama Maria jamani 🥰🥰🥰🥰
Huyu jamaa hana tofauti na mzee majuto nimecheka sana leo
Hana tofauti na marehemu baba yake
Mh!!! Kwhili la makongoro kwnd vita ya kagera hakika ni mfn mkubw sn wa kiongoz bora asiye na upendeleo na umimi. RIP Mwl.
Didn't know mwalimu Nyerere ako na mtoto mzee hivyo wamefuanana wow! Na mbona sijaai muona kwa gorverment? Anyway love from Kenya
uyo ni mtoto wake wa 3, ni mtu mkubwa ndani ya chama cha ccm pia amekuwa mbunge wa bunge la Africa Mashariki kwa mda mrefu
@@juenimusimu6359 shukran kwa kunijulisha boss
Ana shida gani?
Jamani huyu mzee anafanana sana baba yake pia ni mcheshi kwelikweli!
Amaa kweli nyoka anazaa nyoka!
Mimi maafande nawafahamu, nawaheshimu sana 🤣🤣🤣🤣
Na imagine huyu angekuwa mtoto wa kenyatta
🤣🤣🤣🤣 siku hizi uraia umekua mgumu sana, mpaka uwe na pochi 🤣🤣
😂😂😂😅 jamani nafurahia anapo mpaa mkono 🤝🤝
Future President of united republic of Tanzania
Namkumbuka vizur sana makongoro Nyerere alikua kiongoz wangu arusha mwaka 1995 lkn mahakama ilitengua uongoz wale. Alikua anapenda sana kuja mtaa wa bonden sana.
Safi
Hapo kuna upepo mwingi