MAKONGORO NYERERE: NAPENDA WANAWAKE /NILIKUA NASEMWA MTOTO WA NYERERE KAHARIBIKIWA/AHSANTE SAMIA

Sdรญlet
Vloลพit
  • ฤas pล™idรกn 18. 05. 2021
  • ๐•Ž๐”ธ๐•‹โ„‚โ„ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐•‹๐• ๐Ÿ“บ
    ๐—”๐—ญ๐—”๐— -๐Ÿฐ๐Ÿญ๐Ÿญ | ๐——๐—ฆ๐—ง๐—ฉ ๐Ÿฎ๐Ÿต๐Ÿฒ | ๐—ญ๐—จ๐—ž๐—จ-๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿด
    ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ฅ๐—ง๐—œ๐— ๐—˜๐—ฆ-๐Ÿฐ๐Ÿฐ๐Ÿฐ & ๐Ÿฏ๐Ÿฏ๐Ÿฏ | ๐—–๐—ข๐—–๐—ข๐—ก๐—จ๐—ง ๐—ง๐—ฉ-๐Ÿฎ๐Ÿฌ |๐——๐—ผ๐—ฑ๐—ผ๐—บ๐—ฎ๐—–๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ-๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฏ
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐˜ƒ/
    ๐•ƒ๐•€๐•Š๐•‹๐”ผโ„• ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐”ธ๐”ฝ๐•€ ๐”ฝ๐•„ ๐Ÿ“ป
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐Ÿ“ป | 104.1 DODOMA ๐Ÿ“ป | 94.5 ARUSHA ๐Ÿ“ป | 97.3 MBEYA ๐Ÿ“ป | 94.9 MWANZA ๐Ÿ“ป | SHINYANGA 106.3 ๐Ÿ“ป | KIGOMA 101.7 ๐Ÿ“ป
    ๐”ฝ๐•†๐•ƒ๐•ƒ๐•†๐•Ž ๐•Œ๐•Š ๐•†โ„•:
    ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ป๐‘จ๐‘ฎ๐‘น๐‘จ๐‘ด: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ถ๐—ป๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ด๐—ฟ๐—ฎ๐—บ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ป๐‘พ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ป๐‘ฌ๐‘น: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜๐˜„๐—ถ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ/
    ๐‘ญ๐‘จ๐‘ช๐‘ฌ๐‘ฉ๐‘ถ๐‘ถ๐‘ฒ: ๐—ต๐˜๐˜๐—ฝ๐˜€://๐˜„๐˜„๐˜„.๐—ณ๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฏ๐—ผ๐—ผ๐—ธ.๐—ฐ๐—ผ๐—บ/๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ณ๐—บ
    ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2020 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zรกbava

Komentรกล™e • 118

  • @evarinenathaniel9838
    @evarinenathaniel9838 Pล™ed 3 lety +10

    Be blessed my President Samia Suluhu. Umeikumbuka family ya Julius Kambarage Nyerere.

    • @lennykiganga4763
      @lennykiganga4763 Pล™ed 3 lety

      Hatuchaguliwi kwa fadhira kama ingekua hivo hata baba ake angemuweka serikalin nyie ndo mnaturudixha nyuma kwan familia ya nyerere ina nn muhim ni utendaj sio kukumbukana hapa

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Pล™ed 3 lety +3

    Mkapa kikwete magu mungu anawaona mmeumbuliwa na mama samia sjui waliwachukia kwann Hawa watt wa mzee nyerere

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Pล™ed 3 lety

    Hongera sana, mwalimu nyerere ametuachia arama isio futika๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Tanzania yetu sote

  • @reaper5534
    @reaper5534 Pล™ed 3 lety +10

    Safi mama. Sasa brother chapakazi husimwangushe mama yetu tafadhali. Hongera

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Pล™ed 3 lety

      "Husimwangushe" ndo nini? Hapo umeniacha kidogo tafadhali

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Pล™ed 3 lety +1

    Great sense of humor sana .. kipaji ya mzee wake

  • @yakobodeles6103
    @yakobodeles6103 Pล™ed 3 lety +4

    Hongera rc wetu njoo chapa kazi

  • @dianafyondi9048
    @dianafyondi9048 Pล™ed 3 lety +10

    Mama samia kafanya jambo jema sana. Kuimbuka familia ya baba yetu hayati mwalimu julias nyerele

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Pล™ed 3 lety +5

    What a memory, a moment and time to be living.

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 Pล™ed 3 lety +10

    Karibu manyara haswa mji ndogo wa Haydom-manyara,,tuwe na kilimo cha kisasa karibu sana

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Pล™ed 3 lety +6

    Manyara mpempata Agrey Mwanri mwingine mtaishi kwa kucheka na kutabasamu sana kwani ni mtu wa vichekesho ila ndani ya utendaji. Big up sana .

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 Pล™ed 3 lety +1

    Hongera.

  • @shaibutz1485
    @shaibutz1485 Pล™ed 3 lety +5

    Wasafi for life

  • @africa7479
    @africa7479 Pล™ed 3 lety +7

    Anapenda sana utani huyuuuu baba

  • @yasintamakongoro9458
    @yasintamakongoro9458 Pล™ed 3 lety +4

    Nakuombea Sana my lovely dady

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Pล™ed 3 lety +1

    Uko sawa makongoro nyerere

  • @neemaernest4167
    @neemaernest4167 Pล™ed 3 lety

    Hongera

  • @paulinanyanzala9072
    @paulinanyanzala9072 Pล™ed 3 lety +1

    Anaweza na anafaa sana kaonesha makali yake wanaojificha kwa kilaji ni wafukunyungu

  • @reaper5534
    @reaper5534 Pล™ed 3 lety +10

    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Wanawake oyeeee!

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Pล™ed 3 lety +3

    Hata mimi sina Jingi la kusema ๐Ÿ™

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Pล™ed 3 lety +14

    Ila huyu mkuu wa mkoa wa Manyara makongoro nyerere tutaona mengi vituko vingi kama Agrey Mwanry mzee wa Toronto soma iyooo

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 Pล™ed 3 lety +3

    Huyo Makongoro anapotential sana ila hajapata nafasi ya ku-shine! Mimi namiona kama Presidential material kusema ukweli ila let's wait and see.

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Pล™ed 3 lety

      hata mdogo wake madaraka. nilimsikiliza akiwa miongoni mwa walitoa documedntary ya mzee Nyerere; acha tuu

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Pล™ed 3 lety +3

    Jamaa kaingia ikulu akiwa vyombo sasa cjui akiwa mwenyewe itakuajee aiseee big up faru john (konyagi)

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Pล™ed 3 lety +2

    Ongera naomba ukafanye vizuri kazi kama mama yetu kipenzi alivyokuamini na kuheshimu kazi aliofanya baba yetu wa taifa letu

  • @fredrickmalunde3426
    @fredrickmalunde3426 Pล™ed 3 lety +2

    Reporter yupo vizuri muno

  • @costandunguru7603
    @costandunguru7603 Pล™ed 3 lety +10

    Hajabebwa, alishakuwa mbunge akiwa NCCR, pia alishawahi kuwa mkiti was cha wa mkoa, na amekuwa MNEC, anavigezo.tusiwe na mtizamo hasi tu

    • @praygodmtui1407
      @praygodmtui1407 Pล™ed 3 lety

      Umeongea ukweli ana uwezo Wa kutosha ila watu wana tabia ya kuchafua wengine

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 Pล™ed 3 lety +8

    Yuko poa

  • @princesgiven4720
    @princesgiven4720 Pล™ed 3 lety +2

    Duuuh huyu kweli cjui

  • @jackjoshua3666
    @jackjoshua3666 Pล™ed 3 lety

    Namfaham kwa kiasi kidogo naweza sema Wana manyara mna neema kubwa yakuwa na baba uyu hakika mtaona matunda yake

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Pล™ed 3 lety +2

    Huyu ni politician na siasa anaweza. Na Ana bahati Sana ya kupendwa popote anapokwenda. Na hua Hana madharau. Pamoja na kwamba ni mtoto wa baba wa Taifa lakini anaishi kawaida sanaaa

  • @nikutusyamsokwa3476
    @nikutusyamsokwa3476 Pล™ed 3 lety

    Sins shaka naMakongoro,an utulivu was kutosha

  • @jumaubwa239
    @jumaubwa239 Pล™ed 3 lety

    Naona upooo...,

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 Pล™ed 3 lety +1

    Mdomo umeufanyeje makongoro, pole babuuu

  • @dadapechi
    @dadapechi Pล™ed 3 lety +2

    Jingi la kusema . Kiswahili hichi

    • @maishadeus7173
      @maishadeus7173 Pล™ed 3 lety

      Hta wew hujui hichi ndio nini

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Pล™ed 3 lety

      @@maishadeus7173 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Pล™ed 3 lety +5

    Hawa watoto wa baba wa Taifa wanazeeka na ndio wanazidi kufanana na baba yao kwa sura kuna yule Madaraka mm namkubali sana yupo makin sana ila makongoro bwana labda kwa vile amekua mzee atapiga kazi ngoja tumuone kwanza utendaji wake kwanza ila rais tunamshukuru kwa kuwakumbuka watoto wa baba wa Taifa letu Tanzania

  • @mussaelisha3733
    @mussaelisha3733 Pล™ed 3 lety

    Anaweza Sana kwani wanalima ?

  • @abdulrahmanpaskalina7627
    @abdulrahmanpaskalina7627 Pล™ed 3 lety

    Vizuri unajua unachopaswa kufanya kulitumikia Taifa.

  • @samtabusitha6422
    @samtabusitha6422 Pล™ed 3 lety +8

    nakubal

  • @ismailmohammed8418
    @ismailmohammed8418 Pล™ed 3 lety

    C.makongoro nyerere ! Mimi binasfi ninakufahamu na kuamini utafanya kazi kubwa ! Ur social to people hogera

  • @nadewakala5089
    @nadewakala5089 Pล™ed 3 lety

    Mzee ugepuzika tu kwani hatuna vijana waliisoma manyara nawaomba manyara tufanye kazi kwa Bodii mbunge wetu atutuletea maedeleo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Pล™ed 3 lety

    Kwa huyu , kazi ipo,,,,

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 Pล™ed 3 lety +1

    Amekumbukwa mtoto wa mzee Nyerere hata hivyo babayao hakupiga pesa wale maisha yao yote km kina Fulani watoto wao wanakula bataa hadi tujukuu

  • @lennykiganga4763
    @lennykiganga4763 Pล™ed 3 lety

    Acha tuone kazi zikiongea sio mnamsifu kwa mahaba tu kwan kuwa mtt wa nyerere ndo kufanya kama nyerere, kama angekua mzuri sn hata baba ake asingeacha kumpatia uongoz

  • @joevang4685
    @joevang4685 Pล™ed 3 lety

    mbona kama aliingia kapiga vitu

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 Pล™ed 3 lety

    Makongoro miaka za 80 alikuwa makini sana ila tuu alitulizwa sana kifamilia la mwalimu lisije kuleta taswira mbaya na maadui wa Ujamaa na kujitegemea, lakini mama Samia amafanya teuzi la maana sana,....uongozi wa mama italeta heshima kwa watanzania wote ila bado uteuzi kwa akina Sunche Kapeto.....

  • @immanlazalo8992
    @immanlazalo8992 Pล™ed 3 lety

    Piga kazi

  • @stevensulle1200
    @stevensulle1200 Pล™ed 3 lety

    KARIBU MANYARA

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Pล™ed 3 lety +6

    Huyu kwa vigezo sidhani ila sababu mtoto wa Nyerere

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 Pล™ed 3 lety

      Mtu kasoma unasema kwa kua mtoto wa Nyerere

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Pล™ed 3 lety

      Vigezo unavyoongelea ni vipi huyu alikuwa katika siasa muda mrefu sana basi tu.

    • @anthonykondobole3962
      @anthonykondobole3962 Pล™ed 3 lety

      Kwn kuteuliwa kwa nafasi za serkali kunahitaji vyeti? Au unasoma katiba

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 Pล™ed 3 lety

      Huyu hajui chochote eb tutajie hivyo vigezo vya kuwa mkuu wa mkoa ili tukusaidie kuwa jamaa yuko fiti

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 Pล™ed 3 lety +2

    Huyu mama nimwenye huruma nakukumbka walio sailka abalikiwe xana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Pล™ed 3 lety

      Hivi ni swala la huruma na kukumbuka walio sahaulika ama ni swala la utendaji katika kuhudumia wananchi?

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Pล™ed 3 lety

      Huruma ya kujipendekeza kwenye HAKUNA. Waliomwacha hawakuwa na roho mbaya, walimtunza kama mtoto lkn wakijua kuwa pombe na kazi haviendi pamoja. Sitii neno leo Tusubirie KAZI iendelee.

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 Pล™ed 3 lety +1

      @@Zaburi- sio "swala" sema "suala"

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Pล™ed 3 lety +1

      @@chiefmahucha6847 thank you for correcting me

  • @godsonndamgoba1934
    @godsonndamgoba1934 Pล™ed 3 lety +2

    Na u NEC vip

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 Pล™ed 3 lety +1

    Duhโ€ Amezeeka haraka sana mbonaโ€

  • @geraldpallangyo7726
    @geraldpallangyo7726 Pล™ed 3 lety +6

    Uwache pombe weww

    • @mbwanakhamis9634
      @mbwanakhamis9634 Pล™ed 3 lety

      Kwn ni mlevi??

    • @mlandasymon1980
      @mlandasymon1980 Pล™ed 3 lety +2

      Aiseee km anakunywa aaache KBS, pombe haijawah mwacha mtu salama, hasa yeye km kiongoz mkubwa ajitathmin mara 2, bt nampenda sana huyu mzee, Nimempenda sana Mama Samia kumpa shavu huyu mzee, ashindwe mwenyewe sasa

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Pล™ed 3 lety

      Heti Acha pombe Ila sura inaonekana๐Ÿ˜‚ ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Pล™ed 3 lety

      Kumbe mlevi...je ?? Unauhakika na hilo ?? Usimwangalie mtu sura au mdomo....hiyo miaka tu nakupenda wanawake.

    • @hamismabula5813
      @hamismabula5813 Pล™ed 3 lety +2

      Mh! Humo kwenye vyama na serikali mbona wapo wengi tu wanaokunywa pombe!?
      Cha msingi atekeleze tu wajibu wake! Hata mama kamteua haina maana kwamba hajui kuwa anakunywa!

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Pล™ed 3 lety

    Huna makosa.......

  • @chifunyomboke3737
    @chifunyomboke3737 Pล™ed 3 lety

    Punguza gambe lakini

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Pล™ed 3 lety

    Kabla ya hapo alikuwa nani

  • @mariambilonkwa5183
    @mariambilonkwa5183 Pล™ed 3 lety +3

    Huyu na Anna mgwira mbona huyu anaonekana kazeeka xan

    • @marykarebeti9410
      @marykarebeti9410 Pล™ed 3 lety

      Hizo ni nafasi za kuteuliwa anaweza akateuliwa hata kijana wa miaka 18 AMA mzee wa miaka 70.

    • @mariambilonkwa5183
      @mariambilonkwa5183 Pล™ed 3 lety

      @@marykarebeti9410 mm nilikia amestaafishwa kwa 62yre

  • @ahz6907
    @ahz6907 Pล™ed 3 lety +2

    Basi jamaa utakuta usiku wa jana kuamkia leo kapiga pombe mbwiii na demu mkali wa kimburu ๐Ÿ˜…

  • @fatumaabdhul8620
    @fatumaabdhul8620 Pล™ed 3 lety +2

    Mbona anaonekana kama chapombe

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 Pล™ed 3 lety

      Mm na mshukuru mungu na mshukuru mama samia kwa kiikumbuka familia ya baba yetu mwalimu nyerere

    • @magrethmsuya5542
      @magrethmsuya5542 Pล™ed 3 lety

      Mama samia kwa wema na uruma nyingi uliyonayo naomba mungu kwa akili yako ata msiba usikuchome usizurike kwa chochote mama yetu, mungu akutunze mama

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Pล™ed 3 lety +3

    Huyo kateuliwa kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.

    • @nurukhalifa9413
      @nurukhalifa9413 Pล™ed 3 lety +2

      Aya na wewe subir kuteuliwa sababu sr name yako Budoya๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

    • @lusajomwaikambo6058
      @lusajomwaikambo6058 Pล™ed 3 lety

      Tatizo cha pombe.

    • @geraldswai5492
      @geraldswai5492 Pล™ed 3 lety

      Kwa hiyo

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Pล™ed 3 lety +1

      Hapana fuatilia historia yake utaona kwanza alikuwa mwanajeshi kisha siasa kaanza muda hata upinzani alikuweko sema tu baba yake alikuwa hampi nafasi tu.

    • @alinanineedom8442
      @alinanineedom8442 Pล™ed 3 lety +1

      Kumbuka alikua mjumbe wa kamati kuu na mjumbe wa NEC...pia ashakuaga mbunge jamhuri na Afrika mashariki

  • @yasinamiri7649
    @yasinamiri7649 Pล™ed 3 lety +1

    Usemi wa wahenga mtoto wa mtu ni mtu 2 na mtoto wa nyoka ni nyoka 2 ila mtoto wa shetani ni shetani mzoefu na ukiwa na damu ya dhuluma na chuki pia kizazi choko ufata mkondo +255 aka nguzo mia 100 zanzibari

  • @alljzayumbajuma8637
    @alljzayumbajuma8637 Pล™ed 3 lety

    Mzee wa bwaksi

  • @jumakiatu.628
    @jumakiatu.628 Pล™ed 3 lety

    asA.sA.aKiNi .mi.niMiLa.LA.giA.i.ljaNa.iLe.umE.me.Me.sA.iVi. aMuNa.ruKu.nDo.kA.mTu.uNiNu.nUa.LukU.uPaTi.wAngiNe.tuNi.lALa.giZa.seKaLi.muNgA.LiyE.wAnA.mChi.si.wAnGuiNe.tuNiLa.LA.giZa.sA.iVi.lk.rUkU.shiDa.f

  • @africa7479
    @africa7479 Pล™ed 3 lety +4

    Anapenda sana utani huyuuuu baba

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 Pล™ed 3 lety +4

    Hahhhhh...,Kazi iendelee bwana makongoro., kada mwenye historia yake. 1995 alikikacha chama chake akasema kimekiuka misingi yake...anatufundisha kutokata tamaa ktika maisha, uyu ni moja kati ya watoto Wa mwalimu alieonesha matamanio yake ya kuwatumikia wananchi tangu siku nyingi sana akipingana na matarajio ya baba yake tangu kipind icho