MAKONGORO NYERERE: NAPENDA WANAWAKE /NILIKUA NASEMWA MTOTO WA NYERERE KAHARIBIKIWA/AHSANTE SAMIA
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 18. 05. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
88.9 DAR/ZNZ/PWANI ๐ป | 104.1 DODOMA ๐ป | 94.5 ARUSHA ๐ป | 97.3 MBEYA ๐ป | 94.9 MWANZA ๐ป | SHINYANGA 106.3 ๐ป | KIGOMA 101.7 ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Be blessed my President Samia Suluhu. Umeikumbuka family ya Julius Kambarage Nyerere.
Hatuchaguliwi kwa fadhira kama ingekua hivo hata baba ake angemuweka serikalin nyie ndo mnaturudixha nyuma kwan familia ya nyerere ina nn muhim ni utendaj sio kukumbukana hapa
Mkapa kikwete magu mungu anawaona mmeumbuliwa na mama samia sjui waliwachukia kwann Hawa watt wa mzee nyerere
Hongera sana, mwalimu nyerere ametuachia arama isio futika๐๐๐๐๐๐๐๐น๐ฟ Tanzania yetu sote
Safi mama. Sasa brother chapakazi husimwangushe mama yetu tafadhali. Hongera
"Husimwangushe" ndo nini? Hapo umeniacha kidogo tafadhali
Great sense of humor sana .. kipaji ya mzee wake
Hongera rc wetu njoo chapa kazi
Mama samia kafanya jambo jema sana. Kuimbuka familia ya baba yetu hayati mwalimu julias nyerele
Kweli kabisa
What a memory, a moment and time to be living.
Karibu manyara haswa mji ndogo wa Haydom-manyara,,tuwe na kilimo cha kisasa karibu sana
Kabsa aje apambane na changamoto ya stend
Manyara mpempata Agrey Mwanri mwingine mtaishi kwa kucheka na kutabasamu sana kwani ni mtu wa vichekesho ila ndani ya utendaji. Big up sana .
Karbu manyara
Hongera.
Wasafi for life
Anapenda sana utani huyuuuu baba
Nakuombea Sana my lovely dady
Uko sawa makongoro nyerere
Hongera
Anaweza na anafaa sana kaonesha makali yake wanaojificha kwa kilaji ni wafukunyungu
๐๐Wanawake oyeeee!
Hata mimi sina Jingi la kusema ๐
Ila huyu mkuu wa mkoa wa Manyara makongoro nyerere tutaona mengi vituko vingi kama Agrey Mwanry mzee wa Toronto soma iyooo
๐๐
@@makulaikuku6909 Noma sana tujiandae kuazima mbavu tutacheka balaa
Huyo Makongoro anapotential sana ila hajapata nafasi ya ku-shine! Mimi namiona kama Presidential material kusema ukweli ila let's wait and see.
hata mdogo wake madaraka. nilimsikiliza akiwa miongoni mwa walitoa documedntary ya mzee Nyerere; acha tuu
Jamaa kaingia ikulu akiwa vyombo sasa cjui akiwa mwenyewe itakuajee aiseee big up faru john (konyagi)
๐๐
Ongera naomba ukafanye vizuri kazi kama mama yetu kipenzi alivyokuamini na kuheshimu kazi aliofanya baba yetu wa taifa letu
Reporter yupo vizuri muno
Fundi Mno
Hajabebwa, alishakuwa mbunge akiwa NCCR, pia alishawahi kuwa mkiti was cha wa mkoa, na amekuwa MNEC, anavigezo.tusiwe na mtizamo hasi tu
Umeongea ukweli ana uwezo Wa kutosha ila watu wana tabia ya kuchafua wengine
Yuko poa
Duuuh huyu kweli cjui
Namfaham kwa kiasi kidogo naweza sema Wana manyara mna neema kubwa yakuwa na baba uyu hakika mtaona matunda yake
Huyu ni politician na siasa anaweza. Na Ana bahati Sana ya kupendwa popote anapokwenda. Na hua Hana madharau. Pamoja na kwamba ni mtoto wa baba wa Taifa lakini anaishi kawaida sanaaa
Fact
Imekaa poa sana nami nakubaliana naww
Sins shaka naMakongoro,an utulivu was kutosha
Naona upooo...,
Mdomo umeufanyeje makongoro, pole babuuu
Kama dingi ake
Sigara sana hapo
Jingi la kusema . Kiswahili hichi
Hta wew hujui hichi ndio nini
@@maishadeus7173 ๐๐๐๐๐๐๐
Hawa watoto wa baba wa Taifa wanazeeka na ndio wanazidi kufanana na baba yao kwa sura kuna yule Madaraka mm namkubali sana yupo makin sana ila makongoro bwana labda kwa vile amekua mzee atapiga kazi ngoja tumuone kwanza utendaji wake kwanza ila rais tunamshukuru kwa kuwakumbuka watoto wa baba wa Taifa letu Tanzania
Anaweza Sana kwani wanalima ?
Vizuri unajua unachopaswa kufanya kulitumikia Taifa.
nakubal
C.makongoro nyerere ! Mimi binasfi ninakufahamu na kuamini utafanya kazi kubwa ! Ur social to people hogera
Mzee ugepuzika tu kwani hatuna vijana waliisoma manyara nawaomba manyara tufanye kazi kwa Bodii mbunge wetu atutuletea maedeleo
Kwa huyu , kazi ipo,,,,
Amekumbukwa mtoto wa mzee Nyerere hata hivyo babayao hakupiga pesa wale maisha yao yote km kina Fulani watoto wao wanakula bataa hadi tujukuu
Acha tuone kazi zikiongea sio mnamsifu kwa mahaba tu kwan kuwa mtt wa nyerere ndo kufanya kama nyerere, kama angekua mzuri sn hata baba ake asingeacha kumpatia uongoz
mbona kama aliingia kapiga vitu
Makongoro miaka za 80 alikuwa makini sana ila tuu alitulizwa sana kifamilia la mwalimu lisije kuleta taswira mbaya na maadui wa Ujamaa na kujitegemea, lakini mama Samia amafanya teuzi la maana sana,....uongozi wa mama italeta heshima kwa watanzania wote ila bado uteuzi kwa akina Sunche Kapeto.....
Piga kazi
KARIBU MANYARA
Huyu kwa vigezo sidhani ila sababu mtoto wa Nyerere
Mtu kasoma unasema kwa kua mtoto wa Nyerere
Vigezo unavyoongelea ni vipi huyu alikuwa katika siasa muda mrefu sana basi tu.
Kwn kuteuliwa kwa nafasi za serkali kunahitaji vyeti? Au unasoma katiba
Huyu hajui chochote eb tutajie hivyo vigezo vya kuwa mkuu wa mkoa ili tukusaidie kuwa jamaa yuko fiti
Huyu mama nimwenye huruma nakukumbka walio sailka abalikiwe xana
Hivi ni swala la huruma na kukumbuka walio sahaulika ama ni swala la utendaji katika kuhudumia wananchi?
Huruma ya kujipendekeza kwenye HAKUNA. Waliomwacha hawakuwa na roho mbaya, walimtunza kama mtoto lkn wakijua kuwa pombe na kazi haviendi pamoja. Sitii neno leo Tusubirie KAZI iendelee.
@@Zaburi- sio "swala" sema "suala"
@@chiefmahucha6847 thank you for correcting me
Na u NEC vip
Duhโ Amezeeka haraka sana mbonaโ
Maisha tu , mtaani kugumu .
61
Uwache pombe weww
Kwn ni mlevi??
Aiseee km anakunywa aaache KBS, pombe haijawah mwacha mtu salama, hasa yeye km kiongoz mkubwa ajitathmin mara 2, bt nampenda sana huyu mzee, Nimempenda sana Mama Samia kumpa shavu huyu mzee, ashindwe mwenyewe sasa
Heti Acha pombe Ila sura inaonekana๐ ๐คฃ๐๐
Kumbe mlevi...je ?? Unauhakika na hilo ?? Usimwangalie mtu sura au mdomo....hiyo miaka tu nakupenda wanawake.
Mh! Humo kwenye vyama na serikali mbona wapo wengi tu wanaokunywa pombe!?
Cha msingi atekeleze tu wajibu wake! Hata mama kamteua haina maana kwamba hajui kuwa anakunywa!
Huna makosa.......
Punguza gambe lakini
Kabla ya hapo alikuwa nani
Alikuwa mjumbe wa NEC
Huyu na Anna mgwira mbona huyu anaonekana kazeeka xan
Hizo ni nafasi za kuteuliwa anaweza akateuliwa hata kijana wa miaka 18 AMA mzee wa miaka 70.
@@marykarebeti9410 mm nilikia amestaafishwa kwa 62yre
Basi jamaa utakuta usiku wa jana kuamkia leo kapiga pombe mbwiii na demu mkali wa kimburu ๐
Sana tu
Unawaza ngono tuu. Mungu akukomboe ktk jina la Yesu.
Mbona anaonekana kama chapombe
Mm na mshukuru mungu na mshukuru mama samia kwa kiikumbuka familia ya baba yetu mwalimu nyerere
Mama samia kwa wema na uruma nyingi uliyonayo naomba mungu kwa akili yako ata msiba usikuchome usizurike kwa chochote mama yetu, mungu akutunze mama
Huyo kateuliwa kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.
Aya na wewe subir kuteuliwa sababu sr name yako Budoya๐๐๐๐๐๐
Tatizo cha pombe.
Kwa hiyo
Hapana fuatilia historia yake utaona kwanza alikuwa mwanajeshi kisha siasa kaanza muda hata upinzani alikuweko sema tu baba yake alikuwa hampi nafasi tu.
Kumbuka alikua mjumbe wa kamati kuu na mjumbe wa NEC...pia ashakuaga mbunge jamhuri na Afrika mashariki
Usemi wa wahenga mtoto wa mtu ni mtu 2 na mtoto wa nyoka ni nyoka 2 ila mtoto wa shetani ni shetani mzoefu na ukiwa na damu ya dhuluma na chuki pia kizazi choko ufata mkondo +255 aka nguzo mia 100 zanzibari
Mzee wa bwaksi
asA.sA.aKiNi .mi.niMiLa.LA.giA.i.ljaNa.iLe.umE.me.Me.sA.iVi. aMuNa.ruKu.nDo.kA.mTu.uNiNu.nUa.LukU.uPaTi.wAngiNe.tuNi.lALa.giZa.seKaLi.muNgA.LiyE.wAnA.mChi.si.wAnGuiNe.tuNiLa.LA.giZa.sA.iVi.lk.rUkU.shiDa.f
Lugha gani hii?
Anapenda sana utani huyuuuu baba
Hahhhhh...,Kazi iendelee bwana makongoro., kada mwenye historia yake. 1995 alikikacha chama chake akasema kimekiuka misingi yake...anatufundisha kutokata tamaa ktika maisha, uyu ni moja kati ya watoto Wa mwalimu alieonesha matamanio yake ya kuwatumikia wananchi tangu siku nyingi sana akipingana na matarajio ya baba yake tangu kipind icho
Thanksgivings
Kaka wa Taifa ๐คฃ๐คฃ