ROSE MUHANDO: NILITEKWA/ NICHAGUE KUUAWA KWA BASTOLA/NILIBAKI NA SUFURIA MOJA TU NYUMBANI
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
This woman is strong ....kama unamkubali .....gonga like
Pole mumy.mungu azidi kukutetea.maadui zako wote watashudia kuinuliwa kwako na mungua atawaabisha mchana kweupe
Ha wandike mungu
wanandika Mungu👍🏿
Pole sana Dada mapito umetîa nimagumu lakini Mungu unaemuimbia atakupanguza machozi siku utapofika kwake Mbinguni.
@@assielkaruranga6330 ndiyo kabisa muzee ! Mungu huandikwa kwakutangurizwa herufi kubwa.Mungu akubariki kabisa Damascene kutoka RWANDA
Dah so sad, ila mungu wetu ni muaminifu sana,
Who's watching from Kenya 🇰🇪 ❤️
🌹
Rose Muhandu
✋
Muhando
Rosi hadi wakuseme vipi sitaacha kukupenda mama💖walimsema Yesu mwana wa mungu na hata Leo wanamsema tu. Injili iendelee 👌👌
Love u Rose
Duh! Huyu mtangazaji ni noma!!!! Mungu ampandishe viwango na viwango juu sana....lakini Dada Rose, believe me nimeangalia hii nikiwa na mke wangu na umetuinua imani yetu sana...tumehisi machozi ya furaha....Mungu wa mbinguni asikupungukie.
Wangapi tunampa pole mama yetu
Pole Sana mama yetu
Pole sana lozi,ndani ya kanisa holo ni ushetani tupu
🙋♀️Pole sana mumy
Kabi
Pôle sana mama
Rose she is more of a preacher than a singer,mob love from kenya
Pole sana dada rose muhando
Pole kwa Yale uliopitia.
Daah sijawai kuangalia interview hadi mwisho katika mitandao ila kwa hii ni ya kwanza kuangalia hadi mwisho, kiukwel Mungu ni mwema kila wakati, omba sana utapewa usikate tamaa asante dada Rose kwa ujumbe wako
Nakumbuka nilipokuona ukiombea siku Amin nililia nikaamua kufunga siku tatu....na hakika wacha nifuraie wema wa Mungu majibu yangu yalijibiwa... utukufu umrudie BWANA Mungu wetu milele na milele Amina
Nyimbo za huyu mama zilinifanya na me na wenzangu kanisani tuonekane tunaweza kumwimbia Mungu so I appreciate Sana huyu mama anachofanya kimeinua wengi keep it up
Congratulations 👏🏽 to Kenya’s 🇰🇪 people’s who help Rose muhando 👏🏽🙏🏽✊🏿
YES..AMEN..
Dada Rose MUNGU anisamehe sana kwa sababu nilikuwaza vibaya
Nimesikia vibaya sad story aki Rose ametoka mbali nikitambo tangu nianze kukusikiliza Kenya we love you so much Rose 🇰🇪🇰🇪😍😍😍😍👍👍👍
Rose mtu humble sana..Jitie nguvu..wewe ni Queen of gospel 🙌
Dada nakupenda sanasana
Mungu u mwema sana
Wanyamaxishe bwana.wafunge midomo yao yesu.wapofushee
Hakika dadaetu ameshinda mitihani kwa uthabiti
Pole Sana malkia wa muziki 🙏🙏😥
Nyote mnaosoma comments huku mnaiwatch nawaombea dua mwenyezi mungu awazidishie maishani 🙏🙏🙏❤️❤️
Hhhhha tupo wengi ukweli
@@namdokondo1858 katika lipi
@@namdokondo1858h vv
Mbona husemi nani alikupiga Na Kwa niini upigwe
@@bolelambunda6554 hivi ndio tunataka tuchue ni kwa nn
Mama nilikuombea sana upone!Tunajivunia uwepo wako mama❤️❤️
Wowow
God is good
Siku hizi hell iko empty. Lucifer na ma agents wake wako kanisani🤔🤔🤔. Mungu a deal na hao mapepo wamejificha kanisani. Live long Rose🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kabiza''
THIS IS THE BEST INTERVIEW FROM WASAFI TV OF ALL TIME.
10/10 indeed !!!
I agree
Rose we Ni mtume wa mungu maana umeteseka Kama mitume na bado yesu hujamuacha songambele ubarikiwe
Kiapo: mm muta ntaendelea kuwa shabiki wa rose MUHANDO mpk nakufa maana tangu Niko mtt mpk leo........ Wanaokubaliana na kiapo hiki gonga like twende sawa na wasafimedia
Unajua maana ya kiapo wewe
Au unaapa tu ili upate like
Tangu mtoto siatokj seblen kuangalia Tv bila kumuona 🌹 Nampenda Sana
@@emmamatemu8225 naomba unieleweshe na maana ya like nnn
@@rayb9472 wooooow nakumbuka mbali mm uksema hivo enz hzo jmn jmn jmn nyie
For me l have been listening 🎧 to music 🎶 since l was 9 years upto now 29years. lt has changed my life may you live long Rose Muhando
Nakupenda sana my Rose, mimi ni miongoni mwa mashabiki zako kindandaki, umenifundisha vitu furani kupitia interview hii, umeniongezea imani, YESU akutendee tena na tena my dada. Love u sana🥰🥰
*Here in Kenya we love you very much Mom. God bless you and continue increasing you till your oppressors apologize*
In jesus mighty name 🙏🙏🙏
Pole sana mungu about nawe
Yaan Huyo mama anakitu kikumbwa saaan ndani ya moyo wake ambayo Ni siriii... Mie ni muislamu Ila Nampenda saan rozi mungu akutie nguvu
Pole sanaaa Ndg Mungu atakusaidia.
Sasa mbona unamwambia pole Alaa ama ni kwa sababu yeye ni mwislamu?
@@lilianmwenderanimwenderani1409 mb zenyewe za mawazo Kaa kushoto nguguni wa mwendo kasi Ww
@@lilianmwenderanimwenderani1409 @Amesema yeye ni mwislam na anampenda Rose ikimaanisha hata km ni mkristo Rose bado anampenda ingawa aliye comment yeye ni mwislam
This woman is a true preacher kogole mama kaza mwendo🙏🙌👏👏
Maskin Rose Bado anaogopa Sana mungu akutie nguvu katika jina la Yesu kristo amen ❤️🙏❤️
Amina, uzidi kuinuriwa
Umenitia moyo sana rose muhando yani kuna nyakati n mungu tu ndo anakuwa msemaji wa mwisho na kama mungu ajakuandikia kibaya mazuri yako mbele watachelewesha tu lakini lazima ufike pale mungu anapotaka ufike🙏🏻
Hugs mum
So sad 😭 God forgive them for what they did to you. Rose we love you and God love's you so much🙏
Yangeongelewa haya Magu akiwa hai ungesaidika .masikini Allah amrehemu Magufuli wetu
Hapa Malkia Umefunguka sana 😭😭😭😭... Uinuke mara elfu moja zaidi mama🙏🙏... Mungu wa Haki asimame atende
Roz nakupendaje!!! Yaan hakuna kama ww dunian kh mungu azid kukupigania yaan sijui nieme nn nakupenda had nalia
@@lucyhusein4043pole rozi
@@reginacletus7503 Wewe ni mahindi tu.
Mungu akutetee zaidi
Wewe ni mshindi
Pole Rose kwa yale uliopitia na ukavumilia,Mungu akubariki dada umewajenga wengi sana.
Nikweli Dada rozi nimekumbuka Mara ya mwisho kukuona nyumbani kwako nilimwambia mungu akukumbuke japo kwa dk. 5 tu! Ninashukuru kukuonatena
Ameen
Nilidhani Rose aliaga nashangaa kweli mungu ni mwema
Sina mengi,Rose nakupenda,na apo umefika ni mkono wa Bwana,#TRM loves more🙏
Nakupenda Sana Dada Rose Mhando, ujumbe wako katika nyimbo zako inamafaa Sana kwetu sisi wanadamu! Hongera Sana kwa yote tena pole Sana kwa mambo magumu ulio pitiya! Nakupenda kutoka Rwanda
Mungu ni mwema Sana kwako amekupitisha katka majaribu Ila umeyavuka..jina la mungu liimidiwe daima🙏
Mungu ni mkubwa siku zote, Hongera sana kwa kuyashinda mapito makubwa uliyoyapitia... Tunamuona Mungu ndani yako
Nakupenda saana mpaka mwisho ubakiye karibu n'a Yesu wako yatosha maneno mengi Rose amekufa rose Mungu akubariki n'a kutiye nguvu
Yaani Rose umetufundisha kitu kikubwa sana umetufundisha tumwamini na kumtegemea Mungu wetu wa Mbinguni bila kukoma.
Tumejifunza mengi kutoka kwako.
Ni maisha magum sana umepitia mama Rose 🌹 Mungu ndie kimbilio lako ndio maana unaishi mpaka sasa 😭😭😭😭😭😭
Wanyamazishe bwana...may the prayers you sang in the song be fulfilled and may you never stop worshipping God in truth and spirit @Rose Muhando...much LOVE and hugs from Kenya
PC pichai
Dada mwenyezi MUNGU amekukutetea. Na utafanikiwa zaidi ya hapo ulipo. Hayo ni mapito tu. Lakini hatima yako ipo palepale. Nakuombea sana MUNGU akubariki zaidi ya hapo ulipo.
@@simonmarwa586633 I
Ni kweli MUNGU AMEWANYAMAZISHA MAADUI WOTE WA ROSE MUHANDO .... mtumishi usiache kupaform SIKU zote, ..... Kushangaa usishangae madui wengi wetu kanisani ni wale watu tunaowajua kanisani Sana ndo uvaa sura ya shetani kutuvunja moyo na kutumaliza KIROHOO , ilashukuru Mungu kwaniaba yako Rose ulishinda majaribu
Pole sana mama angu ila Mungu mwema uko sawa Sasa Mungu akulinde sana ni mapito tu
Mungu aendelee kukutumia Rose Muhando, Ujumbe wa Mungu kupitia nyimbo unazoimba ni neno halisi na ujumbe huu unaishi. Be blessed my sister
Rose twakupenda saaana tena sana, wewe ni dada yetu, your pain is our pain, furaha yako ni yetu pia. Any time our doors are open for you.
I just love rose for free.....when I feel down I just listen to her songs and I feel my stress is gone
God bless you Rose muhando nakupenda sana kutoka utoto wangu , nilikutana nawe USO kwa uso nchini Rwanda kwangu.
Natumia Salimu yangu uyipokee tu. From 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇧🇷🇧🇷🇧🇷
She is a true inspiration to our generation Mungu akulinde ..
Dada Rose ni SIMBA jike
Mungu azidi kukuongezea zaidi na zaidi mpaka wabaya wako wakushangae🙏🏼🙏🏼Be blessed
Nakubali sana nyimbo zako rose
Pole mshukuru mungu Kwa Kila jambo
Wote walio hapa wanaompenda rose tumchangie hata elfu tano jamani🙏🙏🙏Gonga like kama umependa hili wazo
Ata Mimi nampenda sana mama jaman mungu akuinue zaidi
Amen nakupenda Sana mama wacha Mungu azidi kukubariki zaidi yamwanzoni kabixa wale waliokudhulmu wacha Mungu apigane nao❤🇰🇪
Rose Mungu akupe maisha marefu kuna kitu nimejifuza kwenye utumishi
God bless you Rose I have learn much from your testimony continue serving lthe Lord
Pole Sana mtu wa Mungu Mungu atusamehe tulipo kosea Rose Ndgu Yangu. Mungu uturehemu sana hatakwamawazo namitandao yakijamii
Uyu mama utumishi wake ume vitia watu wengi sana mungu akubariki siku zote za maisha yako
Daah hadi nimesisimka !! Tusiwaamini watu kwa kuwaangalia. Pole sana Rose
Majaribu ni mtaji wa kuongeza imani,nakupenda mama Rose Muhando, good job MC uko vizuri maswari mazuri interview nzuri kiujumla
😭Dada Rose ameteseka sana hadi ukiangalia mkononi ana makovu makubwa, Mungu atamuinua zaid na zaid
Mchaga OG salute sana frm🇰🇪🇰🇪 interview mzuri sana
Inasikitisha $anaa😪😪😪pole Sana Mama yangu Rose hayo ndiyo mapito ya duniani..
Inaumaga saana😭😭😭😭
Kwani Christina shusho hasaidiangi sijai skia ukimtaja
Today I hear this story for rose, akh sikujua,,, nakupenda sana rose na Mungu akuinue na akubariki
Wanaokutenda mabaya na wafe, wachawi wote ambao watainuka kupinga wewe na mambo Yako wafe leo
Rose a able lady who preach to the world true the song 🎵 congratulations the hero
Hiii kwangu ndiyo interview bora ya mwaka mpaka sasa👊.
Pole sana rose
Nimeangalia mara tatu ndio nimekoment polee sana Rose
Oh my God! I knew something was not right with all the inconsistent stories about Rose. My lawyer nose waited and I get to hear it now. Glory to the most high. It is well. It is well. Agenda ilipinduka. Lord thank you. Ultimately you prevail Lord.
It was so sad as they even faked her death,kweli mungu hamwachi mcha wake.your my favorite rose.my God stand with you always.from 254
Strong woman 🙏🏻🙏🏻💪🏽
Huyuu mamaa nyimbo zake zikipigwa hata leo unajuwaa mungu yupo apo ... na ninaamin mungu yupo pamoja nae
Ni kweli kabisa rose ana imba uyu dada
There's a reward serving God though its not easy passing through widelyness but you come out strongly i love you Rose
Rose Muhando, Mungu muumba wa Mbingu na Nchi akubariki sana !!! Ninakumbuka nyimbo za kugusa moyo bila kucheza sana
Hata ivyo iliufanikiwe ladhima upitie kila gumu ili uweze kufanikiwa pole sana mama Rose we love so much big up
Matezo ya mwenye haki,ni Mengi Wasamehe wote walio kutendea mabaya,na kunena mabaya juu yako,lakini kuna Mungu ashindaye zaidi ya yote, Rose Muhando Malkia nakupenda sana🙏#TRM
Ni kweli kabisa mateso ya mwenye haki ni mengi lakini Bwana humponya nayo yote
Pole sana kutoka Congo DRC
Love from Drc here....MUNGU ni mkubwa, pole sana n'a hongera sana.
So sad to hear this story and may God bless Rose Muhando.
Of all the interviews by mchaga OG this one wins 🏆it all..I almost cried 😢..
Tuna kupenda Sana huku kenya ROSE MUHANDO, from Kenya tunakutambua Sana Mom and, pole Sana for what you went through, TIME HEALS 🙏🙏❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Rose umeniliza kweli umetumiza sn mungu akulinde utokapo uendako mungu akutangulie nakuomba km utakuwa na kitu bado kinakutatiza Rose sema tupo yuma yako kweli kanisani kuna mashetani tena wamewapa uongozi
Nakupenda sana mama rozi ushuhuda wako ni ushahidi Tosha God bless you in every step you go
Pole dada Rose!! I've been through it I know how it feels. You didn't deserve any that and it wasn't your fault at all. Thank God you had a courage to fight for your freedom and here you are inspiring others. The Almighty God will rise you to the highest level. Sending youlove💞💖
Don't give up...sister Rose
rose mwenyezi mungu akupe uwezo wa kumshinda shetani na kusimama naye tu ili pia uwe kielelezo kwa sisi wote tunaomwamini mungu kuwa majaribu yapo na kushinda pia kupo tukiwa ndani ya yesu.Bwana yesu asifiwe sana.from kenya
Much love from Kenya❤❤❤❤to mama ROSE ❤❤❤God is powerful indeed🙌🙌🙌🙌.
You are a strong mum May God give u back all you lost we love always mama you always encourage young people like me much ❤from Kenya 🇰🇪
Ubarikiwe sana....natamani interview ingekuwa ata masaa matatu❤❤❤
Sorry for all what you have passed through but God is Wonderful and restored a great Testimony for Sister Rose. You are indeed a blessing and God continue fighting for you and setting a table for you before your enemies
Imani yako ikazidi kukuonyesha ukuu wake Yesu
You're more than a conquerer. A woman of faith. I have learned alot from you
Rozzzzzzy Muhando umepitia magumu sana sana tena sana,lakini kwa Mungu yote yawezekana kwani ni mtetezi wa wanyonge na alikukutea Hadi mwisho.Halelluyhaaaaaaa zote zimwendee Mungu aliye juu mbinguni 💯👏👏👏🔥🔥🔥💪❤️💓🌞🙏🇰🇪.
😭😭😭😭😭Pole daa Rose mungu akupee maishaa marefu ufuzee na wengine 🙏🙏🙌😭😭
🤔🤔😪😪😪eeh Mungu mregeshee vyote vilivyo liwa na nzige ❤❤❤❤
Mungu anatupenda wanandamu wambaya sana
Amen
Mama pole saana jamn watu wanaongea saana ila walikuwa hawajui, Mungu aendelee kukuinua zaidi malkia wetu wa mziki. I love you sana
She is chosen by God , she's is a💥 , Go go mum 🌹 Rose
Serikali ya Kikwete hiyo dah 😰😰
RIP Magufuli 😭😭
Pole sana Rose
Ben saanane na azory serikali ya nani?
Yaani haikua vita vya serikali hiyo ila ilikua vitavya rohoni aliokua akipitia dada rose 🌹
@@greesmi.i6631 kwamba alikuwa anapigwa kiroho
Rozi mama Mimi nakuelewa sana.Pole mama changamoto ni za mwanadamu.Utasimama tu.kumbuka pia pigo LA ayubu.Na hakuna Kitu kitu kibaya kama maumivu ya ndani na kukosa wa kumshirikisha.Baki na imani kwa Mungu.
She is a testimony and a living testimony to us all
Mama wa kipekee, mama wa taifa, much love from Kenya🇰🇪
Am encouraged b your testimony,many people accused but glory to God at least we know now what happed kweli umepitia mapito Dada.
Mungu azidi kumbariki, nyimbo zake zimetubariki sana na zinaendelea kutubariki,. Bg up #wasafimedia🔥🔥
Dah baada ya dhiki farajah,she is finaly back to her sense,God is powerfuly, waning kwa wasanii wanaomuacha mungu wa ukweli mungu wa zaman,wanaabudu baal mungu wa pesa mungu wa views mob yotube,their time is up!!!!
Amen nikwli nyimbo zake nifaraja kwtu hasa tukiwa kwyn magumu na machungu
Ni kwel mtumish niliwai kkuona kirumba ivoivo
Am very sorry for what u went through to make us happy with beautiful blessings songs, I love you ross
hadi nimelia kwa uchungu sana Mungu akutie nguvu ila unikumbuke na mimi nina kipawa cha kuimba naomba unisaidie dada yangu
Thank you Rose for your testimony I love your songs and am also a living testimony almost like you. May God give you the best. From Germany with love 🙏
Hey
God will never forsake his people, you are a very strong testimony,God aendelee kukuangazia🙏
Our God is faithful.
Tanzania has to do something kwa huyu mama...haki za wanawake ifanyie huyu mama kazi please...
Wanawake hawapendani katika hili hawawezi kusaidiana, haki za wanawake hakuna kitu
kasema kasamehe mpndwa mengne yakipta yaache nilikumiachia mungu
Pole Sana dada Rose Muhando Mungu Mkubwa 🙏🙏😭
Huyu mama mi namkubari Sana kwakweli pole mama changamoto ulizo pitia
Mungu azidi kukuinua usahau mapito yote wewe ni mshindi na zaidi ya kushinda .pole sana Mungu atapigana nao wanaopigana nawe
Daaah 🤔🤔umenilisa kwa kweli simba jike wangu , ulimwita Yesu aje kwako na kweli alikuja ombi langu niwe ka wewe niwe na hofu la MUNGU ka wewe niwe na kiu ya kufanya kazi ya Mungu ka wewe asante mamangu Rose vilikua kwako lakini hafikua vyako amen Mungu akupe vilivyio vyako Mara tena na tena 🙏🙏🙏
Praise God mtumishi Muhando? We thank God for every stumbling block that was on your way, so that you come out victorious and strong... Yalie pita si dwekle, balitukange yanjayo.. More blessings on your way and your family.
Si dwele, Bali tungojea Baraka za Mungu.
*I LOVE YOU MAMA!* 😭💕❣️
Amen, first of all I thank God for He has answered my prayers.God be with you forever mum Rose Muhando.You are a living testimony despite what you went through.I'm also praying for Diamond Nasib Abdul.I know my God is a living God.He hears and Answers prayers.No dustbin in Heaven where God can dispose our prayers but even if it tarries,He is faithful and He answers.Trust me it will come to pass.Im praying for Diamond to shift from secular to gospel music and get saved.God bless you all.If you agree with me thumps up as we move on.💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen...
Oh my God this is not just an interview is awhole sermon& encouraging standing strong in the faith for da lord dada Rose barikiwa sana wewe ni zaidi ya mshindi🙏🙏🙏more love for you❤❤❤❤
Rose Mwenyezi Mungu atakuinua mara saba zaidi ya ulivokuwa SEMA Amina!!!!!!!!
God bless you mama rose nilianza kusikia nyimbo zako nikiwa 3years old na nilikupenda adi Leo Nina miaka kumi Tisa lthank ,God for you mum rose mungu akuzidishie baraka mama
Nmejifunza usitamn maisha ya mtu uwez kujua magumu yke aisee dah😭
Angeline kila kitu kitapita lakini injili itasimama
Lots of love Rose, God's loves you and you shall overcome. You are such a blessing and your words in your songs are soothing and creates a connection to God Coz he loves praises. Continue with the spirit.❤️❤️❤️
Endelea Rose usimwache Yesu. Hata iweje!! Songa mbele!! Nafahamu Imani uliyonayo Ni Kama jiwe kamwe haiwezi tikisika. Wewe Ni mtumishi. Tunakuangalia. Mungu akutunze....
Dah! Pole Sana Rose,Hapa umejibu maswali yangu mengi hasa baada ya kushuhudia hilo la Pistol.Always nilikuwa najiuliza kwani Rose ilikuwaje ateseke na watu wa kutosha wapo TZ,kanyamaza hadi tunamuonea Kenya ktk hali ile akiombewa? Kumbe kweli ulibanwa,lkn bado Mungu mwache aitwe Mungu.Mungu azidi kukutumia apendavyo.Ushuhuda wako umenijenga,Barikiwa!
The best interview ever....Kongole #Rose muhando
Wimbo wa #Agenda umekurejeshea kila kitu na Mungu kweli yupo. What a strong woman