PART 1: ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA YESU ALIVYOMTOKEA, KUFUKUZWA NYUMBANI | HARD TALK
Vložit
- čas přidán 31. 08. 2022
- PART 1: ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA YESU ALIVYOMTOKEA, KUFUKUZWA NYUMBANI | HARD TALK
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya mwanamuziki wa Injili, Rose Muhando, katika kipindi cha HARD TALK, ambapo amezungumzia historia ya maisha yake, majanga aliyokutana nayo mpaka kufikia hapa alipo..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Sorry for that
Nataka niache hii comment hapa ndio siku zinazopita watu wakilike inanikumbusha kuwa magumu tu nayo pitia kwa maisha mwishowe Mungu yupo.
Mimi naamini kwa asilimia mia .100 kuna ndugu yangu aliumwa miaka mingi siku alio pona. Mungu alimutokea usiku wa manane alipona dakika hio mwanga ulitawala nyumba nzima na sauti nzito Mungu yupo na anaponya 🙏🙏
Amina sana na nina uhakika na hilo kabisa
Mungu alikua na nguo gani ?
@@issanasir3583 duh
@@issanasir3583 huwezi kuelewa kama huna Faith mkaribie Mungu utaona utofauti
Nimelia sana nimesamehe kwa kumsikiliza roze sikujua kma nilikuwa nauchungu moyoni mwangu asanteni kwa kipindi kizuri
kipenzi Cha wakenya wote wanaompenda Mungu, hallelujah....Kwa kweli Rose nilimpenda Sana Sana,hata wakati aliugua, ninjifunga kumuombea 🙏i thank God for your life ,dada Rose, May the Lord Almighty and his mercies, protection, favor, and all his blessings locate you ,in the mighty name of Jesus Christ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
we love you 💓
Uzuri wa sauti ya Rose ni kutoka mbinguni, yaani sio mbwembwe za studio, yaani hata bila vyombo anaimba hata akiwa kibibi naamini bado sauti haitazeeka❤️❤️❤️❤️
Hakika huyu ndo malkia wa injili,,, MUNGU azidi kukuinua dada Rose 🙏
" kwenye maisha kila mtu huwa na ndoto zake lakini kwa neema ya MUNGU nimetimiza ndoto nyingi.lakini ndoto moja ninayo tamani sana kuitimiza ni kufanya nyimbo na mwanadada rose muhando.Mimi naimba nyimbo za kurap kwa njia za injili natamani sana kufanya nyimbo na huyu mwanadada.
kurap tena ?😦tena gospel surely hebu acheni hizo waimbaji
Representing Team Rose Muhando from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🇹🇿🇹🇿
Anytime you think of giving up, listen to the story of one, Rose Muhando. A story of perseverance and never giving up on God.
True
True 🇸🇦🇺🇬
Kusema ukweli rose muhando umenitia nguvu Nilikuwa nimefika mwisho lakini atleast Nko Sawa nakupenda Sana rose
Ukielezea tu yaani goosebumps nikijaribu kuvuta picha.More grace mama
Rose muhando my role model…May almighty God continue using you to enlighten the world 🌎 kama mtu anaweza subscribe 100times naweza juu ya sister Rose
I like Rose muhando, na Nyimbo zake
Napenda anavyo nawiri much love from Kenya Rose ❤️❤️❤️
Nilipokuwa nawatch hii story ya dada rose nilikuwa kazini.mapigo aliyoyapitia Rosi Yale Yale niliyoyaona mimi.kama mtoto wa kwanza kwetu nilipitia machungu kwa sababu ya wadogo wangu,mapigo hatakuwa rahisi,mama mzazi kanichukia bure tu pasipo mimi kuijua sababu.weh!siku ipo nitakaposimulia safari yangu kuwapa moyo waliomo kwa Hali kama niyokuwa.namshukuru mungu baada ya hayo yote mungu aliniheshimisha.from Kenya we love you Lilian mwasha
The voice mama. The vooooooice, literally shaking the gates of hell and opening those of heaven
Amen
I honour the GOD of Rose. He is a restorer and a healer.
Wimbo alioimba akiombea Kenya naupenda sana.Barikiwa sana Rose Muhando.
rose napenda nyimbo zako zote na story yako nimeiwatch over three times uwa unanipea nguvu ya kuishi mungu awe na wewe milele 🙏
Shalom dada Rose,vita yako siyo ya kukuua Bali Niya kukupandisha kutoka sehemu uliyonayo kupanda ktk kiwango kingine cha utukufu,ili Mungu aliyekuchagua kbl ya mising ya Dunia ajitukuze kwako,wenyew macho na masikio wamuone Yesu mwokozi anavyomtukuza mtu,anavyomuinua mtu,mimi nikipewa kukuombea iliutoke sehemu,uliyokuwepo,kwa kutokujua kwako au kwa kujua,so acha mitihani ije ili Yesu atukuzwe,usiku na mchana.
Rose we wish to adopt you as 🇰🇪 you're just the best we love you queen of gospel
Napenda unavyoita baba baada yakufa!! Daaah,alikuwa bab Yako rose😭😭😭jamaani
Sauti ya Rose jamani!!!
Yesu asante!!!!
Am so encouraged, Naapa mimi, sitakufa moyo
😭Mungu alikulete Duniani na kuzudi lake,kupitia baba aliye kuzaa kukatoka Malkia, Dunia yote inakuenzi Rose,heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake,nakupenda sana,na Mungu akubarikie na Miaka mingi ya Kuishi ,Amina🙏
Liliana you need to have a tissue for someone to use when she or he is crying
Dada Rose nakupenda sana,hata ulipopitia vita kipindi fulani hivi ambayo tuliijua kwa Pastor Ng'ang'a I mean kwenye maombi kwa mtumishi hiyo,Mungu aliniwekea mzigo mzito mno ndani yangu wa kukuombea, namshukuru Mungu mno kuwa alikuvusha,ataendelea kukuvusha ili ulitumikie kusudi,love you
dada unaimba sanaaaa
nimeuza saana cd zako
dada rose ALLAH GREAT UMEWIN 🙏
uyo mzee alaaniwe hakachomwe
na allah mwenyewe
Amini kile kinacho kufaa sio kuzarau na kujiona Bora Kila mtu na Imani yake
I just love 💕 sister Rose Mohando. May GOD strengthen her more and more in her ministry in Jesus name 🙌🙌
Wakati nasikia Yesu ni Bwana wa vita sikua naelewa!ila sasa naelewa kwa nn kulikua na majeshi ya Bwana!Mungu amekwisha kutupigania tuendee kumtafuta kwa bidii
I feel encouraged by your story I believe one day God will appear and heal me too I have been having back pain more than yrs now may God hear my prayer 😭
From Kenya more love Mom 🌹
MIMI NI MGENI LAKINI NAMPENDA ROSE MHANDO NAMFWATILIA ROSE SAAANA MUNGU AKULINDE MILELE LOVE YOU VERYYYY MUCH AMEEN
Infact that's the time my husband was attacked by robbers but God saved him from death. Song nafurahia mateso yangu really encouraged me
My favorite Artist forever,wewe ni jembe mama Mungu akulinde milele mummy. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Jaman mama angu rose nimefatilia sana istoria hii kweli nimewaza nimefika mbali sana kwel mungu anamtoa mtu mbali
I love Rose 100% kama mtumisi wa mungu tajika. Tangu aanze kuimba na hekima kwa uokofu wake ni asilimia Mia kwa Mia. Mungu yule mmoja anaabudu dada Rose ndio naabudu mimi. Dada Rose huko na sapoti yangu kutoka 🇰🇪. Sikilia hapo hapo na shetani hana mamlaka kwa maisha yako-Shikilia hapo Shikilia dadangu
God above all Asante kwa shuhuda hii rose
i just love u mama, hiyo sauti uniamsha..... i just feel you are God's sent
Much ❤️ dada Rose 🙏 Mungu alitaka na aliruhusu upitie yote ili uwe njia kwa wengine wengi. Ukijitazama ulivyo leo unajua 'it worth going through all that darling'.
Rose napenda nyimbo zako,popote ulipo MUNGU azidi kukubariki na kukuinua ZAIDI🙏🙏🙏
Pole Dada mtumishi mateso mengi ya mwenye haki mbele za Mungu baba.
mumba wa mbingu na nchi.
Jitie moyo Dada Ross.
TAJI. no gharamah..
Shalom Shalom.
To the host pliz next time pass a saviet to wipe away tears..
Though Christ will wipe her tears for ever .
Amen Amen
Emeniiiiiii 🤚 dada mhando wanibariki na ushuhuda wako maana hata Mimi nayabitia Sahi na hayo machungu single mother lakini waniba tumaini na huo wimbo mteule uwe macho emeni 🙏
Mungu mkumbuke Rose baada ya hizi dhiki na vita afike mbinguni..Nampenda sana.
Mungu yuko na wewe pole sana mama😢😢😢😭😭😭
I love this lady so much and Angela.The messange and the dancing not forgetting the voice👌👌🇰🇪
Pole sana mtumishi wa Mungu kwa Mapito uliyoyapitia kweli our God is God of good plans into our lives I remember those days of Mungu nipe uvumilivu nilikuwa nimeshindwa kabisa but....big up mamangu💙💙
Dada ROSE MUHANDO Pastor Ezekiel wa mavueni Mombasa Kenya anakuita Dada alisema Rose Muhando wa tz kwa sasa cyo Rose Muhando yule wa kipindi kile ambacho aniamba (nimekukimbilia wewe bwana) ivyo tukuambie uende Mombasa mavueni NEW LIFE CHURCH Anataka urudi kuwa Rose Muhando wa zamani Amen
Inalillah
Poor😥
Ubarikiwe kwa kweli unatubariki tangiya zamani Congo tunakupenda
Rose Mungu yupo pamoja nawe endelea kufanya kazi ya Mungu. Ninakupenda sana Rose. Lillian Mwasha beautiful girl 😍 . Mungu Akubariki pia dadangu 💋💞
We love you so much Rose Muhando. Always desired and dreamed to be your dancer when I was a kid.
Pole Rose Kwa yale ulippitia, Mungue ni mkubwa na amekutos mbali sana. Mungu azidi kubariki.
Wow Rose Muhando umebarikiwa Hadi bila microphone uko na sauti smart.
Hongera sana Dada yangu Mungu akuinue zaid hata mm ninakipaji lakn sina pakuazia
2024 nlikuwa na miaka 12 nakumbuka uwo wimbo wa uwe macho tulicheza kwenye harus ya wifi angu, mungu azidi kukuweka dada rose
Rose ni mwanamke jasiri sana nimejifunza sana kwake na anaongea kwa ujasiri kabisa
Rose mungu anakupenda sana nashetani hatakumaliza watumishi wamungu hupitia mengi lakini mungu humpigania
Mungu alie kuvusha katika mabaya yote aendelee kuku pandisha ukawe wa viwango vyajuu history yako inaumiza sana.
Nimekufatiliya goys in south Africa 🇿🇦 lakini I am a Zambian
Nakupenda sana rose🥰🥰 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naamini unayosema Rozi, na nnajua uliyo pitia, ila MUNGU ni mwaminifu kwako na daima usimuache, anampango na wewe sana.
Yesu ni mzuri sana
Ila Yesu sio mzungu hakuna anayejua sura ya Yesu ametuumba tu kwa mfano wake. Pole da Rose kwa yote uliyopitia
jamn barikiwa mama anaimba live utafikir mziki umeeditiwa duu kwakweli mungu ni mwema 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
My lovely two ladies in the house. Na wapenda sana Lilian na Rose Muhando.Thank you Lilian for starting this special show.
Hakika dada Rose nakupenda sana kwa yale yote unayo fanya Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia.
Mungu anatutoa mbali Sana kiukweli kabisa...........Mungu walinde watumishi wako na watu wote binadamu
I love the testimony Rose is a great minister and a mother of many music ministers, i love how God protected her all through since the day she was called for the ministry.
Hv always love rozi since my childhood till know I'm independent
Rose I love you so much,,,dhahabu kung'aa lazima ipite kwenye moto mummy ❤️❤️
Yani unazeekq na Utamu wa Sauti yako jamani Mungu Akubariki sana Rose 🌹 more love you 😍 ❤
Rose, Yesu anakupenda sana na anakuwazia mema siku zote! Usimuache Yesu kamwe na songa mbele! Usiogope kwa maana Mungu yupo pamoja nawe. Simama imara na Mungu. Asante sana Lillian kwa kumleta mtumishi huy, Shoo yako ni njema sana Lillian. Nimeamini kuwa never judge a person.
Nyiee hujawahi kuchuja my wangu nakupenda mm jaman toka nikiwa mdogo nyimbo zako zoote zipo kichwani😍😍
Yaani huyu mama rose nampenda sana.. kwenye sim yangu nina nyimbo zake tuu
Nakupenda bure Rose Muhando ❤️ pole kwa yooote uliyopitia mungu hatakuacha daima
God bless you mama Rose muhando
I love you
Jamani wimbo huoo nilipotea ninako elekea nisababu yakuupenda mteule uwemacho barikiwa sana my sister
Dada Rose,kwa miaka mingi nimekufuatilia...
Huhimizwa sana na shida zako
Jamani munguyupotu
Dada Lilian...jifunze kikumbatia mtu akiwa analia na kumpa tissue ya kupanguza maji..pia ni vema kuwa na maji Baridi hapo kwa jag na glass...maji Baridi hutuiza machingu na hasira....""""" it's a polite request"""
Dada Rose mungu akutie nguvu umepambana..Duuh safari ya wokovu ...Mungu tusaidie 💔🙏🙏🙏
Pole Sana dadaangu...!! Naamini Mungu atashughulika na Kila mtu aliyehusika na mateso yako.
From Kenya, we love you mummy
Welcome to our homeland Kenya great woman we don't want see you cry anymore dear
My mother my mother Rose Muhando aka God's general.
Sauti yako nzuri sana wapendezasan
Mungo akubariki. Kwa. Hatua. Uliyochukua. Ubarikiwe
She is strong and courageous keep it up
Dada Rose mungu akubariki na shukuru mungu umepona nakutakia afya njema mungu akutunze Kwa ajili ya Jina lake na nyimbo unazoimba kumsifu mungu,pole Kwa yote Dada Dunia Ni mapito tu
Inaumiza lakini huyo ndo ilikuwa ngazi yako ya kupandia juu,keep the 🔥 burning mama,
Nakupenda Sana mama yangu Rozi wangukipenzi.
Nakumbuka wakati habari za kifo cha Rose zikianza kutangazwa na mpaka video za mazishi zikatengenezwa 😭nililia Sana kwa sababu mimi n fun mkubwa WA nyimbo zake 😭 nyumba yangu ilijaa zimanzi 😭mungu atukuzwe aliye ponya dada Rose
You're the living testimony rose
Katika kuokoka kwangu tangu utotoni Kwa sinema zako nilinguzwa hadi nika rudi kanisa na kuokoka kabiza zidi kubarikiwa Sana juu Yesu alikuita utumikie wengine waje katika maisha ya wokofu duniani .
Ama kweli nakupenda sana mamaangu mzuri 12:35
Rose mungu akuzidishie na akubariki
😭😭😭😭 pole Sana dada rose Kwanin usiende kumstaki police wakamchukulua hatua huyo Baba mnyama kabisaaa
Wow wow wow wow ana sauti nzuri
Mungu jamani asante kwa kumpa sauti nzuri
3:30 this deep holding breath says everything oh Dunia
God is great