#TheStoryBook Hadithi juu ya mambo mengi yanayosemwa kujificha nyuma ya maisha ya ADAM na HAWA: Tunda,Watoto,Adam kuwa na mwanamke mwingine kabla ya Eva.
Kiukweli tukiacha unafiki ukweli ni kuwa kila mmoja ana utofauti wake jamaa yuko vizuri sana katika utofauti wake hapa muhimu ni kupata maudhui mbona amewasilisha vizuri hata wewe hufanyi kama anavyofanya mwingine broo you are good keep it up kuna watu kazi yao ni kukatisha tamaa wengine siyo poa just imagine kile unachofanya wewe kionekane ni ujinga utajisikiaje afu huyu jamaa mbona sioni kama ana tabu yoyote voice projection is perfect
Tatzo la waTz wanataka wakikalili ktu bax kbak iyo ivo, yaan ukiangalia ata channel nyng za nje story znawasimuliaji wengi n akuna anaelalamika ktu, in short wasaf wacmtoe uyu kwnz tushamzoea
Man stor zako zipo poa sana,big up,ila tu niwaelimishe kidgo watu, Adam haku ukumiwa sababu ya kula tunda bali sababu hakutii(OBEY) Mungu kwa mwanadamu anataka utii,yohana 14:15(mkinipenda mtazishika amri zangu), kwaio adam kula tunda ni kuto mtii Mungu ndiomaana ali hukumiwa,MSITENDE DHAMBI, ukiacha maana yake umetii,usipo acha umekaidi na mshahara wake ni KIFO.
Hii story nadhani ukasome tena maana haya hayana mashiko hata biblia peke yake ina story nzuri na za kueleweka juu ya mambo kadhaa uliyoyachambua. Umeenda kinyume saana ndugu yangu. Ninakupenda na ninabarikiwa na simulizi mbali mbali unazoweka hapa. Keep that up
Anatangaza story za kifreemason ndio maana maandiko ya Biblia kadonoa kidogo tu hakujikita kwenye Biblia, Na Qur'an ndio hajagusa kabisa, Na nistory ya kibaguzi kisha akajikita zaidi kwenye story za kifreemason zaidi
Huyu ndo tunamwelewa zaidi. Huyu anatafuta story, anasoma vitabu mbali mbali then anatusimulia. Mtiga alikua anasoma tu kaz ya kuandika na kutafuta story ilikua ya Jamali. Sasa hivi tunapaga kitu safi sana maana anaetusimulia ndie alietafuta story na kuandika then anatusimulia. Very good👌😘
SubhanaAllah...fuata vitabu vya dini utoe message ambayo haitakuwa na taashwishi miongoni mwa watu.Kwanza umesema Adamu aliumbwa na mwenzake mwishoni unasema aliumbwa peke yake hakuwa na mtu wa kupiga naye gumso kwa kuwa zamani hakukuwa na mambo ya kisasa(tekinolojia), usichanganye watu hapa fuata vitabu vya vya Mwenyezi Mungu Vinavyosema bali si kuzua mambo kutoka akili yako kaka.Cha msingi ni kuMwaabudu Mwenyezi Mungu... Kama kuna kauli yoyote katika comment yangu imemkwaza mtu yeyote naomba aniwie radhi kwani binadamu ni mwenye kukosea,..na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa hayo... Jazakallah Kheri.
Nakupongeza jamali mustafa hii ni the storybook kweli na sio maandikoatakatifu kwa hiyo hii ni biashata lakini ukweli upo kwenye maandiko matakatifutu kwasababu mungu ndie mwenye kuweza kutuelezea histori yakweli kama wewe ni mmoja ulie furahiya hii hostori na sio maandiko matakatifu gonga like yako hapa
History imekaaa vizuri ila tuu kuna marekebisho kama vema ingefanyika kwa kumbukizi nzuri,NYOKA HALI VUMBI KWA TAFITI ZETU,ila anatambaaa katika miendo zaidi ya mitatu sehemu tofauti tofauti.Ila Hongera sana kw a kutunga story book.Anakuala panya,mijusi,kanga,kware,kulingana na aina ya nyoka akiwa mkumbwa zaidi anakula mbuzi,sungura,swala,nk
Mchukueni Dogo mmoja anaitwa "FELiX Mwenda"" kutoka Simulizi mix ,kijana ni very talented sana katika usimuliaji wa stori mbalimbali, pia ana sauti ya kitofauti sana.
Soma vzr biblia tunda hilo ni la mti wa ujizi wa mema na mabaya na hii ndomaana tunajitambua kumbukeni kuwa Kuna mti mwingine umetunzwa kwa ulinzi mkali mti wa uzima ambao huu hakuna binadamu aliyewahi kula tunda lake Bali wanao mkili Kristo kuwa ndie bwana wa maisha yao hao ndio watakula tunda la uzima nao wataishi milele ktk ufalme wa MUNGU baba mbinguni amina
Ninyi mkipewa mnaweza? Achen ujinga na umasikini wakiafrica..nyerer alisema tuna maadui wa3: ujinga,umasikin na maradhi...sasa hili LA ujinga naona ndio baba wa haya ma2 yalobak...think big ..
EMMANUEL CHINE mbona unapanik wewe kitu bora kinaonekana Jamal ni mwandishi mzuri ila kwenye kusimulia Hapana afuu kama ni ndugu yako au kuna kitu unataka umwombe useme tuu usijikute mwelewa kuliko watu wote Hawa Mtiga anajua Mzee
Uko vzr kaka piga kazi wanaomtaka mtiga achana nao uko ndyo kula kwa jasho mtoto wa kiume unamtaka mwanaume mwenzako ili iweje tunataka kibass chako kizidi iko damu yangu..safiii
Kaka unasimulia vizuri sana,, lakini Nina swhali,,,Kwa ufahumu wangu,,,je wakati mungu alimpata Adam wamekula like tunda,, ninaamimi hapo ndipo mungu alimlaani shetani kuwa nyoka"""kumaanisha shetani mwanzo hakuwa nyoka????
Mungu anapenda tuwe na maarifa, ila tunaposikiliza hadhiti za kuvutia tumuombe ili atupe hekma na busara ili uenende katika mapenzi yake na kujua kweli
Tunda halina thamani Kama mtu MUNGU alimuhukumu Adamu kwasababu hakumtii,nabaada yakula tunda Adam akuomba msamaha ila alimlaumu MUNGU kuwa mwanamke aliempa ndiye aliemshawishi kutenda dhambi.Soma maandiko vizuri
Guys let's be honest this guy knows how to tell story
I love Jesus and Adam and eve
Mbona anasimulia vizur sana👍👍👍
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯💯💯
wow!!!!GOOD JOB.KISWAHILI CHAKO KINA PENDEZA.LUGHA YAKO KINANIFANYA NIANDIKE INSHA NZURI KWA KUWA NINAZOA ALAMA 34-36\40.GLORY BE TO GOD!!!!!!😇😇😍😍
Aminia
Leo nimekua wa kwanza .gonga like km unakubali story book
Hahahaaa
Tumeanza kukuelewa mkuu komaa
B
@@tgaz2174 yes
Tumpe mda tu Jamal April tutamuelewa tu nipeni likes za Jamaaaallll
I really like this guy ,always ready to follow his episodes.
Waah nimejua,,, ata sina lakusema hii DUNIA!!!! Jamal nipe tu like bro
Kiukweli tukiacha unafiki ukweli ni kuwa kila mmoja ana utofauti wake jamaa yuko vizuri sana katika utofauti wake hapa muhimu ni kupata maudhui mbona amewasilisha vizuri hata wewe hufanyi kama anavyofanya mwingine broo you are good keep it up kuna watu kazi yao ni kukatisha tamaa wengine siyo poa just imagine kile unachofanya wewe kionekane ni ujinga utajisikiaje afu huyu jamaa mbona sioni kama ana tabu yoyote voice projection is perfect
Tatzo la waTz wanataka wakikalili ktu bax kbak iyo ivo, yaan ukiangalia ata channel nyng za nje story znawasimuliaji wengi n akuna anaelalamika ktu, in short wasaf wacmtoe uyu kwnz tushamzoea
Huyu jamaa noma, stori kaandika mwenyewe na anasimulia vizuri kabisa
I really appreciate this guy because he always makes me discover more about life
Man stor zako zipo poa sana,big up,ila tu niwaelimishe kidgo watu,
Adam haku ukumiwa sababu ya kula tunda bali sababu hakutii(OBEY) Mungu kwa mwanadamu anataka utii,yohana 14:15(mkinipenda mtazishika amri zangu), kwaio adam kula tunda ni kuto mtii Mungu ndiomaana ali hukumiwa,MSITENDE DHAMBI, ukiacha maana yake umetii,usipo acha umekaidi na mshahara wake ni KIFO.
vizur sana sheikhe
Kweli peter
Kwa hiyo mshahara wa dhambi ni kifo?? Km ni kifo mbn watoto wadogo wanakufa na hawajafanya dhambii na je isipofanya dhambi ndio utakua hufi milele??
Upo vizuri sana
Mtigaaaaaaaaaaa.....wapi like
Ipi?
Jamal unjua bna mtiga kutokuepo haimaanishi stry book haijpta msimulizi ur the best .mungu akupe more
Ila babu yetu adam ulijua kutuponza baba😭🚶♀️
Wasafi acha waitwe wasafi dunia inapenda stori sanaaa hiii iko vizuri sana
Qwwqq
Leo Umefanya Vzr.. Jamaa kila siku uwe mbunifu wa sauti yako.... Tutakupenda tuh...
Hii story nadhani ukasome tena maana haya hayana mashiko hata biblia peke yake ina story nzuri na za kueleweka juu ya mambo kadhaa uliyoyachambua. Umeenda kinyume saana ndugu yangu. Ninakupenda na ninabarikiwa na simulizi mbali mbali unazoweka hapa. Keep that up
Anatangaza story za kifreemason ndio maana maandiko ya Biblia kadonoa kidogo tu hakujikita kwenye Biblia,
Na Qur'an ndio hajagusa kabisa,
Na nistory ya kibaguzi kisha akajikita zaidi kwenye story za kifreemason zaidi
Vzur sana kaka nakubali wasaf media gonga like twend zetu!!!!!
Haahahah aya bhana hongera sana kwa story nzuriiiiiii
Mimi wa pili ila tunataka ananias edgar 🙌🙌
Unajua sana Jamal, wenye wasiwasi na wewe hebu wajifikirie kwa Mara nyingine, unajua kuandika na kuifanya hadithi kuwa hadithi ya kuccmua..
Ukatubu mkuu.Mungu hadhihakiwi hata kidogo.Usipotoshe watu kabsa! Angalia yuwaja na mawingu na kila mtu atalipwa sawa na kazi yake!
W
Jamaa yupo vizuri
Tunao mtaka mtiga abdallah arudi kwenye the story book gonga like
🙏
Afu huyu ye ale wapi acheni ushamba
Waduanzi washamba sana mnaishi kwamazoeya uswahili mwingi mwajuaje mtiga ndo kawazingua wasafi Wambembeleze arudi ili ajione keki
Amour boy All mtiga yupo vzr sana na sauti yake ni taamu sana. Huyu wa sasa havutii masikioni mwetu.
Huyu ndo tunamwelewa zaidi. Huyu anatafuta story, anasoma vitabu mbali mbali then anatusimulia. Mtiga alikua anasoma tu kaz ya kuandika na kutafuta story ilikua ya Jamali. Sasa hivi tunapaga kitu safi sana maana anaetusimulia ndie alietafuta story na kuandika then anatusimulia. Very good👌😘
Tunao sikiliza uku tunasoma comment tujuane
Tuko nyum yako apa
Orrrraaa tupo wote
Wngp huwa tunaisubir the story kwa ham halaf ikija kama hv huwa tunafarijika gonga like twende sawa
Mnao muulizia Mtiga huyu ndo boss wake sasa Program manager wa Wasafi aitwa JAMAL he s guud brooh yu hav a gud voic naelewa unachokifanya 💕
daaaa jamaa kaereweka
SubhanaAllah...fuata vitabu vya dini utoe message ambayo haitakuwa na taashwishi miongoni mwa watu.Kwanza umesema Adamu aliumbwa na mwenzake mwishoni unasema aliumbwa peke yake hakuwa na mtu wa kupiga naye gumso kwa kuwa zamani hakukuwa na mambo ya kisasa(tekinolojia), usichanganye watu hapa fuata vitabu vya vya Mwenyezi Mungu Vinavyosema bali si kuzua mambo kutoka akili yako kaka.Cha msingi ni kuMwaabudu Mwenyezi Mungu...
Kama kuna kauli yoyote katika comment yangu imemkwaza mtu yeyote naomba aniwie radhi kwani binadamu ni mwenye kukosea,..na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa hayo... Jazakallah Kheri.
Ujumbe umefika baba
Huja mwelewa Jamal , amesema kwakunuku vilivyo andikwa katika vitabu tofauti ndiyo anatufikishiya.
Bimaana anatuuliza je nikweli ?
Asante kwakutuelimisha pia nikama vptabu vyadini vinatuvurugatu
Tulioanza kumuelewa msimulizi gonga like twende sawa
History ya kanisa la katoliki italy vp
@@vincentmuller596 m..
@@vincentmuller596 aaa
@@JafaryAlly-lr4ck a
Ila jamaaa anasautii nzuriii bhnaaa🙋♂️🙋♂️
Nakupongeza jamali mustafa hii ni the storybook kweli na sio maandikoatakatifu kwa hiyo hii ni biashata lakini ukweli upo kwenye maandiko matakatifutu kwasababu mungu ndie mwenye kuweza kutuelezea histori yakweli kama wewe ni mmoja ulie furahiya hii hostori na sio maandiko matakatifu gonga like yako hapa
Wasafi tv hongeren Sana maana napata vitu. Vipya kutokakwnu
Tumwache Mungu mwenyewe hakuna anayejua ukweli brother
I cant believe apo kwa lilith
Jamani tunao mpenda mtiga gonga like🤭
Me ndio natamani awe mme wangu kabisa ilove you mtigwa ❤🤳
Ako wapi lakni hyu mtiga
Dah nimemc
Mtiga rudi
Rehema Mbonea haya
Bring back Mtiga ana jua kuimiliki story,yaana anasimulia kama yamemkuta yeye
Knowledge is the power.
Big up man
waaah iiiii nao ziii but i realy like this guy anajua kuelezea story iwish ungekuwa mwalimu wangu tym nilikuwa shule singeanguka ivi mtihani
254 Kenya ...like mnipe
Mrudishen Mtiga Abdalaah wetu jaman mbona mnakuwa hvyo 😭😭😭😭
History imekaaa vizuri ila tuu kuna marekebisho kama vema ingefanyika kwa kumbukizi nzuri,NYOKA HALI VUMBI KWA TAFITI ZETU,ila anatambaaa katika miendo zaidi ya mitatu sehemu tofauti tofauti.Ila Hongera sana kw a kutunga story book.Anakuala panya,mijusi,kanga,kware,kulingana na aina ya nyoka akiwa mkumbwa zaidi anakula mbuzi,sungura,swala,nk
sikiza hadithi mwanzo wacha papara na usome biblia vizuri.
na ufahamu hizo ni tafiti zenu tu ndipo ndiyo nyoka yuala vyakula hivyo lakini biblia yasemaje
Kama unamkubali Jamar, ponya like hapo
Mchukueni Dogo mmoja anaitwa "FELiX Mwenda"" kutoka Simulizi mix ,kijana ni very talented sana katika usimuliaji wa stori mbalimbali, pia ana sauti ya kitofauti sana.
Weka link kimchi
Sotry za ferx nizur
Uyo jamaaa anasauti tamu ya mahabaaa❤❤❤❤
Xawa ata mimi najua kwamba anajua ila kila mmoja ana nafas yake
Amnakitu anasimulia kama ana hubiri
Uko vizuri bro keep up sisi tunaopenda the story book tuko Pomoja
Mungu ñdio anaejua ukweli kuwa makini mzee baba unakufuru sana
Saana tu dhambi ya kufuru hua haisamehewi
Angetfta na ushahid ata n kweny qur-an maaaaan anakufur kwly kwly
Soma vzr biblia tunda hilo ni la mti wa ujizi wa mema na mabaya na hii ndomaana tunajitambua kumbukeni kuwa Kuna mti mwingine umetunzwa kwa ulinzi mkali mti wa uzima ambao huu hakuna binadamu aliyewahi kula tunda lake Bali wanao mkili Kristo kuwa ndie bwana wa maisha yao hao ndio watakula tunda la uzima nao wataishi milele ktk ufalme wa MUNGU baba mbinguni amina
Nyie mnae sema mnataka mtiga wanafiki kwani shida yenu story au mtiga mkamfate alipo
dah hakika nime enjoy the story nakuelewa sana jamal you are somethin else asee
Yakaisali mpeni kaisali na ya mungu mpeni mungu
Wew n nomaaaa
Hiii ni moja tu ndani ya wasafi tv n fm
A good story teller
Kamaunafaham tunda alilokula mzee baba gonga like yko hapa
Nomaaa sana
We get you professor Jamal April
Story inatisha kweli vitu vingi hatuvijui
Comments namba 1
Sub Hana Allah
Makosa chungu nzima kwenye story
Ndio angesubiri kwanza maana si kwa timbwili hili kaingizwa choo cha kike adhabu imezua mengi nabii kito Juma lokole na carry mastery Asante
tuna mtaka mtiga abdaallah maana anasimulia vzr sana na hachoshi
mpaka unapata hamasa ya kusikiliza the story book ijayo
mtangazaji upo vizuri ...
Leo ni mefahamu mengi sikukuwa najuwa kweli. Nasema asante
Napenda story book sio sauti yamtangazaji ivo tupo pamoja JAMALI
Asante bro! Good job, tuko pamoja, I'm your big fan now, yengine acha ibaki story, kalisha sema mwana muziki umoja wa zamani
Haya ni ya uongo😰 subhanallah ni uzushi huu
Kabisaaaa
Noma sana. Hongera
Jamaa anajua sana daaah
Mtiga Abdallah aysee anafeet sana kuhadithia
Kabisaaa huyu hajanivutia
Ninyi mkipewa mnaweza? Achen ujinga na umasikini wakiafrica..nyerer alisema tuna maadui wa3: ujinga,umasikin na maradhi...sasa hili LA ujinga naona ndio baba wa haya ma2 yalobak...think big ..
Mtiga ndo habar ya mjin!!
EMMANUEL CHINE mbona unapanik wewe kitu bora kinaonekana Jamal ni mwandishi mzuri ila kwenye kusimulia Hapana afuu kama ni ndugu yako au kuna kitu unataka umwombe useme tuu usijikute mwelewa kuliko watu wote Hawa Mtiga anajua Mzee
Leo jamal ametulia sana nice job
Kweli
Yeah, nashangaa watu bdo wanalalamika
@@zuchuwcb8655 watazoea tu acha walalamike hawatabadili chochote
Baro Amani Yap katulia sikutaka amalize
Jamal upo vzur sana
Bro umeelezea vzur sana story hii lakini Story ya leo imejaa Uongo ulio vuka kiwango cha Barabara 🙌🙌🏃🏃🏃🏃
jamal leo umeingia chaka,rejea katika QURAN utajua ukweli mwanamke wa kwanza wa Nabii Adam ni HAWA AU LILITH?
Wewe ukweli unaujua? Tuambie basi tujue!
Tunakupa sana broo good job
Umejitahidi cna ❤️
kama unaamin mtiga ndo baba lao gonga likee.....
MTIGAAA FANYA UKUJEEE HUYU HAPANA
Mbona nae anaweza na nyiee khee achen shobo za mkumbo😏😏
Kwel
Usicho jua ni kwamba huyu ndo alikua mwandishi wa simulizi zote
Oooooo tunayo kazi
Hassan hamis mi namkubali sana Jamal April
Jamal April,kindly allow us download your videos for later reference🙏
Uko vzr kaka piga kazi wanaomtaka mtiga achana nao uko ndyo kula kwa jasho mtoto wa kiume unamtaka mwanaume mwenzako ili iweje tunataka kibass chako kizidi iko damu yangu..safiii
Bravo bro,,,,,the story is fabulous
Wewe uko unakoelekea sasa unataka kuporeza watu, unayakosowa maneno ya Mungu Inna Lillah Wainna Illaih Rajiuon
Tatizo letu ndo hilo' wew umezaliwa ukarith dini' jaribu kuitafuta elimu" wenzako wanatafuta elimu Alafu wew umekariri"
Tei Mohamed ndo mana ikaitwa the story Book it means ni story tuuh Kama story nyngne za ku reflesh mind but x real
Kaka unasimulia vizuri sana,, lakini Nina swhali,,,Kwa ufahumu wangu,,,je wakati mungu alimpata Adam wamekula like tunda,, ninaamimi hapo ndipo mungu alimlaani shetani kuwa nyoka"""kumaanisha shetani mwanzo hakuwa nyoka????
Jamali hongera sana watanzania wamekubali kazi zenu ila fursa zinakosana vijana wapo wengi hawana la kufanya zaidi ya kufatiliya vipindi.. Vyenu
Hii Umeua mzeee🙏🏽
Subscribe kwenye channel yetu tafadhali, kila wiki tutaanza kutuma video, tunakuahidi hautajuta. Asante kwa wale Watakaofuata
Wow
Wow napenda sana uchanganuzi wako
Mungu anapenda tuwe na maarifa, ila tunaposikiliza hadhiti za kuvutia tumuombe ili atupe hekma na busara ili uenende katika mapenzi yake na kujua kweli
Habali
Nakubarrr now ushaanza kutuvutia brow just keep it up
Yaan anajitahd xn
Yuko vzr
Hallah BoE Yes anavutia
Nliiskia kwenye redio nikawa naisubili kwa hamu you tube ,kama na ww umeisubili hii story kama mm gonga like tujuane
Seif Zongo mambo
@@amadeuskimbori2310 pw vp
@@seifzongo320 ipovizuri
Ongela Sana the story books
Nilimis san
Makini sana kwa kutuletea mambo kama hayo ambayo wengi hawayafaham
Kwll kaka
Unasaut nzr bro achana nawanao kupinga ni vile wamezoea aloanza ila uko vzr
Method Israel Yuko vizuri mno
Saunti mbaya xna tunamtaka msela wetu
@@mariamclayson2174 😜😜😜jealous
Mtiga anajua saut anayo sio MTU na saut yake yamfaa kuhadithia
kama umeona msimuliaji kabla hajamaliza hili anadakia lingine gonga like hapa
Xxxc
Xxxx
Xxxx
Nimependa sana Nimependa sana ❤❤❤
Nakubali Sana profeser Jamal april
kama ulimiss the story book na mtiga Abdallah gong lik twnd xaw
Rapha Meck sana uy jamaa yko wp
Rapha Meck uyuu jamaa hajui
shaby teo and
@@mozasalumu2342 kaacha kibaruaa
Yule kaamia azam saiz ndo anakofanya kazi
Dah hapa wasafi mzimezingua mm sifuatilii tena the story books
Kwan umeitwa au umeambiwa lazima usikilize
Kaa na ujinga wako...
Tunda halina thamani Kama mtu MUNGU alimuhukumu Adamu kwasababu hakumtii,nabaada yakula tunda Adam akuomba msamaha ila alimlaumu MUNGU kuwa mwanamke aliempa ndiye aliemshawishi kutenda dhambi.Soma maandiko vizuri
Tunda gani
Hawa alifanya mapenzi na nyoka kisha akafinya Adam ..kwa nyoka aimzaa Kaini na kwa Adam akamzaa Abili
Napenda sna kufatria history.zenu penda san jama'aly mungu atulinde sote in sha allah.
Mi hata simuelewi huyu jamani daaah kwani mtiga Abdallah yupo wapi kama umemmis mtiga Abdallah gonga like
Jaman mazoea yanatabu mnaomtaka mtiga mtafuten Instagram wasafi wanaenda na wanao enda cz hamna anae lazmishwa jaman afu mxela yuko bomba tuuh mtamzoea taratib tuuh......
Hiyo ni simulizi tu... Mungu ndiye mjua vyote ... Haya mengine hayatuhusu.
Nakubali haya mastory
Upo vizur bro lete v2 Roho inapenda