Siku moja unaonaje ukaongelea kuhusu mkanganyiko unahusu shape ya dunia, uhalisia kuhusu firmament, ukweli au propaganda za wazungu kwenye mwezini instead kuna kipangamizi cha maji anga huko juu na mwisho zaidi kwanini kuwe na siri na vizuizi juu ya bara la Antarctica, je ni kipi kimefichwa ulinganisha na ramani ya dunia inayoonyesha uwepo wa mabara zaidi nyuma ya Antarctica? Mengi yakusema...... natanguliza shukran
Mm nahic zile the story book zilifanywa na mtiga uziregelee kuhadithia. Coz huyo mtiga sijawai kumuelewa kabisa. Yani hatakama story nitamu lkn yeye hadithii ipasavyo. Kwamfano the story book ya Osama, titanic, story ya uhuru Kenyatta wa Kenya na kadhalika😢😢😢
Dah hii stori inaniskitisha sana😭😭😭😭mm kwakuzihesabu siku nimekabwa nahuyu kiumbe zaidi yamara40 najiulza nimm tu au kuna wengne waliokabwa maranying zaid kma mm😭😭😭😭
@NeemaChilimo-sr4wj Kimtazamo wa kibinadamu ni ngumu saana kuelewa ila jua kwamba tumekombolewa kwa damu ya mwana kondoo. Ambayo damu hiyo ina safisha kabisa pia hutaelewa kwa maana ujafunguliwa kuyafahamu, omba saana upewe ufahamu wa kuelewa. 1 Petro 1:18-19 Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu; bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
@NeemaChilimo-sr4wj Pia kama bado unamizigo utakufa nayo kama bado ujatengeneza njia zako .Nafasi ulio nayo ni sasa wewe ukiwa hai baada ya kifo ni hukumu tu.yaani ukifa na mizigo yake utajikuta umelala umeamka ni hukumu. Soma hiyo Mathayo 11:28-30 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
@Msakatonge23 Itakuwa usomi maandiko Waebrania 9:27-28 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
Kulala Chaliii ni tatzo maana ndoto mbaya ndio znachukua nafasii na JINAMIZII NDIO LINATUPATA HAPO😢😂😂 NI. HATARIII SANA UNAWEZA SEma FAMILIA INAKUCHEZEA
Hapo kwenye tafiti za kisayansi hoja zao hazina mashiko kabisaa lakini sishangai kwasababu wana sayance hawaamini uumbaji kwahivyo hawezi kukubaliana kwamba kukabwa usingizini ni husababishwa na jini mbaya ( shetani )
WAMESHINDWA KUTOA MAJIBU WANA SAYANSI JIBU NI WATU KUMWAMINI YESU KRISTO NA MA NENO YAKE KWASABABU 1 WAMESHINDWA KUJIBU YULE UNAYE KUWA UNAMUONA MDA MCHACHE KABRA YA KUKABWA NINANI NA NININI HAWANAJIBU BIBADAM HUWA WANAJITAHIDI SANA KUJITEGEMEA BIRA YA MUNGU RAKINI WAMESHINDWA YESU NIMWANA WA MUNGU KWELI KWELI KILA ANAYE MWAMINI YEYE NI NJIA KWELI NA UZIMA MTU HAJI KWA BABA ILA KWANJIA YA MWANA YANI YESU KRISTO
Mm linanishika asubuh jmn nakua nasikia mtu anatembea ila nikitaka kuamka siwezi mpka nitumie nguvu na ufaham nakua nao ila kufumbua hata macho nakua cwez😢
Tulio kabwa na hili jitu tujuzane kwa like😅
Pamoja
Nitalitazama kesho kheee😂😂😂 Latisha haswaaa😂😂
@@ReyKatuni ukiliogopa litakufuata ucku huu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Oyaaaaaaa😂😂😂😂 hili jitu sio poa mamaeeee
@@Learning2test alafu utakuaje
Tunae amini neema ya mungu imetuzunguka tugonge like hapa🙏
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Wanaopenda the story book mpk wananunua bando ijumaa kama mm tujuane
Wote kidole juuu
🫣
Tuko hapa boss😂😂😂
Mm
Ijumaa how?!
Kama unaamini Jamal April akisimulia story inavutia naombeni like 10.
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Nipeni like sijawai pata adhi moja
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Siku moja unaonaje ukaongelea kuhusu mkanganyiko unahusu shape ya dunia, uhalisia kuhusu firmament, ukweli au propaganda za wazungu kwenye mwezini instead kuna kipangamizi cha maji anga huko juu na mwisho zaidi kwanini kuwe na siri na vizuizi juu ya bara la Antarctica, je ni kipi kimefichwa ulinganisha na ramani ya dunia inayoonyesha uwepo wa mabara zaidi nyuma ya Antarctica?
Mengi yakusema...... natanguliza shukran
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
❤prof April story.nashukuru kwa kutuletea story za dini na maisha kujuwa tuliko toka huku mambo ya sayansi Asante kwa zawadi hizi tunu zetu.
Mungu aibariki kazi ya mikono yako
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Mm nahic zile the story book zilifanywa na mtiga uziregelee kuhadithia. Coz huyo mtiga sijawai kumuelewa kabisa. Yani hatakama story nitamu lkn yeye hadithii ipasavyo. Kwamfano the story book ya Osama, titanic, story ya uhuru Kenyatta wa Kenya na kadhalika😢😢😢
Kumbe na ww unataman km Mimi, Mtiga alikuwa mpiga kelele tu Mwenye sauti nzuri,
Well said 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@@johnmwandu2116 anaboa kwakweli
Jamal april ni Genius ,. Anae bisha anletee msimulizi kama huyu kwenye hii dunia...
Leo nimekuwa wa kwanza malizen like zenu
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with lots of love 💗
Nakukubaligi sana Jamal April Allah S.W akupe nguvu Brother uzidi kutupa mambo tusoyajua.
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Mandy stavick hii story sijaielewa nahis ukiielezea my brother itakuwa nzur sana na nitaielewa sana
Siku moja moja uwe unatujih bhas jamal
Mwamba anajua kusimulia asee🙌🙌🙌🔥🔥
daaah !! sijapenda,hamja nishtua tena nimechelewa siku tatu. sijapenda wazee 🥲🥲🥲
Dah hii stori inaniskitisha sana😭😭😭😭mm kwakuzihesabu siku nimekabwa nahuyu kiumbe zaidi yamara40 najiulza nimm tu au kuna wengne waliokabwa maranying zaid kma mm😭😭😭😭
Soma dua ukilala na usisubutu kulala tumbo juu bali lala tumbo chini na ushahadie mara tatu , NB km ni muislam
Kwa ss wapani😢
Jamal noma sana
huyu jinamizi ni jini kweli maana ukilala bila kuswali lazima tu akuijie
Wallai me nikiwa kwenye hali hiyo nikiamka nikieka quran nalala vizuri nisipoeka hiyo hali yarudia tena
I love how this guy advertises his products💪💪
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Jmn me nipooo presents tujuwanee kwa like ❤
Safi sana Jamar story nzur umenifundisha sana hap
Hao maboya walisha nikabaga nakumbuka lakini Kinga yangu kwa sasa ni Damu ya Yesu kwisha kabisa.No uchawi wala majini ya kipumbavu.
Yesu alipaa zamani ww iyoo damu umeipata wap Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
@NeemaChilimo-sr4wj
Kimtazamo wa kibinadamu ni ngumu saana kuelewa ila jua kwamba tumekombolewa kwa damu ya mwana kondoo. Ambayo damu hiyo ina safisha kabisa pia hutaelewa kwa maana ujafunguliwa kuyafahamu, omba saana upewe ufahamu wa kuelewa.
1 Petro 1:18-19 Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;
bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.
@NeemaChilimo-sr4wj
Pia kama bado unamizigo utakufa nayo kama bado ujatengeneza njia zako .Nafasi ulio nayo ni sasa wewe ukiwa hai baada ya kifo ni hukumu tu.yaani ukifa na mizigo yake utajikuta umelala umeamka ni hukumu.
Soma hiyo
Mathayo 11:28-30 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Unauhakika na unachokisema
@Msakatonge23
Itakuwa usomi maandiko
Waebrania 9:27-28 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
My all time story teller🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kulala Chaliii ni tatzo maana ndoto mbaya ndio znachukua nafasii na JINAMIZII NDIO LINATUPATA HAPO😢😂😂 NI. HATARIII SANA UNAWEZA SEma FAMILIA INAKUCHEZEA
Kweli
God bless Jamar April
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Noma sana the story book kwa hewa🔥💯
wakwanza naomba likes🐯
Like za nn wewe kalale uko
Jaml april 🔥🔥🙌🙌 professor
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
@jamal-april you are the best brother
Leo nimecheka sanaa ety ndipo hyu mwehu 😂😂😂
Br Jamal natamani kupata mawasiliano yako, serious kuna mengi nayohitaji kujua
Wa mwisho jmn naomba msi like 😅
😂😂😂😂😂😂😂
The Best Story Teller in 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇧🇮🇨🇩🇸🇸🇷🇼
upo vizuri mzee
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
No love 💕 no MANE 🎉 tupo pamojaa jamali twende kazi
M.Mungu akufanyie wepesi kipindi hichi kiendelee kizazi na kizazi
Mungu akubarick ukumbukwe vizazi na vizazi
Yan dah story book leo jamal umetisha sana hii hyu patner washetwan anatunyima raha kwakwel
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Dah wa mwisho km wezangu like hapa😂
Nakukubali sana jamal April, this is fantastic 👏 👌
Wa 11 naomba like zangu
Kwanini uombe Like na sio maarifa
Oya huyuu msenge Jana alinimbmba noma😂😂😂😂
The story book 📚📖 ijumaa 👍🏻😂🎉😊❤❤
Mashalla mwalim ❤❤❤❤
😂😂😂😂vitoto vidogo 😅😅😅😅vinaturetea michezoyawo usingizini😂😂😂😂
Wanatuweza lakini😂😂😂😂😂😂😂😂😂
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Tulio wahi like hapa
Jinamiz matako.yake juz limenjia kuinuka siwezzz uwii😅
😂😂😂
Jamani natumai sijaooga mwenyew duuuuu🙏🙏🙏
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Nawakubali wote ndugu zangu wacomment
Jamal aprl anajua sana 😢😂
Mungu akubarick
Makin sana kwel unasitahili kuitwa profesa ujabaatisha
czcams.com/video/JutyaSXkbEU/video.htmlsi=x2G7Z7Ya_yf0cwm5
Nakukubali Prof.Jamal
Hao jamaa wanaoamin jinamiz ni vitoto vinakuja kufanya michezo ya vitoto🤣🤣🤣
Kazi nzuli 😊😊
Amen
Ni hatarii
Wanatutesa sana 😂.
Genius Jamal,keep it up brother 👏👏
Nisiwe muongo nikilala mchana sa Saba hivi au sa nane lijamaa linanijia mpaka Sasa silali mchana shenzi kabisa😅😅😅
Kumbe tupo wengi jamani nilzani peke angu
Usione ni kawaida ukiona ivyo ujue roho wa Mungu hayupo ndani yako..Haki, ukiwa katika ubora wa Imani yako km ni mkristo ivyo Vitu utaviskia tu
Jamal april 🔥🔥🙌🙌 professor
Saiv mnazingua kumamake Kat kati ya stor mnaweka tangazoo
ww jamari kah yaani jamani hadi moyo unataka kuntoka mdomoni naangalia usiku wamanane ujue ndugu yangu tena nmezima taa😱😨🥶
Kuna siku hii situation ilishawahi kunitokea nikiwa na miaaka 13 wallah nilihisi ni mtoa Roho amefika na yangu yametimia😢
Nice professor 👏👏👏
Professor tujuze bas tumjue sir. Isack newton
Watching from 🇰🇪
🎉🎉🎉 much love ❤ from kenya 🇰🇪
Nikweli kbs nilikuwaka nalala chale nikaisi mtu afu ni mwanamke ananipandia kifuani akaanza ni kaba shingoni nusu nife 😢
Génial ❤❤
asante kwa stori mpya, ila ukipata muda tunaomba utupe mkasa wa 2pac na big full
Natazama sana story zako Naomba utusumulie ya genghis khan
Wa kwnye tamthiliya ya ottoman au 😂😂
Yaani Mimi kila nilalapo mchana lazima nimpate jinamizi naombeni mnisaidie jamani
Mamae hili lishenzi juzi tu lilinikaba alafu kila nikisoma ayatu qursiyu ctoboi yan ata haitoki asa sauti 😂
Jina la YESU tu ndo linaokoa
Amini kaka hili ni jini
mmmh mi mbna Ayatulkulsi chap ananiacha dadec
Hapo kwenye tafiti za kisayansi hoja zao hazina mashiko kabisaa lakini sishangai kwasababu wana sayance hawaamini uumbaji kwahivyo hawezi kukubaliana kwamba kukabwa usingizini ni husababishwa na jini mbaya ( shetani )
Nikwer yamenitokeaga sana kaka
Me mwisho leo hili jinamizi limenikamata kumanina zake
Wanasayansi na wenyewe wana nenoo 🤔🤔🤔🤔🤔 kama nawaelewa iviiii😮
Hello ...the story book can you please do a documentary for the lost Malaysian airline
Mmh jamal nimeiwatch usiku nimejuta. Inatisha jmn. Picha zinatisha😢
WAMESHINDWA KUTOA MAJIBU WANA SAYANSI JIBU NI WATU KUMWAMINI YESU KRISTO NA MA NENO YAKE KWASABABU 1 WAMESHINDWA KUJIBU YULE UNAYE KUWA UNAMUONA MDA MCHACHE KABRA YA KUKABWA NINANI NA NININI HAWANAJIBU BIBADAM HUWA WANAJITAHIDI SANA KUJITEGEMEA BIRA YA MUNGU RAKINI WAMESHINDWA YESU NIMWANA WA MUNGU KWELI KWELI KILA ANAYE MWAMINI YEYE NI NJIA KWELI NA UZIMA MTU HAJI KWA BABA ILA KWANJIA YA MWANA YANI YESU KRISTO
Nipeni ata liké mbili
I have experienced this kusindwa kupumua
Kwa upande wangu mimi kila ninapo lala Chari Chari basi hilo jambo ni la kila siku ila nililala kiubavu bavu hainitokei hali hiyo
Jinamizinon on top like man city🤩🤩
Numeerewa 😢😢😢😢😢😢😢😢
Mara nyingi ukilala chali ndo tatizo suluhisho moja wapo likikutokea ni ayatul qursiyyu hata kimoyomoyo
Utuletee na yajini bahaba
Nimepatwa nayo Leo
nakupata nikiwa🇰🇪
Huyu mwamba noma Tena noma si kidogo anakaba mpaka penat😅😅
This is the best story
Hili dude lilinipiga bao nikiwa mdogo mpaka leo siwezi isahau ile siku nikamkomalia dadaangu kwann kanipiga kibao😅😅😅
Wa 18😂😂😂from Saud Arabia❤❤❤ila nta tazama kesho huu uwoga nilionao hauniruhusu kutazama usiku😂😂😂😂😂😂
See u 2morrow 😅
mambo
Kweli 😂😂😂😂hujatizama umejuaje 😂😂😂😂😂😂
@@MiriamAbdallah kweli vile huwa najarbu kufatilia story za wazungu
@@VictorMsuya Kuna lakujifunza na kupunguza stress
Mbn hivyo Usk huyu jmn Jamal April uwiiii
Mm linanishika asubuh jmn nakua nasikia mtu anatembea ila nikitaka kuamka siwezi mpka nitumie nguvu na ufaham nakua nao ila kufumbua hata macho nakua cwez😢
Ukilala soma ayatul kursiyu mara 7
Smart jamal
Wa kwanza
Mi na jinamizi ndio tunakabana mpaka tushazoeana..
Fantastic 💥
Mm nililala mchana na nikakabwa hivyo niliamka nikashindwa yan mpka nilishindwa kuongea kwa mda
asant kaka kwa story
Tunazuiaje kukabwa na jinamizi la kisayansi
Kweli hiyo hali inatusumbuwa sana hatujuwi ni kwanini
Soma neno utanusulika