Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.
Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku
Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo. Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza
Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.
Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo
Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah
Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.
ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa
Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.
Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa
Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾
Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa
Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..
Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,
Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?
Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo. 1. Anakuwazia mabaya 2. Anakunenea yasiyofaa 3. Anakutendea yasiyofaa Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)
KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.
Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.
Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku
Nimeshawahi kukutana na vita yakifamilia Mungu akanisaidia nikashinda.
Nilikuwa na rafiki angu nilipoanza kufanikiwa alinitangazia vitu vichafu kweli kaka uko sahihi san
Ubarikiwe mwalim utafanyaje kuepuka vitaa kweny masomoo
Mm napenda sana mafunzo unayo tupatia mungu akubariki sana
Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo.
Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza
Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.
Yeah 👍,,,,,,🪂🤔 exactly........... secretly from out of the box.🙏🙏✍️Be multiplied.............umegusa ikulu ya moyo wangu.
Duh kweli brother vita ni kubwa but never never give up
Asante sana kwa hii pia kaka Mungu akuweke miaka elfu na elfu ❤❤
Àsante sana kwa SoMo lenye kiwango❤
MAKAZINI, UKIKOSA KIFO NA UKATOKA SALAMA, UJUE NI MUNGU TUU ALIYEKUPIGANIA. BIG UP BROTHER 💪
Kweli kabisa unachokisema vita ni ngumu sana kuiepuka
Thanks brother.
Asante nime eliwa kwenye swala la ushawishi
Asante kwa elimu napenda san kukusikiliza mna wanipa moy n kujiona nawez everthing is possible❤❤💪
Absolutely true
Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo
Barikiwa kaka Joel. Vupemgele vyote vya vita vinanihusu. Mungu anitetee. Asante kwa mafundisho
Daaa ndungu yote ayo ninayo asante kwa kunifungua kichwa asante sana
Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah
So nice kaka
Asante kw nasaha takatif- Mr Joel
Shukrani sana tupo pamoja
Yamenikuta mwaka jana, ahsante kwa elimu nzuri
Asante kwa ujumbe kiranapo kuskiliza napata hamasa Sana ndugu
be blessed mtumish for inspiration
Your so Amazing 👏
Ubarikiwe mt,mimi ni ushawashi unaniletea vita sana
Nashukuru kwaku nitambulisha aina vitu hivi mungu akubariki
Duh nashukuru sana kaka Joel hakika niko chuoni najifunza mambo mengi kutoka kwako God bless you 😊😊❤
Well broh
nimepitia hayo kaka Asante sana kwa somo lako
Nimekutana kaka.
Asante sana mkubwa ndio mimi imeshawai nitoneya nilipedwaka sana na boss mkuu wetu kazi akachukiya sana
Mm nimekutananavyo sana nishida kaka
Saluti kwako, ushauri mzuri tunajionea kweli humu makazini , Allah Awalaani wanao fanyia wenzao ufitini
KWELI KABISA, KAZINI NDIO BALAA.
Asante Kaka ilenikweli'miminikwenye ushawishi
Nguvu kubwa ndani yangu ni kuishi kwa misimamoo yangu mwenyewe but Kuna mtu nashidwaga kuwa endelevu
Thanks nimebarikiwa kiukweli
hii naipitia Mimi sahivi
Ni kweli maisha ni vita mie pia ilishanitoke kazini
Hata ukipendwa na mume wako pia ...asantee nilikua nashangaa
Saizi, napitia kipindi hicho Cha vita, hakika uliyoyasema ni kweli tupu
Nakufutilia nikiwa mwanza nakuelewa sana mkuu .
Always high
Broo uko sahihi sana be blessed kwa kutebgeneza video za maisha yetu ya kawaida
Asante sana
Thanks 🙏
Ahsante sana
Barikiwa sana
Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.
No 2 vita ya Pesa
Hongera sana
Shukrani kaka❤❤
Umeniongezea maarifa
Yamenikuta sehemu zote mpaka nilipogundua hili
Ukweli kabisa...Mimi nmekutana na hiyo ya influence
Yaanii kaka kiukweli ninethibitisha hata sikuamini jamani Mungu akubariki
Kaka sisi tunakuombea Mara kwa Mara ili tutimize malengo yetu.mungu akulinde.
Fita ni fitaa Muraaa
Tangu nikufahamu nakufatilia sana... Blessed man of God.
Ameen Furaha ahsante sanaa🙏
Pesa huwakosanisha watu sana mwalimi
Amen
Nimewah kukutan na vita y ushawish
🙌
Fact
Mambo ni mengi tumepitia kaka ila mungu anatupigania sana.
Msemo maarufu : "PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA"
🙌🏿
💥☑️
Asante sana broo na mshukuru Mungu kukufahamu najifunza sana kutoka kwako
Type mbinu mkuu ujumbe umefika mbinu ndio atujajua tasingie kwenye mitego from bush man
ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa
Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.
@@happyvalence5352never give up 💪 pambana
Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa
Hayo ni ukweli halisi wa mambo.
Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾
Ameen nashukuru sana sana, songa mbele
🤝
Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa
Kwa kwely kaka unatoka madini
Nimepitia hayo yote matatu,moyo bado wavuja hata sasa,ila nimemuachia mola.anipe mwanzo mpia.
Mimi nimepigwa Vita kazn kwa sababu ya nafasi niliyonayo Ila nimeshinda
Somo zuri na limeeleweka barikiwa Sana. Je kuna namna yakufanya inapotokea vita kama hii?
Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..
Af Kuna ile Vita ya nani ale maini na firigisi pale kuku akichinjwa home.. . 😢
Hatar
Akika akuna ushindi bila kushindana
Kabisa Kabisa 💪🏼
Asante Kwa kunipa mwanga ingawa sikujuwa thamani yangu ya maisha Iko wap thanks Joel Kwa kunipa taa inayo ona Bali kuliko kalibu
Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,
Pole.bora simba kuliko binadamu mnafiki😂
@@ahz6907 Asante kipenzi
Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?
Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo.
1. Anakuwazia mabaya
2. Anakunenea yasiyofaa
3. Anakutendea yasiyofaa
Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)
Shangazi yangu baba mmoja mama mmoja alianza kutufanyia hivi baada ya baba yetu kufa na kutuacha tukiwa na miaka 6
😅😅😂 3:26
KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.