KWENYE MAFANIKIO HUWEZI KUKWEPA VITA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 02. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 103

  • @user-hp6hx6ev8b
    @user-hp6hx6ev8b Před 5 měsíci +15

    Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo Před 5 měsíci +5

    Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 Před 2 měsíci +1

    Nimeshawahi kukutana na vita yakifamilia Mungu akanisaidia nikashinda.

  • @user-kj4ik9bo5o
    @user-kj4ik9bo5o Před 2 měsíci +1

    Nilikuwa na rafiki angu nilipoanza kufanikiwa alinitangazia vitu vichafu kweli kaka uko sahihi san

  • @user-tm6yo3vg4j
    @user-tm6yo3vg4j Před 5 měsíci +1

    Ubarikiwe mwalim utafanyaje kuepuka vitaa kweny masomoo

  • @user-sf7by1cr5h
    @user-sf7by1cr5h Před 4 měsíci +1

    Mm napenda sana mafunzo unayo tupatia mungu akubariki sana

  • @mazwichannel2120
    @mazwichannel2120 Před 5 měsíci +5

    Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo.
    Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza

    • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
      @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj Před 5 měsíci

      Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.

  • @user-om7pl9xm4s
    @user-om7pl9xm4s Před 3 měsíci

    Yeah 👍,,,,,,🪂🤔 exactly........... secretly from out of the box.🙏🙏✍️Be multiplied.............umegusa ikulu ya moyo wangu.

  • @kisesagroup4730
    @kisesagroup4730 Před 5 měsíci +1

    Duh kweli brother vita ni kubwa but never never give up

  • @sundaymjusi2272
    @sundaymjusi2272 Před 5 měsíci +2

    Asante sana kwa hii pia kaka Mungu akuweke miaka elfu na elfu ❤❤

  • @user-wh4gs8wj1z
    @user-wh4gs8wj1z Před 5 měsíci +1

    Àsante sana kwa SoMo lenye kiwango❤

  • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
    @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj Před 5 měsíci +1

    MAKAZINI, UKIKOSA KIFO NA UKATOKA SALAMA, UJUE NI MUNGU TUU ALIYEKUPIGANIA. BIG UP BROTHER 💪

  • @ZainabuEmmanuel-vs2mo
    @ZainabuEmmanuel-vs2mo Před 3 měsíci

    Kweli kabisa unachokisema vita ni ngumu sana kuiepuka

  • @user-xn4fe2dy5s
    @user-xn4fe2dy5s Před 5 měsíci +1

    Thanks brother.

  • @nestoryvenance4258
    @nestoryvenance4258 Před měsícem

    Asante nime eliwa kwenye swala la ushawishi

  • @nuuali8724
    @nuuali8724 Před 5 měsíci +1

    Asante kwa elimu napenda san kukusikiliza mna wanipa moy n kujiona nawez everthing is possible❤❤💪

  • @kisesagroup4730
    @kisesagroup4730 Před 5 měsíci +1

    Absolutely true

  • @prisilatarimo7454
    @prisilatarimo7454 Před 5 měsíci +1

    Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 Před 4 měsíci

    Barikiwa kaka Joel. Vupemgele vyote vya vita vinanihusu. Mungu anitetee. Asante kwa mafundisho

  • @user-qh2ef5gj5b
    @user-qh2ef5gj5b Před 4 měsíci

    Daaa ndungu yote ayo ninayo asante kwa kunifungua kichwa asante sana

  • @jumbewatson8639
    @jumbewatson8639 Před 4 měsíci

    Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah

  • @user-my9fj8jv3q
    @user-my9fj8jv3q Před 3 měsíci

    So nice kaka

  • @user-nl2wq1go8o
    @user-nl2wq1go8o Před 5 měsíci

    Asante kw nasaha takatif- Mr Joel

  • @user-jb5tb7qq5f
    @user-jb5tb7qq5f Před 5 měsíci

    Shukrani sana tupo pamoja

  • @user-lp1vd8rl9y
    @user-lp1vd8rl9y Před 5 měsíci

    Yamenikuta mwaka jana, ahsante kwa elimu nzuri

  • @user-er7mo5bq5s
    @user-er7mo5bq5s Před 5 měsíci

    Asante kwa ujumbe kiranapo kuskiliza napata hamasa Sana ndugu

  • @user-gk6nb6oo8v
    @user-gk6nb6oo8v Před 5 měsíci

    be blessed mtumish for inspiration

  • @sharfatyally7224
    @sharfatyally7224 Před 5 měsíci

    Your so Amazing 👏

  • @194summer
    @194summer Před 5 měsíci

    Ubarikiwe mt,mimi ni ushawashi unaniletea vita sana

  • @user-je2tm9gz8l
    @user-je2tm9gz8l Před 5 měsíci

    Nashukuru kwaku nitambulisha aina vitu hivi mungu akubariki

  • @fredyelisha2686
    @fredyelisha2686 Před 5 měsíci

    Duh nashukuru sana kaka Joel hakika niko chuoni najifunza mambo mengi kutoka kwako God bless you 😊😊❤

  • @SulleymanOmary
    @SulleymanOmary Před 4 měsíci

    Well broh

  • @MethodNdekele
    @MethodNdekele Před 5 měsíci

    nimepitia hayo kaka Asante sana kwa somo lako

  • @user-ic1ty9pw8m
    @user-ic1ty9pw8m Před měsícem

    Nimekutana kaka.

  • @user-je2tm9gz8l
    @user-je2tm9gz8l Před 5 měsíci

    Asante sana mkubwa ndio mimi imeshawai nitoneya nilipedwaka sana na boss mkuu wetu kazi akachukiya sana

  • @user-sf7by1cr5h
    @user-sf7by1cr5h Před 4 měsíci

    Mm nimekutananavyo sana nishida kaka

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k Před 5 měsíci +2

    Saluti kwako, ushauri mzuri tunajionea kweli humu makazini , Allah Awalaani wanao fanyia wenzao ufitini

  • @user-vs3bc3yy4v
    @user-vs3bc3yy4v Před 5 měsíci

    Asante Kaka ilenikweli'miminikwenye ushawishi

  • @joyceLukumay-lw1gi
    @joyceLukumay-lw1gi Před 3 měsíci

    Nguvu kubwa ndani yangu ni kuishi kwa misimamoo yangu mwenyewe but Kuna mtu nashidwaga kuwa endelevu

  • @aggreysports-tc3sd
    @aggreysports-tc3sd Před 5 měsíci

    Thanks nimebarikiwa kiukweli

  • @keviolotu
    @keviolotu Před 3 měsíci

    hii naipitia Mimi sahivi

  • @magrethkassian5235
    @magrethkassian5235 Před 5 měsíci

    Ni kweli maisha ni vita mie pia ilishanitoke kazini

  • @minaaminaa1781
    @minaaminaa1781 Před 5 měsíci

    Hata ukipendwa na mume wako pia ...asantee nilikua nashangaa

  • @clemencehaule3857
    @clemencehaule3857 Před 5 měsíci

    Saizi, napitia kipindi hicho Cha vita, hakika uliyoyasema ni kweli tupu

  • @erastohongerasanasamamagor7939

    Nakufutilia nikiwa mwanza nakuelewa sana mkuu .

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Před 5 měsíci

    Always high

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Před 5 měsíci

    Broo uko sahihi sana be blessed kwa kutebgeneza video za maisha yetu ya kawaida

  • @user-gh9oh6mt5o
    @user-gh9oh6mt5o Před 5 měsíci

    Asante sana

  • @user-xd2wb3mz9y
    @user-xd2wb3mz9y Před 4 měsíci

    Thanks 🙏

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 5 měsíci

    Ahsante sana

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 5 měsíci

    Barikiwa sana

  • @user-qy7wv3xv4o
    @user-qy7wv3xv4o Před 5 měsíci

    Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 Před 5 měsíci

    No 2 vita ya Pesa

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Před 5 měsíci

    Hongera sana

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před 5 měsíci

    Shukrani kaka❤❤

  • @user-fh4ql8ed1k
    @user-fh4ql8ed1k Před 5 měsíci

    Umeniongezea maarifa

  • @Sumay228
    @Sumay228 Před 5 měsíci

    Yamenikuta sehemu zote mpaka nilipogundua hili

  • @EsterJames-sk4te
    @EsterJames-sk4te Před 5 měsíci

    Ukweli kabisa...Mimi nmekutana na hiyo ya influence

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 Před 5 měsíci

    Yaanii kaka kiukweli ninethibitisha hata sikuamini jamani Mungu akubariki

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Před 5 měsíci

    Kaka sisi tunakuombea Mara kwa Mara ili tutimize malengo yetu.mungu akulinde.

  • @mahwabashiri5467
    @mahwabashiri5467 Před 5 měsíci

    Fita ni fitaa Muraaa

  • @Furaha-Dokela
    @Furaha-Dokela Před 5 měsíci

    Tangu nikufahamu nakufatilia sana... Blessed man of God.

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před 5 měsíci

    Pesa huwakosanisha watu sana mwalimi

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Před 5 měsíci

    Amen

  • @StambulMohmmedi
    @StambulMohmmedi Před 12 dny

    Nimewah kukutan na vita y ushawish

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 Před 5 měsíci +1

    🙌

  • @priscalongo6090
    @priscalongo6090 Před 5 měsíci

    Fact

  • @franksamson1718
    @franksamson1718 Před 5 měsíci

    Mambo ni mengi tumepitia kaka ila mungu anatupigania sana.

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 5 měsíci

    Msemo maarufu : "PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA"

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 5 měsíci

    🙌🏿

  • @Jrmontaiza
    @Jrmontaiza Před měsícem

    💥☑️

  • @HassanAbdalla-is3xl
    @HassanAbdalla-is3xl Před 5 měsíci

    Asante sana broo na mshukuru Mungu kukufahamu najifunza sana kutoka kwako

    • @bushimani1544
      @bushimani1544 Před 5 měsíci

      Type mbinu mkuu ujumbe umefika mbinu ndio atujajua tasingie kwenye mitego from bush man

  • @sircomplextz
    @sircomplextz Před 5 měsíci +1

    ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa

    • @happyvalence5352
      @happyvalence5352 Před 5 měsíci

      Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.

    • @user-qx9cv8hw2h
      @user-qx9cv8hw2h Před 5 měsíci

      ​@@happyvalence5352never give up 💪 pambana

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 Před 5 měsíci

    Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa

  • @Abwe_1
    @Abwe_1 Před 5 měsíci

    Hayo ni ukweli halisi wa mambo.

  • @davismballa
    @davismballa Před 5 měsíci

    Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 měsíci

      Ameen nashukuru sana sana, songa mbele

  • @ladslauspius4845
    @ladslauspius4845 Před 5 měsíci

    🤝

  • @daprince7545
    @daprince7545 Před 5 měsíci

    Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa

  • @emanuelalfred5194
    @emanuelalfred5194 Před 5 měsíci

    Kwa kwely kaka unatoka madini

  • @user-kr1rj2ju2b
    @user-kr1rj2ju2b Před 5 měsíci

    Nimepitia hayo yote matatu,moyo bado wavuja hata sasa,ila nimemuachia mola.anipe mwanzo mpia.

  • @GreatCalmtz
    @GreatCalmtz Před 5 měsíci

    Mimi nimepigwa Vita kazn kwa sababu ya nafasi niliyonayo Ila nimeshinda

  • @alfredshafii2413
    @alfredshafii2413 Před 5 měsíci

    Somo zuri na limeeleweka barikiwa Sana. Je kuna namna yakufanya inapotokea vita kama hii?

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 5 měsíci +1

    Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 5 měsíci +1

    Af Kuna ile Vita ya nani ale maini na firigisi pale kuku akichinjwa home.. . 😢

  • @paulissayapaul4819
    @paulissayapaul4819 Před 5 měsíci +2

    Akika akuna ushindi bila kushindana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 měsíci +1

      Kabisa Kabisa 💪🏼

    • @paulissayapaul4819
      @paulissayapaul4819 Před 5 měsíci +1

      Asante Kwa kunipa mwanga ingawa sikujuwa thamani yangu ya maisha Iko wap thanks Joel Kwa kunipa taa inayo ona Bali kuliko kalibu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 5 měsíci

    Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,

  • @nicolauslazaro4069
    @nicolauslazaro4069 Před 5 měsíci

    Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Před 5 měsíci +2

    Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo.
    1. Anakuwazia mabaya
    2. Anakunenea yasiyofaa
    3. Anakutendea yasiyofaa
    Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)

    • @user-gb5vz6wm2q
      @user-gb5vz6wm2q Před 5 měsíci

      Shangazi yangu baba mmoja mama mmoja alianza kutufanyia hivi baada ya baba yetu kufa na kutuacha tukiwa na miaka 6

    • @aboubakarnzisabira3870
      @aboubakarnzisabira3870 Před 5 měsíci

      😅😅😂 3:26

  • @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
    @HIACINTHAKYAUKA-uz5pj Před 5 měsíci

    KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.