Video není dostupné.
Omlouváme se.

USTADHI KONDOBUNGO ATOA SIRI ZA MASHEIK NA WAISLAMU WENGI KUVAA PETE, DR SULLE NA MBOGO WAPEWA SOMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA

Komentáře • 34

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 Před 25 dny +1

    Maa shaa Allah... sheikh Kondo...hii ni ilmu ya ukweli...ilmu nzito...we need more ...I love listening to this...
    Salaam from Texas
    Barakallah fiikum

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 27 dny

    mzee huku sawa sana

  • @user-ft8cb3rq2k
    @user-ft8cb3rq2k Před měsícem +1

    Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 Před měsícem +1

    Tusiuhukumu uislamu Kwa kutojua linaloongelewa.

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 Před měsícem

    Uislamu ni Raha ona sheikh anavyoichambua Pete na madini yaliyomo kwenye hiyo Pete.😊

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před měsícem +1

    VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b Před měsícem +1

    Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před měsícem

    Hayaa ni maarifa makubwa sana

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 Před měsícem +1

    Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 Před měsícem +1

    Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před 23 dny

    Je elimu ya falaki ipo kwenye uislam?

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 Před měsícem

    4NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 Před měsícem

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 Před měsícem

    Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo

    • @bilid4128
      @bilid4128 Před měsícem

      Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 Před měsícem

      @@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před měsícem

    Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 Před měsícem

      @@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx Před měsícem

    HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem

    Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 Před měsícem +3

    Uislamu ni uchawi mtupu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx Před měsícem

      Acha chuki za kidini

    • @mussashaha-iv7gg
      @mussashaha-iv7gg Před měsícem +1

      wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 Před měsícem +1

      Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki

    • @othmaniddikilongokilongo7890
      @othmaniddikilongokilongo7890 Před měsícem

      Uislaam ni mfumo wa maisha anayoyaridhia Allah hapa duniani wala sio uchawi. Kuuchukia kwako uislaam ni khasara kwako.

    • @abuuahmad3238
      @abuuahmad3238 Před 25 dny

      And Christianity is for brain dead

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 Před měsícem

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 Před měsícem

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před měsícem

      @@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1

    • @JumaAthuman-bk6hx
      @JumaAthuman-bk6hx Před měsícem

      Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu