🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 06. 2024
  • 🔴#Live: AL- HAJJ DR SULLE ANANIKA MENGI USIYOYAJUA - NDOA za MASTAA KUVUNJIKA na UTAJIRI WAKE...
    Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Zábava

Komentáře • 37

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před měsícem

      Huo mziki niwa nn na mko na Sheikh hapo????

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 Před měsícem

    Katika wingi wa siku kuna wing wa maarifa
    Una hekima sana Shekhe
    Nmependa Hekima zako Dr Mungu akuongoze na akuzidishie maarifa na Hekima

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před měsícem +5

    Doctor akiendelea kunguruma kwenye media.akiutangaza ufalme WA MwenyeziMungu na dini yake.safi Sana.Allah akulipe heri duniani na akhera

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před měsícem

      Safi sana nn ,anayoongea ya Majini huyaskii?

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem

      ​@@Mohaa4309ameulizwa kuhusu majini!ndo ameeleza majini niviumbe wasio onekana tunaamini yapo au?? ni nini tatizo tuhabarishe wewe unae fahamu zaidi kuhusu hao viumbe

    • @mohamedswalehe4777
      @mohamedswalehe4777 Před měsícem

      Safi sana na kuna mapigo ya muziki?! Mmekuja kuwaje waislam mnapuuza vitu vidogo vidogo ila mnakua kama mnahalalisha mambo

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem +1

      @@mohamedswalehe4777 ktk mialiko studio wanawakosea wanatakiwa kujua mgeni wao ni mtu wa aina ipi! Lkn sheikh Sulle nadhani ameghafirika tu kuhusu huo muziki wa studio,angesha waambia waondoe mziki,Allah atusamehe sote kwa kughafilmrika kama binadamu hatukosi mapungufu

    • @IbrahimKussaga
      @IbrahimKussaga Před měsícem

      Anatangaza ufalme wa shetani

  • @MohmmedGandhi-zc9wo
    @MohmmedGandhi-zc9wo Před měsícem +2

    Sule unailimisha hio suratulfatihah wingi hawajui usemayo nimesoma kitu shukran

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e Před měsícem +2

    Mnatiya music wakati mnaongeleya maneno ya Allah,,ujinga huo pia ni usheytwani...

  • @Midayakubet
    @Midayakubet Před 21 dnem

    Jamani ndugu hapo studio naomba namba za sule kwajiri ya ushauli

  • @AdowIbrahim-ck3vp
    @AdowIbrahim-ck3vp Před měsícem

    Masha Allah good

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Před měsícem +2

    i ptay that one day you will meet the living God

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem +3

    SULE AMECHEMSHA AFADHALI ANGEKUWA MCHUNGAJI TU AONGEE MIUJIZA 😢😢😢😢😢

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Před měsícem +2

    tunaishi siku za mwisho.....

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Před měsícem +2

    tunakoenda ni kubaya zaudi

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před měsícem +1

    UO MUZIKI WA NINI KWENYE BACKFROUND ?WACHENI USHAMBA

  • @user-pv1gm5lt4p
    @user-pv1gm5lt4p Před měsícem

    Niko na mk wangu nimekupat dokta Sule akubarik mung

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 Před měsícem

    Maneno ya hekima sana Dr hayo maneno

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před měsícem +1

    Tunakuaminia baba

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před 24 dny

    Sasa Mbona kunabiti y’a singeli upunbavu huu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +1

    Dk Una baya

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Před měsícem

    Huyu anatumika kwenye propaganda. Hatari sana!

  • @hajiyusuf3837
    @hajiyusuf3837 Před 24 dny

    Kwa hiyo quran ndivyo inavyoeleza kuhusu ndoa ama maarifa yako tu!fata maelekezo ya mkuu darajaS.A.Wassalam.

  • @user-nx4eg7sf8u
    @user-nx4eg7sf8u Před měsícem +1

    Dr naomba Allah anijalie akili yako niirithi.

  • @jumahenriquesgeraldo9837

    Sule ni mkweli, Mimi ni shaidi, wanaadamu kuwa hawawezi kuyakubali ila ni kweli.

  • @rajaboally8687
    @rajaboally8687 Před měsícem +1

    Docta muongo

  • @MalewaKapala-qi8ij
    @MalewaKapala-qi8ij Před měsícem

    Dr sijawahi kuchoka kumsikiliza, huyu jamaa ana akili Sana. Iko siku ntajitahidi nikutane maybe live, yapo maswali yangu nataka nimuulize

  • @ZuhuraChuma-si4wv
    @ZuhuraChuma-si4wv Před měsícem

    Uyu mtu anajua anakipaji

  • @alimau7939
    @alimau7939 Před měsícem

    Huyo ni selemani anaimbwa na wasanii

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Před měsícem +1

    Hayo masuali ya kijinga wanaume pia wanauliza km mpo nyote chumbani kukagongwa mume anauliza nani uyo wakati nyote mpo ndani