🔴
Vložit
- čas přidán 11. 06. 2024
- 🔴#Live: AL- HAJJ DR SULLE ANANIKA MENGI USIYOYAJUA - NDOA za MASTAA KUVUNJIKA na UTAJIRI WAKE...
Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Huo mziki niwa nn na mko na Sheikh hapo????
Katika wingi wa siku kuna wing wa maarifa
Una hekima sana Shekhe
Nmependa Hekima zako Dr Mungu akuongoze na akuzidishie maarifa na Hekima
Doctor akiendelea kunguruma kwenye media.akiutangaza ufalme WA MwenyeziMungu na dini yake.safi Sana.Allah akulipe heri duniani na akhera
Safi sana nn ,anayoongea ya Majini huyaskii?
@@Mohaa4309ameulizwa kuhusu majini!ndo ameeleza majini niviumbe wasio onekana tunaamini yapo au?? ni nini tatizo tuhabarishe wewe unae fahamu zaidi kuhusu hao viumbe
Safi sana na kuna mapigo ya muziki?! Mmekuja kuwaje waislam mnapuuza vitu vidogo vidogo ila mnakua kama mnahalalisha mambo
@@mohamedswalehe4777 ktk mialiko studio wanawakosea wanatakiwa kujua mgeni wao ni mtu wa aina ipi! Lkn sheikh Sulle nadhani ameghafirika tu kuhusu huo muziki wa studio,angesha waambia waondoe mziki,Allah atusamehe sote kwa kughafilmrika kama binadamu hatukosi mapungufu
Anatangaza ufalme wa shetani
Sule unailimisha hio suratulfatihah wingi hawajui usemayo nimesoma kitu shukran
Mnatiya music wakati mnaongeleya maneno ya Allah,,ujinga huo pia ni usheytwani...
Jamani ndugu hapo studio naomba namba za sule kwajiri ya ushauli
Masha Allah good
i ptay that one day you will meet the living God
Your living god supports gaysim! Stupid.😡
SULE AMECHEMSHA AFADHALI ANGEKUWA MCHUNGAJI TU AONGEE MIUJIZA 😢😢😢😢😢
Mhh🤔🤔
Chuki zitakuuwa kaka Omari 😂😂😂
tunaishi siku za mwisho.....
tunakoenda ni kubaya zaudi
UO MUZIKI WA NINI KWENYE BACKFROUND ?WACHENI USHAMBA
Niko na mk wangu nimekupat dokta Sule akubarik mung
Maneno ya hekima sana Dr hayo maneno
Tunakuaminia baba
Sasa Mbona kunabiti y’a singeli upunbavu huu
Dk Una baya
Huyu anatumika kwenye propaganda. Hatari sana!
Kwa hiyo quran ndivyo inavyoeleza kuhusu ndoa ama maarifa yako tu!fata maelekezo ya mkuu darajaS.A.Wassalam.
Dr naomba Allah anijalie akili yako niirithi.
Sule ni mkweli, Mimi ni shaidi, wanaadamu kuwa hawawezi kuyakubali ila ni kweli.
Docta muongo
Dr sijawahi kuchoka kumsikiliza, huyu jamaa ana akili Sana. Iko siku ntajitahidi nikutane maybe live, yapo maswali yangu nataka nimuulize
Uyu mtu anajua anakipaji
Huyo ni selemani anaimbwa na wasanii
Hayo masuali ya kijinga wanaume pia wanauliza km mpo nyote chumbani kukagongwa mume anauliza nani uyo wakati nyote mpo ndani
Mbona bro watusi sipowa