Sheikh Alhad Mussa Atupa Jiwe Gizani "Namshangaa Sheikh Anayeshangaa Msheikh Kumiliki Bastola"
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2024
- QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Ustadh Musa unanitia mashaka sana .
Inadhihirisha ww bado unachuki sna hukuridhia wenzako kupata nafasi.
Unapoihalalisha bastola kwa nchi hii unamaanisha nini??
Natamani kujua ww mlezi wako nani??
SHEIKH WALID YUPO SAHIHI MASHALLAH UCHAMUNGU UMEMJAA.
USTDH UNATUVUNJA MOYO SANAA.
Subhanallah!!
Ila Alihad Bado kama unachuki na Walid maneno Yako ni Makali Sana!!
Jamaa yangu muda wako umekwishaa wacha maneno yakijingaa unaonyesha wazi kimekuuma sana kutenguliwa na nafasi kuchukuliwa na waleed
Njaa ikaepembeni tumueke mbele mungu alhad sjawah kumkubali hata siku moja namuona anapambania cheo na tumbo tu
Ni Padri, hana sura ya uislam,
Huo ndo ushamba na chuki binafsi,sasa hapo kaongea nini kibaya ambacho hakipo kwenye dini!!!mbona mnakuwa na chuki za kipumbavu sana waslamu wa mchongo ninyi!??
Mungu ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.
Mimi mkristo tena wa hali ya kujitambua lakn shekhe yule Walidi wa mkoa yuko sahii mno huyu ilipaswa kupigwa makofi hapa
Dah hv huyu jamaa alikuwajekuwaje sheikh wa Mkoa mbona ni Muhuni sana dah😂😂😂 elimu hana na hekma kakosa Juhaaaaal
Uongozi wa kupeana alipooa pale kwa mzee ndo akapewa nazani
kuna shari kubwa kwa masheikh wetu mungu awanusuru maana hii speech imekaa kurudisha mapigo kwa shekh wa awali kuzungumza Mkoa
Huyu amekosa hekima
Shekheee madiliiiiiiiiiiiiiiii amekasirika
😂😂
Tatizo si kumiliki silaha tatizo una silaha na mabodigadi baada yakuwa na wanafunzi usipoteze malengo tafuta wanafunzi ufundishe acha fitina
Uwezo Hana sasa wa kufundisha
Dah haya maneno ya kusema "mbona unatuletea ushamba...maneno ya kipuuzi..." yamebeba sura mbaya sana
Akhi Ally..,Mashallah una busara sana kwa kuliona hilo..kiukweli Sheikh amejibu kwa hisia za kisasi sana..Uislam umefundisha adabu ya kukosoana
Kabisa mkuu shehe huyu kauli zake nyng haziko sahihi na alistahiki kumpisha Shekhe Walid mapema mno.
Kaongea mengi mazuri, nyinyi mmeona ushamba tuuuu, Allah s.w. ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.
Chuki tuu huyu mpuuzi kwanza ana elimu gan na maneno alosema sheikh wa mkoa wa dsm n kwl masheikh mmekua wanasiasa mnasahau majukum yenu.We body guard wa nn na bastora vyote hvy.
Hujaelewa kasome makusudio ya sheikh walid nikuwa masheikh wasomeshe ili wakitembea bac mabordy gard niwanafunzi wako mm nimemuelewa sana sheikh walidi sheikh alihadi umekurupuka
Swah
ALLAH atuepushe na chuki. SUBHAANAKA YAA RABY 😭🤲
Allah tulinde na shari ya hii mitandao 😔
Yani masheikh wa Sasa Wana kazi kweli kazi kusemana tuuuuu!!!! Iv hua mnapata nn kutukanana Kila mmoja kujiona Bora dhidi ya mwenziwe mcheni Allah na mustiriane kwa ajili ya kumukhofu Allah
Allah ni samehe sjawahi kumpenda huyu shekhe kama mashekhe wengne hana nuru
Maneno sio mazuri kabisa
Kaka umeishiwa mbinu mwache shekhe wetu Walid afanye kazi ya Allah wewe endelea na siass zako
Sema huyu shekh anakauli chafu sana
Huyu mhuni Tu aliyejificha kwenye kichaka cha usheikh
Kaongea mengi mazuri weee umeona ushamba tuuuu Allah Akbar ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu
Wambie umeongea kweli umezungumza kihasira kweli tusiwe lege lege kweli cc mashekhe wa zanzibar tumelegea kweli .somo ili tuchukue.
Shekh wetu shekh waliid,nnavyomjua atafnya kama hajakuskia,atakutazama tu usemeee,ila ujumbe umefika "kaa kitako usomeshe"
Shehe ni waaliid yupo vizuri wengine nichamacha ccm
ssa jaman mmi sijajuwa kamsema nani kwani kamtaja mtuu jamani acheni mambo ya kuhisi vibaya...
Waleed ndio alisema kwanini mashehe mnatembea na mabunduki
Hii dini sio maliyako Fanya heshma na mashekh wanaotegemewa
Huyu hamna kitu kabisa ,anahangaikia tumbo tu,hamuwezi waleed kwa ilmu na pia mwenzie ,hajaweka njaa mbele,na kusifia viongozi, alhad anaumwa na cheo sana sana
Hata zunavyoongea tu Unaonesha Una chuki ya waziwazi Kabisa, Pole Sana Kila jambo Na Wakati wake.
Imani zaifu na chuki anaizihirisha kana kwamba yule jamaa alijichangua dini yetu haipo ivo
Kajificha sana, sasa chuki yake imedhihiri
Huyu sijuwi kama ataingiya peponi anakashfa na dharau anakibri lakini sikosalako kutoka shekh mkuu na kuwa ustadh duuuu inauma lazima atapike anavo jisikiya maneno ya utumbo utumbo
Wewe ndo ulikuwa shekh mkuu unawaambiya wenziyo eti miwashamba huyu kalaa kihuni hana respect.
Mtatoana roho bureee Dunia mtaiacha
Sheikh waalid alhday ni mtu safi hapa kazungumzwa vby tukiangalia na cheo chake tuwaheshim viongoz wetu hasa waadilifu kama sheikh waalid wazee walitumia hekima sana kumteua yeye ana busara mpole sio mtu wa jazba japo wenye husda zao wanajaribu kuleta fitna..
Chukua hii hata waliemteua sheikh walid mmoja wapo kajiudhuru uko chukua hii mpya then matatzo haya yanaletwa na mufti coz mkwewe huyu ndy tatizo kubwa
Shekh wa mkoa kiuwekli alipitiwa kusema vile hata mimi namkubali sana ila siku ile alizingua kumsea vile dr sulle.
Hakumsema dr Sule alikua anampiga za mbavu sheikh Walidi ndie alieanza kumsema vibaya
Njaaa mbaya sana inalilah wainailah rajion
Na sidhani kama Waleed alikuwa anakusema alikuwa anataka Mashekhe Mjue Majukumu yenu sio Madili
Sio sifa nzuri katika uislamu nyinyi ni viongozi, katika hayo munatufunza nini katika uislamu,, hebu turudi nyuma tuelewane kuliko majibizano katika mitandao
Alhadi ana matatizo Sana.
Duh ridhik ngumu san .
Umeshindw kuvumilia mtt wakium sikilajambo lakujib ukimya na hoja inamashiko zaid punguz kuongea sikila jamb lakujib
Acha kazabu
Hii ni hasad tu ya vyeo kiukweli yule sheikh wa mkoa alitoa kauli ya kiuchamungu .huyu yeye anaona Shari tu ndio maana anatetea kuwa na silaha. Hapo ni hasad tu sheikh Walid alikua sahihi
Inna Lillahi, Wainnaa Ilayhi Rrajiuun.
ALHADI NI MNAFIKI WORSE THAN WAGALATIA NI SUMU 😢😢
Huna inswaafu
Naam zama tulizo nazo sheikh alhady upo sahihi kabisa kujilinda ww mwenyew ni muhimu kwanza kabla ya kutegemea watu wakulinde
Huyu Shehe si alituambia Magu ni zaidi ya Yesu na Mungu? Bado mnamuamini tu??😢😢😢
Kwa kweli shekhe wetu wa walidi alikosea kibinadamu kudharau au kuleta dharau kwa wenzake kauli aliyoitumia sio mzuri huwezi kusema shekhe gani ww au hatukuelewi kwa sababu kuwa na bastola au bodigadi vizuri waheshimu kila mtu hakuna asiyekasirika mm simlaumu shekhe ali hadi
Huyo alhadi Allaah amuongoze, mwenzake kaongea maneno mazuri yeye analeta porojo, afu usifananishe vitu ambavyo huelewi asili yake
Makafiri hawapati tabu kutupiga vita waislamu saiv tunapigana vita wenyetu inauma sana
Allah ameahidi anailinda dini yake.
Duhhhhhhh
Doh!!..😢
Sawa shekhe kasema mi nani nipinge
Alhad unaanza kuchanganyikiwa lkn ata ukizungumza nafasi ya ushekh wa mkoa hauji tena
Tatizo Unaleta Kibri ya kiswahili na mipasho badala ya kujifunza maana pana ya ujumbe unaopewa na kiongozi wako. Ndio maana wajumbe wamekauka.
Basstola ndio ameona cha muhimu.
Haya tuambie darsa lako ni wapi?,wanafunzi wako ni kina nani,? basi hata video mawaidh na daawa pia hatuzioni kwenye platform za kijamii. Wewe ni siasa tu na deals.
Kwa uwezo wa Allah namuomba ajalie Shekhe Walid aje awe Mufti wa Tanzania Amiin . Sijui utajificha wapi mkosa busara wewe 😅😅
Uyu jamaa chuki tu inamsumbua ndani ya moyo wake umejaa chuki na hasad
Kumbe umepigwa dongo ww ila ujirekebishe ww ni sheikh siasa waachie wenyewe ameongea kweli sheikh walid
Jiwe la sheikh Walid limefikia kichwani huyu bwana mpaka kapagawa,
Kumuita mshamba mwenzie ni neno limemuonesha namba huyu bwana alive hana hekima
Mpuuzi katika ubora wake
Me naona Yale makundi 72 ya dini wakat wake ndio huu Pepo inakaz jamn kuipat tupambne San Kila muislam ajitahid kuwa na jema lake la siri baina yake na mungu
Hakuna 72 makundi ya waislam mtume hakusema waislamu ni umma wake
Lakini nadhani uwezo wako ni mdogo tu, Sheikh Alhad. Na bado una kisirani, kuondolewa U sheikh wa mkoa
Msimdhanie vibaya sheikh nimemuelewa vizuri sana, kama.mna chuki ondoeni, akikosea sheikh kama binaadam aambwe kosa lake na akipatia apongezwe sio saa zote chuki sisi ni waislam na ni binaadam tunakosea na tunapatia hakuna mkamilifu
Alhadi hunasifa ya kuwa hata imamu wa kitongoji
Hivi ulipataje pataje ushikh wa mkoa?!Au ndo mkwe?!
Kibri ulichonacho Allah atakudhalilisha sana kibaraka wa makanisa.
Katupa Jiwe gizani lakini mkaweka picha ya sheikh Walid kwenye thumbnail...mnapenda fitina nyie watu...! Mngeweza kuweka hiyo video yenu pasi na kuihusisha na sheikh Walid.
Msiamshe fitina iliyolala, acheni hizo mambo, fitina hazina afya kwa umma.
Kweli kabisa
Huyu sheikh simpendi iii, hana ahaiba ya kuwa sheikh Juso kama jambaziii. Hata useme vp humuwezi sheikh Walid. Nani MWANAFUNZI wako??? Sheikh dilii
KUMEKUCHA KUMEKUCHA HUYU BWANA MBONA KAMA ANAPENDA BIFU SANA NANI KAMUUDHI KWANI ILE KAULI YA SHEIKH WA MKOA SHEIKH WALID ALIVYOSEMA KWANI KAMTAJA YEYE MBONA SIELEWI
Huyuu shekh wawapi mbona ni wa hovyoo hivi.
Huna adabu unamsema kiongoziwako kwanini usimuite ukamwambia huoniunafiki
Ulichotakiwa na sheikh walid usomeshe dini baba huna hata mwanafunzi mmoja😂😂
Hawa masheikh wa hivi ndio wanaopunguza heshima za waumini kwa masheikh, hivi kama mwenzio katoa boko kuna haja gani ya kumtusi mwenzio tena kiongozi wako kwa mamlaka ukafikia kumuita mshamba, mpuuzi haileti picha. Wewe ulipokuwa kiongozi watu tulikuheshimu hata pale ulipotoa maboko. Sheik jitathimni umekosea maneno uliyotumia kumdogosha mwenzio
Kwahiyo umekuja umesimama kwe nye hotuba kuja kusutana na ward mtafute pembeni siyo mitandaoni uwiiiii 😮
Nyinyi😂hamjui Allah huwa anapo taka kumporomosha mtu humshusha hata kwa kila analosema linageuka hasara kwake hyu hana muda mrefu hiko cheo alonacho ataondoshewa kwa hizi kauli zake. Hana hta maadili
Huyu si ndio alikuwa mwenye kiti wa maridhiano na amani, anaye wataka vijana na waumini kuzunguuka na mapanga!!
Wewe hukuzingatia muktadha wa Shk. Walidi, unaonekana ni mwenye chuki kwa namna unaongea kwa kupaniki.
Ana dalili za ushoga yy Kila siku anajiona ni mkamilifu na kujiona wamjini alimuandama Mohamed idd Leo kaja na mpya kasome huna elimu story nyingi kazi kutupia majini wenzio ulimuumiza Mohamed idd Leo unataka kumfanyia ubaya Walid utadunda. Hapa naona Kuna kundi la Tanga linapigwa vita na dar na kusini.
Sasa utamsaidia Silaha kama Hana kumbe zinagawiwa kama njugu huyu Shehena sio Shehe Sasa kumtolea Mfano sudeisy ndio mfano wa Maana halafu unathubutu kusema eti uislam wa kuturudisha nyuma haupoo? Wakisasa ni upi huna hekma katika Mazungumzo Yako
Halafu , Maudhui halisi Ilikuwa Sio Bastola, Ni kwamba Masheikh Wafanye Kazi zao
Maneno machafu kabisaa, yaan Walid hajitambui, ni dharau kwa KIONGOZI mkubwa kama Walid, Sheikh Walid ni sheikh WA watu anaeleweka na alichozungumza alikuwa sawa anahusia mahusiano ya jamiii na viongozi, bodyguard na silaha za Nini, haya ya Alhad hayana Afya kwa jamii ya kiislam tunayohusiwa mshikamano Kila leo
Wewe Sheikh Alhaadi Si Kila kitu Unataka Kujibu sio Jambo Zuri Kabisa Kumbuka Watu wa Twariqa hawapo hivyo
Na wewe ulishawahi kusema ni Mtoto wa Zawiyani umelelewa kitwariqa Twariqa
Sasa changamoto Nini Sheikh
Nachotaka nani kamualika huyu mhuni anaejiita shekhe, hamna kitu humu huyu tapeli wa sadaka za waumini
Huo mdomo ndio uliponza kichwa
Zama za Mtume walikuwepo wakisali na Mtume, kumbe wapo na walked?
Huyu Muft alifanya kher kubwa kumtoa sheikh wa Mkoa, amekosa hekima hata ndogo kabisa,
Unapoamua kujibu hoja jibu bila kejeli tena kwa Sheikh wake wa Mkoa.
Kweli mwenyekuwa na uwezo basi afanye hakuna ubaya wa kuwa na silaha
Punguza maneno bhna
Semeni imani zenu sio sawa kwani ukiwa na silaha hautakufa?
Yote chuki hy ya kuondolewa ushekhe wa mkoa akapewa mwenziwe
Mhh Shekh Alhad kwa kuzingatia nafasi ya Shekh Waliid hakupaswa kusema hivo --eti Ushamba lol
Kaka kunawakati Walidi anazingua yani wewe unahisi shida ya bastola ni nini
Huyu jamaa hangana heshima hata kwa wakubwa zake amewahi kulivunjia heahima baraza za ulaa akamnanga vibaya katibu wake sheikh chizenga amewahi pia kumwambia Muhammad iddi kuwa anavuta bange kwenye clip kwa kweli hana nidhamu ya kuongea
Duuh
Tuhuma ya bastola umeijibu vpi mbn hujaijibu hoja ya kuwa naa wanafunzi? Ni kina nani wanafunzi wako? Una fundisha kitabu gani wpi dhamira yake kuu ilikua ni shekh na kufundisha sio kutukuzwa kama mfalme bila kufundisha
Wee ni muhuni kama wahuni wengine tuu
Huyu Ndugu anakoelekea siyo kuzuri kabisa, anamfedhehesha kiongozi hadharani kwa kumuita mshamba?! Hakika nyani haoni kundule. Sheikh Walid anafanya kazi kubwa ya dawa, hata akikosea usimtukane kiongozi hadharani.
Shekh wa madili. Unataka kumiliki silaha akuone
Hata hiyo taikondo si mbaya ila kwa hapo ili letwa kwa maslahi ya nafsi
Tatizo waislamu tumejawa na ushabiki huyu shekhe wa mkoa ni mchokochoko ila tu ushabiki unawafanya musione ujinga wake haya jiulize kuhusu hiyo bastola ww unaona yupo sawa!
Kwani sheikh wa mkoa alimsema nani ebu tujuze
Watu wa bakwata na mivyeo wanaweza wakauana walah kama watu wa siasa nao utasikia muheshimiwa mwenyekiti wa ulamaa muheshimiwa sijui nani nani wa kata basi fulu siasa
Shekhe kuongea maneno ya kiuchamungu
mara atapiga DUA YA KIPEKEE
😂😂
Uyu shekhe vip,kauli chafu hana hekma kabisa cjui aliupataje ushekhe wa mkoa ajatajwa anatukana matusi ndo nn
Hili lialhadi nishetani hasadi imelijaa limeondolewa ushekhe wa mkowa
Huyu hanaga ulimi msafi amewahi kulinaga baeaza la ulamaa taofa hususan katibu wake kizenga pia amewahi kumwambia Muhammad iddi anavuta bangi huyu hanaga busara
Unasemea bastola...ikibidi ata na majeshi....dunia sahv haifai hata chukuchuku....watu wana roho mbaya ww