Sheikh Alhad Mussa Atupa Jiwe Gizani "Namshangaa Sheikh Anayeshangaa Msheikh Kumiliki Bastola"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 05. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 profile.php?...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Komentáře • 175

  • @MussaJuma-nf3vg
    @MussaJuma-nf3vg Před měsícem +10

    Ustadh Musa unanitia mashaka sana .
    Inadhihirisha ww bado unachuki sna hukuridhia wenzako kupata nafasi.
    Unapoihalalisha bastola kwa nchi hii unamaanisha nini??
    Natamani kujua ww mlezi wako nani??
    SHEIKH WALID YUPO SAHIHI MASHALLAH UCHAMUNGU UMEMJAA.
    USTDH UNATUVUNJA MOYO SANAA.

  • @allymyete5327
    @allymyete5327 Před měsícem +3

    Subhanallah!!
    Ila Alihad Bado kama unachuki na Walid maneno Yako ni Makali Sana!!

  • @saidsalim4524
    @saidsalim4524 Před měsícem +7

    Jamaa yangu muda wako umekwishaa wacha maneno yakijingaa unaonyesha wazi kimekuuma sana kutenguliwa na nafasi kuchukuliwa na waleed

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 Před měsícem +12

    Njaa ikaepembeni tumueke mbele mungu alhad sjawah kumkubali hata siku moja namuona anapambania cheo na tumbo tu

    • @user-xo9rb7wj7s
      @user-xo9rb7wj7s Před měsícem

      Ni Padri, hana sura ya uislam,

    • @salymkingungo5229
      @salymkingungo5229 Před měsícem

      Huo ndo ushamba na chuki binafsi,sasa hapo kaongea nini kibaya ambacho hakipo kwenye dini!!!mbona mnakuwa na chuki za kipumbavu sana waslamu wa mchongo ninyi!??

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem

      Mungu ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 Před měsícem +3

    Mimi mkristo tena wa hali ya kujitambua lakn shekhe yule Walidi wa mkoa yuko sahii mno huyu ilipaswa kupigwa makofi hapa

  • @hamiskayombe6061
    @hamiskayombe6061 Před měsícem +7

    Dah hv huyu jamaa alikuwajekuwaje sheikh wa Mkoa mbona ni Muhuni sana dah😂😂😂 elimu hana na hekma kakosa Juhaaaaal

    • @allynguba2579
      @allynguba2579 Před měsícem

      Uongozi wa kupeana alipooa pale kwa mzee ndo akapewa nazani

  • @kassimukilima
    @kassimukilima Před měsícem +3

    kuna shari kubwa kwa masheikh wetu mungu awanusuru maana hii speech imekaa kurudisha mapigo kwa shekh wa awali kuzungumza Mkoa

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka Před měsícem +5

    Shekheee madiliiiiiiiiiiiiiiii amekasirika

  • @omarimamboleo2634
    @omarimamboleo2634 Před měsícem +10

    Tatizo si kumiliki silaha tatizo una silaha na mabodigadi baada yakuwa na wanafunzi usipoteze malengo tafuta wanafunzi ufundishe acha fitina

  • @allymwabawa1882
    @allymwabawa1882 Před měsícem +8

    Dah haya maneno ya kusema "mbona unatuletea ushamba...maneno ya kipuuzi..." yamebeba sura mbaya sana

    • @Ayyub_Semtawa
      @Ayyub_Semtawa Před měsícem +1

      Akhi Ally..,Mashallah una busara sana kwa kuliona hilo..kiukweli Sheikh amejibu kwa hisia za kisasi sana..Uislam umefundisha adabu ya kukosoana

    • @IssaAli-wz5jh
      @IssaAli-wz5jh Před měsícem +1

      Kabisa mkuu shehe huyu kauli zake nyng haziko sahihi na alistahiki kumpisha Shekhe Walid mapema mno.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem +2

      Kaongea mengi mazuri, nyinyi mmeona ushamba tuuuu, Allah s.w. ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu.

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 Před měsícem +4

    Chuki tuu huyu mpuuzi kwanza ana elimu gan na maneno alosema sheikh wa mkoa wa dsm n kwl masheikh mmekua wanasiasa mnasahau majukum yenu.We body guard wa nn na bastora vyote hvy.

  • @sadambakari2579
    @sadambakari2579 Před měsícem +4

    Hujaelewa kasome makusudio ya sheikh walid nikuwa masheikh wasomeshe ili wakitembea bac mabordy gard niwanafunzi wako mm nimemuelewa sana sheikh walidi sheikh alihadi umekurupuka

  • @mkamitiothman610
    @mkamitiothman610 Před měsícem

    ALLAH atuepushe na chuki. SUBHAANAKA YAA RABY 😭🤲

  • @kdrama_lovers406
    @kdrama_lovers406 Před měsícem +2

    Allah tulinde na shari ya hii mitandao 😔

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Před měsícem +1

    Yani masheikh wa Sasa Wana kazi kweli kazi kusemana tuuuuu!!!! Iv hua mnapata nn kutukanana Kila mmoja kujiona Bora dhidi ya mwenziwe mcheni Allah na mustiriane kwa ajili ya kumukhofu Allah

  • @AishaSelemani-mp9zc
    @AishaSelemani-mp9zc Před měsícem +1

    Allah ni samehe sjawahi kumpenda huyu shekhe kama mashekhe wengne hana nuru

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před měsícem +3

    Maneno sio mazuri kabisa

  • @HusseinAlly-kw3pg
    @HusseinAlly-kw3pg Před měsícem

    Kaka umeishiwa mbinu mwache shekhe wetu Walid afanye kazi ya Allah wewe endelea na siass zako

  • @iddikayombe166
    @iddikayombe166 Před měsícem +5

    Sema huyu shekh anakauli chafu sana

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před měsícem

      Huyu mhuni Tu aliyejificha kwenye kichaka cha usheikh

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem

      Kaongea mengi mazuri weee umeona ushamba tuuuu Allah Akbar ndio ajuaye yaliyomo vifuani mwa watu

  • @SalimAbdulla-gw5rq
    @SalimAbdulla-gw5rq Před měsícem +1

    Wambie umeongea kweli umezungumza kihasira kweli tusiwe lege lege kweli cc mashekhe wa zanzibar tumelegea kweli .somo ili tuchukue.

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 Před měsícem +4

    Shekh wetu shekh waliid,nnavyomjua atafnya kama hajakuskia,atakutazama tu usemeee,ila ujumbe umefika "kaa kitako usomeshe"

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt829 Před měsícem +3

    Shehe ni waaliid yupo vizuri wengine nichamacha ccm

  • @mubarakasaid4626
    @mubarakasaid4626 Před měsícem +3

    ssa jaman mmi sijajuwa kamsema nani kwani kamtaja mtuu jamani acheni mambo ya kuhisi vibaya...

    • @saidsalim4524
      @saidsalim4524 Před měsícem

      Waleed ndio alisema kwanini mashehe mnatembea na mabunduki

  • @MohamediHamisi-oq2kv
    @MohamediHamisi-oq2kv Před měsícem +4

    Hii dini sio maliyako Fanya heshma na mashekh wanaotegemewa

  • @kheriakida3309
    @kheriakida3309 Před měsícem +2

    Huyu hamna kitu kabisa ,anahangaikia tumbo tu,hamuwezi waleed kwa ilmu na pia mwenzie ,hajaweka njaa mbele,na kusifia viongozi, alhad anaumwa na cheo sana sana

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 28 dny

    Hata zunavyoongea tu Unaonesha Una chuki ya waziwazi Kabisa, Pole Sana Kila jambo Na Wakati wake.

  • @muddynkatira8089
    @muddynkatira8089 Před měsícem +2

    Imani zaifu na chuki anaizihirisha kana kwamba yule jamaa alijichangua dini yetu haipo ivo

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před měsícem

    Huyu sijuwi kama ataingiya peponi anakashfa na dharau anakibri lakini sikosalako kutoka shekh mkuu na kuwa ustadh duuuu inauma lazima atapike anavo jisikiya maneno ya utumbo utumbo
    Wewe ndo ulikuwa shekh mkuu unawaambiya wenziyo eti miwashamba huyu kalaa kihuni hana respect.

  • @mwimyiyusuf1652
    @mwimyiyusuf1652 Před měsícem +2

    Mtatoana roho bureee Dunia mtaiacha

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Před měsícem +4

    Sheikh waalid alhday ni mtu safi hapa kazungumzwa vby tukiangalia na cheo chake tuwaheshim viongoz wetu hasa waadilifu kama sheikh waalid wazee walitumia hekima sana kumteua yeye ana busara mpole sio mtu wa jazba japo wenye husda zao wanajaribu kuleta fitna..

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb Před měsícem

      Chukua hii hata waliemteua sheikh walid mmoja wapo kajiudhuru uko chukua hii mpya then matatzo haya yanaletwa na mufti coz mkwewe huyu ndy tatizo kubwa

  • @iddiramadhani5111
    @iddiramadhani5111 Před měsícem +2

    Shekh wa mkoa kiuwekli alipitiwa kusema vile hata mimi namkubali sana ila siku ile alizingua kumsea vile dr sulle.

    • @kijitamfyomi5598
      @kijitamfyomi5598 Před měsícem

      Hakumsema dr Sule alikua anampiga za mbavu sheikh Walidi ndie alieanza kumsema vibaya

  • @HusseinAlly-kw3pg
    @HusseinAlly-kw3pg Před měsícem

    Njaaa mbaya sana inalilah wainailah rajion

  • @user-gt9eu2hg8f
    @user-gt9eu2hg8f Před měsícem +1

    Na sidhani kama Waleed alikuwa anakusema alikuwa anataka Mashekhe Mjue Majukumu yenu sio Madili

  • @ramadhanmkandas5733
    @ramadhanmkandas5733 Před měsícem

    Sio sifa nzuri katika uislamu nyinyi ni viongozi, katika hayo munatufunza nini katika uislamu,, hebu turudi nyuma tuelewane kuliko majibizano katika mitandao

  • @isihakamshare3396
    @isihakamshare3396 Před měsícem +2

    Alhadi ana matatizo Sana.

  • @samsontumbo6545
    @samsontumbo6545 Před měsícem

    Duh ridhik ngumu san .
    Umeshindw kuvumilia mtt wakium sikilajambo lakujib ukimya na hoja inamashiko zaid punguz kuongea sikila jamb lakujib
    Acha kazabu

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem +2

    Hii ni hasad tu ya vyeo kiukweli yule sheikh wa mkoa alitoa kauli ya kiuchamungu .huyu yeye anaona Shari tu ndio maana anatetea kuwa na silaha. Hapo ni hasad tu sheikh Walid alikua sahihi

  • @bobomlangi212
    @bobomlangi212 Před měsícem

    Inna Lillahi, Wainnaa Ilayhi Rrajiuun.

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem +1

    ALHADI NI MNAFIKI WORSE THAN WAGALATIA NI SUMU 😢😢

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry Před měsícem +3

    Huna inswaafu

  • @MwinsheikhSamata
    @MwinsheikhSamata Před měsícem +1

    Naam zama tulizo nazo sheikh alhady upo sahihi kabisa kujilinda ww mwenyew ni muhimu kwanza kabla ya kutegemea watu wakulinde

  • @songombingo108
    @songombingo108 Před měsícem +2

    Huyu Shehe si alituambia Magu ni zaidi ya Yesu na Mungu? Bado mnamuamini tu??😢😢😢

  • @AbdullahOmar-be4wy
    @AbdullahOmar-be4wy Před měsícem

    Kwa kweli shekhe wetu wa walidi alikosea kibinadamu kudharau au kuleta dharau kwa wenzake kauli aliyoitumia sio mzuri huwezi kusema shekhe gani ww au hatukuelewi kwa sababu kuwa na bastola au bodigadi vizuri waheshimu kila mtu hakuna asiyekasirika mm simlaumu shekhe ali hadi

  • @allymtito8117
    @allymtito8117 Před měsícem

    Huyo alhadi Allaah amuongoze, mwenzake kaongea maneno mazuri yeye analeta porojo, afu usifananishe vitu ambavyo huelewi asili yake

  • @user-oj4wp7qv6x
    @user-oj4wp7qv6x Před měsícem +1

    Makafiri hawapati tabu kutupiga vita waislamu saiv tunapigana vita wenyetu inauma sana

  • @benardmwinuka6948
    @benardmwinuka6948 Před měsícem

    Duhhhhhhh

  • @galatonetz
    @galatonetz Před měsícem

    Doh!!..😢

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před měsícem +1

    Sawa shekhe kasema mi nani nipinge

  • @athumanishabani5381
    @athumanishabani5381 Před měsícem +1

    Alhad unaanza kuchanganyikiwa lkn ata ukizungumza nafasi ya ushekh wa mkoa hauji tena

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 Před měsícem

    Tatizo Unaleta Kibri ya kiswahili na mipasho badala ya kujifunza maana pana ya ujumbe unaopewa na kiongozi wako. Ndio maana wajumbe wamekauka.

  • @muhsinsasamalo987
    @muhsinsasamalo987 Před měsícem +2

    Basstola ndio ameona cha muhimu.
    Haya tuambie darsa lako ni wapi?,wanafunzi wako ni kina nani,? basi hata video mawaidh na daawa pia hatuzioni kwenye platform za kijamii. Wewe ni siasa tu na deals.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před měsícem +1

    Kwa uwezo wa Allah namuomba ajalie Shekhe Walid aje awe Mufti wa Tanzania Amiin . Sijui utajificha wapi mkosa busara wewe 😅😅

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 Před měsícem +2

    Uyu jamaa chuki tu inamsumbua ndani ya moyo wake umejaa chuki na hasad

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před měsícem

    Kumbe umepigwa dongo ww ila ujirekebishe ww ni sheikh siasa waachie wenyewe ameongea kweli sheikh walid

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita6588 Před měsícem

    Jiwe la sheikh Walid limefikia kichwani huyu bwana mpaka kapagawa,
    Kumuita mshamba mwenzie ni neno limemuonesha namba huyu bwana alive hana hekima

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 Před měsícem

    Mpuuzi katika ubora wake

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 Před měsícem +1

    Me naona Yale makundi 72 ya dini wakat wake ndio huu Pepo inakaz jamn kuipat tupambne San Kila muislam ajitahid kuwa na jema lake la siri baina yake na mungu

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy Před měsícem

      Hakuna 72 makundi ya waislam mtume hakusema waislamu ni umma wake

  • @user-jh4sw3ww6w
    @user-jh4sw3ww6w Před 12 dny

    Lakini nadhani uwezo wako ni mdogo tu, Sheikh Alhad. Na bado una kisirani, kuondolewa U sheikh wa mkoa

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Msimdhanie vibaya sheikh nimemuelewa vizuri sana, kama.mna chuki ondoeni, akikosea sheikh kama binaadam aambwe kosa lake na akipatia apongezwe sio saa zote chuki sisi ni waislam na ni binaadam tunakosea na tunapatia hakuna mkamilifu

  • @allydunga
    @allydunga Před měsícem

    Alhadi hunasifa ya kuwa hata imamu wa kitongoji
    Hivi ulipataje pataje ushikh wa mkoa?!Au ndo mkwe?!
    Kibri ulichonacho Allah atakudhalilisha sana kibaraka wa makanisa.

  • @hassanmakame
    @hassanmakame Před měsícem +6

    Katupa Jiwe gizani lakini mkaweka picha ya sheikh Walid kwenye thumbnail...mnapenda fitina nyie watu...! Mngeweza kuweka hiyo video yenu pasi na kuihusisha na sheikh Walid.
    Msiamshe fitina iliyolala, acheni hizo mambo, fitina hazina afya kwa umma.

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 Před měsícem +1

    Huyu sheikh simpendi iii, hana ahaiba ya kuwa sheikh Juso kama jambaziii. Hata useme vp humuwezi sheikh Walid. Nani MWANAFUNZI wako??? Sheikh dilii

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu Před měsícem

    KUMEKUCHA KUMEKUCHA HUYU BWANA MBONA KAMA ANAPENDA BIFU SANA NANI KAMUUDHI KWANI ILE KAULI YA SHEIKH WA MKOA SHEIKH WALID ALIVYOSEMA KWANI KAMTAJA YEYE MBONA SIELEWI

  • @husseinkihame9542
    @husseinkihame9542 Před měsícem

    Huyuu shekh wawapi mbona ni wa hovyoo hivi.

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Před měsícem

    Huna adabu unamsema kiongoziwako kwanini usimuite ukamwambia huoniunafiki

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před měsícem

    Ulichotakiwa na sheikh walid usomeshe dini baba huna hata mwanafunzi mmoja😂😂

  • @sadikimohamedmangasala7245
    @sadikimohamedmangasala7245 Před měsícem

    Hawa masheikh wa hivi ndio wanaopunguza heshima za waumini kwa masheikh, hivi kama mwenzio katoa boko kuna haja gani ya kumtusi mwenzio tena kiongozi wako kwa mamlaka ukafikia kumuita mshamba, mpuuzi haileti picha. Wewe ulipokuwa kiongozi watu tulikuheshimu hata pale ulipotoa maboko. Sheik jitathimni umekosea maneno uliyotumia kumdogosha mwenzio

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw Před měsícem

    Kwahiyo umekuja umesimama kwe nye hotuba kuja kusutana na ward mtafute pembeni siyo mitandaoni uwiiiii 😮

  • @AbumishAbu-cz9su
    @AbumishAbu-cz9su Před měsícem

    Nyinyi😂hamjui Allah huwa anapo taka kumporomosha mtu humshusha hata kwa kila analosema linageuka hasara kwake hyu hana muda mrefu hiko cheo alonacho ataondoshewa kwa hizi kauli zake. Hana hta maadili

  • @allymdami3908
    @allymdami3908 Před měsícem

    Huyu si ndio alikuwa mwenye kiti wa maridhiano na amani, anaye wataka vijana na waumini kuzunguuka na mapanga!!

  • @abdalaseleman921
    @abdalaseleman921 Před měsícem

    Wewe hukuzingatia muktadha wa Shk. Walidi, unaonekana ni mwenye chuki kwa namna unaongea kwa kupaniki.

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v Před měsícem

    Ana dalili za ushoga yy Kila siku anajiona ni mkamilifu na kujiona wamjini alimuandama Mohamed idd Leo kaja na mpya kasome huna elimu story nyingi kazi kutupia majini wenzio ulimuumiza Mohamed idd Leo unataka kumfanyia ubaya Walid utadunda. Hapa naona Kuna kundi la Tanga linapigwa vita na dar na kusini.

  • @user-gt9eu2hg8f
    @user-gt9eu2hg8f Před měsícem

    Sasa utamsaidia Silaha kama Hana kumbe zinagawiwa kama njugu huyu Shehena sio Shehe Sasa kumtolea Mfano sudeisy ndio mfano wa Maana halafu unathubutu kusema eti uislam wa kuturudisha nyuma haupoo? Wakisasa ni upi huna hekma katika Mazungumzo Yako

  • @farijala1
    @farijala1 Před měsícem

    Halafu , Maudhui halisi Ilikuwa Sio Bastola, Ni kwamba Masheikh Wafanye Kazi zao

  • @allymafita1985
    @allymafita1985 Před měsícem

    Maneno machafu kabisaa, yaan Walid hajitambui, ni dharau kwa KIONGOZI mkubwa kama Walid, Sheikh Walid ni sheikh WA watu anaeleweka na alichozungumza alikuwa sawa anahusia mahusiano ya jamiii na viongozi, bodyguard na silaha za Nini, haya ya Alhad hayana Afya kwa jamii ya kiislam tunayohusiwa mshikamano Kila leo

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před měsícem

    Wewe Sheikh Alhaadi Si Kila kitu Unataka Kujibu sio Jambo Zuri Kabisa Kumbuka Watu wa Twariqa hawapo hivyo
    Na wewe ulishawahi kusema ni Mtoto wa Zawiyani umelelewa kitwariqa Twariqa
    Sasa changamoto Nini Sheikh

  • @abdulhadiomar8915
    @abdulhadiomar8915 Před měsícem

    Nachotaka nani kamualika huyu mhuni anaejiita shekhe, hamna kitu humu huyu tapeli wa sadaka za waumini

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před měsícem +1

    Huo mdomo ndio uliponza kichwa

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Zama za Mtume walikuwepo wakisali na Mtume, kumbe wapo na walked?

  • @rashidmsita6588
    @rashidmsita6588 Před měsícem

    Huyu Muft alifanya kher kubwa kumtoa sheikh wa Mkoa, amekosa hekima hata ndogo kabisa,
    Unapoamua kujibu hoja jibu bila kejeli tena kwa Sheikh wake wa Mkoa.

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Před měsícem +1

    Kweli mwenyekuwa na uwezo basi afanye hakuna ubaya wa kuwa na silaha

  • @JailaniRamadhan-it3kp
    @JailaniRamadhan-it3kp Před měsícem

    Punguza maneno bhna

  • @twahakabajemi9716
    @twahakabajemi9716 Před měsícem

    Semeni imani zenu sio sawa kwani ukiwa na silaha hautakufa?

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 Před měsícem +1

    Yote chuki hy ya kuondolewa ushekhe wa mkoa akapewa mwenziwe

  • @faridubakana6733
    @faridubakana6733 Před měsícem

    Mhh Shekh Alhad kwa kuzingatia nafasi ya Shekh Waliid hakupaswa kusema hivo --eti Ushamba lol

    • @user-xg5se4sy2t
      @user-xg5se4sy2t Před měsícem

      Kaka kunawakati Walidi anazingua yani wewe unahisi shida ya bastola ni nini

  • @KiuIbrahim
    @KiuIbrahim Před měsícem

    Huyu jamaa hangana heshima hata kwa wakubwa zake amewahi kulivunjia heahima baraza za ulaa akamnanga vibaya katibu wake sheikh chizenga amewahi pia kumwambia Muhammad iddi kuwa anavuta bange kwenye clip kwa kweli hana nidhamu ya kuongea

  • @awadhially
    @awadhially Před měsícem

    Duuh

  • @user-oe8nv2tw7w
    @user-oe8nv2tw7w Před měsícem

    Tuhuma ya bastola umeijibu vpi mbn hujaijibu hoja ya kuwa naa wanafunzi? Ni kina nani wanafunzi wako? Una fundisha kitabu gani wpi dhamira yake kuu ilikua ni shekh na kufundisha sio kutukuzwa kama mfalme bila kufundisha

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 Před měsícem

    Wee ni muhuni kama wahuni wengine tuu

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 Před měsícem

    Huyu Ndugu anakoelekea siyo kuzuri kabisa, anamfedhehesha kiongozi hadharani kwa kumuita mshamba?! Hakika nyani haoni kundule. Sheikh Walid anafanya kazi kubwa ya dawa, hata akikosea usimtukane kiongozi hadharani.

  • @kilimoufugajipesatv5751
    @kilimoufugajipesatv5751 Před měsícem

    Shekh wa madili. Unataka kumiliki silaha akuone

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před měsícem

    Hata hiyo taikondo si mbaya ila kwa hapo ili letwa kwa maslahi ya nafsi

  • @user-xg5se4sy2t
    @user-xg5se4sy2t Před měsícem

    Tatizo waislamu tumejawa na ushabiki huyu shekhe wa mkoa ni mchokochoko ila tu ushabiki unawafanya musione ujinga wake haya jiulize kuhusu hiyo bastola ww unaona yupo sawa!

  • @msarama5406
    @msarama5406 Před měsícem

    Watu wa bakwata na mivyeo wanaweza wakauana walah kama watu wa siasa nao utasikia muheshimiwa mwenyekiti wa ulamaa muheshimiwa sijui nani nani wa kata basi fulu siasa

  • @RamadhaniRashidi-rd1my
    @RamadhaniRashidi-rd1my Před měsícem

    Shekhe kuongea maneno ya kiuchamungu

  • @multamulta1143
    @multamulta1143 Před měsícem

    mara atapiga DUA YA KIPEKEE

  • @abdallahjumanne5739
    @abdallahjumanne5739 Před měsícem

    Uyu shekhe vip,kauli chafu hana hekma kabisa cjui aliupataje ushekhe wa mkoa ajatajwa anatukana matusi ndo nn

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka Před měsícem

    Hili lialhadi nishetani hasadi imelijaa limeondolewa ushekhe wa mkowa

  • @KiuIbrahim
    @KiuIbrahim Před měsícem

    Huyu hanaga ulimi msafi amewahi kulinaga baeaza la ulamaa taofa hususan katibu wake kizenga pia amewahi kumwambia Muhammad iddi anavuta bangi huyu hanaga busara

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem

    Unasemea bastola...ikibidi ata na majeshi....dunia sahv haifai hata chukuchuku....watu wana roho mbaya ww