MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
    FULL VIDEO YA MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID TANZANIA USISAHAU KUTU FOLLOW KWENYE FACEBOOK PAGE YETU NA INSTAGRAM NA KU SUBSCRIBE KWENYE CZcams CHANNEL YETU KWA VIDEO NYINGI ZAIDI THANKS
    SUBSCRIBE
    COMMENT
    LIKE
    SHARE
    THANKS

Komentáře • 302

  • @ashiimohmedi6051
    @ashiimohmedi6051 Před rokem +7

    Shekh walidy wallah nakupnda,kwasjil ya Alla wallah wabillah mwenyezimungu akupe umri mrfu tena wamanufaa"" na akufe mwisho mwena"" nmeandka sms hii kwa mapenz makubwa sana"" allah akuongezee elinu yko mpka ukinahi"" mm bado ni kijana mdgo lakin siku alla atanijaalia nitaoa akisha akanijaalia watto wema lazma nikuletee watto wangu mja wapo umleee"" Allah akuweke mpka hpo nitakapojaaliwa kuoa"" na kma amekuchukua basi akupe daftar lako la amar kwa mkono wa kulia"" napia akuingize peponi bila ya hesabu🤲🤲🤲🤲

  • @halimaauthman9324
    @halimaauthman9324 Před 2 lety +6

    Shukran sana shekhe Walid Allah akuhifadhi na mabaya ya duniani na Akhera

  • @ruubajuni1641
    @ruubajuni1641 Před 4 lety +21

    Unajua ndugu zangu wakat mwingine inategemea pia na umekulia makuzi gani au umezaliwa wapi,na ndiyo maana wengi wanakuwa hawaamini,lakin karama zipo sisi watu wa bagamoyo tulikuwa nao hao watu wengi sana,kwa waliokiwa nje ya bagamoyo walikuwa wanasema bagamoyo kuna wachawi wengi sana,lakin si wachawi illa palikuwa na watu wengi wenye karama,si wanaume si wanawake,ni mkweli mtu akikunyooshea kidole unaathirika kama hautozikwa,so nakubakiana na Maalim Walid maana hata Mimi nimehadithiwa na pia nimebahatika kuona baadhi ya vitu kwa macho yangu

    • @abilugome7461
      @abilugome7461 Před 3 lety

      Uchawi mtupu hakuna lolote na ivyo vitabu vya Mambo ayo vipo watu hawavitumii coz ni vya kishilikina

    • @ahlutwariqaalqaadiriya3538
      @ahlutwariqaalqaadiriya3538 Před 3 lety +1

      Kabisa wanakataaa karma je miujiza ya enzi hizo nawao sindo wange kuwa katika makundi ya kushirikina kuziita uchawi😭😭😭😭😭tusiwe wajinga hivyo karama zipo zipo zipo

    • @ahlutwariqaalqaadiriya3538
      @ahlutwariqaalqaadiriya3538 Před 3 lety

      @@abilugome7461
      Weww lugome usiwe kama mushrikiina akhii wakina abuu jahli wao miujiza waliipinga kwa lakabu kama hizo kuita uchawi doh😳😳😳😳Chunga imani yako

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 Před 3 lety +1

      @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 TATIZO LAO HAO NIKIBRI YANI KITU ASICOKIJUA YY BASI HICO HAKIPO. KABAKWAMBA YY NDIO MWENYE KUIDHINISHA KUWEPO AO KUTOWEPO KARAMA.

    • @ahlutwariqaalqaadiriya3538
      @ahlutwariqaalqaadiriya3538 Před 3 lety

      @@sammarley1413 sasa huyu leo kakutana na mimi aniongopei chochote mpk hapa ajatoa hadith wala aya mm namchapa tu kwaajili ya allah 😆😆😆

  • @ashagrace3333
    @ashagrace3333 Před 3 lety +8

    Assalam aleykum warmtlh wabrkth sheikhe,mm miko kenya nakufatilia sana Allah akulinde sana.

  • @wamanja5572
    @wamanja5572 Před 3 lety +9

    Allah Akuzidishie Elimu imamu na sisi angalau angalau tupate kitu
    In shaa Allah.

  • @daudikhamis1595
    @daudikhamis1595 Před 4 lety +11

    Allah akujalie katika kudumu kudarasisha Darsa hili la Quran

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 Před 2 lety +5

    Allah akutangulia sh. Wetu akuhifadhi na madhila wa masheytwani

  • @misbahukhalifa3216
    @misbahukhalifa3216 Před 3 lety +11

    جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 3 lety +8

    ALL IN ALL SHEIKH IS SOO CONFIDENCE WHAT IS TALKING ABOUT IT LIKE IT mashallah and I enjoy my self

  • @ashrafukirya1947
    @ashrafukirya1947 Před 4 lety +7

    Allah akulipe inshallah

  • @afric01
    @afric01 Před rokem +1

    Aslm alkm ww... Masha Allah!!!! Uko na miaka 55 kama hungeongea hatungejua. Kweli ukiwa mcha Mungu huzeeki haraka. Shukran sana Kwa darsa. Allah akuzidishie umri. Jazakallah kheir 🙏😊😊😊

  • @fatumashaibu1461
    @fatumashaibu1461 Před 4 lety +18

    Subhanallah, Allahu Akbar baada ya kuomba uwe na umri wenye heri we unataka umri mwingi. Allah akujalie umri mrefu wenye heri nawe. Aamin

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 Před rokem +6

    Mungu akubariki sana al akh
    Yaani umeongea maneno yale tulikuwa tukiyasikia zamani kwa watu aina hiyo

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah9630 Před 2 lety +5

    Wallah sheikh nimekuelewa sana...

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 Před 2 lety +9

    Allah Akbar 😭

  • @saumtolbazi8616
    @saumtolbazi8616 Před 2 lety +5

    Masha Allah

  • @columbusdoo593
    @columbusdoo593 Před 3 lety +11

    Assalamu Alaykum. Tafadhali ni postiye video zengine. Hizi nisha zi repeat sana. Na khutba za ijumaa pia usisahai kuni postiya

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 Před 3 lety +6

    امين يا رب العالمين

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 3 lety +8

    Mashaallah

  • @hosnabintmariam3287
    @hosnabintmariam3287 Před rokem +1

    Allahumma Aamiyn. Alumri twawiyl ziadah sheikh

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 Před 4 lety +6

    Mashallha shekhe

  • @asgarsidi8021
    @asgarsidi8021 Před 3 lety +7

    MashaAllah.
    Ustad Walid wewe ni Shariff SubhanAllah.
    Tu kumbuke kwa dua.

    • @swabrianwar1020
      @swabrianwar1020 Před 3 lety +1

      ndugi yangu asgar sidi, shariffu n ambae nasaba yake ni mpaka mtume sallla lahu aleihi wasalam

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před měsícem

    Rabii akuzidishie na akuongoze

  • @suleimanally2065
    @suleimanally2065 Před 4 lety +45

    Watu wengi tunapenda muhemko unafikia kumwita sheikh walid muongo huku ni kukosa adabu kwa masheikh zetu tuwaheshim hawa ndio walimu wetu na watoto wetu

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety +3

      Uongo ni uongo tu.
      Haijalishi shkh wala mtumwa.

    • @hassanomar7340
      @hassanomar7340 Před 3 lety +3

      @@abubakarmuhammadsaid3244 kweli kabisa bro....kw nini lkn watu tunatekwa nyara kiasi hiki. Dini yetu ni ya dalili c kwa matamanio au rai ya mtu.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 3 lety +5

      @@abubakarmuhammadsaid3244 uongo ni uongo lakin kumuita Sheikh muongo huko ni kukosa heshima na hayo anayohadithia ni ya kweli kabisa

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety

      @@aliabdalla9297
      Kila anaesema uongo ni muongo.
      Na hayo anayoyasema mimi nina ushahidi kuwa ni uongo.
      Je, wewe unaemtetea, unao ushahidi wa ukweli wa hadithi hiyo!?

    • @Fredrickmarinya
      @Fredrickmarinya Před 2 lety +1

      @@abubakarmuhammadsaid3244 Kwani uongo upi umesemwa hapo tuelimishe tukuelewe

  • @mtimbaabdallah681
    @mtimbaabdallah681 Před rokem +1

    subhaana llah yaani masufi wanatabu sana yaani makosa hayo ya kiaqida yote chafu na mwamsifia..innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun

  • @janataninaim9193
    @janataninaim9193 Před 2 lety +4

    Mashaallah swadaktah sheikh subhanaallah

  • @mwanakheirkihambwe6824
    @mwanakheirkihambwe6824 Před 4 lety +13

    Amina shekhe wangu mungu akulipe umri refu wakutumikia dini yetu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 lety +5

    Toba yarabbbi Allah tizama waja wako wanayoyafanya na dini yako vinavovurugwa ya Allah.

  • @omaralwi3946
    @omaralwi3946 Před 2 lety +6

    اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم

  • @ashagrace3333
    @ashagrace3333 Před 3 lety +5

    Subuhana allah.

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety +3

    Jazakallah kheir

  • @abdilllahimohammed219
    @abdilllahimohammed219 Před 4 lety +8

    Nimeshuhudia Mimi na mke wangu sana mungu atuongoze na shukran kwa mawaidha

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Před rokem

    Mashaa Allah dini ya Allah hi dini ya Allah haina pengo Tunakuomba YA RABBI ss na vizazi vyetu na vyawenzetu tujitahidi kuelekea ili utuongoze kuwa ktk watu wema ili uweze kupata radhi zako hakika tukipata zako radhi tutakuwa ktk watu tulio faulu tasamehe yetu madhambi hakika ww unasamehe madhambi Alhamdulilah Alahuma swali ala saydina muhamadi S.W.S. Amiin

  • @doddyhassan862
    @doddyhassan862 Před 3 lety +2

    Shukran sheikh Waleed

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic752 Před 4 lety +5

    innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun!!!!!!!!!

  • @barackhaamidu7841
    @barackhaamidu7841 Před 2 lety +2

    maa shaa ALLAH
    ALLAHU AK'BAR

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +3

    maashaallah maashaallah

  • @bilalihussein-dg8dp
    @bilalihussein-dg8dp Před rokem +1

    mashallah tunastafidi kwa elimu hii,
    Allah akuweke sheikh

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 4 měsíci

    أكرمك الله يا شيخنا الفاضل

  • @Mbaraka_Mbwambo
    @Mbaraka_Mbwambo Před 3 lety +3

    Baaaaraka Allah

  • @ernestmagoda3824
    @ernestmagoda3824 Před rokem +2

    Mimi NI mkristo hakika Huyu NI mtu wa watu.

  • @abdallahahmed7983
    @abdallahahmed7983 Před 2 lety +3

    mashallwah

  • @user-pq4qx9ty3h
    @user-pq4qx9ty3h Před 5 měsíci

    Allahu akbar Allah akupe umri mlefu sheikh

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před 4 měsíci

    Mashaallah tabarakya Rahman

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 4 lety +7

    Sadiki ukipenda.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety +5

    Sheikh walid hakika maneno yko ni kweli kabisa ,Mimi Kuna jambo Moja lilinitokea ,nikayaona makarama ya as sayyid abdul qadir bin abdul Rahman Al juneid

  • @jumannesaidi2917
    @jumannesaidi2917 Před 4 lety +6

    Allahu akbar

  • @rahmaabuubakar1751
    @rahmaabuubakar1751 Před rokem +1

    HAWA MASHARIF WALIKUWEPO WALLAH NA NNAHISI MMOJA MMOJA WAPO. ALHAMDULILLAH

  • @nilihamhamisi1927
    @nilihamhamisi1927 Před rokem +1

    Asslam alykum warahamatuallahi wabarakatu sheikh walid naomba niwe mke Mdogo kwa baraka za Allah ndani ya Rajabu hii ya rabby takbar dua ya Yangu

  • @omarijuma6692
    @omarijuma6692 Před rokem

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y Před rokem

    JazzakahAllahkheir.

  • @doddyhassan862
    @doddyhassan862 Před 3 lety +3

    Yeyote anayeona kwamba sheikh amekosea ni vizuri kumfata kama unaweza vinginevyo utakuwa utovu wa adabu katika ilmi,

  • @meandme3437
    @meandme3437 Před rokem +1

    Subhanallah bibi maryam mamake nabii issa alikua akiteremshiwa chakula kutoka peponi direct mpaka nabii zakaria akamuuliza ni vipi? TUMCHENI ALLAH SANA😢

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 Před 2 lety +6

    Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu.
    Maashallha shekh nakupata nikiwa tanga mjini hapa

  • @maryamkobelo8290
    @maryamkobelo8290 Před rokem +1

    Mashallah

  • @mename6020
    @mename6020 Před 3 lety +3

    Allah Akbar

  • @luqmanjumanne4667
    @luqmanjumanne4667 Před rokem

    Shukraan sana maa asha allah

  • @omarmohammed7132
    @omarmohammed7132 Před 2 lety +1

    Mashàallaah

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Před 9 měsíci

    ALFU MABROOK SHEIKH WALEED

  • @chafimcaisse6340
    @chafimcaisse6340 Před rokem

    Shekhe tunakupata vizur sana na tunakupenda kalibu Mozambique

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 Před 4 lety +4

    Raha iliyooje kwa wale wanazuoni walioleta fani ya mustwalahul hadiith,maana isingekuwepo ile mbona uongo ungekithiri na mtume angezushiwa kila aina ya matukio,lkn alhamdulillah watu wameijua ilmu rrijaal na wakatunza maneno ya mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,asa hvyo visa anavyovitoa sheikh walid ni uongo mtupu,ataka kujifanya yuwaona ghaibu sasa

    • @ahlutwariqaalqaadiriya3538
      @ahlutwariqaalqaadiriya3538 Před 3 lety

      Wewe adamu juto unaandika usiyo na uhakika nayo kutoka na mashekh zenu wakiwahabi wakina bin tayma waharibifu wa uislamu bin Baaz wote ni waharibifu wa uislamu allah atulinde na shari zao

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před 3 lety

      @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kitendo cha kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi tiari nishajua kua kiwango chako cha elimu ni kidogo saana, sasa kasome kisha ndo uanze kutukana hao unaowaita mawahabi kama utaweza,na hautoweza moka qiyaamah
      إن الرسول قد جعل الجهل داء،و شفاء العي هو العلم
      Hvo soma utoe huo ujinga wa kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi

    • @ahlutwariqaalqaadiriya3538
      @ahlutwariqaalqaadiriya3538 Před 3 lety

      @@adamjutto5849 mpaka naandika hivi nimesoma mengi na nimetosheka ibnu taymia si mm nilietamka maneno hayo ni sheikh ibin batuta istoshe unataka mjadala???😁😁😁maimamu ni shafi.hambali.maliki na abuu hanifa nimemaliza..

    • @shabanijuma4162
      @shabanijuma4162 Před 3 lety

      اللإسناد من الدين فلولا اللإسناد لقال من شاء ما شاء

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 Před 3 lety

      @@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kadhaaaab,kaaah ibnu batuutah yupi huyo aliyesema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi,vile vile mie sitaki mjadala na wewe kwa sbbu huwezii,mi najua wewe ni mtu unaeskia sikiaa tuu masheikh alaf ndo unakuja kusumbua huku kwenye mitandao,kaa chini usome dini haipatwi kwa udaku,inatakiwa usome,uelewe na kuhifadhi mas-alah,hahahhaa eti ibnu batuutah kasema wamjua ibnu batuutah wewee au unaropoka tuu

  • @abdebasalsalum1309
    @abdebasalsalum1309 Před 4 lety +1

    Kila la kheri shekh

  • @abdul-waqeljuma8868
    @abdul-waqeljuma8868 Před 3 lety +7

    Sio kwa uislamu huu ndugu moyo bado mzito rekebisha aqida na simamisha dini tuache hadithi!!

  • @muryd6999
    @muryd6999 Před 4 lety +8

    Mimi naamini yote aliyozungumza..Karama zipo

  • @user-cv8kw8kd4k
    @user-cv8kw8kd4k Před 8 měsíci

    Haya anayosema shekhe Walid ni kweli kabisa.

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Před 3 lety +3

    Shehe wamwlimu wetu Allah amtehem ilkuwa ukiiba ndiz shambn kwake wapeleka kwako hamaki umefka kwake unasem shehe nimeleta Amana😀

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 Před 2 lety +5

    Shekh walidi binafsi ninaomba namba zako ili niweze kukutafuta sh. .in sha allah kwaajili ya allah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před rokem

    Allah Akbar!!!

  • @ramadhanimussahramadhani4868

    Wengine hawamjui walidi tunaemfahamu tunajua anachokiongea Na Allah atamlinda

  • @simmyndamo6539
    @simmyndamo6539 Před 4 lety +3

    Allahu akhubar

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu Před 6 měsíci

    Nanyinyi WAZEE wakupinga tuambieni masheikh WENU walikuajee Kama mnaoo Hao Masheikh

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft Před 3 měsíci

    Kwaviongozi wa namna hii waislam tuna mtihani wallahi

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety +2

    Allah ibarek

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Před rokem +1

    A/a ndugu wa islam tujaribuni kuisoma Tawheed ndio njia pekee kuujua uislam safi.

  • @omaryabduli7328
    @omaryabduli7328 Před 4 lety +4

    Chaiiiiiii

  • @cholomsury1548
    @cholomsury1548 Před 4 lety +7

    Hakuna kinachoshindikana kwa idhni ya Allah refers kisa cha nabii suleyman na malkia balkis kuhusu kiti chake

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Před rokem

    A/a na muomba mwenye ezimungu atuhifadhi na hizi bidaa uzushi,uzushi za mpeleka mtu atembee kwenye giza bila kuogopa mwenyezimgu aropokwa tu iblis ampeleka bila kujali wala kuzingatia hi ni Dini ya mwenye zimungu, naukikosa imani ya dini ni hatari muislam.

  • @jumamohamedi4495
    @jumamohamedi4495 Před 4 lety +2

    Kamba / sound za waziwazi! Tumche Allaah ! Eti mtu kapanda mpapai! Shekh mche Allaah

    • @bakarimketo188
      @bakarimketo188 Před 4 lety +2

      Naionea huruma nafsi yako ambayo kumbe hata ibada zako hazina faida nawe...haya hata wewe unayaweza ukiondoa huo ujinga kichwani mwako inshaallah

  • @aboudsaidaboud7667
    @aboudsaidaboud7667 Před 3 lety +1

    ndevu hana

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 lety +4

    Shetwani anawachezeaga mpaka masheikh msishangae do!!!

  • @ramadhanmatumbatu4228
    @ramadhanmatumbatu4228 Před 4 lety +5

    Duh we kwa uongo ni hatari sana we wapange tuu

    • @agogotvharoune989
      @agogotvharoune989 Před 4 lety +1

      Mche mungu ndugu yangu unauhakika gani kama amesema urongo? Kuwa na dhana njema kwa ndugu zako waislam khasa viongozi wako wa dini na si kumdhalilisha kumuita mrongo na km kweli wajua mrongo basi mstili

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety

      @@agogotvharoune989 twayyib

    • @Fredrickmarinya
      @Fredrickmarinya Před 4 lety +1

      Hukumu muachie Mwenyezi Mungu na laiti ungekuwa unamuelewa Alhabib Shekh Walid usingediriki kuongea upuuzi uliouongea, Tafuta Historia yake ya elimu na Mashekh waliomfundisha mpaka anakabidhiwa uimamu Masjid Kichangani utamuelewa. Ila katika uhai wako fahamu kila ulitendalo utaulizwa siku ya hesabu.
      Tafuta Muda umfahamu Alhabib Shekh Walid ni nani katika Maswala ya dini.

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +1

      @@Fredrickmarinya dohhh

    • @Fredrickmarinya
      @Fredrickmarinya Před 4 lety +1

      @@@DarsaTV.

  • @abuumudhakkir3688
    @abuumudhakkir3688 Před 3 lety +2

    Mnatumia majini kisha mwajidai makaramaaaa. Hebu acheni uchawi huooo

  • @abuumudhakkir3688
    @abuumudhakkir3688 Před 3 lety +1

    hayo sio makarama bali ni uchawiiiii

  • @hudkhan.2920
    @hudkhan.2920 Před 4 lety +5

    Anasema kweli sheikh visa hivi vipo kabisa

  • @asiaidi3700
    @asiaidi3700 Před 4 lety +8

    sheikh walidi 55 kama miaka 38 vile

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 3 lety +8

    Ukiona mtu anapinga ujue huo ni wivu maana yeye hajapewa

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před 4 lety +1

    Hivi mm naombaa kulizaa kunaa anaweza kumnyooshea mtu kidole akafaa wakti mtoaji rohoo mungu tu mm sijamuelewaa hapo shekhe bilaa idhini ya mungu hakunaa nafsi inaweza kuondokaa hebu tuweke sawa hapo shekhe sijakufahamu kabisa

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      Ndugu yangu upo sahihi kabisa ni kweli idhini inatoka kwa mungu katika kila Jambo duniani hatukatai hata wachawi Wana wanga wanawadhuru watu mashetani na majini wanau uwezo mbali mbali akiwemo pamoja na iblisi na hao woote idhini zinatoka kwa mungu Sasa Kama wao wanafanya kwa walii mtu ambaye ni yupo karibu na mungu ishindikanike vipi kufanya makarama na idhini ikiwa inatoka kwa kipenzi chake mungu tatizo watu hubisha husema haya Mambo ni ya zamani ya mawalii wazamani wakati uislamu ndo huu Kama wewe utakua karibu na mungu na unayafanya ayatakayo utakua na uwezo mkubwa kuliko hao wachawi na majini binaadamu sisi mungu katupa uwezo mkubwa maana mpaka Adam kapewa cheo Cha kusujudiwa siyo mchezo shekhe wangu

    • @hassanmohdally5217
      @hassanmohdally5217 Před 4 lety

      @@DarsaTV. mm nimekuelewaa maana hataa mtume alishawahi kurogwa swali langu ukiwaa walii inamaana mungu anpendezewaa na unayoyafanyaa naunakuwaa karibu na mungu mtu anaekuwaa karibu na mungu uwezo wakuuwa mtu anaupataa wapi wakti yeye ni mtu wa amani mdaa wote na mwenye kutoa roho ni mungu pekeyake sio kiumbe chochote hapaa duniani .kunatofauti kati kupiganaa mpka roho ikatoka ma kumtoa mtu roho hataa majini hawana huwezo huo labdaa wakushambulie ndio mauti yakukute

  • @muhammadbilali8209
    @muhammadbilali8209 Před 4 lety +7

    Si amesema passport yake huwa anasafiria angalau mara 20 kwa mwaka ss iweje kusafir wiki mbili iwe kutoroka darsa!

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety

      Brother msikikize vizuri huwa anasafiria but ikifika kipindi Cha darasa ambayo no ramadhani huwa yupo darasani

    • @jamalabdul6113
      @jamalabdul6113 Před 4 lety

      Hilo darsa liko ktk mwezi maalum tu (ramadhani).

    • @Fredrickmarinya
      @Fredrickmarinya Před 4 lety +4

      Ndugu yangu jifunze kusiiliza na kuelewa kisha uliza usichokielewa utafaidika hapa duniani na kesho ahera. Darasa hilo la tafsiri ya Quran Shekh Walid alikabidhiwa na Mashekh zake na walimuhusia asiache darasisha mpaka mwisho wa uhai wake yeye ni binadamu kuna wakati anakuwa na safari sasa kama ni kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kipindi alicho elezwa asiache fundisha akipanga kusafiri ndo hua yanamtokea hayo anayoyaeleza sasa. Mwenyezi Mungu akipuka uhai ukafika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jitahidi uhudhurie Masjid Kichangani baada ya swalath Laasiri utafaika sana kwa darasa la kiwango cha juu kabisa linalotolewa pale. Mwenyezi Mungu akuhifadhi.

    • @amenaafrica7046
      @amenaafrica7046 Před 3 lety

      @@Fredrickmarinya shukran na mashaAllh

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 3 lety

      @@Fredrickmarinya Watu wengi wanasikiliza kwa mihemko thn waanamini kwa masheikh wanawajua wao waliowachaguwa kuwa ni wa kweli na wenye dini wengine wamewaweka kwenye daraja la si ktkt watu na masheikh wa kweli
      Ndio haya yanakosekana kwao na yanaonekana ya uongo coz kuna vitu hawajashikamana navyoo

  • @tausinzwiba4180
    @tausinzwiba4180 Před 3 lety +2

    Huyu sio mkweli anapenda sifa, anajifanya mcha mungu kumbe mganga tu.

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 Před 3 lety

      Weweee!!!!! Usimhukumu mtu huyajui yaliyopo baina yake na mola wake. Hivi waislam wa leo tunanini lakini????

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety

      umejuaje kama mganga

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před 3 lety

      Huyo jamaa kapewa mambo wala si uongo wakati huo alikuwa anataka akimbie hasa msikitini

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 Před 4 lety +1

    Mmhh mbn mabalaa hayo

  • @saidisalum1514
    @saidisalum1514 Před rokem

    MAJITU YA MAULIDI YOTE NI MACHAWI YANALOGANA HADI MISIKITINI

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam7450 Před 4 lety +4

    Visas visas wengi uongo mnatia chumv ndimu pilipili hii toooo much

  • @HassanKatongo
    @HassanKatongo Před měsícem

    Kweli siku hizi waislam tunajidharau

  • @kinanaomar
    @kinanaomar Před 5 měsíci

    Sheikh walid kumbuka uko msikitini na una apa na jina la Allah (SWT)

    • @kadoditsa3805
      @kadoditsa3805 Před 4 měsíci

      Wallahi Si mrongo ... Jiulize Kajiamini Vipi ..?? Haya mambo yako...

  • @mwatimeabdallah7945
    @mwatimeabdallah7945 Před 4 lety +4

    Mmhh jamani sio majini kweli

    • @mohamednas4262
      @mohamednas4262 Před 4 lety +1

      Binaadamu akiwa MchaMungu sana anakuwa bora na uwezo kuliko majini, bali bora kuliko hata malaika ambao hawamwasi Mola. ndo maana akawa Khalifa/kiongozi.

    • @gharibsheikh3632
      @gharibsheikh3632 Před 4 lety

      Subhanallaah sidhani kama ni hekima kusema haya siku zote dumu kama hujalitikisa hujui kama lina maji au halina

    • @muhrajovic752
      @muhrajovic752 Před 4 lety +2

      sio majini ni makarama!!! na pia huwa wanayatumia kwenda hija kuhiji wkt historia inatuambia masahaba walitembea masafa na masiku kuitafuta haram (hija) na kueneza dini hii, hawa wamerahisisha siku moja tu unafika na kuhiji na kurudi siku moja tu!!!! INNA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN!!!ALLAHUMA ARINA HAQQA HAQQA WARZUQNA ITTIBAA, WAARINAL BAATWILA WARZUQNA IJTINAABA!!!

    • @neemafatu7885
      @neemafatu7885 Před 4 lety +1

      @@mohamednas4262 sasa nani anajinua kuwa yy ni mchMungu hata kama anajitahidi?BALI HATA MASWAHABA WALIKUWA WANAJITILIA SHAKA,NA HOFU ZA IBADA ZAO.Vipi mimi na wewe!

    • @mohamednas4262
      @mohamednas4262 Před 4 lety

      Neema Fatu, Ukifikia darja kubwa za UchaMungu utafahamu tu, lakin haina maana hutokuwa na khofu na ALLAH bali khofu yako itazid mara dufu.Kuhusu makarama hakuna shaka kwamba maswahaba wa Mtume rehma na amani zimfikie walikuwa na karama kubwa zaidi yetu, masheikh wa aqida tofauti ikiwemo Salafi na Sunni wameelezea kuhusu karama za maswahaba hata humu You tube clips zao zipo nyingi tu.

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 Před 2 lety +1

    Kama hujui usiseme hakuna anaye jua/ kwasasababu hujui daarsalam unasema hakuna fly over

  • @hijamaulidi7382
    @hijamaulidi7382 Před 5 měsíci

    Mm kila nikijitabiria mambo mabaya na mazuri yanatokea kweli sjui nna Nini yaan kama maono yanakuja

  • @saidbanga
    @saidbanga Před 4 lety +2

    Ni Vizuri ila angalia usije kuingia kwenye Ghurur na Kujisifu....!

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      Naam alhabib

    • @bakarimketo188
      @bakarimketo188 Před 4 lety +1

      Subhanallah huyu hasemi kwa kujisifu Bali anazipa uhai nafsi yako na yangu sisi vipofu ndiyo maana karama zote ansema ametendewa siyo yeye mtenda

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Před 4 měsíci +1

    Kweli hata mimi pia ninayo makarama

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Před rokem

    Uko vizuri sana lkn uvaaji wa hizo pete ktk mikono miwili sheikh sio mafundisho sahihi au mm sikuelewa vizuri!