Video není dostupné.
Omlouváme se.

Tukio Kubwa La karama Lililo tokea kilwa / siyo kila kitu bidaa / Sheikh Waliyd Al had

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2020
  • Tukio Kubwa La karama Lililo tokea kilwa / siyo kila kitu bidaa / Sheikh Waliyd Al had
    Sheikh Walid akifundisha Darsa la Tafsiri ya Quraan Ramadhani Mwaka 2020 Linalo fanyika Msikiti wa Kichangani
    Usisahau ku subscribe na kutu follow katika page zetu za insta na Facebook shukraan
    Video by muba Production Magomeni
    Subscribe
    Comment
    Like
    And share
    Thanks

Komentáře • 135

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 Před 3 lety +10

    Masha allah umenikumbusha mbali sana habari za twayyibal asmai

  • @ibrahimmohammed3100
    @ibrahimmohammed3100 Před rokem +5

    Mashallah Shekhe Walid mungu akupe umri mrefu

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před rokem +3

    Aslm alkm ww.... Shukran sana sheikh. Jazakallah kheir 🙏

  • @mohammedmshiraz75
    @mohammedmshiraz75 Před rokem +4

    Allah akuzidishie na azid kukupa umri mrefu wenye faida dunian na kesho akhera

  • @fadhilaassey2340
    @fadhilaassey2340 Před 3 lety +10

    Kuna watu wanachuki binafsi mpaka vifua vinataka kulipuka. Chuki ya wazi kwa shehe haitasaidia piteni kimya kinya. Shehe wetu allah akuhifadhi kuna waja wataka kufa kwa kukuchukia

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Před rokem +2

    Ni kwel kabsa sheikh, zaman waislamu walikuwa wanaheshimiwa saana. Sahz dah bas tu

  • @swalehmkembe7783
    @swalehmkembe7783 Před rokem +2

    Nakupende kwa ajili ya allah

  • @abdibrown5591
    @abdibrown5591 Před rokem +1

    Allah akulinde na fitna na yoyote sheikh na sote atulinde Inshaallah

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 4 lety +5

    Mashaallah TabarakaAllah. Sheikh Walid Allah akupe Afya hapa duniani na Ahera. Akupe umri mrefu wenye furaha InShaaAllah

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 4 lety +5

    Allah akuhifadhi Sheikh Walid

  • @maulidomar4765
    @maulidomar4765 Před 2 lety +4

    Mashaallaa upovizuli kwenye adhana

  • @shabanlue7253
    @shabanlue7253 Před rokem +2

    Masha Allah

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne1763 Před 2 lety +2

    Wallahi shekh Allah akuhifadhi na akulinde na husda shekh nmekuelewa sana na nmejifunza kitu Allah akubariki

  • @abuukilanga2249
    @abuukilanga2249 Před 4 lety +6

    ALHAMDULILLAH ALLAH AKUBARIK

  • @athumankidole7396
    @athumankidole7396 Před 3 lety +5

    Mashallah,, hapo kwenye adhana

  • @user-kv5dn1wd1v
    @user-kv5dn1wd1v Před 6 měsíci

    Mashallah shekhe ALLAH azidi kukubariki AKIUNUE DUNIANI NA AKHERA TUENDAKO WEWE PAMOJA NA CC AMYN

  • @aminajuma9655
    @aminajuma9655 Před 2 lety +1

    مشاءالله مشاءالله مشاءالله تبارك الله
    Jazakallah khair badal khair badal khair janatu naghim
    ALLAH awapeni umri mref mashekh wetu mzidi kuruelimisha
    Na hivyo vitabu ni vzur Sana
    Lakn Kuna walimu baadhi Yao wanavipiga vita
    *ALLAH akukinge na adhabu ya moto shekh

  • @swabrianwar1020
    @swabrianwar1020 Před 3 lety +12

    kama huna haja kumskiz sheikh ina haja gani uangalie video utukane umwite mwongo?

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety +3

    Allah ibarek sheikh walid

  • @ibrahimsleiman4455
    @ibrahimsleiman4455 Před 4 lety +6

    Mashallah Habib kwa Ukumbusho

  • @user-kv5dn1wd1v
    @user-kv5dn1wd1v Před 6 měsíci

    Mashallah Adhana kumbe upo vzuri shehe nilitamani umalizie

  • @user-rt3ff9iq1g
    @user-rt3ff9iq1g Před 2 měsíci

    Ww ni koo changu katika mashekhe nnaowapenda naww mmoja wapo

  • @adasonnondo6898
    @adasonnondo6898 Před 4 lety +4

    mashaallah

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 3 lety +2

    Mashaallah

  • @allymohammed6704
    @allymohammed6704 Před 4 lety +3

    Maashaawallah

  • @athumangereza2342
    @athumangereza2342 Před 2 lety +1

    MaashaAllah

  • @kombohabib9046
    @kombohabib9046 Před 4 lety +5

    Ktk darsa hizi za mwezi mtukufu RAMADHAN,sheikh walidi alituambia ikiwezekana atapanga iwe siku moja ktk wiki atakua anafanya hizi darsa hapo hapo kichangani,je ipoje.

  • @Mbumbuko
    @Mbumbuko Před 2 lety +1

    Maashaa Allah

  • @BashiruShawed
    @BashiruShawed Před měsícem +1

    Kuna mambo mengi kulwa lakini yanfichwa kwa sababu yanausu uislamu kama ingekuwa ya kukafri yange pewa kipao mbele

  • @barakashaban9698
    @barakashaban9698 Před 2 lety +1

    Subhanallah

  • @humudyhabiby5393
    @humudyhabiby5393 Před 4 lety +4

    Asalam Alaykum Sawa sawaaa ✓

  • @AhmedSaid-xz3kj
    @AhmedSaid-xz3kj Před 3 lety +1

    Jazakallah kheir

  • @jaafarjacka3320
    @jaafarjacka3320 Před 4 lety +2

    Allah ALLAH Allah

  • @amirikhatibu1989
    @amirikhatibu1989 Před 4 lety +6

    Mawahabi ndio hawaamini makarama

  • @abeidjuma1855
    @abeidjuma1855 Před 4 lety +8

    Kisa kizuri cha kisiwa cha kirwa

  • @abduibrahim7363
    @abduibrahim7363 Před 2 lety +1

    Nikweli kabisa na pamewekwa Alama,

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 3 lety +2

    🙏

  • @NassEscobar-yh5sv
    @NassEscobar-yh5sv Před 2 měsíci

    Una dalili ya kumuuita alama..mpotoshaji?

  • @afric01
    @afric01 Před rokem

    Aslm alkm ww.... Jazakallah kheir 🙏.

  • @muuibrahim1805
    @muuibrahim1805 Před 2 měsíci

    Niombeni kwa majina 99,Allah kishasema sasa kwa namna gani utajua wewe hapa ndipo point ilipo ,hapo sheikh Walid kanena point tuache kubeza asee

  • @abasaliomar1020
    @abasaliomar1020 Před 3 lety +2

    Assalam aleikum sheikh vipi hali yako naomba namba yako tafadhali

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 Před 4 lety +4

    Ushirikini ndio anaousifia.....
    Hana zaidi ya upuuzi na upotoshaji

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Před 3 lety +5

      Yeye anaamini ule ni uwezo wa Allah wewe ndo unaamini ile ni uchawi nani mshirikina

    • @hollyfildspinks2161
      @hollyfildspinks2161 Před 2 lety +1

      Ibrahim abdillah,mwana wewe ndo mshirikina

    • @hamisisalimu6908
      @hamisisalimu6908 Před 2 lety +2

      Tatizo waislamu hawana kheshma na masheikh zetu. Kila mtu nimjuaji

    • @abdibrown5591
      @abdibrown5591 Před rokem

      Weye wakucunguze vizuri weye ni kapyongo

    • @IssaFumo-uw8de
      @IssaFumo-uw8de Před 3 měsíci

      Ikiwa Mtume Muhammad (s.a.w)alipingwa tena watu wake wa karibu kabisa.Itakuwa ww bn....Allah akuhifadhi Sheikh Waliid,akulinde dhidi ya mahasidi

  • @hajivuai3454
    @hajivuai3454 Před 4 lety +5

    Darsa kama hizi viongozi wetu wa serekali huwaoni kuhudhuria sijui kwanini

    • @myself4128
      @myself4128 Před 9 měsíci

      Serikali haiongozwi na Dini wala Mungu ila Katiba inaonekana we Juha huelewi kitu

  • @abubakarhussain8075
    @abubakarhussain8075 Před 2 lety +1

    SHEIKH WALID SHUKRAN. HUKU WAMEBADILISHA HIKI KISA WAMESEMA JAHAZI LA WAARABU LIMEGEUZWA JIWE WAKATI WAO WANAJUA UKWELI JAHAZI NI LA WARENO(PORTUGUESE).

  • @user-xd6hh5mj7x
    @user-xd6hh5mj7x Před 4 měsíci

    Yani ' mtu kabisa unakuja unakoment unasema shekhe muongo duuuh kama shekhe muongo bas hata kumuamini mola wako pia utawezaa lahaulaa mungu amuifadhi huyu shekhe kama mtume alikataliwa bas nasisi atutaitikiwa nakila mtu

  • @khamiskhalfan1287
    @khamiskhalfan1287 Před 4 lety +2

    Asalam alaykum

  • @salimkaimbwana6598
    @salimkaimbwana6598 Před 4 lety +3

    Aliesema bidaa ni Mtume(saw) na si sheikh yeyote.

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 Před 4 lety +3

    kazi kupotosha watu tu

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      Una uhakika maalim faida yake ni nini akishawapotosha hao watu

    • @shosiabdalla6880
      @shosiabdalla6880 Před 4 lety +3

      Abuu suleym shekhe anapotosha watu kivipi hebu nieleze na mimi nielewe

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +1

      Kabisa atupe muongozo

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 4 lety +2

      Dont argue with stupid person. Abuu Suleym is a JAHIL PERSON.

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 4 lety

      We nenda kaimbe taarabu maana nyie mnadini yenu ya Muhammad abdul wahhabi aka mudi gae

  • @ibnabdillah608
    @ibnabdillah608 Před 4 lety +4

    Hii elimu ni dini, angalieni ni KUTOKA kwa Nani mnaichukua dini yenu,watu Kama hawa wanaojuzisha uzushi epuka sana kuwasikiliza

    • @badrudiniabdulkarim1059
      @badrudiniabdulkarim1059 Před 3 lety

      Wewe umefuata nini huku kama sio kumsiliza??

    • @hemedysaidy7020
      @hemedysaidy7020 Před 2 lety

      Kwa taarifa yako ww ni miongoni mwa wanaoupiga vita uislamu kama ww ndio unajiona bora kusikilizwa elimu yako iko wapi ulio itoa ili tukusikilizeee?!

  • @zaitoonhassan1268
    @zaitoonhassan1268 Před 2 lety +1

    Mm naomba nambari niwe nikitoa mchango wangu

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 2 lety +1

      Namba ni hii +255765100906

    • @yasirshee3152
      @yasirshee3152 Před 8 měsíci

      Wengi wameomba number hamukutoa huyu ameomba ili atoe mchango ndio mumechangamka😂

  • @ashiimohmedi6051
    @ashiimohmedi6051 Před rokem

    Huyo anae muita shekh walidi muongo"" huyo mm ningekuwa karbu ww mtu wwe kichwa chako kingekuwa halali yangu""walidi anamakosa walidy gajikwezi kma mashekh zenu wengine""huyu walid anahekma kma mtume Muhammad s.a.s""anae mtukana walidy yyte yule hta kma angekuwa bba lazma hta yye ningetoka kwake tusijuane tna""Lakin mtu mwingine mwingne wamtuksna walidy kaa mbali sana na huyu"" mtu"" upanga wangu wakijeshi unakuhu wwe"" Allah atulindie walid kwa mapnzi na huruma zko"" Na kma kuna makosa madgo madgo bas tunakuomba umsamehe" wwe mwenyew wajuwa hatujakamilika..

  • @OmaryGubi
    @OmaryGubi Před 10 měsíci

    By op

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 Před 3 lety +1

    Na sio kila kiTu ni sunnah na sio kila kitu ni waajibu na sio kila kitu ni binadam na sio kila kitu ni gari...maneno ya jumla jamala...SEMA NI SIO BIDAA

    • @hussenaaghe2760
      @hussenaaghe2760 Před rokem

      Acha hadi mungu kuna mashehe wangapi mpaka shehe mkoa dar salaam ulitaka upewe wewe

  • @ismailhassan5662
    @ismailhassan5662 Před 3 lety +1

    Hivi huwaga hawajamaa wanasomaga wap jaman yaan niwazushi wakubwa nahawataki kubadilika.

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 Před 4 lety +4

    muongo huyu misikiti yote imeadhini pamoja

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 4 lety +1

      Foolish comment. Smh!!

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 4 lety

      Sio kwa ajili ya pembe la shaitwani ni kwa ajili ya waislamu

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 4 lety +1

      We ulienda huko kilwa kwenye hiko kisiwa au unapiga kelele

    • @hollyfildspinks2161
      @hollyfildspinks2161 Před 2 lety

      Cha ajabu nini hapo?

    • @ajmalkiango4715
      @ajmalkiango4715 Před 2 lety +1

      Kama ujui sema ujuzwe mjinga wewe nitumie namba zako nikutumie video yake na uone ukweli..mpumbavu wewe

  • @abuumusabmudhhir4353
    @abuumusabmudhhir4353 Před 4 lety +4

    هجران مثل هذا الرجُل الجاهل المتعالم من السنة، اتق الله يا هذا، ألآ تذكر قول الله تعالى(ليحملوا أوزارهم كاملة يوم القيامة ومن أوزار الذين يضلونهم) سورة النحل،
    أيها المسلمون لا تغتروا بمثل هذا الكذاب المُلبّس.

    • @mussajangwa4878
      @mussajangwa4878 Před 3 lety

      Are crazy?????

    • @hemedysaidy7020
      @hemedysaidy7020 Před 2 lety

      Ww mkweli ukweli wako uko wp elimu yako haina viwango pia hata fadhila za walimu wako huna maana elimu zenu zimejaa kibri pmj na walimu wenu nakupa mfano angalia mashekhe wa zamani walivyo kua na elimu zao na Makarama yao leo huu wako wp nyie mnao jiona kama mmekamilika na elimu zenu kubwa mko wap hata dua zenu mkiomba hazijibiwi useme unaimani ww

    • @ajmalkiango4715
      @ajmalkiango4715 Před 2 lety

      Wewe acha uwongo tuambie uongo wake nini acha kupotosha ummah... wewe adamu

  • @mujiburajabu1217
    @mujiburajabu1217 Před 4 lety +5

    Mpotoshaji huyo hana dalili anazungumza kwa matamanio ya nafsi yake

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  Před 4 lety +2

      Sawa tupe wewe dalili maalim

    • @selemohd9060
      @selemohd9060 Před 4 lety +2

      Mujibu rajabu acha upumbavu

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 4 lety +2

      Tangu lini nzi akamsifia nyuki we kazi yako kuchezea mavi

    • @khalidbahorera8106
      @khalidbahorera8106 Před 4 lety +4

      Jana nlikua namsikiliza shekhe flan anazungumzia uchawi, akasema waliohatarini zaidi ya kuingia kwenye uchawi na ambao washaingia basi ni hawa maghurafi, na huyu naona ndo kaonesha mfano halisi. Kakiri mwenyewe vitab alivotaja vinatumika na waganga na wachawi af yy anahimiza watu wavisome, duh

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 Před 4 lety +2

      @@khalidbahorera8106 wewe ni chizi hata Quran watu wanatumia kuloga

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 Před 4 lety +4

    huyu sheikh muongoo

    • @sayeedsaleem6395
      @sayeedsaleem6395 Před 4 lety +1

      Sawa tuache atudanganye

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 Před 4 lety +3

      Uongo wake nini? Haya tueleze ukweli unao ujua wewe yaani Kuna watu mmeka kama mikondo vile yaani mnamezeshwa itkadi zako puuzi mnakubali bila hata kutumia akili zenu eti Muongo kaongopa nini Sasa kwaiyo mungu ajasema tu muombe kwa majina yake? au hiyo history alio itoa yakilwa? Yaani inaonekana wewe auna imani kabisa na mungu kama aliweza kumgeuza mke wanabii lutwi kua jiwe atadhindwa kuigeuza iyo meli yamakafiri kua jiwe? Pole sana aisee

    • @ahdal5288
      @ahdal5288 Před 4 lety +1

      Uongo wake ni nini?????

    • @abuusuleym3676
      @abuusuleym3676 Před 4 lety

      hizo adhkar anazotaja hazijathibiti
      kisha tokea lini misikiti yote ikaadhini kwa pamoja huu urongo wa dahir

    • @abuusuleym3676
      @abuusuleym3676 Před 4 lety

      mpuuz anaetumia akili kwenye dini au anaetumia akili

  • @soudmilopo6134
    @soudmilopo6134 Před 3 lety +1

    mashaallah

  • @musaagwallo5433
    @musaagwallo5433 Před 3 lety +1

    Mashaallah