BIBLIA NA MAHUBIRI. KUJILINDA DHIDI YA DHAMBI. NJIA 4 ZITAKAZOKUSAIDIA KUEPUKA DHAMBI.
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2019
- DHAMBI NI UASI NA UASI NI KWENDA
KINYUME NA MAAGANO AU MAKUBALIANO.
HIZI NI NJIA NNE ZINAZOWEZA KUKUSAIDIA KUJILINDA ILI USIFANYE DHAMBI.
ILI KUPATA MAFUNDISHO HAYA KWENYE KIFAA CHAKO TAFADHALI BONYEZA LINK HII HAPA www.dinuzenogospelday.com/ - Zábava
Mungu akutiye nguvu ndugu kwa mafundisho mazuri umenijenga sana
Asante sana
Ujumbe mzuri sana Mungu akuzidishia Neema 🙏🙏
Asante sana
Ameni mtumishi unanibariki
Amen
Amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, nimejifunza mengi.Mungu akuinue viwango vya juu zaidi.
Utukufu ni juu kwa Mungu
Asante sana kwa maombi yako
Amina mtumishi kwa somo zuri
Amen
Ubarikiwe mtumishi kwa huduma
Amen
Ameen, ubarikiwe sana; ;nabarikiwa sana
Amen
Mungu akubaliki undelee kutupa masomo mazuli nayakutujenga
Amen na Bwana anisaidie
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu, kuna kitu nimejifunza
Barikiwa sana
Mungu akubariki sana kwa somo zuri
Bwana apewe sifa
Amen
God bless you for sharing with us the Word
Amen
Amen
Nilikuwa pita pita humu u tube lakini Sasa Roho wa Mungu tuu kwa ujumbe huu
Karibu sana
Naomba siku moja tukutane una upako mkuu saana with great revelation
Bwana ni mwema
kaka ubarikiwe sana yaan unahubiri vitu ambavyo vitatufanya tuushinde ujana na dhambi yaan Leo ndio namuona kijana anayehubiri kweli ya Mungu, Mungu akuinue kwa ajili ya kazi yake na Mungu akubiriki sana.
Bwana ni mwema.Karibu sana dada tunayo mafundisho mengine pia.
Tafadhali wajulishe na wengine juu ya masomo haya.
Mwalimu na kufuata saana.
Asante sana na Bwana akusaidie
Amen nimepokea pia nimeelewa
Bwana akusaidie
Amen
Ujumbe mufti
Ni Bwana
Mungu akubariki kwa somo hili, hakika mimi limenipa hatua nyingine zaidi ya kumtafuta Mungu!
Asante saaana
Amen
Amen
Amen bro Dinu
Amen
Amen
Amen