JINSI YA KUJILINDA DHIDI YA DHAMBI
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- TANGU KIPINDI CHA YOHANA MBATIZAJI HATA SASA, UFALME WA MUNGU HUPATIKANA KWA NGUVU, NAO WENYE NGUVU NDIO WANAOUTEKA.
CHANNEL HII ITAKUSAIDIA KUKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU AMBAYO YATAKUTIA NGUVU ITAKAYO KUFANYA UWEZE KUUTEKA UFALME ULE BWANA ALIOTUAHIDIA.
TUNATUMIA DAKIKA CHACHE SANA KATIKA KUKUFUNDISHA MANENO YA MUNGU NA HUTALIPIA GHARAMA YOYOTE KUYAPATA MAFUNDISHO HAYA ISIPOKUWA NI Mb ZAKO TU KATIKA SIMU YAKO.
Subscribe to this channel for more videos.
Pia unaweza kutembelea website yetu kwa kubonyeza link hapo chini.
www.dinuzenogospelday.com
Ubarikiwe sana mtumishi kwa somo hilo lenye baraka, kuna kitu nimejifunza.
Amen
Amen
Ameen Mtumishi
Ubarikiwe mtumishi
ubalikiw mtumi wa mungu maneno yako yananifanya kusogea mbele mtumishi
Huwa natamani sana kufundisha
Umefundisha kwa habari ya mwili ya kwamba mwili umetengezwa katika sehemu tatu nafsi, roho na mwili. Vipi kuhusu “moyo?”
Moyo unafanya kazi pamoja na nafsi. Na nafsi imebebwa na mambo matatu; Matakwa au mapenzi, akili na hisia.Will, mind and emotions.
Asante sana
TUpe mchango wako wa mawazo Tafadhali