NI SALAMA ROHONI MWANGU. Tenzi namba 23; by DINU ZENO.
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2021
- Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida, kwa mambo yote umenijulisha, ni salama Rohoni mwangu.
Mungu atabaki kuwa Mungu haijalishi mazingira unayopitia sasa.
Subscribe to this channel for more videos.
• TENZI ZA ROHONI NA KUA...
MUNGU awatie nguvu..NAKUOMBEA MUNGU AKUTIE NGUVU wewe na fafilia.. nyimbo hizo zimekuwa zikifanya uvivio moyoni mwanangu
Tangu nijue nyimbo za huyu ndugu basi moyoni huhisi nikiwa nimebarikiwa sana kila wakati ninapomsikiliza... Sante sana mtu wa Mungu
Nabarikiwa sana
Ubarikiwe sana kwanyimbo nzuri Mungu akubariki sana
Asante sana watumishi wa Mungu wimbo huu ni mzuri sana
Aminaaa na barikiwa
Pastor Ezekiel Hana panda hi wimbo sana ❤🎉🔥🙏💯
Nlikua nataka kukata tamaa nkatiwa nguvu na huu wimbo
2024 Ni salama rohoni mwangu🙏🙏🙏🙏
Nice song❤❤❤nipitie pia🙏🙏
Whoever listening to this song in 2024 may God bless..it shall be well with you
Starting 2024 with ni salama rohoni mwangu daima.
Jina Mungu Baba na la Bwana Wetu Yesu Kristo na Roho Mtakatifu litukuzwe milele hata milele, Amina,
I saw Pr. Ezekiel singing it on Tok and asked for the title. I am from Uganda but I don't know Kiswahili at all. It's a good song.
Ubarikiwe Sana mtumishi wimbo. Huu nisarama umenigusa Sana MUNGU BABA akuzidi shie neema
Hakika wimbo huu unabeba hisia kali ndani ya moyo na rohoni ....
I heard this song in church today and it really touched my heart,had to search for it.May you be blessed
Nimebarikiwa mpendwa na nyimbo hii ,mungu akupandishe juu zaid
Ooooh Lord may Kenyans find solace in this song during this time of calamities
I need You Lord Christ in my Life, more more than ever before. Lead my way oooh Lord cz i believe it will be well with my SOUL😢