Bony Mwaitege ft Sifael Mwabuka - Ni Salama'' (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 12. 05. 2023
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege ft Sifael Mwabuka - Ni Salama'' (Official Music Video)
Video directed by William Ndila (Director Willy) +255 673 734 620
MUNGU AKUBARIKI SANA. - Hudba
Wale wa 2024 July 22 after kupata roumours kuwa Amefariki Gonga like
Tuko hapa
Wapi likes ya wa Kenya👏👏....You never disappoint Bonny congratulations 🎉
❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏🙏
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Wimbo zuri bwana apewe zifa
Wimbo zuri bwana apewe zifa
Ni salama kuona amani kwetu nyumbani🙌pitieni mnipee like 30 tu usininyime ju ni salama
❤❤❤
Neema iwabebe watumishi wa MUNGU Bony mwaitege na siffael🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana 🙏 tuwape likes kwa wingi wapendwa 🙏🙏
Hello Christmas njema
Kama kawaida 🎉🇰🇪🎉 tunawapenda sana. Ni salama rohoni mwetu🇰🇪
Ni salama rohoni , if u are from kenya gonga like😊😊😊
Ukweli❤ni😂salamah💪💪💪
Salama rohoni mwangu,kazi nzuli Sana balikiwa❤
Bwana yesu asifiwe
Mwaitege na sifaeli ninyi mmebarikiwa na bwana
Ishi ueneze neno la Bwana
Salama mikononi MWA Yesu
Boni kama ndio unaanza kuimba upya. Kwamaana moto kweli🔥🔥🔥🔥👍❤️❤️
Jamani huu wimbo mauwa kwenyu watumishi wa Mungu Salama kabisa 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Uwiiii iiiiiiii jamani wimbooo mtamu sanaaaa....sichoki kurudia..bonny mwaitege professional na wewe mtu sifael ni ni nomaaaa sana
❤❤❤❤wow congrats bro hii wimbo damu sana God bless you nipe likes wangu wa kenya na team khamama mko wp❤❤❤❤
ASANTE SANA NDUGU YANGU
Nimependa Sana wimbo huu jaman waliopamoja na mimi like zenu
Amen 🙏🙏
Amen
P
Amen 🙏🙏
Ni salama rohoni mwangu.....ameni.ameni...nimebarikiwa mmnooooooo
Watumishi wa Mungu mbarikiwe na kuzidi 👏 hallelujah Yesu ni Bwana,ukiwa na Yesu mambo yote ni shawari.hikika ni Salama rohoni mwangu.
Amen 🙏 🙏 🙌 🙌 nisalama rohoni mwangu.🔥🔥🔥
Ni salama rohoni mwangu😢❤
Nyimbo nzuri sana. Inanibariki sana,,Hongera Mtumishi wa MUNGU.BONY na SIFAEL MWAMBUKA..
Siku zote tuta zidi kuwa sapoti wa pendwa wa bwana❤
Ni Salam Roho Mwangu Amen Watumishi wa Mungu
Safiri salama Bony ,we will miss you,Kweli ni salama rohoni
😢😢
Salama rohoni,,,be blessed Mr mwabuka & Mr mwaitege
Oh hallelujah jamani YESU nimzuri sjawahi kuona,ebu tuskilize wimbo hu kwa pomoja tuuonje utam YESU, hakika kwa YESU kuna raha isyoelezeka,uwiiiiiiiiiiiiii YESU wangu hata nashindwa namna ya kuelezea uzuri wako 🙏🙏🙏
Niruhusuni nifanye moja Kama hii watumishi,,nimeguzwa
Penda sana mwaitege na sifaeli ....mungu awatunze....nabarikiwa sana nikiwasikiliza❤❤
Cool musique amène 🇨🇩🇨🇩🇨🇩👏👏🎉🎉🎉
Nyimbo nzur Sana but Ni sarama au salama kaka bony...
Asante yesu,umekuwa salama ktk roho yangu,nakuabudu.
Hapa Ni lazima nitamke baraka katika Jina Kuu La Yesu Kristo,,,,mubarikiwe sana Sifaeli na Bonie.
Dar wimbo unautukufuwake mmependeza sana
MUNGU akutunze zaidi hakika unaubarik maisha ya wengi sanaa
Ni salama rohoni mwangu👏👏👏
Kaziiiiii nzuriiiiii sanaaaaa
Wow hiii truck kali saana nmependwezwa nanyi watumishi
Leo jumapili tarehe tatu 2024..na watangazia wote mjue ni salama rohoni mwangu. Ni vyema kumtegemea Mungu kwa kila jambo. Nae atakupa utulivu wa moyo.. Kumbuka Linda Sana moyo. Kuliko chochote🥰🥰🥰🥰💃💃💃💃💃🇰🇪. Team gulf. Tuko kujipanga kwa mwezi wa Ramadan
Asante sana Mtumishi wa Mungu Boni Mwaitege nakupenda sana kwanyimbo yako inayoitwa Mama achanizaliwe
Ni salama rohoni mwangu kwa kuwa najua yesu mtetezi wangu ananipigania
❤❤❤naupenda sana huu wimbo jamn
Ni salamu rohoni mwangu ktk jina la Yesu
Mwaitege akitayarisha chakula 😅😅😅 kukula siku hio ilikua ya raha kweli, aki natulia na huu wimbo kweli kabisa
Mwenyezi mungu awatie nguvu watumishi wangu kwakweli mliimba
Hakika ni salama rohoni. Mungu awabariki sana watumishi wake hawa. Amina
Baba kama baba aaaaah siku moja ndoto yangu itatimia tu
Live long servant of God ni salama rohoni❤ mwangu
Nimeupenda sana wimbo huu jaman.umekuwa tulizo la moyo wangu.
Jamn nyimbo zako nazipenda San na Mimi nataka kuimba Kama wew sifael naomba
Kasi nzuri mbarikiwe zaidi bonny na kwaya nzima
Wouw!
Wow so wonderful song Lusaka Zambia 🇿🇲
Nayaweza Mambo yote katika yeye AMINA mbalikiwe sana kwa kazi nzuri inatujenga kiimani
Woh❤kweli Ni Salama rohoni Mwangu🙌🙌
wonderful brothers, muendelee kubarikiwa na kutubariki pia
Eee Bwana himiza siku ya kuja...utakaposhuka sitaogopa maana ni salama rohoni mwangu. Karibuni Kenya watumishi wa MUNGU.
Kenya haki tuhige Tz umoja wao ni nguvu
Mungu aitunze sana huduma yenu watu wa Mungu muendelee kutumika❤
Happy birthday to me.....Ni salama moyoni mwangu ❤❤❤
Nabalikiwa saan yaan wimbo unashutua moyo wangu jmn balikiwa watumishii wa MUNGU 🕊️🙏
Oke Kabisa MUNGU awabariki Kabisa n'a awalinde
Bonge la collabo Mungu awalinde ndg zangu kwa uinjilisti.
Munajuwa sana tu nanzakufatiya music wenu❤❤ mungu. Awa bariki sana ty❤❤
Amina ubarikiwe mtumishi mungu aendelee kukuinua kwa viwango vya juu zaidi🙏🙏😊
Hakika abayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu abaweza yote
Miye uu wimbo ume nigusa rohoni naupenda sana
Hongera kaka... kweli ni salama rohoni ukiwa na yesu🥳🥳
Siku ya leo mungu atupe wote raha ya rohoni tumtumikie milele nimebarikiwa sana na salama rohoni mwangu
huu wimbo ni mtamu sana🔥 ❤️🇰🇪
Chenye naskia hope sio ukweli,,ATI bonnie mwaitege is no more,,njoo mniambie ni uongoo please😭😭😭
Ni uongo mamaa, live long mtumishi wa mungu bony
Ubarikiwe mtumishi wangu kwa nyimbo nzur.
Brather bony wimbo zuri kabisa nikweli salama owe nasi
Da watumishi hongelen cn kwa huu wimbo nisalama
Binafsi nabarikiwa sana nisikilizapo nyimbo hizi nnapopitia majaribu na shida mbali mbalii huw nazitumia na hunitia moyo sana🙏🙏
Jamani wimbo ni tamu sana 😢 hallelujah 🙏 hatakama ujuwi mungu lasima utafute mungu. Kwaiyo wimbo Jamani nitam sana😢😢😢😢
ni salama roni mwangu levi nimeona mungu nkwa maisha yangu
Best of the best from Tanzania to Kenya to the world🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
I really love Tanzanian gospel musicians much love from your brothers in Kenya
Salama Rohoni,ni salama rohoni mwangu,,,nzuri saana🙏🙏
Mungu awabaliki Kwa nyimbo nzur niko nanyi kwakila post ya nyimbo mungu awabaliki Kwa mahubili matakatifu.
Barikiwa sanaaaaa
Ni Salama rohoni mwangu,,🙏
Unajua na unajua tena Mungu azidi kuachia baraka kwenu kaka zangu ❤
Kenyans never disappoint this men's of god muc love from uwarabuni originality from 🇰🇪 kenya...be blessed bony na sifaeli
It's God not god please
Jifunze kutumia God ya capital letters and not small letters.Remember god ni miungu
Write the name God in capital letters,not "god"
❤More blessings too🇰🇪🥰
🎉🎉Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu huwa mnanibariki sana
Bonny warudi soy lini jamani😂❤
Prince moze BWANA YESU niondolee kikombe
Wawili hawa ni unstoppable mungu awabaliki sana.
Ni salama rohon mwangu Asante yesu wangu
tunawashukuru nisalama kabisa katika asubui hii
Very blessing song with amazing melody
Tenzi za Rohoni
Nyimbo za pentecoste ya jadi na Hadi Leo zonamvuto wa kiroho usiomithirika...
Hazizeeki haki ziliimbwa chini ya nguvu za Roho Mtakatifu.
Kazi nzuri Ndugu Bonnie na Sifaele
Nimependaa dhambi zangu wala si nusu
Ooh my god a very spiritual song barikiwa brother bonny
Amen Amen Mungu wa mbinguni awabariki sana ni salama rohoni
Kali Sana toka jikoni,wapishi hatari
Wimbo umenikosha roho ni mwangu
Nisalama rohon mwangu 😢🙏🙏
Apa waliimba bana mana upako unaingia kuazia kichwani hadi. Miguuni naunasikia raha yaajabu sana
Barikiwa sana watumishi wa Mungu.
Nisalama rohoni mwangu
Tena mimi naupenda alizibeba yesu
Ni Salama Rohoni. Mwangu🙏🙏🙏🙌🙌🙌