BIBLIA NA MAHUBIRI. NJIA SABA ZA KUTAMBUA KARAMA ULIYO NAYO. by dinuzeno. 0625954315 Whatsapp.
Vložit
- čas přidán 5. 09. 2024
- NI MUHIMU KWA KILA MKRISTO KUTAMBUA KARAMA ALIYONAYO. NA HIZI NI NJIA SABA ZINAZOWEZA KUKUSAIDIA KUTAMBUA KARAMA ULIYO NAYO.
KUPATA VIDEO INAYOFUATA JUU YA SOMO HILI, BONYEZA LINK HII HAPA CHINI. ASANTE SANA.
# • FAIDA ZA KUNENA KWA LU...
Subscribe to this channel for more videos.
Aise! Nashkru sana mtumishi wa Mungu umenifungua kiukweliiiii
Bwana ni mwema hakika
Somo ni zuri Sana barikiwa mtumishi WA mungu
Amen.Asante sana
Ameen na tumpe Mungu utukufu hakika.
@@DinuZeno amen
nimekuelewa mtumishi wa mungu barikiwa sana
Asante sana
Amen
Somo zuuuuri sana
Amen
Dino Zeno Mtumishi ubarikiwe sana, umetusaidia sana, Mungu atubariki tuihubiri ya injili ya Kristo Yesu kwa msaada wa ROHO MTAKATIFU. Amina.
Nashukuru sana kwa ufunuo huu;;;nimekuwa nikayapitia haya lakini sijawahi jua ;;njisi gani ya kuhiyazisha,,ubarikiwe sana; ;
Asante sana ndugu katika Kristo.
Dinu Zeno Amina sana
mtumishi ubalikiwe sana.umetaja njia Saba za kutambua katana mtu aliyo nayo but kwangu karibu zote huwa zinanitokea,je mtu aweza kupewa karama zote hizo !?au inafaa kuchagua moja kati ya hizo.
Somo nzuri sana ndugu Mungu akuzidishie
Amen. Asante sana
@@DinuZeno NI KWELI KABISA
Ahsante MTUMISHI nimeijua karama yangu ubarikiwe sana
Mimi umenifunza Mungu amekua akizungumza na mimi kwa ndoto nikimhoji huduma yangu au nikiwa ktk utulivu nakuota naombea watu na kusaidiya yatima na nikiona mtu anaumwa nakosa furaha natamani nimuombee japo wapo nawaombea na wanapokea au nikitulia tu najua ktk hali ya usingizi nusu macho naona naombeafamilia au watu wanafunguli ila bado sijapata utulivu wa kuhusum mahali nimeokoka nampenda yesu pia ninashuda nyingi sana Mungu akubariki kwa kunifungungua mtumishi Dinu zeno
Asante na ubarikiwe sana na Bwana Yesu Kristo. Sasa nenda kafanye kazi.
@@DinuZeno ameni mtumishi Mungu anisaidiye now nipo omani. Huwa naombea mtu ktk cm akiniambia anatatizo lolote maana ilibidi nimwambiye Mungu nitafanya kazi hata kwa mtandao ili moyo wangu upate amani ila nikirud tz nitatumika kwa bidii sana kwa Mungu
@@suzymhando418 Bwana akuwezeshe kufanya kama ulivyokusudia.
@@DinuZenoamen mtumishi
@@DinuZeno pia nabarikiwa sana na nyimbo zako nazikiliza sana tokea 2017 zilinifanya nizidi kumjua Mungu sana nikiwa nataka kuomba nikisikiza roho huwa anadhuka hakika Mungu akubari sana sana
Ubarikiwe sana
Amen.Asante sana
Amen
Barikiwa mtumishi !
TUNAOMBA MAONI NA SHUHUDA ZENU TAFADHALI.
Amen
Mungu akupe wepes waku ifikisha injili
Amen,nimebarikiwa sana kaka haswa katika njia za MUNGU kusema nami kuhusu karama yangu nmeifatilia tangu ya kwanza hata ya mwisho karama nnazo nyingi ila uimbaji umebeba vyotee,asante Roho mtakatifu azd kukutumia
Asante sana
Amen
Amina mtumishi, sijajua karama yangu hii ni ipi. but hakuna kitu ninachochukia kama nikiona waimbaji binafsi na kwaya wakiwa wanacheza stairi za ajabu ajabu mbere ya kanisa au kuvaa mavazi ya ajabu ajabu..hasa stairi za kucheza hizo ndio huwa najikuta hata nikienda kanisani nikiona hiyo kwaya wapo siku hiyo Moyo wangu unakosa amani kabisa.
Hakika nimejifunza njia hizi za kujua karama au huduma yangu, mimi mi mwalimu
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni
Asante sana
Endelea kutufundisha wengi unatubaliki huku mikoani tuma clipu nyingi za mafundinsho tunakuomba
Ooh haleluya kupitia someone hili nimejua karama yangu Lin Nina swali ungenisaidia zaidi no yangu NI 0628645001