BIBLIA NA MAHUBIRI. NJIA SABA ZA KUTAMBUA KARAMA ULIYO NAYO. by dinuzeno. 0625954315 Whatsapp.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • NI MUHIMU KWA KILA MKRISTO KUTAMBUA KARAMA ALIYONAYO. NA HIZI NI NJIA SABA ZINAZOWEZA KUKUSAIDIA KUTAMBUA KARAMA ULIYO NAYO.
    KUPATA VIDEO INAYOFUATA JUU YA SOMO HILI, BONYEZA LINK HII HAPA CHINI. ASANTE SANA.
    # • FAIDA ZA KUNENA KWA LU...
    Subscribe to this channel for more videos.

Komentáře • 44

  • @msafirialute9214
    @msafirialute9214 Před 5 lety +4

    Aise! Nashkru sana mtumishi wa Mungu umenifungua kiukweliiiii

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 Před 5 lety +4

    Somo ni zuri Sana barikiwa mtumishi WA mungu

  • @erickpallangyo1325
    @erickpallangyo1325 Před 5 lety +4

    nimekuelewa mtumishi wa mungu barikiwa sana

  • @nenolamungunikweli.3320
    @nenolamungunikweli.3320 Před 5 lety +5

    Somo zuuuuri sana

  • @msabahamalonda2249
    @msabahamalonda2249 Před 3 lety

    Dino Zeno Mtumishi ubarikiwe sana, umetusaidia sana, Mungu atubariki tuihubiri ya injili ya Kristo Yesu kwa msaada wa ROHO MTAKATIFU. Amina.

  • @irineviendamisango9812
    @irineviendamisango9812 Před 5 lety +3

    Nashukuru sana kwa ufunuo huu;;;nimekuwa nikayapitia haya lakini sijawahi jua ;;njisi gani ya kuhiyazisha,,ubarikiwe sana; ;

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 5 lety

      Asante sana ndugu katika Kristo.

    • @irineviendamisango9812
      @irineviendamisango9812 Před 5 lety

      Dinu Zeno Amina sana

    • @geogejosephnyamasiriri6930
      @geogejosephnyamasiriri6930 Před 5 lety

      mtumishi ubalikiwe sana.umetaja njia Saba za kutambua katana mtu aliyo nayo but kwangu karibu zote huwa zinanitokea,je mtu aweza kupewa karama zote hizo !?au inafaa kuchagua moja kati ya hizo.

  • @morrisodhiambo811
    @morrisodhiambo811 Před 5 lety +3

    Somo nzuri sana ndugu Mungu akuzidishie

  • @msmpinea4860
    @msmpinea4860 Před 4 lety

    Ahsante MTUMISHI nimeijua karama yangu ubarikiwe sana

  • @suzymhando418
    @suzymhando418 Před 5 lety +3

    Mimi umenifunza Mungu amekua akizungumza na mimi kwa ndoto nikimhoji huduma yangu au nikiwa ktk utulivu nakuota naombea watu na kusaidiya yatima na nikiona mtu anaumwa nakosa furaha natamani nimuombee japo wapo nawaombea na wanapokea au nikitulia tu najua ktk hali ya usingizi nusu macho naona naombeafamilia au watu wanafunguli ila bado sijapata utulivu wa kuhusum mahali nimeokoka nampenda yesu pia ninashuda nyingi sana Mungu akubariki kwa kunifungungua mtumishi Dinu zeno

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 5 lety

      Asante na ubarikiwe sana na Bwana Yesu Kristo. Sasa nenda kafanye kazi.

    • @suzymhando418
      @suzymhando418 Před 5 lety

      @@DinuZeno ameni mtumishi Mungu anisaidiye now nipo omani. Huwa naombea mtu ktk cm akiniambia anatatizo lolote maana ilibidi nimwambiye Mungu nitafanya kazi hata kwa mtandao ili moyo wangu upate amani ila nikirud tz nitatumika kwa bidii sana kwa Mungu

    • @DinuZeno
      @DinuZeno  Před 5 lety

      @@suzymhando418 Bwana akuwezeshe kufanya kama ulivyokusudia.

    • @suzymhando418
      @suzymhando418 Před 5 lety

      @@DinuZenoamen mtumishi

    • @suzymhando418
      @suzymhando418 Před 5 lety

      @@DinuZeno pia nabarikiwa sana na nyimbo zako nazikiliza sana tokea 2017 zilinifanya nizidi kumjua Mungu sana nikiwa nataka kuomba nikisikiza roho huwa anadhuka hakika Mungu akubari sana sana

  • @winnerschapelintlsingidata3197

    Ubarikiwe sana

  • @joycemakarius8540
    @joycemakarius8540 Před 5 lety

    Barikiwa mtumishi !

  • @DinuZeno
    @DinuZeno  Před 5 lety +5

    TUNAOMBA MAONI NA SHUHUDA ZENU TAFADHALI.

  • @paulsaimon8750
    @paulsaimon8750 Před 5 lety +1

    Amen,nimebarikiwa sana kaka haswa katika njia za MUNGU kusema nami kuhusu karama yangu nmeifatilia tangu ya kwanza hata ya mwisho karama nnazo nyingi ila uimbaji umebeba vyotee,asante Roho mtakatifu azd kukutumia

  • @franswamwandenuka6853
    @franswamwandenuka6853 Před 5 lety

    Amina mtumishi, sijajua karama yangu hii ni ipi. but hakuna kitu ninachochukia kama nikiona waimbaji binafsi na kwaya wakiwa wanacheza stairi za ajabu ajabu mbere ya kanisa au kuvaa mavazi ya ajabu ajabu..hasa stairi za kucheza hizo ndio huwa najikuta hata nikienda kanisani nikiona hiyo kwaya wapo siku hiyo Moyo wangu unakosa amani kabisa.

  • @asifiwejerome8021
    @asifiwejerome8021 Před 5 lety +1

    Hakika nimejifunza njia hizi za kujua karama au huduma yangu, mimi mi mwalimu

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Před 4 lety

    Endelea kutufundisha wengi unatubaliki huku mikoani tuma clipu nyingi za mafundinsho tunakuomba

  • @evamkika5203
    @evamkika5203 Před 4 lety

    Ooh haleluya kupitia someone hili nimejua karama yangu Lin Nina swali ungenisaidia zaidi no yangu NI 0628645001