Hooh ! Enyi ndugu mliochomwa na masimulizi ya kweli ya dereva wa siku nyingi msichukie, badala yake mjifunze somo, mkongwe anawaelimisha kwa njia mifano, mafumbo, na maneno furani ya kuchekesha na kufuraisha ndio uwalimu huo, anayosema ni ya kweli tunayaona😮,. Mkongwe Tulsa toa yote uliokua nao kuhusu Udereva ❤👍
Dereva mkongwe. Unapendeza sana kuwa msanii wa comedy. Nashauri jiunge na fani ya usanii. Wewe ni mrithi wa hayati MAJUTO. King of comedy. HONGERA SANA.
Do you give this guy a token after that lengthy interview or leave him just like that after using his content to gain views and grow your channel? I believe the general public should take note on this , that media houses should at least give token of appreciation up on interview.
Tunao angalia huku tunasoma coment weka like😂😂😂
😂😂
Hooh ! Enyi ndugu mliochomwa na masimulizi ya kweli ya dereva wa siku nyingi msichukie, badala yake mjifunze somo, mkongwe anawaelimisha kwa njia mifano, mafumbo, na maneno furani ya kuchekesha na kufuraisha ndio uwalimu huo, anayosema ni ya kweli tunayaona😮,. Mkongwe Tulsa toa yote uliokua nao kuhusu Udereva ❤👍
Dereva wetu anafuraisha sana 🎉🎉❤❤❤
Sanaa😅
Nafurah sana kumsikiliza mkongwe
Uyu mzee stori zake zuri sana
Dereva mkongwe nakubali sana
💯
Dereva mkongwe. Unapendeza sana kuwa msanii wa comedy. Nashauri jiunge na fani ya usanii. Wewe ni mrithi wa hayati MAJUTO. King of comedy. HONGERA SANA.
Huyu mzee ni comedy 😂😂
Huyu mzee anatufurahisha sana
Katoa elimu nzuri sana ya usalama barabarani Jeshi letu la salama barabarani linge mchukua mzee wetu katika ubarozi wa usalama barabarani
Huyo dereva nampendaga kwa maneno yake❤😂 yaan nacheka mpaka machozi😂
Yani anatrend kabisaa😂😂😂
Handsome Babu sipati picha ulipokua mtoto mdogo wamiaka 3 full utukutu😂😂😂
😅😅
Masomo mazuri. Ni maudhui mapana upelekaji magari. Huyu mkongwe afadhiliwe awasomeshe watu hivi. Shukran mkongwe. Hongera TV hii
Tunaomba contact za huyo Driver
😂😂 nasikiliza huku nasoma comment 😂🙌
😂😂😂 umeonaee nahuku twacheka nampenda Sana uyu mbaba😂😂😂
Wewe ni pumbavu mafundi wale nini
noma sana mkongwe namkubali hasa kwenye kutoa elimu ya usalama lkn na ukomavu wa fani ya udereva na zaid ucheshi wake!
Huyu mzee serikali inafaa kumpea kazi ya kuwaelemisha watu mambo ya usalama barabarani. Ako na experience ya kutosha.
Dereva mkongwe kiboko!👍
Mimi dereva namwelewa vzr sana
Dereva Mkongwe 100% namkubali.
Tanboy usilaleee kuna kipindi cha hama kwako😂😂😂😂ila huyu baba khaaaa
Sauti ya mchungaji hananja ni hatari sanaa
😂😂😂unajuwa kufananisha kwa kweli
Mzee wangu nakubali sana
Uyu mzee nimempenda sana
Nampenda dereve sana❤️
"hamna brake iliyo andikwa Dereva mkongwee 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅" huyu dawa yake hamna.... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👌👌👌🙏.
Nafurahi sana tupe Mambo Mkongwe
Hatar sna mzeee
duh baabu yangu uyoo barikiwa sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio maana dereva wa Tanzania 🇹🇿 mnalipwa hela ndogo mpaka ufundi alafu fundi yeye afanye kazi gani
huyo anazngua kwenye suala la ufundi nip pesa
Hatumii akiri
Mashaallah babaangu
Huyu sio mzee kijana mdogo
😂😂😂😂 kawa kijana tena ????
*NAMPENDA SANA DEREVA MKONGWE*
Af dereva mkongwe manjonjo km mch. Hananja
Kama Transporter nimemkubali huyu Simba wa Transit ..Mzee wa Busara Dereva Mkongwe
Huyu mzee huyu mzee Kate katembea tanzania inzima
Namkubali Sana mwamba Dereva mkongwe.
Watching from Kenya
Umetisha sana ❤❤❤❤❤
Duuuuh hatar sana mkongwe😂😂😂😂
😂😂😂😂 ila huyu jamaa unaweza cheka mpaka ukalia
Ana hatari😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 noma sana mkongwe umekuja na zamana ya fonex
Experience muhimu....vijana msiwe na haraka....take your time ...fani lako lita kukubali
for real
Do you give this guy a token after that lengthy interview or leave him just like that after using his content to gain views and grow your channel?
I believe the general public should take note on this , that media houses should at least give token of appreciation up on interview.
I guess so
A point
Uko vizuri baba.
Jamaa vipi mwamba aongea kama Hananja
Dereva umetishaaaaaa😂❤
wewhunalolote maneno anayosema ni kweri utauzaje mafuta kbla hujafika dereva hujui hata ufundi ni hatari kwa safari ndefu
HUYU KAKA WA MCHUNGAJI HANANJA
Wanafanana sauti
Huo udereva ndio umetudhalaulisha Sana wa Tanzania
Mmmmh SI kwl kw kip aswaaa chakidhalilisha
babaa nakukubali dereva mkongwe
Kama anachkesha kumbe anaelimisha msikilize vzri madreva wenzngu dodoma panateleza kweny mvua
fomen alikuwa fund cherehan hajui lolote 😂😂😂
Mnajua kutengeneza story
Jamani mzee wanichekesh 😂😂😂😂😂
Mkongwe nine gari nataka. Nikupe nitumie number yako ya simu
,Mbona heding na kinachozungumzwa ni tafauti
He's funny but he's making sense
KWELI KABISA ULIVYO SEMA KUHUSU MADELEVA WOTE WAENDE SHULE, LAZIMA UJEGEWE SANAMU MJINI DAR 👌👌👌👍👏👏😃😃
nakubali shoo
Nacheka sana aisee 😂😂😂mzee mkongwe noma sana.
Nakubal mkongwe
😂😂😂 wew bab utavunja watu mbavu😂🎉
bwana uyu bonge ya dereva
👏👏👏
Upo sahihi elimuni muhimu
Eti pana mmbu apaaa😂😂😂😂😂
hatimae dereva karudi tena
Uyu. Dereva. Kiboko
😂😂😂😂hyu dereva so funny
😂😂😂😂mkongweee🎉
Mkongwe anaongea huyuu😅😅😅😅😅
Namkubali mkongwe RAIS WA MADEREVA AFRIKA MASHARIKI
endelea kumuhoji kala😅
Unafundisha Sana dunia Japo unafraisha ila unanifunza sana
Spendi. Hizo. Ndevu
Mzee una maneno kama mzee Abdallah ismail TSN
DACHI AKIDA DACHI DEREVA MKONGWE. N'NAAKII YANGU.
Hapo ndo ambapo akili zenu zimehishiya
Makasiriko ya nini?
Mkongwe mkongwe tupe baba
Nkicheki video za huyu mzee watu wananiona kichaa maana saa zote nacheka tu.
Swadakata mkongwe
😂😂😂😂mzeee comedian
Huyu dereva mkongwe ndio kiboko pekee ya Dotto Magari, mwijaku na baba levo hawamuwezi 😅
😂bwauzima moto kwamajashooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Usiku mwema
Mzee kamba nyingiii!
Hamaaa kwakooo 😂😂
Niatali uyujamaha noma 😂😂😂
Kikongwe nimekupenda bule
Powertilla..bajaji..tukasome😂😂😂😂😂
Kwan Usalama Barabaran hawamchukui huyu kuwa balozi wa usalama barabaran
MZEE KACHANGAMKAAA 😅
hehehehehehhehehahahahahahahaaaaa eti kavaa phone maskioni kama dereva wa ndege,utasema anashuka kipawa
Daah..lazima upitie gereji🤣🤣
K9😂😂😂 hama kwako....
Hahahahah dereva mkongwe
Mbona alikua kalala hapo jangwani
😂😂😂😂 msiba wa dereva saa mbili😂😂😂
Dereva mkogwe