Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Safari njema mkongwe Allah kareem maneno brantaya hiyo marege mezani sio Inshallah 😂😂😂🇹🇿🇦🇪🙌
Waliokuwa wanasema mbwembwe tu haendeshi haaayaaaa
Haya dereva mkongwe wqsalimie blantaya nimecheka sanaaa
Matajiri wa mabasi mpeni huyu jamaa matangazo ya biashara zenu za mabasi
Mkongwe pama leo nimeamini kama ww dereva
Hatari huyo
Ba mkongwe mwenyeweee,,,chuma inashuka blantaya hioo
Anayechukua video mbn anachukua fupi sn wakat mkongwe ana story ndefu za kufurahisha na kuelimisha pia,embu zingatien ili
Muda haukumuruhusu
Nlikuwa na shauku sana ya kumuona huyu kiumbe akiwa kwenye stick, Sasa ndo ntamwamini kama kweli ni suka.
Mimi pia, sema video fupi... Na nilikuwa nataka nione kwa ndani anavyo fanya Upshift and downshift.
Huyooo jamaa Ni dereva halaf Ni fundi Ni jamaa yangu Sana anaitwa dachi au kosovo
Ntumie namba yak tuongeee
@@MABASITV nifate messanger Kaka nitakupa si unajua sio vizur kutoa namba za watu kwenye halaiki kaka
Itapendeza nikipata namba yake
Sikuile anasimulia wa alivyo nusulika ajari alinfurahisha Sana ana mbwembwe huyu🤣🤣🤣
Nasoro moa one kawa tajiri udereva kaacha
We acha tu
Kelele zote mi hua ninadhani ni dereva wa semi ama pulling kumbe mguu kumi tu!
Safari njema dereva mwenzangu
Noma huyu
Daaah hyo mzee mwisho kapewa gari
Kiukweli nilijua ni stori tu kumbe kosovo anagonga stick kwenda brantaya daah
Ah dereva mkongweeeee
Pesa ipo au nikwetu pakavu tiamchuzi
Mkongwe vip ile ajali na gari ya only juses pale mbwewe 😂😂 ulikuwa na bonge la piopio 😂
Maeneo ya Donge Tanga
Hahhaa Noma sana
Mzee wa sound
Davooo
Hyu ukiwa nae unaelekea fastaa kbca
😇😇😇😇
Huyu ukimpa kazi hakikisha mileage na mshahara wake anapata kwa wakati lakini kama wale wenzangu na mimi mpaka usubiri ulipwebna wenye mzigo ndio utoe mileage huyu hafai, siri zote za kampuni utazikuta barabarani.
Nimekusoma
hahahaha
Stickiiiii
😁😁😁😁😁😁
Kosovoo 😀😀😀
٨
Brantyre
.
🥴🥴🥴🥴🥴🥴
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣🤣🤣🤣🤣
Safari njema mkongwe Allah kareem maneno brantaya hiyo marege mezani sio Inshallah 😂😂😂🇹🇿🇦🇪🙌
Waliokuwa wanasema mbwembwe tu haendeshi haaayaaaa
Haya dereva mkongwe wqsalimie blantaya nimecheka sanaaa
Matajiri wa mabasi mpeni huyu jamaa matangazo ya biashara zenu za mabasi
Mkongwe pama leo nimeamini kama ww dereva
Hatari huyo
Ba mkongwe mwenyeweee,,,chuma inashuka blantaya hioo
Anayechukua video mbn anachukua fupi sn wakat mkongwe ana story ndefu za kufurahisha na kuelimisha pia,embu zingatien ili
Muda haukumuruhusu
Nlikuwa na shauku sana ya kumuona huyu kiumbe akiwa kwenye stick,
Sasa ndo ntamwamini kama kweli ni suka.
Mimi pia, sema video fupi... Na nilikuwa nataka nione kwa ndani anavyo fanya Upshift and downshift.
Huyooo jamaa Ni dereva halaf Ni fundi Ni jamaa yangu Sana anaitwa dachi au kosovo
Ntumie namba yak tuongeee
@@MABASITV nifate messanger Kaka nitakupa si unajua sio vizur kutoa namba za watu kwenye halaiki kaka
Itapendeza nikipata namba yake
Sikuile anasimulia wa alivyo nusulika ajari alinfurahisha Sana ana mbwembwe huyu🤣🤣🤣
Nasoro moa one kawa tajiri udereva kaacha
We acha tu
Kelele zote mi hua ninadhani ni dereva wa semi ama pulling kumbe mguu kumi tu!
Safari njema dereva mwenzangu
Noma huyu
Daaah hyo mzee mwisho kapewa gari
Kiukweli nilijua ni stori tu kumbe kosovo anagonga stick kwenda brantaya daah
Ah dereva mkongweeeee
Pesa ipo au nikwetu pakavu tiamchuzi
Mkongwe vip ile ajali na gari ya only juses pale mbwewe 😂😂 ulikuwa na bonge la piopio 😂
Maeneo ya Donge Tanga
Hahhaa Noma sana
Mzee wa sound
Davooo
Hyu ukiwa nae unaelekea fastaa kbca
😇😇😇😇
Huyu ukimpa kazi hakikisha mileage na mshahara wake anapata kwa wakati lakini kama wale wenzangu na mimi mpaka usubiri ulipwebna wenye mzigo ndio utoe mileage huyu hafai, siri zote za kampuni utazikuta barabarani.
Nimekusoma
hahahaha
Stickiiiii
😁😁😁😁😁😁
Kosovoo 😀😀😀
٨
Brantyre
.
🥴🥴🥴🥴🥴🥴
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣🤣🤣🤣🤣