Nakubali mkongwe hope siku moja tutakutana barabarani, mwanzo nikiwa na mzigo wa wa kupeleka uganda nikipishana na lory za tz huwa naziangalia vizuri kama ni wewe nikupigie honi usimame
Ooh baba mkongwe ningeomba cku ukivuka burundi muyinga apa mukoni kabla hujafika njia panda ya ngozi na kitega usimame nikusalimiye.nakaa hapa karibu na beria ya zamani
Raha sana kusikiliza stori zake na ni kweli kabisa sio utani anachosema
Mkongwe anatupa Raha sana 🎉🎉🎉
❤ sitori nzuri sana
MA TRUCK DEREVA TUJUANE HAPA, LAKINI USA 🇺🇸 HAYO MAMBO HAYAPO MKONGWE,AFRICA MA TRUCK DRIVER WANA RAHA YAHO KWELI.
Niambie ndugu
Mambo vp broo
Huyu mkongwe Angekua mtangazaji ingekaa powa sana
Dereva mkongwe Miyeyusho Sana 😂
mzee unatufurahisha sana bn mgosi wakanya
Nzuri sana kaka
Yani tunaenjoi sana mkongwee😅😅😅
Master master
Daaah mimecha kweli eti feni za mbowe chuwichuwi😂😂😂.
Daaa dereva mkongwe miyeyusho sana 😂
Nakubali mkongwe hope siku moja tutakutana barabarani, mwanzo nikiwa na mzigo wa wa kupeleka uganda nikipishana na lory za tz huwa naziangalia vizuri kama ni wewe nikupigie honi usimame
Dereva mkongwe bigup kutoka voi
Ukiwa tanboy wa dereva mkongwe huwezi boreka.
Hapo kwenye taa za fuso umeongea ukweli
Ooh baba mkongwe ningeomba cku ukivuka burundi muyinga apa mukoni kabla hujafika njia panda ya ngozi na kitega usimame nikusalimiye.nakaa hapa karibu na beria ya zamani
Noma sana mkongwe
Nakubali mzee
Mashaallah
Miwani kama Doctor wa Mikojo😂😂
Mtafute na Cha upepo dereva wa Mabasi ya Shabib
Namkubali san dereva mkongwe kutoka Burundi💪
Mkongweee,,,,master,,,,😂
Mzee mkongwe umetisha
"mama regina mpe hela yake uyu" mzee miyayusho kweli uyu... Feni het kopta ya mbowe sio poa.
Nahitaji kumfanyia interview dereva mkongwe
Huyo mzee mkongwe ape kazi za kusimamia madereva wenzake ili nasaha zake ni mzuri .serikali ya tanzania imuandike kazi
Nimemuona mtu kama huyu leo kapita dum au nimemfananisha maana napenda story zake🤣
Jamaa ana akili nyingi sana
😂😂😂😂, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Upo sawa mzee mwenzangu udereva umeingiliwa sikuizi
Nzuri sana mkongwe
Cheka tu chukueni huyu jamaa😅
Kwani huyu mkongwe hajawahi kuajiriwa na mwarabu au muhindi mbona misemo yake inamaanisha wachaga ndio waajiri wake
🎉🎉🎉mkongwe 🎉🎉🎉
Mzee mkongwe waa....
NAKUELEWA SANA BA MKONGWE🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
mashallah
Mkongwe kama mkongwe
,,,😂😂😂stor nzuli naenjoy
Jamani nimecheka mpaka nimelia aaaa
Wewe mkongwe pumzika juu ya ukongwe
Dereva Mkongwe😅😅, Noma sana unaongea ukweli ndani ya utani
Mkongwe hiyo unayofanya hapo ni biashara GB zimeisha
😭😭😭😭😭😭
Mzee vitukoo
11:35
😂😂😂😂😂WEWE UMELAAANIWA🤣🤣🤣🤣💯👍
Acha husda tamaa sio kizazi mzazi wivu haujengi
Mayo mayo 113 mkongwe😅😅😅
🤣🤣🤣🤣 kkkk ukweli mwingi
Et mtoto anasalimia shkao😂😂😂
Batola au bastola muwe mnahakiki vichwa vya habar zenu
Umeelewa hujaelewa?
@@captenndunga6745 ujifunze kiswahili mpuuzi we
@@captenndunga6745 Atalugha yko mwenyewe inakushinda mjinga mmoja we uwe unahakiki.unachokiandika utakuja andika matusi naupuuzi wako huo
@@captenndunga6745 hiloo halijui kuandika
@@captenndunga6745 ushaleft group nini mbona umekuja foshi
huyu sio dereva tu ni mwalimu pia
Zao kutoka mtaan kwangu pangamlima muheza tanga namjua vzr
😂😂 eti helikopta ya mboe 10:40 min
Mkongwe wewe mshenzi sana unatuvunza mbavu
Mbavu zangu 😅😅😅😅
Unaijua Rusumo wewe unaijua K9 ok karbun Ngara mtajua 😅
😂😂😂😂
Miwani Kama daktari wa mikojo😂😂
Wakina baba manka hao wanizetu hao bamkongwe wewe n'a wachaga
Huyu jamaa ana story kali san
😂😂 , Aisee mkongwe
Babu unaniuwa nakubal
Koi mchukue huyu mzee
Huyu jamaa huwa anafanya kazi saa ngapi
Naye anajiuliza we unafanya kz saa ngapi mana kutwa mtandaoni kumfuatilia.
@@captenndunga6745😂😂
Jamaa namukumbali
😂😂😂mwana bonde😂
Ndo icho tunasamani kusiki
😅😅
Mzee ana viswaili uyo
😂😂😂😂 Mafundi waah
I'wesh ipo siku ntamuona Mzee Huyu nnazawadi yake aisee yani 🤔🤔😂😂
Hata mm na mpango wa kuonana na huyu
@Jishushe.na.ujikute5789 garage yake jangwani mtafuteni au kutumia namba za muandishi utamfikia kiurahisi.
😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫠🫠🫠🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😅❤🎉🎉🎉🎉🎉
🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi.ni.soilder.boy.nalinda.mangari.mkubwa.tuko.kenya.
😂😂😂😂Jamani NA jikuta nacheka2
😂😂😂
Hahahahaha 😂😂😂😂😂
Hamna kitu hapo ujanjaujanja tu
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
ila mwandishi matafutie hata simu ya 150000