Kweli dereva mkongwe cc madereva tunajilahisisha sana mm nikigoma nataka mshahara au mkataba we unaenda je ? App uthamani wa dereva hautokuwepo madereva tuamkeni jamani
Hetiiii "nakuamini derevaa lala nayo 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 mwisho nikamupeana tutaonana baadaye chumba cha kizaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😅😅😅😅" nime chekaaa yangu yote. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, Dereva mkongwe...
Tena bahati ya yako mama retina angekukata n kimundu usije ukaingia tena nyumba ya mchaga wakati unadaiyana naye bora mwambie unipolar nilip kwetu tanga utaona unaondoka atakuletea mwenyewe
Swali la madereva kusoma na kupimwa afya ya akili ni muhimu sana. Ajali za barabarani zinasababishwa na madereva wazembe na wasio na afya. Natumai serikali itatilia mkazo
huyu jamaa !!! much love.. muulize stori za MLIMA KIU.
Karibu huku KENYA 🇰🇪 kwetu tukupe kazi kufunza madereva jinsi kuwa makini barabarani ❤❤❤
Jamani wapeni mikataba nao wanateseka njianii, Mungu wanyooshee mkono 🙏🙏🙏
Kweli huyo brother anachekesha sana amebarikiwa acha kazi ya udreva fanya comedy uko vizuri😂😂😂
Kweli anafaa kuwa comedian mzee. Ana busara nyingi pia
😂😂😂😂😂uko sawa comedy seriously old gentleman
Sana anafaaa
😂😂😂kweli
Nampenda sana huyu baba
Derevaa mkongwee anafurahisha zaidia Sana Mwenyezimngu akuhifadhi mze wetuu
Yaani nimekupenda bure na nikipata pesa lazma ufaidi inshallah ❤
Mzee huko safi sana kazi ni kazi Baba karibu 🇰🇪💪
Baba mugu akupe afya njema maisha mwako
🇰🇪 big up mzee wangu Chanel iko juu ,Babu wazinguwa sana NAKUPENDA bure🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dereva nkongwe napenda story zako,niko Kenya nakula miraa nakupata uhondo kutoka kwako inshallah 👍💪🇰🇪
Mwamba ana story za kufunza pia comedy ndani hatariiiii hongera Sana habari jamiii digital❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kweli dereva mkongwe cc madereva tunajilahisisha sana mm nikigoma nataka mshahara au mkataba we unaenda je ? App uthamani wa dereva hautokuwepo madereva tuamkeni jamani
Dereva 😂😂 Salut Sana Amos kutoka burundii uyoooo ni jeshii ongeraa saanaa
HUYU MZEE NI COMEDIANI MKUBWA SANA WASANII WA COMEDIA MWANGALIENI HUYU MASTER KWAJICHO LA 3 ANAKITU
Huwa napenda sana stori za huyu mwamba. Buchoki kusikiliza.
Hetiiii "nakuamini derevaa lala nayo 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣 mwisho nikamupeana tutaonana baadaye chumba cha kizaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😅😅😅😅" nime chekaaa yangu yote. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, Dereva mkongwe...
MIMI NI TRUCK DRIVER 🇺🇸 USA HIZI STORY ZOTE NI KWELI KABISA. I WISH UNGEKUA USA NJOO UNGEPATA RAHA YA HIYO JOB.MUNGU AKUPE NGUVU ZAIDI TENA.
Brother mambo vipi?? Me ni driver wa malori nitafutie connection ya udereva wamalori Canada nauli na pasipoti ninayo
Tulia usije kutapeliwa iyamini nafsiyako tu na wazaziwako 😂😂@@stevenfumbi9566
Dah dereva mkongwe unanifanya niangalie hii interview mpaka mwisho maana hapa nacheka balaa
Kweli dereva apewe mikataba maana nikazi ya hatari sana na nikazi kama kazi nyingine
Dereva mkongwe anatisha sana kwakuchekesha
Master Master
Aina mbili za watu ambao uhai wao uko mikononi mwao
1-Madereva
2-Wanajeshi
Namabondia pia tunapopanda ulingoni tunarzi maisha yetu
Japokuwa ana furahisha sana lkn anachozungumza kina mantiki
Salute cosovo babu
Nmependa kilio hicho
. 😅😅😅😅ni serious ama
this guy is more of a comedian than a driver😂😂😂😂😂 akifika thika kenya aniambie😂😂
Mimi my mum hupenda kuniambia nakuamini Babu lala nayo hata Jana ameni ambia hivoo😂
Tena bahati ya yako mama retina angekukata n kimundu usije ukaingia tena nyumba ya mchaga wakati unadaiyana naye bora mwambie unipolar nilip kwetu tanga utaona unaondoka atakuletea mwenyewe
brooooo😅😅😅 kusafisha quatalogi ... weka mzuzu!! much love from Kenya mkongweeee... 😂😂😂😂😂
Nakubari baba liver! Kazi kazi
Kalibu RWANDA
Dereva na nusu 😅 mzee nakukubali sana much love from kenya🇸🇸
Hiyo sio bedera yetu🇰🇪ni hii.
@@ruthgitau6374aaah... Chombo kimeniweza?!
@@ruthgitau6374msho Kenya hatuna bendera kama hio
Jamaaa uko vizuri
Ila huyi mwmba ananifurahisha sana😅😅😅😅
Actors L 2024 model 600 Ngoma kubwa
Uyu jamaa anatoa somo kwa wenye akili.maneno yake mazito.serikali wazingatie
Khaaaahaha mkuu umetishaa
❤❤❤❤UKO VIZULI KAKA
Ya kufungia mwaka hii😅😅😅👏👏
Sana baba mkogwe nakupa zaruba ya arere
Huyu ndo kosovo,akikaa kijiweni lazima akusanye kijiji kwa story zake
Yesi kumbe unamuelewa
@@habibuhabibu9728hatari kwa story huyu
Duu Dachi chamaneno mengi nakubali
Jamani wasikilizeni madereva
Nashindwa kucheka kwa sababu anachokiongea NI kitu serious sana!!!
Master!..Master!..
😊 mzee unani furaisha sana, serikali ya ccm mpeni akira awe mwalimu mkuu wa madereva 🙏
Kwa uzoefu wake wengi watafaidika akipewa hiyo kazi ya kuwa mwalimu mkuu wa madereva.
Kabisa
😂😂😂 strong driver salute to u old man
changamoto zipo nyingi dereva mkongwe, askari wetu wa barabarani wanatusumbua sana
Nakwamiini baba lala nayo na chombo ishashinda
Huna baya mkongwe mkojani, mobimba,joti na comedian wooote mwangalieni mwezenu hana pa kuazia
watching From Dar es salaam huyu jamaa ni comedian 100%😅😂😂
UBARIKIWE MZEE
Mungu AKUTUNZE jamanii🙏🙏🙏🙏♥️♥️
Nakubali sana mzeee hyo
Hahaha ba mkongwe ungekuwa komedi ingekuwa poa sana
Safi Sana ba mkongwe
Uderere kali ya mwaka😂😂😂
Haki kipaji anacho baba huyu nimelia na kucheka mana uko vizir 😅😅😅😂
😂😂😂
Mzee huchoki kumsikiliza 👊
@@mushimalik7354 hakika anaongea ukweli mtupu ameniliza kisha ananichekesha halafu sasa anakutaja sana kwetu morogoro nimefulahi pia
Huyu mzee ni noma😂😂😂😂
Nakubal mkongwe maneno yako nisawa
Umetisha faza serekali iliangalie ili lamalipo ya dereva dereva anamchango mkubwa ndani yachii
😂😂😂😂😂 eti nawaambia ndugu wa marehemu msilie mpaka nifike umeniua mbavu we mzee aki aise pole sana
Uyu n dereva kwel au Comedian😂😂
Huyu baba twampenda sana kweli huku Kenya.
Weka account yake tui_surprise bana
Kaaabisa
Mtangazaji sura unakaza sana interview ni nzuri ila wito wako si uandishi badilika
Mbona mm sijawahi kumuona hata akiwa njiani anasukuma chuma interview zote yupogo tu mtaani
Hapa laazima unenepe ya allah
His so funny😂😂😂😂
Huyu ni comedian🤣🤣
Mzee muuni uyu 😂😂😂Ila anayo ongea n kwl asee
Jamaa anajua sana nampa maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tumsapoti huyu dereva ana kipaji, alafu anaongea kweli
Nakupenda bure dereva mkongwe
Nakukubali dereva
Master Master
Siku Millard ayo akimpata huyu basi kabadil maisha ana Kitu kikubwa sana comedy af anaongea point
@millardayo
dereva au delele
Muzee salama Naitwa Bonaventure Rwanda upande wa mustu Nyungwe
My mum loves tiktok about this driver hata Jana ameni ambia lala nayo😂
😂😂😂 mzeee mungu akulinde sana unani vunja mbavu mzee
Alafu huu unyanyasaji wa madreva uko Tanzania tu. Hata nchi za jilan Kongo na Zambia wanalipa vzr sana.
Wakenya tuna kupenda sana bro, huwa nacheka sana.
Dereva mkongwe komalia hapo hapo mana mikataba nimuhimu ila hatupatiwi
😂😂😂😂😂😂😂😂babu upo sahihi
Swali la madereva kusoma na kupimwa afya ya akili ni muhimu sana. Ajali za barabarani zinasababishwa na madereva wazembe na wasio na afya. Natumai serikali itatilia mkazo
Je kuhusu miundombinu ya kupita hizo Gari ni bora kwa kiwango gani? Msiangalie upande mmoja tu.
Huyu jamaa anajua comedy kumshinda Joti
Lamata chukua huyo babu😂😂😂😂😂😂anatufaa jua kali
Dereva mkongwe nakubali😅
Pore.sana.baba.yangu.serekari.muwasikirize.ukiona.chozi.la.mwanaume.ujue.anaumia.pore.san.zaid.ya.san.mungu.atakusiriza.kirio.chko
Ni kweli kabisa baba..barabarani kuna mambo
My idol
Nakubali
Mpeni.milad ayo uyo Babu atoke
Sawa mkongwe
Asee❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Story zahuyu jamaa nampa saluti sana anajua
😂😂😂 uyu baba mnoma...kantoa machozi juu ya kicheko
Ww una kipaji ila ujajijua
Babu ww nakufwatilia wanitia moyo sana.mkenya nipo Gulf nasukumana na tank
Much love 😂😂😂 uyu mzee from mbeya
Mumtie pesa Basi mzee wetu wa NYONGI wa TANGA RAHA…😂😂😂😂😂😂😂Mpeni kitengo cha uchekeshaji MZEE WETU”