MPINA AIBUA MAZITO "NILITEGEMEA HILO, SIJAWAHI KULALAMIKA, MIMI NI MWAMINIFU" AMWIBUA NDUGAI NA....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 20

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Před 2 dny

    Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.

  • @Shalom803
    @Shalom803 Před 2 dny

    Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊

  • @user-kx5dt5ih2i
    @user-kx5dt5ih2i Před 5 dny

    Pole sana!!

  • @michaelmizambwa1246
    @michaelmizambwa1246 Před 4 dny

    Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

  • @user-sr9xz7od6p
    @user-sr9xz7od6p Před 5 dny +1

    Kalibu chadema

  • @brendashao36
    @brendashao36 Před 5 dny +1

    Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina

  • @JosephMpina
    @JosephMpina Před 5 dny +1

    Naamini munguatakutetea

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Před 5 dny +1

    shida nini😂😂😂

  • @FrankAldo-z7y
    @FrankAldo-z7y Před 5 dny

    Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau

  • @hakikahajijecha3558
    @hakikahajijecha3558 Před 5 dny +1

    Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo...
    Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 Před 5 dny

      Wewe nyamaza huna unalolielewa

    • @user-kx5dt5ih2i
      @user-kx5dt5ih2i Před 5 dny

      Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Před 5 dny

      We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais

    • @FelicianSimon
      @FelicianSimon Před 4 dny

      ​@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789

    Jitafakari kwanza

  • @LazaroELucas
    @LazaroELucas Před 4 dny

    Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo Před 5 dny

    Kuna kitu hapa. Namwona Mpina akiwa chadema