Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.
Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo... Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...
We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais
Pole and sana Kaka, kumbe inaelekea Mh. Spika alikuwa akikusakama muda mrefu.? Huo ni uonevu wenye nia mbaya, pengine Mh. Mpina angesaidia saana katika suala zima la kupinga kuhujumu uchumi katika nyanja ya kujenga uchumi wetu Tanzania. Mungu atakulinda Mpina. Amina.
Pole Hon Mpina. Ukweli siku zote unasimama. Nyamaza kimya. Tulia kimya. Tena wala usihame chama. Mungu atakutetea😊
Pole sana!!
Endelea kuwa kweli kwa yale unayoona bayana,..una mtazamo na msimamo tofauti ukiachana na wengi hasa kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.
Kalibu chadema
Pepo tokaaa maana naandika nafuta naandika nafuta nisije jukuta pabaya. Pole kaka Mpina
😂😂
Naamini munguatakutetea
shida nini😂😂😂
Huyu Mama mkumbuke wtz kuwa ndo aliyetuleta kwenye mita mia mbili katika uchaguzi ndo likawa daraja la unaibu spika au mmsahau
Ndugu Mpina kaa kimya, muungwana akivuliwa nguo uchutama hakimbii bila ya nguo...
Unazidi kujichafua...kubaliana na maamuzi ya wengi pengine ni jibu sahihi kwako...
Wewe nyamaza huna unalolielewa
Anajichafua Nini wewe ni tope kabisa
We acha upumbavu wale wote wamepigwa pesa ili wamuwajibishe mpina bunge la tanzania ni bunge la kutetea uovu na wizi wa serikali nchi hii tangu tupate uhuru hatujawahi kuwa na bunge la kuwatetea wananchi ila huwa ni bunge la kutetea wezi wa serikali na machawa wa maspika na rais
@@user-kx5dt5ih2impina ni jembe kaa kmy
Jitafakari kwanza
Utatolewa halafu msigwa atakuja huko Sisi ndio watanzania
Kuna kitu hapa. Namwona Mpina akiwa chadema
Big no ccm hawata muangusha