CV YA LUHAGA MPINA WASIFU NA HISTORIA YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 04. 2024
  • CV YA LUHAGA MPINA WASIFU NA HISTORIA YAKE / FAHAMU ALIPOZALIWA / SHULE ALIZOSOMA/ O LEVEL / A LEVEL / CHUO / KIWANGO CHA ELIMU / ALIKOFANYA KAZI KABLA YA UBUNGE N.K

Komentáře • 102

  • @maase2023
    @maase2023 Před 17 dny +8

    Huyu ni mbunge anaestahili kuwa mbunge! Bravo bravo

  • @DeusdeditKamalamo
    @DeusdeditKamalamo Před 16 dny +5

    Nimekusikiliza vizuri kuhusu cv ya Mpina na amaelezo uliyoyatoa tunamuomba Mungu aongeze akina Mpina wengi huko Bungeni.Ili Watanganyika tuondokane na maumivi haya tunayoyapita.Maanakaamua kijitoa kafra kwa ajili alijuya kitachomtokea lakini hakurudi nyuma.Hongera Mpina tumpe maua yake.

    • @TheodosiaSangka
      @TheodosiaSangka Před 15 dny

      Mh.Luhaga anastahili maua mengi tu ingependeza siku anarudi bungeni wapenda haki na wapiga kura wake wamsindikize hadi mjengoni bungeni huko wabunge waone anavyokuwa supported na Watanganyika

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před 16 dny +6

    Waweza kuchukia jambo kumbe ni kheri. Waweza kupenda kumbe ni shari. Na Mwenyezi MUNGU MTUKUFU Anajua na nyinyi hamjui.

  • @IsaacChiwinga
    @IsaacChiwinga Před 21 dnem +6

    Congratulations, I have been very much inspired the commitment exposed by honorable Luhaga Johnson Mpina, thus he deserves to be president of this country(Tanzania), in next election(2025), through opposition party.

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 Před 2 měsíci +7

    Yuko vizuri Sana watanzania tumemuelewa

  • @zakaria924
    @zakaria924 Před 19 dny +3

    Kumbe naye Kielimu si haba yuko vizuri, michango yake Bungeni ni "Aksi" Kuwa ni Big Mind, anajikita ktk hoja zenye Nguvu, ZILIZOTAFITIWA na Takwimu zake! 👏🙏🤜🤛

  • @jonasnzemya7700
    @jonasnzemya7700 Před 16 dny +3

    Pole kwa misukosuko unayokutana nayo huko bungeni,nakushauri hapo baadae uachane na CCM,bado jamii ya kitanzania inakuhitaji sana, asante

  • @maximillianmubashi7328
    @maximillianmubashi7328 Před 2 měsíci +8

    Bravo Luhanga Johnson Mpinga continue to fight we are with you.

  • @user-jx2nq7ob6t
    @user-jx2nq7ob6t Před 10 dny +1

    Mpina nakupenda Sana kaka yetu piga kazi

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 Před 2 měsíci +5

    Shule ni kitu kingine na uwezo wa kutetea wanamchi ni suala jingine mpina Yuko vizuri bana

  • @ngassakashindye4974
    @ngassakashindye4974 Před 11 dny +1

    Jamaa Yuko Vizuri sana, sema hatuna sauti tulipaswa tumrudishe bungeni

  • @mwanjalimfaume6380
    @mwanjalimfaume6380 Před 16 dny +1

    Yuko vizuri Joel mu ndio maana michango let hoja ni ya kisomi sana juu ya fedha

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 17 dny +2

    Mpina kata rufaa Kwa Mungu na wachi

  • @GeorgeShindika
    @GeorgeShindika Před 5 dny

    Sawa

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 Před 2 měsíci +2

    Yupo vizuri sana katika kujenga hoja na kuisimamia, Kila la heri mheshimiwa Luhaga

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před 2 měsíci +2

    ❤❤❤❤❤❤ much love brother Mpina

  • @user-to5jr2io6c
    @user-to5jr2io6c Před 20 dny +1

    mpina mungu akulinde sana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +2

    Mpina ni mzalendo wa kweli.

  • @Danson-zp5to
    @Danson-zp5to Před 17 dny +1

    Wew mwandishi ukiandaa cv ya mtu jiridhishe na vyeo unavyotuambia. In shot hii Ina udhaifu mkubwa sana

  • @justinempemba5981
    @justinempemba5981 Před 2 měsíci +2

    Watanzania sisi anatufaa sana mpina

  • @samwelsimon2148
    @samwelsimon2148 Před 16 dny

    We love you and still waiting you......Mpina Lihaga...no more words.....God keep you safely

  • @gerrylufingo387
    @gerrylufingo387 Před 2 měsíci +1

    Mh Mpina anasadia sana kuiimarisha Serkali kutokana na Michango yake Bungeni

  • @user-is4om8ci1y
    @user-is4om8ci1y Před 15 dny +1

    Mpinayuko sahihi

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN Před 18 dny +1

    Shida hapa ni mtangazaji hajui chochote juu ya vyeo mpina hajawahi kuwa mkurugenzi wa halmashauri na hakuna cheo cha kuwa mkurugenzi harafu mtendaji wa kata

    • @charlesmbaga6115
      @charlesmbaga6115 Před 16 dny

      Kinacho Kuumiixa ni kiapo NA SITATOA SIRI ZA BARAZA LA MAWAZIRI

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Před 14 dny

    Mungu ni mwema

  • @BonifacePetro-l3g
    @BonifacePetro-l3g Před 14 dny

    Luhaga Yuko sawa musimujengee hoja familia Moja kukosoana nisawa hatakama vyama vyama vya upinzani visiwepo bunge lazima liwe na mufumo huo kujua ukweli ndiyo kazi zawabunge Kila mubunge asimie analoliamini ndiyomaana kuweka mambosawa

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤ presidential material 100% Dr Joel Luhaga Pina for 2030 for Tanzania

  • @jumamrange
    @jumamrange Před měsícem

    Wabunge wajifunze kwa mpina, Sion muda wote kupiga makofi hata mambo ambayo bayana manufaa kwa taifa😊

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 2 měsíci +1

    Ipo siku Mungu atamwinua kuwa Rais wa nchi hii....mzalendo wa kweli,. Siyo mkosoaji ila ni msema kweli hana ushabiki na upendeleo.

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  Před 2 měsíci

      Asante kwa Maoni yako Mabondo

  • @PeterAlphonce-uh2mc
    @PeterAlphonce-uh2mc Před 2 měsíci +1

    Anafaa urais

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 16 dny +1

    Wacheni uchuro ninyi waandishi wa Habsri, Historia ya nini mnaitoa,
    Kwani amekufa?
    Mwacheni Mmbunge akomae, Kumbe ni Bonge la msomi

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Před 2 měsíci +1

    Siyo kweli kwamba kila mtu anaweza kuwa mbunge, huo usemi wako hauna ukweli

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  Před 2 měsíci

      Nieleze pia na Misemo ambayo nimeisema na ni kweli, Au unaangalia makosa Tu Mkuu?

    • @andersonshimbi1378
      @andersonshimbi1378 Před 2 měsíci

      @@KlikHapaTV :- Yako mengi pia mengi uliyosema mazuri, lakini tambua mboga ikiungwa vizuri sana lakini ikazidishiwa chunvi uzuri wote unaharibika.

  • @jameskivelege6721
    @jameskivelege6721 Před 19 dny

    Wewe unayetoa wasifu huu huna upeo. Kazi inahitaji elimu,upeo na weledi.

  • @user-bc9pe6io1b
    @user-bc9pe6io1b Před měsícem +2

    Mtoa historia Huna uwezo.uwezo wako ni mdogo sana

    • @KlikHapaTV
      @KlikHapaTV  Před měsícem +1

      Sawa Mkuu. Hongera mwenye uwezo mkubwa

  • @samsonGodanya
    @samsonGodanya Před 15 dny +1

    Bunge bila wapinzani ni sawa na mgahawa

  • @tuntufyemwaitebele
    @tuntufyemwaitebele Před 15 dny

    Shujaa

  • @ndyamukamarwiyula7230
    @ndyamukamarwiyula7230 Před 15 dny

    Anatutendea haki Wapigakura wake na Taifa kwa ujumla

  • @timotheokiss4870
    @timotheokiss4870 Před 2 měsíci

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 17 dny

    We mtangazaji fanya maandalizi Wana mpina Kawa weo katikaofis yamkurugenzi wa wilaya

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 Před 23 dny

    Hujui kueleza

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před 20 dny

      Pumbavu ya Mama yako wewe umejierza wapi? Kenge usiye jielewa!

  • @jacksonmaphie679
    @jacksonmaphie679 Před 16 dny

    Umechanganya Mambo ww

  • @mahengedaktari-ek8go
    @mahengedaktari-ek8go Před 2 měsíci

    Yuko safi sana huyu sema rais hachukui hatua

  • @mjajukiyahya2790
    @mjajukiyahya2790 Před 2 měsíci

    Mwanachama au Mjumbe?

  • @rashidkilloh4492
    @rashidkilloh4492 Před 18 dny

    Tumia alikuwa " Mjumbe wa Kamati sio Mwanachama wa Kamati

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 2 měsíci

    Ukabila ni mbaya sana.

  • @samwelsimon2148
    @samwelsimon2148 Před 16 dny

    Brain

  • @masanjadahungangika99
    @masanjadahungangika99 Před 2 měsíci +2

    SawA. Jembe la kisesa

  • @jumapilimgunyi5420
    @jumapilimgunyi5420 Před 18 dny

    Ila kuna tatizo

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg Před 2 měsíci

    Tunamuelewa sana huyu sio chawa

  • @JosephJasson-fx6rq
    @JosephJasson-fx6rq Před 25 dny

    Mwamba huyu hapa

  • @SoloEdward-kc7nh
    @SoloEdward-kc7nh Před 17 dny

    Mbona huelewek

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN Před 18 dny +1

    Mnachanganya sana hapa hakuna cheo cha mkurugenzi mtendaji harafu akawa tena ofisa biashara

    • @kaduma7168
      @kaduma7168 Před 16 dny

      Msimuliaji anachanganya vyeo..HAELEWEKI

  • @user-oy2ui7rj8v
    @user-oy2ui7rj8v Před 13 dny

    Kwa kifupi Waswahili tunamuona ni Mnoko!!

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před 16 dny

    Unaongea km mb za kwako, andaa vzr wasifu huo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 15 dny

    Wengine kina msukan wasaka tonge tuu huyo ni jembe

  • @NazarSola
    @NazarSola Před 2 měsíci

    Tofautisha kati ya Mkurugenzi na afisa biashara

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 17 dny

    Hujui kutoa historia ya mtu wewe....

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před 2 měsíci +1

    Anafa kuwa rais

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 17 dny

    Liamsheni huyu jamaa anatakiwa kuwa fundisho kwa wahuni wachache wenye kutumia Madaraka vibaya ktk jumba letu la bunge

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 Před 2 měsíci

    Uongooo 1999 alikuwa anachukua henderi za machine

    • @Dm-ds3bb
      @Dm-ds3bb Před 2 měsíci

      Usikariri kaka, CV siyo lazima Uandike Kila Kitu. Na si lazima mtu Aongelee Kila Kitu.

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 Před 2 měsíci

      Tulia

    • @andersonshimbi1378
      @andersonshimbi1378 Před 2 měsíci

      Kwani huoni samaki ziliongezeka?

    • @emanuelshayayi54
      @emanuelshayayi54 Před 19 dny

      Yalikuwa majukumu yake.Maana hamkutaka kulipa Kodi.Kodi ni lazima na siyo ombi.

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před 2 měsíci

    Mpina atwambie alipataje ubunge kwanza

  • @karyori69
    @karyori69 Před 2 měsíci +1

    CV yake ni Ukabila unamuwasha!

  • @SHIJAFELICIAN
    @SHIJAFELICIAN Před 18 dny

    Shida hapa ni mtangazaji hajui chochote juu ya vyeo mpina hajawahi kuwa mkurugenzi wa halmashauri na hakuna cheo cha kuwa mkurugenzi harafu mtendaji wa kata

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 Před 17 dny

    😂😂😂 mtangazaji muongo huyuu, ila poa tu ushakula mb zetuu

  • @methuselamiligo614
    @methuselamiligo614 Před 23 dny

    Hujui kueleza

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 Před 19 dny

      Kabsa

    • @user-bt6ep3yb2h
      @user-bt6ep3yb2h Před 18 dny

      Mbonamnaomtete wote ni kabila moja na wengine kanda moja? Kina kinachowasumbua ni ukabila, kwani hajawahi kuwa waziri? Alifanya nini alipokuwa waziri na kwa nini qlitenguliwa?.