Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari nnje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kupitishwa rasmi leo.
Huyu Bora Kuliko hata Magufuli. Ana Ujasiri Wa Magufuli, lakini upeo wake wa Uchumi ni MKUBWA Zaidi. Sisiti Kumpa kura ya Urais huyu Dogo. Anaheshimu Katiba na Sheria. Bora Kuliko JPM , Na Samia Combined. Very level headed, lakini Sio Muoga, na Sio Mnafki. Nimemkubali
Ninapo kusikiliza ndio nakumbuka ile kauli ya Magufuli juu yako "Wanasema wewe ni Kichaa mm ndio nawapenda vichaa kama wewe" kumbe Mzee alikuwa na maana kubwa na Pana ingawa tumechelewa kulijua hilo..Hongera na pole kwa kujenga hoja zenye mashiko
Ki ukweli huwa nakuelewa sana kiongozi. Natamani wabunge wetu wote wangekuwa na uelewa huo tungekuwa mbali! Waziri wa fedha anatakiwa afahamu kuwa suala siyo cheti bali ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kusikiliza na kutafakari ushauri. Uko vzr Mpina.
Hongera Mpina Mungu akulinde watoto wa Maghu kumbe mpo. Safi sana
Mh.Luhaga Mpina mungu akulinde ww ni nyota ya Tanzania tuko pamoja sana na ww hongera
Nilimsikiliza Waziri vizuri sana. Alitumia nguvu nyingi kupotosha alichosema Mheshimiwa Mpina. Ni vizuri Mheshimiwa umefafanua vzr.
Nimemuelewa Mhe Mbunge. Yupo well composed and focused. Anafanya jukumu lake ipasavyo. Congratulations
Mh.Mpina,sasa nimekuelewa, hongera kwa kuwa na msimamo huo
Huyu jamaa huyu mpina Ni shujaa jasiri muongoza njia Mungu akulinde Kaka hongera
Huyu Bora Kuliko hata Magufuli. Ana Ujasiri Wa Magufuli, lakini upeo wake wa Uchumi ni MKUBWA Zaidi. Sisiti Kumpa kura ya Urais huyu Dogo. Anaheshimu Katiba na Sheria. Bora Kuliko JPM , Na Samia Combined. Very level headed, lakini Sio Muoga, na Sio Mnafki. Nimemkubali
Mpina uko vizuri wewe ni mzarendo wa kweli kwenye uwaziri utarudi tu watake wasitake,big up.
Daaaa mpina mzee una nondo wee ni msomi kweli kweli.. Hongera Mpina🤝🤝
Huyu ni Kati ya watu wachache wanaomsaidia Rais na hasa kama akimsilkiliza kwa umakini. Very intelligent na mzalendo kweli kweli.
Mhe. Mpina wewe ni shujaa kiongoza njia. Mungu akulinde.
Ninapo kusikiliza ndio nakumbuka ile kauli ya Magufuli juu yako "Wanasema wewe ni Kichaa mm ndio nawapenda vichaa kama wewe" kumbe Mzee alikuwa na maana kubwa na Pana ingawa tumechelewa kulijua hilo..Hongera na pole kwa kujenga hoja zenye mashiko
Nakubali mhe Mpina endelea kuwatingisha..😅
. Hoja zako MB Zina mashiko sana, hongera sana. wananchi tuliowengi tunaona wabunge wenye maadili, basara na hekima
Mbunge pekee wa ccm...naishia hapo
Mpina Yuko sawa kwa sababu yeye ni mbunge na kazi yake ni kuisimamia serikali, na siyo kuungana na serikali, kwahiyo Yuko sahihi tukiacha siasa
Ki ukweli huwa nakuelewa sana kiongozi. Natamani wabunge wetu wote wangekuwa na uelewa huo tungekuwa mbali! Waziri wa fedha anatakiwa afahamu kuwa suala siyo cheti bali ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kusikiliza na kutafakari ushauri. Uko vzr Mpina.
Ngoma nzito mpina na Mwigulu.Iache iendelee kunyesha tuone panapo vuja yetu macho.
Mpina nakupenda sana hongera sana nakuombea sana Kwa Mungu akulinde
Mpina Atarudi Bungeni, hata kama CCM wamauondoa kwenye kura za Maoni. Huyu ni Asset Kwa Taifa la Tanzania