Mpina ajibu wanaosema anaipinga Serikali

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2023
  • Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina akizungumza na waandishi wa habari nnje ya ukumbi wa Bunge mara baada ya Bajeti Kuu ya Serikali kupitishwa rasmi leo.

Komentáře • 416

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před rokem +17

    Hongera Mpina Mungu akulinde watoto wa Maghu kumbe mpo. Safi sana

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před rokem +21

    Mh.Luhaga Mpina mungu akulinde ww ni nyota ya Tanzania tuko pamoja sana na ww hongera

  • @7675kio
    @7675kio Před rokem +23

    Nilimsikiliza Waziri vizuri sana. Alitumia nguvu nyingi kupotosha alichosema Mheshimiwa Mpina. Ni vizuri Mheshimiwa umefafanua vzr.

  • @magumbakazi
    @magumbakazi Před rokem +7

    Nimemuelewa Mhe Mbunge. Yupo well composed and focused. Anafanya jukumu lake ipasavyo. Congratulations

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Před rokem +13

    Mh.Mpina,sasa nimekuelewa, hongera kwa kuwa na msimamo huo

  • @joelyngomuo7441
    @joelyngomuo7441 Před rokem +28

    Huyu jamaa huyu mpina Ni shujaa jasiri muongoza njia Mungu akulinde Kaka hongera

  • @Mwanasheriawakimataifa
    @Mwanasheriawakimataifa Před rokem +15

    Huyu Bora Kuliko hata Magufuli. Ana Ujasiri Wa Magufuli, lakini upeo wake wa Uchumi ni MKUBWA Zaidi. Sisiti Kumpa kura ya Urais huyu Dogo. Anaheshimu Katiba na Sheria. Bora Kuliko JPM , Na Samia Combined. Very level headed, lakini Sio Muoga, na Sio Mnafki. Nimemkubali

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 Před rokem +16

    Mpina uko vizuri wewe ni mzarendo wa kweli kwenye uwaziri utarudi tu watake wasitake,big up.

  • @philjonez3324
    @philjonez3324 Před rokem +15

    Daaaa mpina mzee una nondo wee ni msomi kweli kweli.. Hongera Mpina🤝🤝

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 Před rokem +5

    Huyu ni Kati ya watu wachache wanaomsaidia Rais na hasa kama akimsilkiliza kwa umakini. Very intelligent na mzalendo kweli kweli.

  • @ysmasalu
    @ysmasalu Před rokem +7

    Mhe. Mpina wewe ni shujaa kiongoza njia. Mungu akulinde.

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před rokem +17

    Ninapo kusikiliza ndio nakumbuka ile kauli ya Magufuli juu yako "Wanasema wewe ni Kichaa mm ndio nawapenda vichaa kama wewe" kumbe Mzee alikuwa na maana kubwa na Pana ingawa tumechelewa kulijua hilo..Hongera na pole kwa kujenga hoja zenye mashiko

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 Před rokem +6

    Nakubali mhe Mpina endelea kuwatingisha..😅

  • @alexmliga
    @alexmliga Před rokem +4

    . Hoja zako MB Zina mashiko sana, hongera sana. wananchi tuliowengi tunaona wabunge wenye maadili, basara na hekima

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Před rokem +4

    Mbunge pekee wa ccm...naishia hapo

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Před rokem +9

    Mpina Yuko sawa kwa sababu yeye ni mbunge na kazi yake ni kuisimamia serikali, na siyo kuungana na serikali, kwahiyo Yuko sahihi tukiacha siasa

  • @liberatusmsasa7103
    @liberatusmsasa7103 Před rokem +10

    Ki ukweli huwa nakuelewa sana kiongozi. Natamani wabunge wetu wote wangekuwa na uelewa huo tungekuwa mbali! Waziri wa fedha anatakiwa afahamu kuwa suala siyo cheti bali ni uwezo wa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi na kusikiliza na kutafakari ushauri. Uko vzr Mpina.

  • @musasimbeye7829
    @musasimbeye7829 Před rokem +12

    Ngoma nzito mpina na Mwigulu.Iache iendelee kunyesha tuone panapo vuja yetu macho.

  • @madoshimalambo7933
    @madoshimalambo7933 Před rokem +6

    Mpina nakupenda sana hongera sana nakuombea sana Kwa Mungu akulinde

  • @Mwanasheriawakimataifa
    @Mwanasheriawakimataifa Před rokem +13

    Mpina Atarudi Bungeni, hata kama CCM wamauondoa kwenye kura za Maoni. Huyu ni Asset Kwa Taifa la Tanzania