NDUGAI MSIBANI KWA LEMUTUZ: KWA MARA ya KWANZA AFICHUA ALIYEMUAMBIA AJIUZULU USPIKA wa BUNGE...
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2023
- NDUGAI MSIBANI KWA LEMUTUZ: KWA MARA ya KWANZA AFICHUA ALIYEMUAMBIA AJIUZULU USPIKA wa BUNGE...
KWENYE mazishi ya Lemutuz Spika Mstaafu Jobu Ndugai amepewa nafasi ya kuzungumza ambapo kwa mara ya kwanza ameeleza jinsi Mzee Malecela alivyomfuata na kumuomba ajiuzulu Uspika...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Rip
Ndugai tumekukumbuka sana watanzania,acha kinyamaza sema meno na ulisema kwa haya yanayoendelea katika nchi yetu,wewe ni Muungwana sawa na mtangulizi wako,Thubutu.
Ndugai chalii
Kabla ya kupost hamjahakikisha upande wa sauti mbona inakata kata ndio nini global mnazingua
Hivi Mzee Malecela na experience na elimu alikuwa nayo kwa nini asiandike kitabu Cha maisha yake kwa yale aliyaona hapo duniani ?
Hakika ni wazo zuri sana
Linajifanya mpole kumbe katili kama yy hamna
Pumzika William Mungu akupunguzie adhabu ya kabri Amen
Duu masikin
Huyu jamaa Ali kuwa katili sana kwenye kiti lkn leo amekuwa mpole ajabu
Bila ukatili uwezi kuwaongoza wapumbavu kama ww
Hukumuuliza mchezee samia tu ww utarudibkwenu kijijini samia oyeee
Hili nilijinga lispika hovyo hili lilituharibia bunge ..pumbav
Ni kweli kabisa hili lizee lilipata kiburi sana likamuona rais mkuu kuliko Mungu likawa linadharau watu na kujiona ndo mwisho wa matatizo akadharau watumishi wa Mungu Kama gwajima akaleta element ya kutaka kulazimisha hata chanjo puyeee pita ivi Mungu nde mwamuz wa kila kitu
Ndugai huna mvuto wa kisiasa